BBC DIRA YA DUNIA IJUMAA 24.04.2020

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 215

  • @abdallaramadhan3850
    @abdallaramadhan3850 4 роки тому +12

    Mola atusaidiye na atuondoleye maradhwi haya ya corona.Tukubaliye funga zetu na utukubaliye swala na maombi yetu..Hongera BBC na Ramadhani kareem wa maqbul.

  • @ndikumasabodiegovevo9091
    @ndikumasabodiegovevo9091 4 роки тому +6

    Juhudi zimeanza kwamajaribio yachanjo kwasababu waafrika tumegundua dawa Asante baba God kutupa taifa la Madagascar

    • @mursalseleman2174
      @mursalseleman2174 4 роки тому

      Hta huyo rais mwenyew anae tangaza amepata dawa ya #covid 19 hana uhakika na jibu lake wataalam wa afya ndani ya hiyo nchi yake wameonyesha was was na hiyo dawa yake kwa maana haija pimwa kitaalam kuihakiki kma ni tiba au lah kwa maana dawa ya kienyeji haija pimwa kma ina madhara au vp kifup mi nasema amekurupuka tu na kufanya haraka kutangaza

    • @Fm-MornStar2014
      @Fm-MornStar2014 4 роки тому +2

      @@mursalseleman2174 kama unazungumzia huyo wa Madagascar, ni kwamba uenda ni kweli. Bro magonjwa kwetu yapo tangu jadi, je ni nani alikuwa anayapima madawa tuliokuwa tunatumia? Tumekuwa watumwa wa nchi za magharibi mwanzo mwisho. Madaktari wazawa wamekuwa "brainwashed" ndio maana hakuna kitu tutafumbua huku Afrika. Wanasubiri nchi za magharibi zifumbue dawa tu, watuletee sumu za kupunguza idadi ya watu! Tumechoka bro.

    • @salesiasebastian6670
      @salesiasebastian6670 4 роки тому +2

      FM Morn Star ,Ahsante kwa kumuelimisha huyo yeye kakalili , hadi nchi za magharibi zisema ndio anaamini ni dawa ya kitaalamu !

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 4 роки тому

      Hapo ndipo baadhi ya watu weusi twashindwa kuaminiana wenyewe.Dawa kwa kua imegundulika Africa,eti muafrica mwengine anapinga,kisa kaisha aminishwa kua watu weupe ndiyo wenye uwezo wa kuvumbua jambo.Kwa mtindo huu tutaletewa sumu sana,kisa akili zilisha karirishwa kua jambo la mzungu lina manufaa kwetu.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 роки тому +1

    Eeh muchomane wenyewe hizo chanjo za majaribio!
    Mi na familia yangu hatutachoma hii chanjo ktk jina la Yesu.

  • @chalamossi6656
    @chalamossi6656 4 роки тому +3

    Allah atunusuru na atulinde 🇧🇮🙏

  • @haidaromar2079
    @haidaromar2079 4 роки тому +2

    ALLAH SW atusaidieee insha Allah

  • @raymondlaurent2473
    @raymondlaurent2473 4 роки тому +6

    Asanten bbc tunapata habari za uhakika

  • @haidaromar2079
    @haidaromar2079 4 роки тому +2

    Daaah trump mung akusadie maana Umechanganyikiw sana 👍👍👍👍

  • @hazars563
    @hazars563 4 роки тому +1

    Lkn inshallah waumini tulivyo piga magoti na kuomba pamoja na funga zetu mungu atatuondolea na kutupa nyakati nzuri ili tusahau Corona

  • @mazrui1948
    @mazrui1948 4 роки тому +1

    Berry wambani. B.M.W nmekuzoea katika taarifa za michezo. Asante uko juu.👏👏

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 роки тому +1

    Mmh 3000 kwa siku! Mungu warehemu marecan

  • @almostgoro564
    @almostgoro564 4 роки тому

    Thanks BBC swahili

  • @ilhamhaji4985
    @ilhamhaji4985 4 роки тому

    Jamani tujitahidini kuchukua tahadhari.
    Dua pia kwa wingi
    Allah atatusaidia

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 4 роки тому +1

    Shukran *BBC SWAHILI* habar

  • @ezekielsangari9675
    @ezekielsangari9675 4 роки тому +13

    Mbona mnaangaikia tanzania mtuache na nchi yetu ....

