Goma DRC: Juhudi za kutafuta amani, M23 wakiendelea na mashambulizi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025
  • Goma DRC: Juhudi za kidiplomasia zinaendelea kujaribu kuleta mapatano na kukomesha mapigano yanayoendelea kushuhudiwa mashariki mwa DRC, ambako waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wameuteka mji wa Goma na wanaripotiwa kuelekea kusini kutwaa maeneo zaidi. Rais Tshisekedi ameahidi kwamba vikosi vyake vitaanzisha mashambulizi makali dhidi ya M23 - na kuongeza kuwa jumuiya ya kimataifa haichukui hatua za kutosha kuwakomesha waasi hao.

КОМЕНТАРІ • 51

  • @fundiibrahimbilali1922
    @fundiibrahimbilali1922 7 днів тому +6

    Mr president take action please

  • @sabuscriber
    @sabuscriber 2 дні тому

    ,;😢😢😢 poleni sana

  • @eatlawe
    @eatlawe 3 дні тому +1

    UNAFIKI WA DUNIA!

  • @joycemassawe1072
    @joycemassawe1072 7 днів тому +4

    EAC and SADC Tafuten aman juu ya CONGO

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 6 днів тому +3

    Uraisi sio Dili Yani huyu Sasa anakunywa amesimama

  • @justinmwenda7449
    @justinmwenda7449 6 днів тому +1

    BBC ...NDIO WALEWALE

  • @mwema5009
    @mwema5009 7 днів тому +3

    Kisekedi ni muongo hana kitu atafanya amesema hiyo kila kucha .waasi walikua bado wamebana Bunagana mpaka leo goma imetekwa ni msafari huyu😅😅

  • @MatikoTopiwo
    @MatikoTopiwo 7 днів тому +1

    Poleni xanaa wa Kongo

  • @Majiifande
    @Majiifande 6 днів тому +1

    Ila katika siasa huwa hakuna bahati mbaya, kila kitu kinapangwa

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 7 днів тому +1

    Hawa waasi ni hatari sana.. awana huruma na wanawake na watoto na watu wazee?. Dunia ingilieni vita hivi vya Afrika. Waasi kuweni na hofu ya Mungu mkuu kwa matendo yenu.

  • @OkediStephane
    @OkediStephane 5 днів тому

    Tuna wafata DRC mungu atuleteye amani

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 7 днів тому +1

    Bbc ndiyo ovyo sana

  • @BritonNdishi-g6o
    @BritonNdishi-g6o 7 днів тому +1

    Kongo inaonewa kagame kagame acha chuki acha Vita Mungu atakulaani

  • @JonathanNelson-l8h
    @JonathanNelson-l8h 7 днів тому +1

    Mtu anapochukua sehemu ya nchi yako ni sawa na kuchukua utu wako jeshi la congo ni dhaifu sana ni bora nife vitani kutetea nchi yangu😢

  • @PETERKAJANA-q3f
    @PETERKAJANA-q3f 7 днів тому +1

    Kwann mnasema M23 inaungwa mkoni na Rwanda wakati Rais wa Rwanda anakanusha hadharan!? Je mnao ushahidi wa kujiridhisha kwa taarifa hiyo!?

    • @Majiifande
      @Majiifande 6 днів тому

      Hata mimi nahoji hilo

    • @QueenlizzyQueenlizzy
      @QueenlizzyQueenlizzy День тому

      Kukanusha hadharan haimaanish lakin tazama ndan ya hiyo vita hao waas wanapata wap supporting na ukichunguza zaid unaweza ona kuna network iliyotanda hapo kwamba hata hao wa rwanda kuna shinikikizo au kuna support wanaipata another sid all in all waangalie foreigner wajao nchin hapo

  • @BahatiStephano-n7c
    @BahatiStephano-n7c 4 дні тому

    serekaliyakongo hawafai hatakidogo

  • @atkentravelafrica4361
    @atkentravelafrica4361 6 днів тому

    Hawa M23 wanatoka wapi! Naona Mzee kagame kakanusha kuwa sio wa Rwanda.

  • @sabuscriber
    @sabuscriber 2 дні тому

    kuba bake

  • @PascalBAHATIMAYELE
    @PascalBAHATIMAYELE 5 днів тому

    Sisi kama wa congo tuna uamuzi kwa ichi yetu kaname ni muhasi kwetu umoja wa ect africa hauta sema lolote kwetu

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln 6 днів тому

    Rwanda inatengenezwa iwe kama izrael kujitanulia maeneo kwa manufaa ya wamarekani na England na magharibi yote

  • @florencenyaremezo6152
    @florencenyaremezo6152 6 днів тому

    Congo ikesema m23 wana saidiwa na rwanda wao wanasaidiwa naincho ngapi?

