BBC DIRA YA DUNIA ALHAMISI 02.04.2020

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Na Salim Kikeke

КОМЕНТАРІ • 88

  • @dominicktemba5848
    @dominicktemba5848 4 роки тому +5

    Asanten kwa taarifa BBC, mnajitoa mno, God bless you.

  • @christophersaimon4398
    @christophersaimon4398 4 роки тому +12

    asanteni.bbc.kwa tarifa moto

  • @samonlinetv6106
    @samonlinetv6106 4 роки тому

    Asanteni kwa taarifa murwa,,,Mwenyezi tujalie ufahamu tujue sababu ya huu mtihani ili tufaulu,,maana hakuna mjuzi zaidi yako,,,asante pia bint Machibya kwa sauti yenye mvuto wa aina yake,,Mwenyezi tuhurumie kwa Rehema yako...

  • @ludobudege1662
    @ludobudege1662 4 роки тому +1

    Salimu kikeke tunashukuru sana kwa habari zako ila doctor umemkatisha kuna jambo alikuwa anataka kulisema tunakuomba umtafute tena tumsikilize ni mtanzania mwenzetu uyo atupe maelekezo zaidi tupate kujifunza ugonjwa huu dokta tunampa pole mungu atamsaidia atapona

  • @Splkevin8026
    @Splkevin8026 4 роки тому

    Mungu ndo Anatikiwa kufanya kazi yake Asente BBC kwa Habari nzur

  • @salimmohamedsalim4448
    @salimmohamedsalim4448 4 роки тому +23

    Mungu atustiri na hili janga la corona.. Insha Allah

  • @ramadhanisalum148
    @ramadhanisalum148 4 роки тому +10

    Mungu inusulu dunia yako., hili janga hakika we ndo jbu tosha tunajua corona si kitu kwako.

  • @bennmasseri5647
    @bennmasseri5647 4 роки тому

    Mungu atusaidie dunia Yote

  • @simonphabiano9050
    @simonphabiano9050 4 роки тому +2

    BBC mko vizuri sana

  • @allyahmed4014
    @allyahmed4014 4 роки тому +1

    Kupitia hili tujue Allah yuu muweza na yupo

  • @mscantraah8210
    @mscantraah8210 4 роки тому

    Twashukuru Allah tume amka salama Alhamdulillah 🤲

  • @aliashur8340
    @aliashur8340 4 роки тому +1

    Shukn Bbc kwa kutuelimisha kwa kujikinga na mlipuko wa Corona

  • @mohamedalaraimi6813
    @mohamedalaraimi6813 4 роки тому

    Dr. Hamza mungu atakupa afuweni utarudi kazini Inshaalah

  • @jamesmahatane2723
    @jamesmahatane2723 4 роки тому

    From Tanzania lakini eeh mwenyezi mungu congo itazame maana ina magonjwa mengi bado M23 na mengine mengi mungu wasaidie ndugu zetu

  • @cholakuany5989
    @cholakuany5989 4 роки тому

    Dawa kama Fisherman's Friend may help....maybe...just a suggestion

  • @bujsaudaselemani5562
    @bujsaudaselemani5562 4 роки тому +2

    Allah atuwekeye wepesi

  • @haidaromar2079
    @haidaromar2079 4 роки тому +1

    Daaaah mungu awasaidie DRC

  • @mutalemwagabrie9791
    @mutalemwagabrie9791 4 роки тому +3

    Daaah Salim ninakuombea ubaki salama kwa jina la yesu😭😭

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki8105 4 роки тому +10

    Salim doctor alikuwa anataka kufunguka lakini wewe una mrusha rusha mtafutie kipindi ili afunguke kipo kitu cha kujifunza hapo!!

  • @abdulkabarundi6015
    @abdulkabarundi6015 4 роки тому

    Yani BBC ina ongelea habali za Kenya na Tanzania Tu Burundi uta fikili haipo kwenye olodha ya ichi za Masha liki

  • @abdirizackalielmi6981
    @abdirizackalielmi6981 4 роки тому

    sina la kusema ,,,ahsanteni

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 4 роки тому

    Kaka salim nahis haupo ok. Mungu tusamehe tuondolee haya maradhi.

  • @trophainamagogwa7966
    @trophainamagogwa7966 4 роки тому +4

    Kusali tu ndo njia ya kupona mengine ni uongo

  • @dusturhalaqa
    @dusturhalaqa 4 роки тому +8

    Mbona hamuiongelei Burundi!!!😭

  • @mickeytv3691
    @mickeytv3691 4 роки тому +2

    BBC mmekuwa pamoja na ss katika kutujuza 2nashukur

  • @NancyMwaibula7634
    @NancyMwaibula7634 4 роки тому

    Mnaonyesha maeneo ambayo hayapo vizuri kimuonekano, aah tafadhali mnatudhalilisha Afrika bana misijapenda kabisa

