PART 1: BAADA YA MIAKA 3/ SIKUAMINI/NILIPOKUTANA NAE/ SIKATI TAMAA - LULU WA UCHUNGU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 96

  • @yjkbcdghjb
    @yjkbcdghjb 3 місяці тому +15

    Lulu una kipaji vingi moja wapo kuigiza, nyingine hata ungekuwa mtangazaji ukifanya vizuri maana una hekima ungekuwa unauliza watu maswali ya msingi sio hawa watangazaji . Ila hongera pia kikeke uko vizuri kwenye maswali manzuri. Hiki kipindi kinzuri sana Ila mtakiharibu mkianza kuwahoji watu ambao wahovyo kwenye jamii. Last Hongereni sana na Mungu awasimamie

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 3 місяці тому +13

    HUWA NAPENDA SANA INTERVIEW ZA LULU.NI KAMAMA CHENYE KUJIELEWA❤❤❤ ALLAH AKUTUNZEE.MSANII NAMBA ONE ANAEWEZA KUJBU MASWALI KWA UFASAHA
    .NA LAFUDHI YKE IKO VZURI UTASEMA SIO MCHAGA.HONGERA KWAKE

    • @esterMahenge
      @esterMahenge 3 місяці тому

      Kanaongea vizurii sana unapata na kitu cha kujifunza 😮

  • @witnesskessy9705
    @witnesskessy9705 3 місяці тому +11

    Waooo nafurai kujiunga na crown UA-cam chanel imetulia nawapata kwa utulivu nikiwa chalinze

  • @annaNyanda
    @annaNyanda 3 місяці тому +3

    Pongezu kubwa kwenu crown kipindi kizuri hongera pia kwa lulu Mungu aongoze hatua zako

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey 3 місяці тому +16

    Lulu ana kitu atafika mbali mi binafsi naona hekima na huwa ni mkweli Mungu ampe mwisho mwema ni mzuri wa sura kichwani ana kitu kikubwa apewe heshima yake

  • @jukaelyelisha6311
    @jukaelyelisha6311 3 місяці тому +2

    Wao I really appreciate Raisi wangu mama samia suluhu Hassan the way lulu anaelezea naona moyo mzuri wa Mama samia

  • @francofisinge137
    @francofisinge137 2 місяці тому +1

    Mungu akutunze nakuona kufika mbalia nakupenda sana

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 2 місяці тому +1

    walah nampenda mtangazaji wangu Salim Kikeke nafurahi kumsikiza tena

  • @bisengobubasha
    @bisengobubasha 3 місяці тому +12

    Napendaga the way unavyo jieleza, big up sana Elizabeth. Tume miss sana Bongo movies kwenye big platforms. However, Kama ulivyosema pole pole ndo mwendo. Mguu mmoja baada ya mwengine 💪🏾💪🏾🙌🏽💯❤️

  • @FaridaKaduguda
    @FaridaKaduguda 3 місяці тому +37

    Nachokiona lulu majizo anamfundisha baadhi ya vitu . Heshima kuchunga ulimi n.k. nahisi atakuja kupewa viti maalum huyu. Atakuja kuwa joketi part 2

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton8911 3 місяці тому +18

    Huyu mwanamke yuko matured sana

  • @MaryMichael-j1d
    @MaryMichael-j1d 4 дні тому

    Nampenda sana na kumkubali Lulu

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 3 місяці тому +2

    Thumb up 👍 Lulu...Hiyo Hali Sawa wanaitafsiri kivyengine Kuhusu kijinsia Asilimia Kubwa lakin sivyo inavyotakikana

  • @ZabibuSeif-pj3tr
    @ZabibuSeif-pj3tr 2 місяці тому +2

    Nampenda uyu dad jamn ❤❤❤

  • @sarah-um6vg
    @sarah-um6vg 3 місяці тому

    Great interview

  • @zenashida7288
    @zenashida7288 2 місяці тому

    Love much Lulu 💓💓💓💓

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb 3 місяці тому +2

    Kweli kodi za watanzania zinachezewa. Si kwa changamoto hizi zilizopo. Mahospitali hayana dawa, barabara ngo hizo, maji na umeme mtihani, mafuta, sukari, bei juu 😭😭😭 Mungu turehemu sana. Kwa hiyo bado safari yetu ni ndefu sana labda Mungu aingilie kati.