  • @kimrudiger5084
    @kimrudiger5084 4 роки тому +12

    Kenya tuanze na Nzige , Nairobi flies, Mafuriko au Corona. Allah tusaidie

  • @nyauclassictv805
    @nyauclassictv805 4 роки тому

    God blessing East Africa.......

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 роки тому +1

    WHO, Tanzania mtuachee tu,tuko na damu ya Yesu ,tunafuta hizo nabii zenu juu ya nchi yetu na bara letu,kwa jina la Yesu

  • @samweldeus3164
    @samweldeus3164 4 роки тому +1

    Asante bbc habari za uhakika

  • @jeremiahmwakitalima4820
    @jeremiahmwakitalima4820 4 роки тому +3

    BBC hongera kwa matangazo yenu mazuri uchambuzi wa kina. Pamojabna hayo mmetukosea Tanzania. Mmetangaza walio na virus vya Corona na waliokufa. Lakini waliopona hamtangazi. Jitahidi kuweka uwiano Mzuri. Mungu awabariki

  • @shayopaterini8678
    @shayopaterini8678 4 роки тому +2

    Hongera bbc kwa habar njema

  • @msabahamalonda
    @msabahamalonda 4 роки тому +9

    Kwl Kuchamba kwingi mwisho kushika mavi, Marekani wamerukaruka sasa ndiyo wkt waliopata Rais MPUUZ kuliko wote duniani.

    • @Fm-MornStar2014
      @Fm-MornStar2014 4 роки тому +1

      😂Anataka watu wachomwe sanitizer. Kweli ni kukutana na ya Firauni!

    • @msabahamalonda
      @msabahamalonda 4 роки тому +1

      @@Fm-MornStar2014 Ndg yng nakubaliana nawe 100%

    • @muhrajovic752
      @muhrajovic752 4 роки тому +1

      anataka korona itibiwe kwa mwanga daaah!!!!

    • @ojasoojaso9479
      @ojasoojaso9479 4 роки тому +2

      Trump ni chizi, na ukitaka kumtambua chizi MPE MIKE,. Trump anaropoka mambo ya kisayansi huku shule alikimbia, KUNYWA ☠❌ SUICIDE BOMB IN WHITE HOUSE.

    • @haidaromar2079
      @haidaromar2079 4 роки тому

      Trump daaah tumemkos bd kufa tu

  • @daprince7545
    @daprince7545 4 роки тому +1

    Shukran BBC kwa habari

  • @abdallahmohamad6991
    @abdallahmohamad6991 4 роки тому +6

    Happy ramadhaan Kareem... 👋✋🖐️

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 роки тому +1

    Kenya,muombe toba!
    Nzige kibiblia ni adhabu kwenye eneo husika!
    Rudini kwa Bwana mkimaanisha!

  • @bonaondary7894
    @bonaondary7894 4 роки тому

    Mungu atusaidie wakati huu mgumu wa janga la korona,almudhullahi kareem kwa waislamu wote

  • @fauzishma8033
    @fauzishma8033 4 роки тому +2

    Chanjo nzuri ni hao wachina wa wache kula popo

    • @mr.mbungeali1870
      @mr.mbungeali1870 4 роки тому

      Jaman ruachen kucheka nchi fulan lamsingi tuwaombeeni duw allah awasaidie na sisi pia kwan wao pia hawakutegemea na sisi hatukutegemea

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 4 роки тому +1

    .wa Tz tumemuomba Mungu mwenye dunia,nyie pambaneni,sisi tunafuata ushauri wa watalamu wa afya

  • @emanuelgavile7474
    @emanuelgavile7474 4 роки тому +2

    Nzige wametumwa dadeki

  • @kazingufuyvette8357
    @kazingufuyvette8357 4 роки тому +3

    Asante sana BBC swahili, ila Mungu pekee njo atatuokowa kwa haya yote

  • @rahimmembi6161
    @rahimmembi6161 4 роки тому +4

    Bora huyu Dada tunamwelewa kuliko yule mwingine....karibu ftari dada

    • @aliashur8340
      @aliashur8340 4 роки тому +1

      Wote wako sawa Easter kahumbi ako poa sana

  • @moreenmido8765
    @moreenmido8765 4 роки тому +1

    Maybe God protect them 🙏 Amen.kenya

  • @bensonashery2360
    @bensonashery2360 4 роки тому +2

    MUNGU tunusulu na hili jangaa

  • @arunamwaholi1351
    @arunamwaholi1351 4 роки тому +5

    Marekani nashindwa kuwaerewa wenyewe tu wamelemewa na wagonjwa wengi vifo vingi ndo wanaongoza. Eti wanakuja kusaidia nchi mbili za africa c wamalize tatizo lao kwanza ndo ukasaidie kwa jirani au kuna kitu wanatafuta

