SIKILIZA UMMY ALICHOSEMA BAADA YA KUTUMBULIWA NA RAIS SAMIA "MIMI NINASHUKURU KWA KILA JAMBO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 172

  • @jamesmaths2296
    @jamesmaths2296 2 місяці тому +6

    Pole dada tunajua akina mama hawapikiki chungu kimoja haswa mkubwa akihisi threat kutoka kwa mdogo. I can feel uchungu ila hayo ndiyo maisha songa mbele na chuchumia yajayo ukijaribu kusahau yaliyopita; God is always in control and he sees the end from the beginning.

  • @AishaNiachie
    @AishaNiachie Місяць тому +3

    Asante sn kwa kumpogeza samia kazi

  • @ConsolataBageni-ir6mb
    @ConsolataBageni-ir6mb 2 місяці тому +4

    Hongera Sana,MH Ummy wewe Ni kiongozi Bora,Asante Sana umefanya mengi kipindi MH Rais akikypa nafasi bongera sana

  • @sihabanassoro5094
    @sihabanassoro5094 2 місяці тому +5

    Nakupendaaaaa unawezaaaaaa. Ulikuwa unaonekanaaaaa ktk kazi. Kazi iendeleeeee. Ummy ngaraaaaa.

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 2 місяці тому +3

    Mungu akulinde mh Ummy Mwalimu
    Kazi unaweza tumekuona ulivyokuwa unapiga kazi 🙏🏼🙏🏼

  • @mohammedubwa9730
    @mohammedubwa9730 2 місяці тому +1

    Among the women in leadership I admire deeply down my heart. And you showed it between the presidents. Keep GOING my dada......so many goods to come. 💪🤲

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 2 місяці тому +10

    Mh.Ummy Hongera Sana...Watanzania tunakupenda Sana tunakuheshimu Sana,ulituvusha wakati wa CORONA.

  • @OniaWenela-o1v
    @OniaWenela-o1v 12 днів тому

    Et wanawake hatupendani binafsi nakupenda sana wewe ni simba jike umepambana sana ubarikiwe kwa kazi nzuri maisha yanaendelea

  • @AbelIshaninga-dy2sf
    @AbelIshaninga-dy2sf 2 місяці тому +3

    Ummy ❤❤❤❤ Mungu akujalie Ufike Mbli zaidi kwa weredi wako

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 2 місяці тому +5

    Ummy mimi nipo morogoro wilayani kilosa nakupenda sana, nakukubali sana. 2025 karibu kwetu mama.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 2 місяці тому +4

    Nyeupe ni nyeupe , Nyeusi ni NYEUPE . 😅😅😅😅😅😅ukweli huwa ni self evidence ambayo hujidhihirisha yenyewe bila kushabikiwa wala kutetewa😅

  • @daudiSoka-e5f
    @daudiSoka-e5f 8 днів тому

    Mungu akupenguvu zaidi mama wew ni jembe

  • @ElizabethSulle-y6s
    @ElizabethSulle-y6s 2 місяці тому +4

    Hongera sana Mheshimiwa

  • @shtatsalfa5026
    @shtatsalfa5026 2 місяці тому +3

    Ulikuwa vizuri sana wakati wa anko Magu (Mwenyezi Mungu amrehem) ulipiga kazi ipasavyo, ulijua thamani ya Watanzania ulijitoa muhanga kweli kweli kipindi kigumu cha korona ulikuwa mbele sana mpaka mataifa ya mbali na karib yetu yalikubali utendaji wako BUT kwa wakati huu cjui umeingiwa na nn dada yangu.... Umi mwalimu huyu cyo yule wa enzi ya anko Magu.... Pumzika mama umechoka sasa

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 2 місяці тому

      Mwenyezi Mungu hamrehemu mtu ambaye hakumuabudu, kama vile una mume wako huduma za matunzo upate kwa mume wa jirani.
      Ndio ilivyo huko siku ikifika, kama mungu wako ni n'gombe wewe ni baniani, ama mungu wako zumaridi au Yesu, usitaraji Rehema toka kwa Mungu Mwenyezi.

