Tanzania kunavipaji Vingi sana tatizo wizara inayosimamia michezo na aina ya viongozi wajuu wanaisimamia michezo mtamjua tu mwakinyo anamataka mswahili myweathwer
Huyu Hasan, ni nani? Watanza nia tunao mabondia ambao tunawatambua. Huyu hasani ni nani?. Na amepelekwaje huko uingeleza. Mnasema kuwa anapepelusha bendela ya Tanzania. Natia shaka hapa. He viongozi was masumbwi hapa Tanzania wanatambua kuwa wamempeleka huyu hasani kupambani uingeleza?.
Kwaiyo ww ni Nan !! Ambaye unataka akutaarifu adi alipo fikia hapo amepenya maana Foren kama watu kama nyiny mnge mdundisha...Ata mim napeperusha bendera je ! Unataka kujua mim ni Nan..Acha bifu..
+SHEMAHONGE Hujanielewa nilichomaanisha!?. Namanisha hivi, mabondia wa Tanzania tunawajua. Je, nayeye ni miongoni mwa mabondia was Tanzania. Na je , hayo mashindano anayofanya huko wingeleza yamelatibiwa na viongozi was masumbwi hapa Tanzania?. Sina bifu brow, kwanza mimi simpiganaji.!
Hongera BBC suluma kassim penda sana wewe mansha Allah
ongera sana mr salim kikeke uko makini sana, wew ni nyota ktk kundi la watangazaji wa BBC swahili Mungu azidi kukutia nguvu na kukuimarisha zaidi .
Poleni sana huko Nigeria kwa mripuko was gesi, lakini waziri was nishati usirifumbie macho
Hongera bbc swahili kwa tarifa ya dunia
Amen Amen Barikiwa hasan. Urusi tunaitaji amani siyo silaa za mangamizi. Amen.
Hasan uko vizuri sn kwenye kujieleza.Bigup broo
Great keekee,bbc redio ya mazaa
Tatizo la mabondia wengi wa Afrika/Tanzania hua wanachukua Hongo na kuuza PAMBANO. lakini wingi wao wapo vizuri....
Hatutaki vita za kutumia siraha, kama wanataka vita wapewe uwanja waonyeshane ubavu tu hiyo ndiyo vita sahihi, wasituchafulie Dunia yetu.
Hassan hongera sana kwa kutuwakilisha Tanzania.
Hongera sana bondia ila usibadilishe uraia kama wenzio baada ya kufanikiwa
Utauliwa ww salime usijaribu ili 😂😂😂 n izo ngumu zako
Safi sana urusi fanyeni mumdondoshe bilisi marekani
Hongera mwakinyo tizi kali ushindi lazima
Hongera kwa kushinda
hongera kwa mwakinye kwa ushindi mzuri
Hongera bbc
PONGEZI SHUJAA PUTIN FANYENI MAZOWEZI KBS
BBC naipenda xana jmn kwani habari zake ziko poa xana pia kaka kikeke na kkubali xana
BBC CONGRATULATIONS
Zamu y china kutawala dunia.marekani akianzisha vita ndo baibai.kuwa jogoo wa dunia.
Kikee! Hebu japo kiduchu tuonyeshe alivo mdunda jamaa!!😁
Mwaka moja uliopita
kweli Hasan serikali ya tz hawathamini wanamichezo labda saivi ndio watajitokeza baada ya ushindi
NAITWA SOLOMON MATHEW! NIPO DARESALAAM TANZANIA , NAMUULIZIA MTANGAJI WA ZAMANI WA BBC , WAZIRI HAMSINI YUKO WAPI SIKU HIZI?
Fanyeni hivo trump atulie
Urusi fanyeni hivo Trump atulie
Urusi ndo habari ya mjini
Marekani hata weza
Ndondi unaweza salim
asanteni Tim ya BBC kwa matangazo yenu tuko pamoj
Tanzania kunavipaji Vingi sana tatizo wizara inayosimamia michezo na aina ya viongozi wajuu wanaisimamia michezo mtamjua tu mwakinyo anamataka mswahili myweathwer
Yaani kumchana Muingeraza nybani.kwake mkaka una mbwembwe ww BBC siachi
Mm pamoja na urusi
safi sana
Flord myweather atakuua ebu taratbu kwanza jipe mda
andrew mgoyo Dogo yupo fit hakuna cha nani wala nani
Bd rafk yangu bd taifa linamhitaji atutangaze vzr maake huku kwny mpra limechacha km penzi la lava lava
wewe bondia unafaa komaa zaidi utupaishe watanzani na afrika zima
Huyu Hasan, ni nani? Watanza nia tunao mabondia ambao tunawatambua. Huyu hasani ni nani?. Na amepelekwaje huko uingeleza. Mnasema kuwa anapepelusha bendela ya Tanzania. Natia shaka hapa. He viongozi was masumbwi hapa Tanzania wanatambua kuwa wamempeleka huyu hasani kupambani uingeleza?.
Wacha bifuu braza dogo yuko sawa ww ulikuwa wamtaka yupi
Kwaiyo ww ni Nan !! Ambaye unataka akutaarifu adi alipo fikia hapo amepenya maana Foren kama watu kama nyiny mnge mdundisha...Ata mim napeperusha bendera je ! Unataka kujua mim ni Nan..Acha bifu..
+SHEMAHONGE Hujanielewa nilichomaanisha!?. Namanisha hivi, mabondia wa Tanzania tunawajua. Je, nayeye ni miongoni mwa mabondia was Tanzania. Na je , hayo mashindano anayofanya huko wingeleza yamelatibiwa na viongozi was masumbwi hapa Tanzania?.
Sina bifu brow, kwanza mimi simpiganaji.!
Hakuna kitu hapo USA ni taifa kubwa
USÁ ni taifa kubwa wizi mali za watu,hawana jengine
Hongera bbc swahili kwa tarifa ya dunia