    • @zainabomar9139
      @zainabomar9139 4 роки тому

      Wananjama yakutuuwa mana walilolipanga watumalize nalo wameshindwa ssa waleta yakusaidia

  • @edwardgistave9488
    @edwardgistave9488 4 роки тому +3

    Wa kwanza jmn naombeni lek

  • @zarinabhulji9919
    @zarinabhulji9919 4 роки тому

    Wambani , brava.

  • @roseakeyo9230
    @roseakeyo9230 4 роки тому +2

    When spraying the locusts they should spray the ground, choose a time when evaporation is not high. When they spray at the bushes the eggs remain underground and hatch later. Thus the continuity of locusts.

  • @robairubby9511
    @robairubby9511 4 роки тому +5

    Aki Corona na nzige jamani,,ewe mola uturehemu na majanga haya,

  • @johnmumbe1738
    @johnmumbe1738 4 роки тому +2

    Huu ni wakati wa mwisho kulingana na bibilia

  • @josephmac6048
    @josephmac6048 4 роки тому +3

    Mungu atusaidie kuondosha janga hili

    • @rahmahrahmah6683
      @rahmahrahmah6683 4 роки тому

      Asanteni wote watangazaji wa Tarifa ya habari ya BBC Swahili

    • @rahmahrahmah6683
      @rahmahrahmah6683 4 роки тому

      Asanteni wote watangazaji wa Tarifa ya habari ya BBC Swahili

  • @miltonsante4767
    @miltonsante4767 4 роки тому +11

    We need back zuhura Hasan on BBC news ,we mis her voice.

  • @sethsanga5923
    @sethsanga5923 4 роки тому +3

    Asante kwahabali

  • @nessa4899
    @nessa4899 4 роки тому +7

    Africa pia tume gundua mbona hamja tangaza? BBC Mjue tu wazungu wana chukua mimea kwetu alafu wanapeleka kufanya Tafiti kwao ili watu uzie Africa. Mbona magufuli anajitahidi wagonjwa wamepungua na wana Pona kabisa Tanzania.

  • @ndayishimiyefloridetimu1082
    @ndayishimiyefloridetimu1082 4 роки тому +1

    Batwace turudie kuomba Mungu wetu

  • @zemgotanar5264
    @zemgotanar5264 4 роки тому +1

    Mnatushukumu kwa rip tz tunajierewa na tunazingatia usafi yote mipango ya mungu sio sisi

  • @barakashaban7308
    @barakashaban7308 4 роки тому

    Hawa wasenge m cwaamini cjui wanalengo gan kwetu

  • @gerioathumani9084
    @gerioathumani9084 4 роки тому +3

    Tuwacheni watu tulio naimani tufanye ibada kwani kila tulifanyalo tunamkimbilia Allah sasa hili kwann tusimuombe mungu akatuondoshea hili janga ..

  • @aberimlengera412
    @aberimlengera412 4 роки тому

    Mungu Yupamoja nasi hata tuacha kamwe

  • @HassanAli-wy4pc
    @HassanAli-wy4pc 4 роки тому +3

    Mungu awafanikishe

  • @sarahmwaluko2480
    @sarahmwaluko2480 4 роки тому

    Mmmh mfu kumsaidia aliyezimia inawezekana vipi?

  • @japhetjaphet5996
    @japhetjaphet5996 4 роки тому +3

    Mbona mnahangaika na tz yetu wakati marekani inamaambukizi na vifo kupindukia hamuisemi na imefanya Rock down

  • @nassalnassal6407
    @nassalnassal6407 4 роки тому +4

    Pakistan wako sawa swala ni bora kuliko kitu chochote msiopepe corana muogopeni Allwah

  • @bobwanjala1401
    @bobwanjala1401 4 роки тому

    Kilicho na mwanzo kina mwisho. Tufungeni mkanda tuchape safari.

