HAMISA MOBETTO Afunguka Nilimwambia AZIZ KI Abaki YANGA/NI WAPENZI?/Ashikwa KIGUGUMIZI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024
  • _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe UA-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

КОМЕНТАРІ • 71

  • @filbertntibasiga8093
    @filbertntibasiga8093 Місяць тому +10

    Tungekuwa na wadada wenye kujielewa kama hamisa tungeona mengi mfano Arusha wazungu Kila kukicha wako pale wadada wa kimeru wamebaki kushangaa tu chukueni fursa

    • @free2tree
      @free2tree Місяць тому +2

      boya sana we jamaa waache dada zetu

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga438 Місяць тому +1

    Etie ndugu zanguni katika imani daah mobeto bwana uishi maisha marefu zaidi dada yangu katika imani

  • @MuntuwimanaYona
    @MuntuwimanaYona Місяць тому +1

    Wasimcukie hamisa mobetto Kwa sababu nitajiri mwenye uwezo anapambana kingine capiri , kama amempenda mobeto azizi k mapenzi yapo Dunia nzima msiwe na wivu kama nayeye azizi k amempenda fresh mobeto mzuri sana

  • @ObedyMollel-w8g
    @ObedyMollel-w8g Місяць тому +2

    Very good hamisa mobeto

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko Місяць тому +1

    Kazi nzuri mobeto nakupenda❤❤❤❤

  • @SalmaShilla-c1t
    @SalmaShilla-c1t 19 днів тому +1

    Nampenda huyu dada jmn

  • @user-bu9wj5pi3t
    @user-bu9wj5pi3t Місяць тому +2

    Really hamisa

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 Місяць тому +1

    Hongera sana Misa ,umeweza kuonyesha njia kuwa ukimtegemea Mungu na ukafanya kazi kwa bidii kila kitu kinawezekana.

    • @McmnagoLikoko
      @McmnagoLikoko 26 днів тому

      Kaz gani kujiuza au

    • @beatricejoseph2347
      @beatricejoseph2347 26 днів тому +1

      @@McmnagoLikoko acha makasiriko ndg yangu tafuta hela ,kama virahisi ,ingia kujiuza nawe.

  • @AyshaTt-zp7yu
    @AyshaTt-zp7yu Місяць тому +2

    Ongela.sana.kipenzi.❤❤❤❤❤

  • @KelvinMwawite
    @KelvinMwawite 22 дні тому +1

    Kwakweli huyo shemeji yetu mobeto ashukuliwe kwaku muambia azz k abaku yangaa

  • @devotabashome1090
    @devotabashome1090 Місяць тому +3

    Aziz kabaki kwa mapenzi ya yanga na mashabiki zake

  • @ramadhanimurid6238
    @ramadhanimurid6238 Місяць тому +2

    Furaha ni bora kuliko pesa wangap wana hela lakin hawana furaha aziz k kachagua furaha sio hela

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi4791 Місяць тому +2

    We thank you

  • @KelvinMwawite
    @KelvinMwawite 22 дні тому +1

    Yaaah nikweli ❤ yangaa

  • @ADELADamus
    @ADELADamus Місяць тому +2

    🎉🎉Viziri Sana

  • @rachellukosi8860
    @rachellukosi8860 Місяць тому +3

    Hatakama kabaki kwaajiri ya mwanamke inakuusu Nini 😂😂 ss ndo yanga bwana

  • @JumaMusa-q4y
    @JumaMusa-q4y Місяць тому +1

    Azzi ki anapenda furah kuliko pesa ila nampongeza sana

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv Місяць тому +1

    well done dada

  • @musamusa6213
    @musamusa6213 Місяць тому +2

    Bgp sana hamisa

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Місяць тому +1

    Yaani mahojiano yote yalilenga kwa Azizi

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 Місяць тому +1

    Ni marafiki wa kawaid tuu
    General or normal friends ambayo haiko na shida

  • @Mercy_Lifestyle254
    @Mercy_Lifestyle254 Місяць тому

    I just love her

  • @HamadMussa-rf3df
    @HamadMussa-rf3df 4 години тому

    Tuna omba kazi dada

  • @MpelwaMakolo
    @MpelwaMakolo 11 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤

  • @user-pb6mt3wx4z
    @user-pb6mt3wx4z Місяць тому +3

    ❤❤❤❤

  • @RukiaHaji-m8h
    @RukiaHaji-m8h 15 днів тому

    ❤❤❤

  • @ZamyIsmaily
    @ZamyIsmaily 10 днів тому

    Ilo gauni si ndo jenzi ya yangaaa

  • @NaomySamwel
    @NaomySamwel Місяць тому +1

    Kyaaaaaaaaa

  • @anoldkapinga758
    @anoldkapinga758 Місяць тому +1

    Acheni majungu yy kaamua kubaki hapa km ww unavyoamua kufanya yako, najua huu ni usimba na unajua uwezo wake, tusubir tar 8 dawa iwaingie