  • @amedeonfikiri3181
    @amedeonfikiri3181 6 днів тому

    Ces vidéos ne sont pas téléchargée ?
    C'est un souci déjà

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 6 днів тому

    HAWA WAAS WAMEZALIWA NANANI?? HAWANA HATA HURUMA NA MAM MA NA WATOTO.WAOMBE MUNGU AWAPE HATA MSHIPA WA HOF YA MUNGU.

  • @YorandaBonephas
    @YorandaBonephas 6 днів тому

    Sasa kwanini wanamnganganiza kagame je wanaushaidi wakujitoshereza?

  • @Majiifande
    @Majiifande 6 днів тому

    Nchi ya Congo, amueni kujilinda,

  • @Majiifande
    @Majiifande 6 днів тому

    Au mnamwandama tu Kagame?

  • @florencenyaremezo6152
    @florencenyaremezo6152 6 днів тому

    M23 niwa congomani niwatoto wamerudi kwao acheni mambo mengi

    • @InsidetherevolutionaryMind-q3v
      @InsidetherevolutionaryMind-q3v 6 днів тому

      Mtoto gani anaye rudi na bunduki mkononi nyumbani, jizi ao ni majambazi vibaraka wa mabeberu.

    • @yudachelango6824
      @yudachelango6824 6 днів тому

      ​@@InsidetherevolutionaryMind-q3vna wale vijana waliochinjwa na waziri walikuwa ni wageni. Tatizo Kongo ni wapumbavu na wabinafsi ndo maana mnauwana wenyewe Kwa wenyewe

    • @InsidetherevolutionaryMind-q3v
      @InsidetherevolutionaryMind-q3v 5 днів тому

      @@yudachelango6824 tatizo waafrica tunaamini sana tarifa za mitandaoni bila kufanya research, uyo waziri alipo wauwa hao watoto uliona ao ulihadithiwa tuu na media.

  • @BritonNdishi-g6o
    @BritonNdishi-g6o 7 днів тому

    Tanzania tuwasaidie wakongo wanaonewa na kagame jamani viongozi saidie nchi ya kongo hata kama ni wanyonge,Mh, Rais Samia saidia kongo Mungu akuinue

    • @ZurehaMiraji
      @ZurehaMiraji 6 днів тому

      Wakongo wahurumiane na waache kuuwana wenyewe kwa wenyewe

  • @Majiifande
    @Majiifande 6 днів тому

    Ukweli ni upi hasa?? M23 ni Wanyarwanda au Wakongo? BBC msiwe na upendeleo, vinginevyo huu ni mchezo.

  • @christineangoro1097
    @christineangoro1097 6 днів тому

    lakini nyinyi wakongo mtenda jambo mbaya na mungu atawalipa mapolisi na huyo rais atakufa vibaya sana

  • @RomeoJose-yp2zw
    @RomeoJose-yp2zw 4 дні тому

    tanzania troops are hostage by m23 if u dont know

  • @dazyanck927
    @dazyanck927 6 днів тому

    Hakutakuwa amani congo yetu kwakutegemea mazungumzo pasipo kuipigania inchi yetu wenyewe. Raisi kama anaipenda inchi na rahia wake atowe uhamzi mmoja.
    Kwamaana tumezaliwa katika vita nakuzaa pia tukiwa ukibizini nabado tuna tegemea mazumzo

    • @chandabai366
      @chandabai366 2 дні тому

      Kama hali hii itaendelea basi naona m23 wakiiteka nchi nzima ya congo.

  • @TimotheoElias-r3f
    @TimotheoElias-r3f 7 днів тому

    Ndugu zetu wa congo kaeni mezamoja kumaliza mgogolowenu lisas pekeake hizta maliza mzozo wenu

  • @mariedelarie873
    @mariedelarie873 7 днів тому

    Jomoni mtangazaji unaongea Utumbo kagame kaongea ukweli wazalendo siyo wanyarwanda bali niwa congomani,pakiwa mnyarwanda umoja ru mnaanza kusema eti M23 niwanyarwanda kumanina zenu

  • @KalalaErick-n7d
    @KalalaErick-n7d 6 днів тому

    Ningekuwa rais wacongo BBC ningeifungia isifanye kazi inchini congo, watu wa bbc niwajinga sana, taarifa zenu zaurofa zakuaibisha inchi yacongo, eti amani imeanza kurejea na m23 wakishikiria mji, kwaiyo munatwambia wahasi wanaleta amani kuliko serekali ya inch, muwe munaacha kutangaza Mambo yaivo

    • @yudachelango6824
      @yudachelango6824 6 днів тому

      Wananchi wenyewe wanasema amani imerejea na wanarudi sasa wewe unalaumu BBC ndo wanarudisha hadi hao wakimbizi? Acha ujinga

  • @NTAGANIRAEugene-v6p
    @NTAGANIRAEugene-v6p 7 днів тому +1

    Hotuba ya cisekedi anakubari kuwa f d r r iko kongo kwanini aseme kagame ansaidiya m 23? Aache uginga uoga na uvivu wake arinde nchi yake