    • @joycemmari5843
      @joycemmari5843 2 місяці тому

      Mama anaupiga mwingi tuache😅😅

  • @MarryWariro
    @MarryWariro 2 місяці тому

    hongera Lili Mungu Akutunze

  • @irenesisamo2184
    @irenesisamo2184 3 місяці тому +12

    Wale tunaamini walioenda mwanzo ni cream tujuane 😂

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 3 місяці тому +2

    Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 😊

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 3 місяці тому +3

    Hii bahati kubwa kubwa mno mno hakuna Rais yeyote anawabeba kama Tanzania sasa kazi kwenu maana hii high light kwa kweli kwa hili hongera hongera Rais kipenzi hapa nakupa 100 percent maana hawa wasanii walitumika sana sasa mpata hiyo kazi ianze mara mojasio kesbo baadaye

  • @eshterjulius3408
    @eshterjulius3408 2 місяці тому

    Napenda sana huyu mdada anajitambua,anabusara

  • @Masokabya08
    @Masokabya08 3 місяці тому +2

    nakupenda bure mdogo wangu 👍

  • @juliusmoivana9844
    @juliusmoivana9844 3 місяці тому

    Lulu jamani mungu anakuona tangulini mwanamke na wanaume wawe Sawa ebu jiulize unaitwa Lulu Nani jibu unalo

  • @JulianaMbeyu
    @JulianaMbeyu 3 місяці тому +1

    Lulu mungu akubariki akufikishe hio hekima

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 3 місяці тому +4

    Uyu dada anajua kujibu maswali kiakili zaid anawashinda ad wakina wema

    • @DianaRichard-bu9tz
      @DianaRichard-bu9tz 5 днів тому

      Aaaah we lulu ni namba nyingine aiseee huwezi mlinganisha na kitu chochote

  • @arnhemzuid8885
    @arnhemzuid8885 3 місяці тому

    Hiyo 50 kwa 50 ni katika 5 Gender Issues: Elimu, Ajira, Kuhusishwa na Kushirikishwa katika kutoa maamuzi kuanzia ngazi ya familia mpaka nchi siyo tu kuwa wapokeaji na watekelezaji wa maamuzi, Utawala na Uongozi pamoja na kumiliki ( ardhi, uchumi etc) but tumetofautiana biologically.

  • @boscokikoti
    @boscokikoti 3 місяці тому +16

    Rekebisheni upande wa sauti...kuna kelele zinasikika...

    • @danielngove
      @danielngove 3 місяці тому +4

      Sio kelele thats background music...😂😂😂

    • @NibogoraLadouce
      @NibogoraLadouce 3 місяці тому +3

      Acha makasiriko ya maendeleo 😂😂😂😊

    • @AtukuzweGift0-kg1ns
      @AtukuzweGift0-kg1ns 2 місяці тому

      Ni simu yako dada😅😅Wala saut zipo sawa

    • @lee..8888
      @lee..8888 2 місяці тому

      Ili ni gubu sasa eh!!

  • @OmanSohar-d7z
    @OmanSohar-d7z 3 місяці тому +1

    😂😂😂😂waogo hao bana majigambo mengii tu😂😂😂tusubiry mange atusimuliye😂😂😂

    • @AROSFILMS
      @AROSFILMS 3 місяці тому

      Mange alikuepo Korea. Au ndio mungu unomuamini.

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 3 місяці тому

    Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @esterMahenge
    @esterMahenge 3 місяці тому

    Uyu atakuja pewa uongozi maana ana akili sanaa❤

  • @rehemakatundu7027
    @rehemakatundu7027 3 місяці тому +3

    Nampendaga sana lulu 🥰🥰

  • @najatramadhani6300
    @najatramadhani6300 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Lulu mashallah

  • @AziziMapunda-vt4nv
    @AziziMapunda-vt4nv 3 місяці тому

    Salimu like upo nimefulai😊

  • @SakinaJuma-n8u
    @SakinaJuma-n8u 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @janethngowi1058
    @janethngowi1058 3 місяці тому