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu Місяць тому +1

    Waandishi wa bongo wambea sana 😂😂😂😂😂

  • @Mercy_Lifestyle254
    @Mercy_Lifestyle254 Місяць тому +1

    ❤❤❤❤❤

  • @RukiaHaji-m8h
    @RukiaHaji-m8h 15 днів тому

    Mmh

  • @user-un7eg3sc6d
    @user-un7eg3sc6d Місяць тому +1

    Ukosahihi mobeto

  • @user-un7eg3sc6d
    @user-un7eg3sc6d Місяць тому

    Nimependa majibuyako kabisaa

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy7559 Місяць тому

    Kazi kwanza mapenz baadae

  • @Reyy2406
    @Reyy2406 Місяць тому

    Hadi na mimi nimecheka 😂😂

  • @DarliotonTumaini
    @DarliotonTumaini Місяць тому

    Wandishi hawawezi achamtu salama😂😂

  • @johnlyimo5971
    @johnlyimo5971 Місяць тому +2

    ❤😂❤

  • @Mrsule255
    @Mrsule255 Місяць тому

    406 subscribers 🎉🎉🎉🎉🎉🎉👏🙏...!!! Let's go!!

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku Місяць тому +1

    Duuu 😮😮

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka 29 днів тому

    Hamisa ni timu Gani anaishabikia? Tupe jibu tukutadhimini

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 Місяць тому

    Niwajulishe tuu kwamba Aziz ana project maalumu na yanga
    Kubakiza kombe la africa kwa mara ya kwanza apa kwetu Tanzania
    Ongeen mumalize ila kilichomubakiza ni hiyo.project

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 Місяць тому

    KIBETO RELATIONSHIP

  • @user-bx5tv4sr9m
    @user-bx5tv4sr9m Місяць тому

    Waandishi ! Ulizeni maswali ya msingi. Try to be proffessional

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy7559 Місяць тому

    Huyo sio mchezaji mpira ni malaya tuuu 😂😂😂😂

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 13 днів тому

      Malaya kama wewe? Inaonekana munafanya wote huo umalaya ndio maana ukamjua kama yeye ni malaya mwenzio au sio?

  • @AziziHasani
    @AziziHasani Місяць тому

    Ucje mbemenda tuu akashindwa kucheza

  • @georgegregory8414
    @georgegregory8414 Місяць тому

    Aziz anaipenda yanga Amisa wewe unataguta kiki tu buna jipya

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 Місяць тому +2

    Yaani aziz ki shetani wake kakataa hela alizopewa club kubwa kachagua kubaki hapa kwa ajili ya MWANAMKE kweli 😅.. Si angeenda huko kwenye hela nyingi akawa anatuma tiketi ya ndege kila wiki anakutana na ampendae huku pesa ndefu inaingia..

    • @SmilingBirdwingButterfly-yq3he
      @SmilingBirdwingButterfly-yq3he Місяць тому +4

      Kuna mapenzi ya timu, kuna mapenzi ya mama alafu Kuna mapenzi ya mrembo hapo so muache afuate mapenzi ya moyo wake

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 Місяць тому

      @@SmilingBirdwingButterfly-yq3he ini rahisi na furaha kulizungumzia hili..
      Ila mimi ningependa yeyote kwenye huu mjadala avae undugu na aziz ki..
      Pesa huleta mapenzi inasikitisha kuacha pesa kufuata mapenzi ambayo hata angekuwa popote angepata kwa sababu pesa ya kutosha kumsafirisha yeyote ampendae ingeongezeka mara dufu..
      🤭🤭.. Anyways we think differently.. Usiku mwema 👍

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Місяць тому

      Mobeto mjanja sana, kagundua akienda nje hatapata ticket atapata akina mobeto wengine 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @boazygodfrey9371
      @boazygodfrey9371 Місяць тому +1

      Basi Tu Sina Hela Ila MOBETO Nakupenda Sana

    • @MmandaNicetas
      @MmandaNicetas Місяць тому

      ❤❤❤❤❤​@@rexgodwill7353

  • @josephinegeen9557
    @josephinegeen9557 Місяць тому

    Who is she not even Beautiful she has chinese eyes.

    • @samjm7330
      @samjm7330 Місяць тому

      Can you compare yourself to her?

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Місяць тому

      Bring ua picture to us, so we can compare u with mobeto who is beauty 😂😂😂😂😂😂😂

    • @alexbayingana7879
      @alexbayingana7879 Місяць тому

      I think the beauty of a lady its her heart not face I love her she such lady kila mwanaume mwenye kujitambua angetamani kua naye,

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 13 днів тому

      Jealous will kill you faster Josephine take care.😅