  • @elikanambwilo8086
    @elikanambwilo8086 2 місяці тому +8

    Binadam ni wachache wanamoyo wa shukurani congratulations kwa ummy mwalimu

    • @George-jz3jg
      @George-jz3jg 2 місяці тому

      Hizo huwa ni shukurani za kinafiki usimsifie kwa unafiki

  • @SwaleheAdamu-rg8hl
    @SwaleheAdamu-rg8hl 2 місяці тому +5

    Hongera sana kwa yote mazuri uliyoyatenda mfano bora wa kuingwa kwa viongozi wengine

  • @gerevasliyunga9831
    @gerevasliyunga9831 2 місяці тому +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
    NAKUPENDA sana sana Dada

  • @ummy0095
    @ummy0095 2 місяці тому +7

    Akitolewa kwenye wadhifa mtu akiwekwa mwingine mtu asilalamike ni saw tuu wewe mwenyewe wengine nao waipenda hiyo nafasi kuwa waziri

  • @StevensJoas
    @StevensJoas Місяць тому +1

    Moyo mzuri sana unatufaa sana mama nmependa

  • @yustotumbo7620
    @yustotumbo7620 2 місяці тому +3

    Nakupenda sana waziri bidii, uwezo ni mfano mzuri, pia kauli isiyo na unafiki, hongera yako, lakini naamini kazi ni kupeana vijiti wala hakuna haja ya kuwa na hofu ni mambo ya kawaida kwenye kazi ya aina yeyote, siku nyingine utapewa tena majukumu mengine kama hayo.

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 2 місяці тому +2

    Kweli Ummyp ni chapa kazi.kazi iendelee

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 2 місяці тому +4

    Kiukweli Sijawahi Kuonaga Ubaya Wa Huyu Dada Ummy.Yuko Vizuri Sana Hebu Watumikie Vyema Wanafamilia Wako Dada Yangu Mungu Atakulinda.🎉🎉🎉

  • @RichardMgweno
    @RichardMgweno 22 дні тому +1

    Ushakula za bima na mfumo haukutambui

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 2 місяці тому +3

    Mh samia huyu Dada mpe wizara nyingine bado ana pumzi ya kutosha .Nimuungwana watanzania bado tunamhitaji kwenye hili baraza.ukimpa wizara huyu dada umetufuta machozi watanzania

    • @lilyabel2320
      @lilyabel2320 2 місяці тому

      Mwache apumzike kwani hakuna watu wengine wanaweza kuwa mawaziri??? Kila siku hao HAO tuuuu aaaash wapo watu wengine waziri Tu. Mwache afanye mambo mengine

  • @MusaKisaka-f6f
    @MusaKisaka-f6f 18 днів тому

    Hongera mama nani kama umy mchapakazi kamanda hodari

  • @SangaMahanji
    @SangaMahanji 2 місяці тому +2

    Umeyatimba .unajikozha tu muongo utaona .usifikili kira wakati watu wa tanga wamerara

  • @EdimundKaseswa
    @EdimundKaseswa 2 місяці тому +2

    Wizara nyeti afya anatakiwa akae jembe sio waswahili wa pwan mnatumbuana tena!

  • @JACKSONJASSON-xz6jo
    @JACKSONJASSON-xz6jo 2 місяці тому +1

    Umefanya kazi nzuri

  • @BenedictMmbelwa
    @BenedictMmbelwa Місяць тому

    Hongera sana dada yangu kwa moyo wako wa shukrani kwa Rais kukupa heshima yakuwa Waziri wa Afya

  • @RashidMwasiposya-ck6py
    @RashidMwasiposya-ck6py 2 місяці тому +2

    Mshukulu mungu aliekupa uzima

  • @JamilaMbogo
    @JamilaMbogo 2 місяці тому +3

    Usijari mungu akupe moyo wa subra kila lenye mwanzo lina mwisho

  • @watendeomary2971
    @watendeomary2971 Місяць тому +1

    Ukifungwa mlango huu Allah atakufungulia ule

  • @DavidSemu-gu6wp
    @DavidSemu-gu6wp 2 місяці тому +2

    Dada yangu kamwe usivunjwe moyo na maneno ya wasio kutakia kheri ogopa sana kupendwa na watu wote bila kuwepo wanao kuchukia,hata mitume wa Mungu walitukanwa na kuchukiwa,mema yako kwao atakulipa aliye kuumba wala si mwanadamu. na hataTanga yetu umeifanyia mema hasa pale Bombo na kwenye michezo tupo tunao fahamu, Ubarikiwe sana Dada yangu.

