Jamaa huyu Msigwa anatia aibu yaani anasurubishwa kama Samsoni kwa Wafilisit walipo faulu kujua sili ya nguvu zake kupitia Derila, wanamdhihaki lakini hajitambui aibu!
kituo cha police kwa pesa zake za mgao wa rasili mali za tanzania walizoziuza awam hii msukuma kawa nyoka wa nchi hii kisa tamaa ya mahela ya dhulma Mungu atawalipa kwa haya 😢
Msigwa unaendelea kuwafungua macho watanzania ni kweli tulitegemea demokrasia toka chadema lakini ni ufisadi mtupu akaunti ya chadema inasoma kenya kweli?
Unafiki ni igonjwa husio natiba.Msukuma unampenda Lissu.midomo yetu tuangalie yale ya Cuf ya Sharif Ahmad na Lipumba ndo mnayatemgeneza Chadema.nyi wachonganishi wa kibwa.
Ongeeni mambo yanayo husu wanachama wenu Lisu chadema Mlitaka kumuua leo mnajifanya mnampenda? Huu ni unaffiliated ulio pitiliza eti watu pia walivyo hawafikiri kwa makini hivi mmesahau Lisu sasahivi ni mlemavu nani kamtia ulemavu Mimi nikiangalia hawa CCM hatamtu akikuita CCM ni kama anakutukana
hata riasasi mlipigana wenyewe kwa wenyewe chadema mkamsingizia magu yani malaana sana wanachadema madhambi yenu mnasingizia magu Mungu hatowasameh hadi mtubie kwa Mungu na kwa wana nchi mliowapotosha wakawaamin
Msigwa msichana akiolewa hana stori za Baba yake na Mama yake wala ndugu yake kweni ndoa isikugombanishe na wakwenu,umeenda ili ufanikishe kuvunja ndoa ya wazazi wako huo ni ujinga,Jenga kwako my friend
Wewe ni shetani sio Paulo acha kumudhiaki mungu wewe umeshiwa sera Sasa wewe ukisimama unakosoa chadema wakati umeiacha Sasa inakuhusu nn ya chadema hata kama ni mafisadi hatuhami ngo'
helkopta ina beba watu wangapi? itawezekanaje kuwabeba wote kwenye helkopta moja?embu tusubiri kampeni zianze tuone ka ma ccm wote watakuwa wana panda helkopta
Msukuma nenda kwanza shule dalasa la saba africa tuko wajinga sana tena zaidi ya sana kumbe hata mkulima anaweza kuwa mbunge njoo marekani uone kama utapata hata ualimu subutu
Mimi binafsi nilikuwa Chadema lakini baada ya kubaini unafki wa Mbowe niliamua kurudi ccm ys MAMA SAMIA ANAUPIGA MWINGI TUNAONA MAENDELEO ANAYOYAFANYA.CCM OYEEER.MAMA SAMIA OYEERE.JUU JUU JUU ZAIDII.
Msukuma ulisema mnamlipa msigwa avuruge chadem
Msukuma Hana hoja ni porojo tu na mwenzake Msigwa
😢Njaa haina heshima kumbe umaskini ni dhambi. Msigwa anatia huruma sana kukisifia alichokipiga mateke siku zote.
Jamaa huyu Msigwa anatia aibu yaani anasurubishwa kama Samsoni kwa Wafilisit walipo faulu kujua sili ya nguvu zake kupitia Derila, wanamdhihaki lakini hajitambui aibu!
Eti Paulo!! Ila njaa mhhhhhhh!!
CCM tuache kuchagua darasa la saba maana kichwani hamna kitu, bungeni lazima waende graduates maana ni sehemu muhimu sana.
CCM SI CHAMA CHA KIKABILA WALA KIKANDA NI CHAMA CHA WATZD WOTE.
Chama tawala inamana kazi ya wananchi mlishamaliza mpaka kazi mliyobaki nayo ni Mbowe, please tuzubgumzie maji na umeme na hali ya hospitali
kituo cha police kwa pesa zake za mgao wa rasili mali za tanzania walizoziuza awam hii msukuma kawa nyoka wa nchi hii kisa tamaa ya mahela ya dhulma Mungu atawalipa kwa haya 😢
Msigwa ni kweli la saba
Msigwa unaendelea kuwafungua macho watanzania ni kweli tulitegemea demokrasia toka chadema lakini ni ufisadi mtupu akaunti ya chadema inasoma kenya kweli?
Litakufa vibaya sana li msigwa
Ongea sera za chama Cha ccm. Yani upo hapo kutia ftina chadema husifii maendeleo ya nchi acha unafki wew mchunga mbuziii pumbavu.
Unafiki ni igonjwa husio natiba.Msukuma unampenda Lissu.midomo yetu tuangalie yale ya Cuf ya Sharif Ahmad na Lipumba ndo mnayatemgeneza Chadema.nyi wachonganishi wa kibwa.