  • @dimittivee7519
    @dimittivee7519 4 роки тому +1

    Dada bella kawa fundi, walisha kuzoea kukosea kosea kwenye michezo

  • @just_this_way
    @just_this_way 4 роки тому +1

    BBC sku hizi hamna kitu, habari mbovu na mmekuwa vibaraka wa mabeberu. Bora ht VOICE OF AMERICA.

  • @thadeiminja1855
    @thadeiminja1855 4 роки тому +2

    Lazima tuwe makini kila siku najifunza.WATANZANIA lazima tuwe makini.Rais wetu wko Makini cn .Anajua anachofanya.

  • @gimaninielia8662
    @gimaninielia8662 4 роки тому

    Bbc nihabari ambazo uwa nazikubari sana2

  • @japhetjaphet5996
    @japhetjaphet5996 4 роки тому +11

    Hahaaaaa marekani ndo imeathirika zaidi duniani afu wanasema wataisaidia afrika huo ndo ujinga wenyewe

    • @ojasoojaso9479
      @ojasoojaso9479 4 роки тому

      Japhet kicheko cha mpumbavu ni kama mlio wa miiba chini ya sufuria,
      Siku vifo vikiingia nyumbani kwako utajua maana ya maneno haya ya hekima kutoka kwa manabii.

    • @simonmagaigwa6634
      @simonmagaigwa6634 4 роки тому +2

      Wamesema watasaidia Kenya na Afrika kusini siyo Afrika. Tanzania tutasimama na Mungu mpaka mwisho.

  • @signaturewerber9399
    @signaturewerber9399 4 роки тому

    Acheni kumsakama JPM WETU kama Mwiba wa Samaki. He is intelligent President, Anajua anachokifanya.

  • @furahamwamlima9743
    @furahamwamlima9743 4 роки тому

    We pray God help us

  • @michaelfalu3142
    @michaelfalu3142 4 роки тому +3

    Habari kwasasa ni Covid19 everyday ni corona Mungu leave it from us please 🙏🙏

  • @hamimuabdoulmasoud7579
    @hamimuabdoulmasoud7579 4 роки тому +6

    Poleni na wadudu walao mimea ya mazao

  • @mbaroukkhalfani9244
    @mbaroukkhalfani9244 4 роки тому +5

    Wahadhiri wa Tanzania siku hizi hawana jambo

    • @skonga5956
      @skonga5956 4 роки тому

      Fact, Africa it's about politics .D's z too big for dem

  • @mscantraah8210
    @mscantraah8210 4 роки тому

    Ni kuomba mungu sn

  • @siyatkhanyare8490
    @siyatkhanyare8490 4 роки тому

    Zuhura Hasan,mwanahabari mpekuzi wapi lakini? Tell her back to studio......BBC kiswahili my news channel ❣️❣️❣️❣️❣️💯💯💯💯

  • @saidahamisi6404
    @saidahamisi6404 4 роки тому +3

    Allah pekee

  • @jimmykabila4163
    @jimmykabila4163 4 роки тому +5

    Jamani mpishi wa mjomba Trump alimupa vitu gani mpaka achaganikiwe kiasi icho hum?

  • @lazarowilliam7202
    @lazarowilliam7202 4 роки тому +4

    Kila kitu chenye mwanzo lazma kiwe na mwisho... Covid19 imekaribia mwisho.. sante bbc swahili kwa habari

  • @raymondlaurent2473
    @raymondlaurent2473 4 роки тому +1

    Pia natamani kumsikia mtangazaji Chama Omar Matata

  • @sammysammy2001
    @sammysammy2001 4 роки тому +1

    Hio chanjo wajipime wenyewe kwanza

  • @jimmykabila4163
    @jimmykabila4163 4 роки тому +1

    Awa singe tukianza kuwala watapotea nanja tunayo ya corona

  • @bnussrahlimsantah3730
    @bnussrahlimsantah3730 4 роки тому

    Jamani huyu salim kikeke yuko wapi jjamani, mtangazaji wetu mzuri Allah amusuru nahali alipo jamani

  • @aliashur8340
    @aliashur8340 4 роки тому

    Tuko Pamoja na idhaa ya kiswahili ya BBC London

  • @jonathanemanuel995
    @jonathanemanuel995 4 роки тому +3

    Hatuna budi kupata adhabu hizo kama magonjwa na nzige ni Mapigo kwetu kwani tumemkosea MUNGU

    • @mursalseleman2174
      @mursalseleman2174 4 роки тому

      Ni kweli kabisa yaan hakuna kupata shida ya kujua tatzo nin zaidi mwanadam kujisahau ktk maovu hapo tunakumbushwa na mweny akili ataelewa cha kufanya

    • @sweetylove9918
      @sweetylove9918 4 роки тому +1

      Umeona ee tupunguze kutenda dhambi manaa dunia imejaa wasenge nawabakaji kupitakiasi. Allah anatuadhibu namnahii naukikaa namvuta sigara basi msovuta mtauoata moshi tu.