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 2 місяці тому +1

    Dada ummy kwangu mie huna baya Iko siku utarudi tu kwenye nafas ya wazir sio lazima wizara ya Afya hata wizara nyengine Mungu akutie nguvu

  • @NyihitaWilfred
    @NyihitaWilfred 2 місяці тому +1

    Mh.umy hongera sana, chapa kazi mama, huna baya na mtu.

  • @HatibuShemahonge
    @HatibuShemahonge 2 місяці тому +1

    Mbona Wana wake wanzako mbona kiliniki waja wazito Wana jifungua kwa pesa cm pia wananchi wakipiga cm hupokei kadi ni pesa kujifungua pesa mmm

  • @LydiaNkana
    @LydiaNkana Місяць тому +1

    Hongera Mungu akutunze

  • @ChrisBuretta
    @ChrisBuretta 2 місяці тому +4

    Hongera sana dada Umuy! Dada wa kitanga mna shukrani.

  • @AlfonsiaNchimbi
    @AlfonsiaNchimbi 2 місяці тому

    Hongera kwakaz nzurii

  • @MenidoraMpogole
    @MenidoraMpogole Місяць тому +1

    mmm kazi iendelea

  • @KassimDamba-rd7uu
    @KassimDamba-rd7uu 2 місяці тому +2

    Hongera kwa kutambua kuwa kila jambo huwa na mwanzo na mwiaho

  • @RichardMgweno
    @RichardMgweno 22 дні тому +1

    Mkoa umeingiza sh ngapi

  • @DanielfGwitabha
    @DanielfGwitabha 2 місяці тому +2

    Shida ni 1 wanasema tuiombee nnchi nnchiyetu tanzania iposalama. Tuseme tuu tuwaombee viongozi waliemo ndani yainchi. Wanachuana sana kama simba nayanga sijui hawajaapishwa kipindi chakuchaguliwa. Wanawekeana sana hila mbaya kitakqchofata nivita yauchumi waokwawao. Tuwaombeesana sisi laiya watanzania.

  • @masagaruoti8244
    @masagaruoti8244 2 місяці тому

    Mtu wa maana kabisa. Mwenyezi mungu azid kukupa nguvu mama. Sitak kuongea meng lkn naamin mungu anakuona one day yes inshallah

  • @NakkuAnderson
    @NakkuAnderson 2 місяці тому

    Pole Ila hata ukichaguliwa Tena usiseme ukweli kaushaaaa😅😅😅

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 місяці тому

    Nakipendaga ummy wala usikonde chadeeeeemaaa❤,✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️

  • @WilliamMalima-ic9fi
    @WilliamMalima-ic9fi 2 місяці тому

    Hongera sana hivyo ndivyo kiongozi wa kweli anatakiwa kuwa

  • @HelenaPetro-w9q
    @HelenaPetro-w9q 2 місяці тому +3

    Muongo mno umeyatimba kwenye bima ya afya machon umeumbuka Sema umejikaza

  • @EdimundKaseswa
    @EdimundKaseswa 2 місяці тому +2

    Hakutumbuliwa kapumzishwa viongoz villaza ndo anawapenda

  • @Ap80090
    @Ap80090 2 місяці тому

    Upo vizuri ummy uongozi unaujua wanatanga hongera

  • @EdimundKaseswa
    @EdimundKaseswa 2 місяці тому +1

    Umerahsisha mambo,nilkuwa nawaza huyu wazr nampataje?sasa mambo byeeee

  • @Saggy-z4q
    @Saggy-z4q 17 днів тому

    ❤❤

  • @JonhMhoja
    @JonhMhoja 2 місяці тому

    Wewe mpaka nywele zinasisimuka kweli wewe ni kiongozi mahiri nakupenda sana

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 2 місяці тому +2

    Haya ni mambo ya KAWAIDA ya kuachiana NYADHIFA kazi amefanya kama ni kutetereka (BIMA YA AFYA) basi ni sehemu ya yeye na wengine kujua na kuepuka mahali pa KUTELEZA .Heshima aliyoitumia kumshukuru RAIS nimeipenda haionyeshi KINYONGO , hivi mtu akichomwa na mwiba huanza kupuliza KIDONDA alichokipata au huanza kupuliza MWIBA uliomchoma ?