Tangu lini mkawa na huruma na lissu mlitaka kumuuwa ni Mungu tu alimnusuru
List baba yako mbona mwaume unajidekeza
Unalaana ya mungu nafisi inakususa
Hiv we msigwa Kila ukisimama ni chadema
Tuwe mbowe Naona shida kwa ccm
KEEP IT UP MSIGWA
CCM mlitaka kumuua huyu msukuma sialikuwepo bungeni mbona hatukusikia mkimtetea kuhusu matibabu yake kama mnaupendo simlikua mnapiga makofi kila alilosema ndugai kuhusu tundulisu atendewe, acheni unafiki
Hiyo ni siasa za divide and rule imepitwa na wakati...
Ongeeni mambo yanayo husu wanachama wenu Lisu chadema Mlitaka kumuua leo mnajifanya mnampenda? Huu ni unaffiliated ulio pitiliza eti watu pia walivyo hawafikiri kwa makini hivi mmesahau Lisu sasahivi ni mlemavu nani kamtia ulemavu
Mimi nikiangalia hawa CCM hatamtu akikuita CCM ni kama anakutukana
Msigwa huna sela za kuuza tofauti na kila siku chadema chadema
MSIGWA NAKUKUBALI SANA WEWE NI MKWELI
Hiyo ni njaa yako tu,ulimkejeli Sana Raisi wetu,hasa swala LA utalii mnafiki hupewe cheo chochote
Hamtaweza kwa Mbowe nyie ni watu wa ajabu
hata riasasi mlipigana wenyewe kwa wenyewe chadema mkamsingizia magu yani malaana sana wanachadema madhambi yenu mnasingizia magu Mungu hatowasameh hadi mtubie kwa Mungu na kwa wana nchi mliowapotosha wakawaamin
Kwani huyo magu yuko wapi?
Wewe sio mchungaji labda unachunga madem
Tatizo la ccm kila mtu ni ombaomba kitendo hicho hakiwezikutuletea maendeleo sisi ni usani tu.
Naye analalamika
Msigwa uelewa wako mdogo sana
Msigwa msichana akiolewa hana stori za Baba yake na Mama yake wala ndugu yake kweni ndoa isikugombanishe na wakwenu,umeenda ili ufanikishe kuvunja ndoa ya wazazi wako huo ni ujinga,Jenga kwako my friend
CCM TUMEWACHOKA JIBU MTALIJUA TU BAADA YA UCHAGUZI
Msukuma debe tupu haliachi……
Nja inakusumbua
Pumbavu zenu mbowe amekuwa ni mtu hatari kwa CCM mnaacha kutumikia wananchi mnapambana na mbowe.
Ccm haiwezi kuumiza kichwa Kwa mbowe, jitambue
👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍️🏿
Wewe ni shetani sio Paulo acha kumudhiaki mungu wewe umeshiwa sera Sasa wewe ukisimama unakosoa chadema wakati umeiacha Sasa inakuhusu nn ya chadema hata kama ni mafisadi hatuhami ngo'
haka Nako kanaongea nin
Inajua pariria mchicha upate kutia mkono kinywani
Msigwa na msukua ni sawa tu domo kaya na elimu ya memkwa
Mbn Kila cku unaongelea neno moja tu wewe ndio huna sera kabisa
Siyokweli
Omba,posho ,za ufisadi,,magu aliweka mipango sawa ya nchi
Wewe njaa itakuuwA
Msukuma hanaga konakona jamani ananyooka akiona kasoro
Waongo kumtuhumu mboqe msigwa acha umbea
helkopta ina beba watu wangapi? itawezekanaje kuwabeba wote kwenye helkopta moja?embu tusubiri kampeni zianze tuone ka ma ccm wote watakuwa wana panda helkopta
Sasa hapo anasaidia wananchi au anajikomba msigwa hufai popote hao wanaokushangilia wanakuchora huko ungepata uongozi ungeyasema hayo?
Msukuma nenda kwanza shule dalasa la saba africa tuko wajinga sana tena zaidi ya sana kumbe hata mkulima anaweza kuwa mbunge njoo marekani uone kama utapata hata ualimu subutu
Mbona mnaenderea kukopa kama hela nyingi mnaingiza mnamsifia tu rais uongo mtupu nyoo
Shida ni shule
Utabaki ukipiga tu kelele
Mchungaji njaaa tu wewe
Unanena ya moyoni Msigwa uko sawa sana.Chadema ni waongo na wapenda kiki za kitoto.
Speak your own
Mimi binafsi nilikuwa Chadema lakini baada ya kubaini unafki wa Mbowe niliamua kurudi ccm ys MAMA SAMIA ANAUPIGA MWINGI TUNAONA MAENDELEO ANAYOYAFANYA.CCM OYEEER.MAMA SAMIA OYEERE.JUU JUU JUU ZAIDII.
Shenzi unamdanganya nani