  • @agneslohay4026
    @agneslohay4026 4 роки тому

    Eeh Mungu tunaomba uokozi wako jmn kupitia kwa mwanao yesu kristo

    • @askkongl6821
      @askkongl6821 4 роки тому

      agnes lohay Mungu hajazaa wala hakuzaliwa kwahivyo hana mtoto

  • @ZainabJolie
    @ZainabJolie 4 роки тому +6

    Bbc leo imevurugwa😁

  • @habaritv6364
    @habaritv6364 4 роки тому +2

    MUNGU ATUPIGANIE!! Nimefurahi sana nilipogindua Mahubiri Tv kwenye UA-cam

  • @mgoiink4739
    @mgoiink4739 4 роки тому +3

    Tuwe pole

  • @rajabuhassani1105
    @rajabuhassani1105 4 роки тому +1

    mungu tunusuru

  • @patrickmulamboruhurumba4639
    @patrickmulamboruhurumba4639 4 роки тому +8

    Pole Sana nchi yangu DRC Ebola, surua, Adf, M23, Sasa Corona eee Mungu tuokowe

  • @ndashimyeemmanuel7481
    @ndashimyeemmanuel7481 4 роки тому +2

    Tumuombe mungu atujalie

  • @yakobomakoye3049
    @yakobomakoye3049 4 роки тому

    Watu wa paul kagame wavumilie tu kwa kipindi kigmu hiki

  • @thestudent1541
    @thestudent1541 4 роки тому +3

    Mimi nashanga sana mukionesha Africa kusini munaonesha tu maeneo hovyo lkn inchi ina sehemu bola nyingi tu... Vp lengo kubwa???

    • @dismasmmasi2657
      @dismasmmasi2657 4 роки тому +1

      Hakurusiwi kutoka njee

    • @NancyMwaibula7634
      @NancyMwaibula7634 4 роки тому +1

      Yaan Mimi najiuliza sana sipendi kabisa wanatudhalilisha watu weusi daah

    • @thestudent1541
      @thestudent1541 4 роки тому

      @@NancyMwaibula7634 . Nikweli bhana mm naishi hapa Africa kusini kuna sehemu nyingi bola tena bola sana lkn hawazioneshi... Talifa zawo barani Africa in kudhalilisha Africa tu... Vp lengo ?

  • @huseinmudy4134
    @huseinmudy4134 4 роки тому

    kikeke doctor atafutiwe kipindi tupate faida zaidi

  • @mussakiula7481
    @mussakiula7481 4 роки тому

    Allah atusaidie, maana hadi kikeke inaonyesha kabisa hayupo sawa

    • @dismasmmasi2657
      @dismasmmasi2657 4 роки тому

      Hawezi kuwa sawa kila muda anaona watu wapoteza maisha yaani kazi yake ni kutaja idadi ya maiti

  • @shaulytv3525
    @shaulytv3525 4 роки тому +4

    Why Zanzibar is silence for information

  • @arnhemzuid8885
    @arnhemzuid8885 4 роки тому

    Machungwa na citrus fruits nyingineyana vitamin c kwa wingi hivyo husaidia kuongeza Kinga mwilini.

  • @marryyohana89
    @marryyohana89 4 роки тому

    Mungu hatusitili jam

  • @shaulytv3525
    @shaulytv3525 4 роки тому +2

    Mbona ZANZIBAR hatuisikii et

    • @seifmohamed836
      @seifmohamed836 4 роки тому

      kwani zanzbr ni nchi ama nimkoa kwenye sehem ya tanzania 😂

    • @judithnyaitondi4592
      @judithnyaitondi4592 4 роки тому

      Ulisha ambiwa tanzania na zanje ni kisiwa kilichopo tz sasa unataka wataje jenz kiaje au zenj imekua nchi sikuiz

    • @abdulkadirali927
      @abdulkadirali927 4 роки тому

      Jamani baada ya kumuomba Allah atuondoshee maradhi haya nyinyi ndio kwanza mnazungumzia zanzibar sio nchi sijui mkoa haina haja ya kuangalia nchi au mkoa kwa sasa nikumuomba Allah tu atuondoshee balaa hili jamani

    • @mwakamosi5720
      @mwakamosi5720 4 роки тому

      Zanzibar kila kitu wanafanya kisiasa siasa tu

  • @cholakuany5989
    @cholakuany5989 4 роки тому

    Wenzangu, ugonjwa hi ni hatari. Si mchezo...and I do not work in health department. Imagine how our doctors and nurses and those connected to public health feel. Please, let us help them by obeying simple principles like SOCIAL DISTANCING...Please, stay at home unless you really need to go outside. If you have a girlfriend or boyfriend next door or across the city...now is the time to hold those urges. No one ever dies for not having sex but Coronavirus may kill you. Please, be careful...

  • @agnessestoni5631
    @agnessestoni5631 4 роки тому

    Yani China inafufua mambo alafu inashindwa kutafuta Dawa yakutibu 😓😓😓😓 Mambo yakijinga sana kujitia upelelezi mwingi nauchunguzi mwingi alafu mnashindwa kutibu Janga

  • @jaydacosta3849
    @jaydacosta3849 4 роки тому

    Kuna nchi ya Africa mashariki hatupati habari yake inchi ya Burundi

  • @nabii-zc1hm
    @nabii-zc1hm 4 роки тому +1

    What is wrong with DRC every desease is theirs

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 4 роки тому

    UK=ENGLAND??