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 Місяць тому

    Mungu akubariki sana kwa hekima kubwa uliyonayo

  • @ndimuelias6183
    @ndimuelias6183 2 місяці тому +5

    Hapa hakuna shukrani lengo lako unajipendekeza kupata uteuzi mpya

  • @JamilaMbogo
    @JamilaMbogo 2 місяці тому +1

    Ummy nakupenda sana ndugu yangu baada ya haya maisha yaendeelee

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 2 місяці тому

    Huo ndio uzalendo hongera our cct from another mother

  • @davidkawiche8372
    @davidkawiche8372 2 місяці тому +1

    Najiuliza tuu kwa kipindi chote ulichokuwa waziri hivi hapakuwa na watu wanaostaafu ili zipatikane nafasi za ajira kwa vijana? Vijana wamesoma insurance and risk management hapo ifm na IAA arusha sahiv wapo mitaani mwaa wa kumi sasa wameamua kuchukua boda na kuendesha. Maarifa yao yamepotea fedha za ada zimepotea mikopo mliyowap wasome marejesho yamepotea. Ni tatizo kwa kweli. Ajira za kiwaki na kichomekana hazina afya kwa Taifa.

  • @twahakayondo7583
    @twahakayondo7583 2 місяці тому +2

    Huo ni ubinafs kuhusi izo ajira

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 місяці тому

    Wizards ulikuwa unaimudu sana huo ndio ukweli nakipendaga sana ummy mwalimu pipooooooooo mungu nawez ummy

  • @TabithasSalimu
    @TabithasSalimu 2 місяці тому

    Mungu akubaliki dada

  • @GeorgeYusto
    @GeorgeYusto 2 місяці тому +1

    Amina

  • @flavianapeter494
    @flavianapeter494 2 місяці тому

    Nakupenda heri ya tumbo lililo kuzaaa🙏

  • @RehemaRehema-z1k
    @RehemaRehema-z1k 2 місяці тому

    Mashalla❤❤❤

  • @LenguyanaMichael
    @LenguyanaMichael Місяць тому

    Hongera ummy kwa kutupambania afya yetu

  • @JumaMartin-e4v
    @JumaMartin-e4v 2 місяці тому

    Umi nakukubali sana toka mtihani ule wa covd ulichapa kazi natumai mama akifanya masmuz analo kusudio njema .natumai kwa uchapakazi wako mama anajuwa pakukuweka najua iponafasi Allah amekuandalia na mama atapewa muongozo na Allah wapi nafasi gani tena yenye heshma kubwa Allah akubark insha Allah

  • @mohamedabdul9895
    @mohamedabdul9895 2 місяці тому +1

    Umetutia aibu wana tanga mpka umetumbuliwa inaonyesha kuna tatzoo ndani ya wizara yko ,nenda ukajipange upyaa

  • @hamiskimaraonga6899
    @hamiskimaraonga6899 2 місяці тому

    Umevuruga sana mifumo ya utoaji huduma za NIHF wapo walioathirika kutokana na misimamo yako na unapaswa kumrudia Mungu wako kwa hili kwani uongozi ni dhamana na dhamina hiyo uliitumia vibaya na ndiyo maana yamekutokea, "yaliyo tokea"

  • @tumakomu
    @tumakomu 2 місяці тому +1

    Huez achishwa kaz ukawa na raha wakat ndyo sehem ya kukupatia kipato...

  • @ramlamohamed4401
    @ramlamohamed4401 2 місяці тому

    Sema kiukweli mimi nampenda sana Ummy mwalimu je ameolewa mimi nipo tayari nataka kumuoa

  • @AnjelicaBayyone
    @AnjelicaBayyone 2 місяці тому +4

    Meli kitu Gani uccm uccm Kila siku badala ya kuhubiri utsifa ni uccm mmmm

    • @jumamustapha8254
      @jumamustapha8254 2 місяці тому

      Mbona hilo lissu anahubiri kupigwa tu kwanini hulisemi.

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 2 місяці тому +1

    MSHUKURU wako ndiyo muongoza njia yako.
    Unatumia nguvu kubwa kumshukuru mtu badala ya MUNGU. Punguzeni Ujinga muda mwingine.

