Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

YANGA NA SIMBA NI VIBONDE KWENYE MICHUANO YA KLABU BINGWA YA AFRIKA| IDADI ZA PIONTI NI NDOGO SANA.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 лип 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 22

  • @user-px1gd4de7k
    @user-px1gd4de7k Місяць тому

    Osca yuko sawa Ila Mwandishi umekosea Simba haianzi hatua ya awali, awali kwa lugha rahisi ni chekechea. Timu 3 ndio vibonde

  • @Damsonmwiga-t8q
    @Damsonmwiga-t8q Місяць тому

    Ujui chambua mpira wew cklza crown media upate maarifa kibonde cmba alie kombe la waliofel

  • @Sukuma_Tv
    @Sukuma_Tv Місяць тому

    Kama hawa ni vibonde na Gor mahia nao tunawaitaji huyu hajui mpira na ni mbabaixhaj na mpotoshaji xijuw kwann huwa anajixahau

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh Місяць тому

    Huyuuu oscar hajuiii kuchambuaaa mpilaa.chakufanuaaa huyuu tumuridisheeee darasa la 1 ajifunzeeee tenaaaa maaana anahalibuuu snaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂 hakijuiiii kuchambuaaaaa

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 Місяць тому

    Ondoka Acha Uongo MNAHAĹIBÙ WASAFI ĶWA KUIPENDELEA YAÑGA

  • @abubakarjuma443
    @abubakarjuma443 Місяць тому +1

    Osca Kwa huku umechemka owent Kila msim zipo babu

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba1402 Місяць тому

    Osca, akili Yako ndo imefikia mwisho apo

  • @michaelkamaghe5046
    @michaelkamaghe5046 Місяць тому +1

    Kaka hujui lolote Simba haianzi kama yanga Simba ni wakubwa sana

  • @user-hk2oz2eg4j
    @user-hk2oz2eg4j Місяць тому

    Kuna figisu zinafanyika kukwamisha juhudi zao. Usikurupuke kusema vibonde wakati mambo yanaonekana wazi wazi kua timu fulani ndizo zinazopangwa kushika nafasi za juu kwenye ligi hiyo. Kisha ww Kijana ukizungumza jambo lifanyie uchunguzi kwanza.

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t Місяць тому

    Hata simba wangekuwa ligi ya mabingwa wangeanzia hatua ya awali kutokana na tim zimepunguzwa za kuanzia hatua ya mwanzo badala ya 10 zimepunguzwa mpaka 5 sasa alaf kumbukeni shirikisho hata azam msim jana hakuanzia hatua ya awali japo azam hawakuwah kufika hata makundi. Simba ni kweli wamefanya vizur misim mitano ilo halina ubishi ila caf wanabadilisha sana mifumo yao ni bora ingebaki tu vile ilivyokuwa mwanzo top 10 wasingeanzia hatua za awali ila kwasas hata alioko nafasi ya 6 anaanzia priliminary😢😢😢😢

  • @aminamano775
    @aminamano775 Місяць тому +1

    We oscar huelewi chochote ngombe we

    • @JumaSaidi-xq7ui
      @JumaSaidi-xq7ui Місяць тому +1

      Anasema ukweli utopolo ni vibonde😂😂

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 Місяць тому

    Labda nikuulize swali,je,kwa kukosea huko na kushuka kiwango kwa simba unakupima kwa kutumia kigezo kipi? wakati kama robo ya club bingwa alifika na bado timu kubwa zimepigika hadi 6 na 7 kimataifa. Hebu uwe mkweli kwa kuzingatia data

  • @RaysonAlex-g3v
    @RaysonAlex-g3v Місяць тому

    Oscar wew huna akili unafanya kuongea kwa sifa hula lolote

  • @robertsalum1968
    @robertsalum1968 Місяць тому +4

    Oscar haujui lolote acha kudanganya watu mtafute mbwaduke akupe dalasa hulu

  • @boscoShama
    @boscoShama Місяць тому

    Oscar we mbwa hujui mpra

  • @petersikalumba608
    @petersikalumba608 Місяць тому

    Leo Oscar umechemsha dogo

  • @abdallahchungulu4439
    @abdallahchungulu4439 Місяць тому

    mmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhh

  • @user-zh1fd8zv1x
    @user-zh1fd8zv1x Місяць тому

    Oscar iko sahii

  • @petersikalumba608
    @petersikalumba608 Місяць тому

    Leo Osca umechemsha dogo