  • @princenyakurungwi6925
    @princenyakurungwi6925 4 роки тому +1

    Mbona hawa nzige kila siku africa tu

    • @wizydeko1496
      @wizydeko1496 4 роки тому

      Ata me nashangaa afu sijui wametokea wapi kama wana uwezo wa kuku kwa siku kuzaana unazani watashindwa nzige

    • @wahidashabaz5982
      @wahidashabaz5982 4 роки тому

      Afrika tuna ardh nzur ya chakul hali nzuri ya hewa sasa wasiotupenda wanajitahidi kutufanyia visa vya kila aina hao nzige ni visa tu vyawasiotupenda

    • @margarethmwampondele7858
      @margarethmwampondele7858 4 роки тому

      Ni mboga nzuri

  • @omarjumanne6744
    @omarjumanne6744 4 роки тому

    Bero rombani kiswahili kizuri sana

  • @hamimuabdoulmasoud7579
    @hamimuabdoulmasoud7579 4 роки тому

    hongela kwa kungunduwa dawa ya corona

    • @abusaeed9037
      @abusaeed9037 4 роки тому

      Hamimu Abdoul Masoud hongera sio hongela

    • @yeasrmsafi7152
      @yeasrmsafi7152 4 роки тому

      @@abusaeed9037 so umepata faida gani

  • @raphaeldavid356
    @raphaeldavid356 4 роки тому +3

    Mtuache na nchi yetu TANZANIA ugonjwa upo kwenu huko hatupendagi shobo

  • @shukurukesi3246
    @shukurukesi3246 4 роки тому +3

    Hawa nzige wametumw au

    • @souvenirweber7169
      @souvenirweber7169 4 роки тому +1

      Tuko nyakati za mwisho ni muda wa kutubu

    • @emanuelgavile7474
      @emanuelgavile7474 4 роки тому

      Hahahaah shukuru apa ni bampa tu bampa manina toa corona weka nzige

    • @mamateddy5938
      @mamateddy5938 4 роки тому +1

      @@emanuelgavile7474 Hizi dalili zote ni fursa ya kumrudia Mungu. Au kwa lugha nyingine hii ni nafasi ya kurejea kwake aliyetuumba tuache ubishi mwisho umekaribia mno

    • @emanuelgavile7474
      @emanuelgavile7474 4 роки тому

      @@mamateddy5938 naamini ndugu

  • @rahimmembi6161
    @rahimmembi6161 4 роки тому +12

    Like za kutosha....!!!

  • @ramakassimu7733
    @ramakassimu7733 4 роки тому +4

    Mtuache huku Tanzania.... hii haituhusu ni adhabu ya watu jeuri kwa Mungu

    • @mohamedkiyungi4867
      @mohamedkiyungi4867 4 роки тому +2

      Tanzania maambukizi yaongezeka ghafra baada ya kutumia vifaa vya misaada kutoka kwa wafadhili tuna wasiwasi hao wanao tulaumu wanaweza kua wana agenda ya siri si unajua Tanzania ni nchi tajiri sana wa madini

    • @ramakassimu7733
      @ramakassimu7733 4 роки тому

      @@mohamedkiyungi4867 kweli kabisa ndugu yangu hawatupendi nasi hatutatumia tena vifaa vyao

  • @salumnakauka5355
    @salumnakauka5355 4 роки тому +3

    Tuache tu kila mmoja/nchi ipambane na Covid 19 kwa namna yake.Kila nafsi lazima itakufa.Allah atunusuru.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 4 роки тому +4

    Trump akili hana atasaidiaje Afrika wakat yy kwake watu 50000 wanakufa kıla sıku
    watz wenzangu tuachane na hawao wayahud hawatutakii memaa haoo

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 4 роки тому +3

    WHO wanatumiwa na China,lakini kwa Magufuri hawataweza,

  • @petermugo9752
    @petermugo9752 4 роки тому

    Shukran Kwa habari

  • @fassmanasenga9647
    @fassmanasenga9647 4 роки тому +3

    TANZANIA WAMEPONA 37
    MBONA HILO HAMTANGAZI, BADALA YAKE MKO KWENYE 200 TU??