    Napenda Lulu anavyojibu na kujieleza jamani

  • @TalaaAbdallah
    @TalaaAbdallah 3 місяці тому +1

    Lulu ni mfano wa kuigwa ongera my dear

  • @samkimweri5893
    @samkimweri5893 3 місяці тому

    ❤❤❤coool Elizabeth

  • @JonathanHogeri
    @JonathanHogeri 3 місяці тому

    Sauti Kuna kelele🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮

  • @TobiasJuma-zi8qm
    @TobiasJuma-zi8qm 2 місяці тому

    Lulu toka bado mdogo nkichea

  • @Sakinaamani-o1t
    @Sakinaamani-o1t 3 місяці тому

    Karibu nyumbani

  • @ramadhanmanzi661
    @ramadhanmanzi661 3 місяці тому +1

    🎉

  • @beatricekadzo5215
    @beatricekadzo5215 3 місяці тому

    nice

  • @lolamhanuzi410
    @lolamhanuzi410 3 місяці тому +2

    Alipo Lulu nipo, ninapenda unavyojieleza na majibu yako mazuri.

  • @aishaomary4498
    @aishaomary4498 3 місяці тому

    Rais akiiweza nchi nanyie mtaweza tu

  • @wasemavyotv7736
    @wasemavyotv7736 3 місяці тому +1

    Kumbhe hata katoto kaweza kujieleza eeeeeeee mh amekuwa

  • @alawimohd
    @alawimohd 3 місяці тому

    Salim kikeke ameanguka sana

  • @swaiseif2989
    @swaiseif2989 3 місяці тому +1

    Hapa ninyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @wapnewsTv
    @wapnewsTv 3 місяці тому

    Haasa😂

  • @shau78
    @shau78 3 місяці тому

    Lulu umependeza. hayo manywele ya bandia ni tatizo kidogo. wazo lakini. tupende uasili

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 місяці тому

    Hapa ni nyumbani

  • @dalilahmubago5131
    @dalilahmubago5131 2 місяці тому

    Kipindi kizuri.
    Msichanganye lugha. Kiswahili kiwe Kiswahili tu.

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 3 місяці тому

    Mmmmm???

  • @Tupena-ov7xq
    @Tupena-ov7xq 3 місяці тому

    Yaani huyu mwanamke aliua, hili haliwezi kufutika, watoto wake na vijukuu vitakuja kujua kua she is a killer

    • @MaryamaAlly
      @MaryamaAlly 3 місяці тому +2

      Wewe hujielewi itakua😮

    • @ministerkresensia7888
      @ministerkresensia7888 3 місяці тому +3

      How sure you're, vingine jitahid viishie kwenye mawazo yako it's not necessary kuonyesha unavyowaza kwa watu duu

    • @ShaymaaMlanza
      @ShaymaaMlanza 3 місяці тому

      Mwacheni atakuwa mwezi mchanga

    • @DevothaKilanzi
      @DevothaKilanzi 3 місяці тому +1

      Dishi limeyumba apelekwe milembe akarekebishwe.

    • @margaretnyamwilahila292
      @margaretnyamwilahila292 3 місяці тому +2

      Pole sana chuki yako haikusaidii hata!! Huyu bint atafika mbali sana. Big up Elizabeth.

  • @nadhifamustapha7557
    @nadhifamustapha7557 3 місяці тому

    Since way back alikua anajua kupangua maswali na sio mkurupukaji wa kujibu…japo unapokua na mtu makini anazidi kujuongezea maarifa@faridakaduguda

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 3 місяці тому

    Thumb up 👍 Lulu...Hiyo Hali Sawa wanaitafsiri kivyengine Kuhusu kijinsia Asilimia Kubwa lakin sivyo inavyotakikana

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey 3 місяці тому +1

    Lulu ana kitu atafika mbali mi binafsi naona hekima na huwa ni mkweli Mungu ampe mwisho mwema ni mzuri wa sura kichwani ana kitu kikubwa apewe heshima yake

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 3 місяці тому

    Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @RehemaMissinzo
    @RehemaMissinzo 3 місяці тому

    ❤❤❤❤

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey 3 місяці тому

    Lulu ana kitu atafika mbali mi binafsi naona hekima na huwa ni mkweli Mungu ampe mwisho mwema ni mzuri wa sura kichwani ana kitu kikubwa apewe heshima yake

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu 3 місяці тому

    ❤❤❤❤

  • @naibusanga9416
    @naibusanga9416 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @neemathomas2008
    @neemathomas2008 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey 3 місяці тому

    Lulu ana kitu atafika mbali mi binafsi naona hekima na huwa ni mkweli Mungu ampe mwisho mwema ni mzuri wa sura kichwani ana kitu kikubwa apewe heshima yake