  • @user-pu1sq4ci3f
    @user-pu1sq4ci3f 2 місяці тому

    Niliumia mno nilipockia ametolewa wizara ya afya love u umy

  • @LaurentZanzibar
    @LaurentZanzibar 2 місяці тому +1

    Ameanza kutumbua wanawake wenzie Tena hii imekaaje hapo

  • @MsevenSaudisaidi
    @MsevenSaudisaidi 2 місяці тому +6

    Umetuangusha sana ummy bimaya afya mbaka leo rimekuwa janga la moto hufai hata unaibu waziri umetuangusha sana mama kachelewa kukutoa uwaziri hufai

    • @zamdageuka9153
      @zamdageuka9153 2 місяці тому

      mbaka❌ mpaka ✅,rimekuwa❌limekuwa✅

    • @Anuarmustafa4128
      @Anuarmustafa4128 2 місяці тому

      Sawa atakuchagua wewe ulie kamilika

  • @VailethBarnabas
    @VailethBarnabas 2 місяці тому +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @shabanikibwana4619
    @shabanikibwana4619 2 місяці тому

    Hananipyakazi. Kusifia. Ccm. Weziwakubwanyie😅😅😢

  • @ZaituniMuba
    @ZaituniMuba 2 місяці тому +1

    Wa usagara sec 1990 uliosoma nao umewaumiza sana.

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd 2 місяці тому +5

    nenda kale pesa ulizo piga kwenye bima ya afya, unalolote.

  • @justonmawole9114
    @justonmawole9114 Місяць тому

    Mwenyezi Mungu awe nawe

  • @SaidMkambo
    @SaidMkambo 2 місяці тому

    Nimekupenda sana

  • @JackobLyimo
    @JackobLyimo 2 місяці тому

    Ummi umeitendea haki sana wizara yetu ya afya kweli wewe ni mwamke laki unafanya kazi kama mwanaume

  • @SaidMkambo
    @SaidMkambo 2 місяці тому

    Nimekukubali sana heko odo Umi mwalim

  • @stevenTiigwera
    @stevenTiigwera 2 місяці тому +1

    Mwanamke jasiri sana ongela

  • @benjaminpaul9578
    @benjaminpaul9578 2 місяці тому +1

    Kipi bora ulikifanya ukiwa waziri?kipindi cha samia ? Au kumsifu bila kigezo

  • @EdimundKaseswa
    @EdimundKaseswa 2 місяці тому +1

    Nchi hii wawèza kuwa mzur ktk wizara je pale juu

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 2 місяці тому

    Hivi kuka ccm nikua chawa wewe una kosa Gani ujikombe mushauli raisi wetu siyo kupongenza bandali imeenda Dubai huja sema una shangiliya tu

  • @AdinanKatunzi
    @AdinanKatunzi 2 місяці тому

    Huo ndio uongozi uliotukuka,bado wewe una nafasi utarudishwa baadae.jipange uone ukikosea wapi?bado inakubalika

  • @johnkalibonamchungaji3082
    @johnkalibonamchungaji3082 2 місяці тому

    Mimi sijafurahia kuondolewa kwako ktk nafasi ya uwaziri nakuombea furaha yamoyo

  • @CharlesMhuza
    @CharlesMhuza 2 місяці тому

    Bravooo

  • @Mudricklucas
    @Mudricklucas 2 місяці тому

    Pole sana dada😂❤

  • @abdallahmwinyi2106
    @abdallahmwinyi2106 2 місяці тому +2

    Sawa kamanda ubarikiwe

  • @alawi6796
    @alawi6796 2 місяці тому

    Huna faida ww dada cc tumevunjiwa nyumba barabara ya panga umetusaidia na nn ww

  • @SungiMahumbi-s8h
    @SungiMahumbi-s8h 2 місяці тому

    Mama yangu laiti ningekuwa Rais ningekupa uwaziri mkuu

  • @JohnMbowe
    @JohnMbowe 25 днів тому +1

    No comments

    • @JohnMbowe
      @JohnMbowe 25 днів тому

      Anasema tuu. Lakini ukimtizama. Vzr haongei tokamoyoni . Sifa zote anzotoa kwa Rais . Nikuomba huruma tuu na sikingine. Na ninge kuea mm mama. Ningempa wizara ya ulinz na Jeshi la kujenga taifa

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 2 місяці тому +1

    Bima kwa wote imekuondoa Ummy

  • @EdwinMkoma-w7q
    @EdwinMkoma-w7q 2 місяці тому +2

    Kwanini Hizo Kope Una Finya finya!!?

  • @NeemaBaraka-r6o
    @NeemaBaraka-r6o 2 місяці тому

    ❤❤❤❤

  • @sarahmwakipembe5033
    @sarahmwakipembe5033 2 місяці тому

    Mungu akulinde