  • @amitkumarkara764
    @amitkumarkara764 4 роки тому +1

    Tanzania wanaficha idadi, Leo no Siku ya 4 hawajarekebisha idadi (updates) 284 ilikuwa imeshazidi mpaka Jana...

    • @manenosaidi8763
      @manenosaidi8763 4 роки тому

      Hii sio kaz yako. Iachie wizara

    • @rashidimganwa7606
      @rashidimganwa7606 4 роки тому

      Kwako kuna mgonjwa ?

    • @amitkumarkara764
      @amitkumarkara764 4 роки тому +1

      Sasa wewe haujasikia kuna watu wamekimbia kutoka hospitalini na covid 19 positive? Au na ww unatetea bado usomeshwe uongo?

    • @ramseyhusseinkhamis8258
      @ramseyhusseinkhamis8258 4 роки тому +1

      Wewe amitkumar si mzalendo kwasababu hatajinalako linaonesho!

    • @saidnatunga9894
      @saidnatunga9894 4 роки тому

      Mbona 34 waliopona Tz BBC hawajawatangaza?

  • @ndayishimiyefloridetimu1082
    @ndayishimiyefloridetimu1082 4 роки тому

    Akuna maumbikizi tena

  • @moshaomary4304
    @moshaomary4304 4 роки тому +1

    Dada uko vizuri achananao wanafki ,wasio jua kiswahili ndio wanapata tabu .

  • @brunopeter7384
    @brunopeter7384 4 роки тому +3

    Tanzania mtuache sisi tumemkabidhi Mungu mambo yetu .....hawezi kukurupuka

  • @sallymartim2668
    @sallymartim2668 4 роки тому

    Uhuru must cry to God ,God to heal his county Kenya,

  • @nessa4899
    @nessa4899 4 роки тому

    Tanzania tumejipanga kwa njia zote. Magufuli anajitahidi sana ku control korona please msipende kuharibu majina ya ma rais wa Africa pale wanapo onyesha kuji tambua. Mkafanya kama Mugabe na Gaddafi. Magufuli wa Tanzania tuna mpenda. Tena mkome kumuingilia hovyo.Tangazeni mazuri alio fanya ku control.

  • @davidpetro1637
    @davidpetro1637 4 роки тому +5

    kila nafsi itaonja umahuti ata kama sio kwa corona ..mtuache na tanzania yetu ....

  • @magesasamwel4689
    @magesasamwel4689 4 роки тому

    Mwaka wa majanga huu

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul1701 4 роки тому +1

    Raisi wa Pakistan Imran Khan ni Simba wa ulimwengu

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 4 роки тому +5

    tz wanapona hamtangazi ndıo bongo zozo anasema dawa ya korona ni kuzma simu na kutokuangalia vyombo vya habar maaana hawasemi +
    kila cku _ tu .

  • @almassylivester4691
    @almassylivester4691 4 роки тому +1

    twende hivyohivyo tutafika tu

  • @adrianpaul257
    @adrianpaul257 4 роки тому +5

    Mtaipata tu hiyo chanjo na hii ni baada ya kusikia Madagascar imegundua dawa .

    • @rukiaaisu2309
      @rukiaaisu2309 4 роки тому

      Kabisa yani wajinga kweli yani

    • @mariammussa2540
      @mariammussa2540 4 роки тому

      Watanzania tunyinywee hii ya waafrika wenzetu kutoka Madagascar

  • @alainteras2520
    @alainteras2520 4 роки тому +2

    🙏🏻😔

  • @ronnoxgen4154
    @ronnoxgen4154 4 роки тому

    Mbona hamtangazi walio pona wanga wakubwa nyie mtoke tanzania

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 4 роки тому +3

    Wa kwanza NAWAKILISHA DEIRA NA BANIYAS

    • @alhajikibara8500
      @alhajikibara8500 4 роки тому

      Arusha kuna mgonjwa amekufa jana mount meru hospital na hakupewa huduma inayo stahili na alikua akiiahiwa pumzi na walijua ni dalili kubwa ya corona inaskitisha sana wauguzi walikua wakimkimbia yote tunajua na taarifa zao tutazitoa ili watanzania wajue