PAPII KOCHA AONESHA UTAJIRI WAKE/ NI BALAA!/ AWATUMIA SALAMU WAFUNGWA GEREZANI
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2021
- #Exclusive #PapiiKocha
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Aisee jela sio kuzuri Papii kapendeza sana Allah Akbar ni kumshukuru kwa kila jambo na kila wakati Magu Allah atakulipa kwa hili huko ulipo
Uko vizr kak. Hongera sn mungu akuzidishie
Papii kocha! Nafurahi sana kuona kuwa mpo huru.
Nafurahi kukuona una afya njema umebadilika,mungu aendelee kukuonyesha njia
Jamaa kapendeza
Nilianza kumpenda magufuri baada ya kumtoa papii
Kweri mungu yupo
Tumemiss sauti yako wee toa ngoma please
*Duuh!! Kweli jela sio mahali salama jamaa amenawiri uso unaonekana sasa*
Alikua ana upara saiv kaotesha nywele😂😂
Moja kati ya presenter bora
Lete bwebwe tena urudishwe jela nchi yenyewe hii Sasa hivi haieleweki
RIP JPM
tabwe all time King
Uo utajiri wa papi uko wapi
Kwa Mungu.
Jpm
Watuwasijurikana nayo nihofuyangu?afronsi mawazo benisanane nihofuyangu au kupewa msamahawewe na babayako ndio hofuhiyo kupigwa lisasi tundu lissu we papy nyamaza dogo tuli\
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.
Towa vitu
Tumemis muziki wako wa live kina mond wametuchosha na miziki yao ya komputa
Tofautisha Sina A music gala wee,nkmekujibu Kama mwanamziki wa band
Mimi mond hawezi nichosha hata aimbe na tochi, 😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬 bwege ww
Nikweli kwa ulivyo inaonekana huna njaa kuliko mzee wako kiukweli anakonda ila wewe nakuona ukopowa
@travelstylish nurse 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Long time ago pini
Eti sina njaaa kwel kashajisahau
Sasa ulitaka aseme ana njaa mbona huna jema
But unabadilika bro unatumia vinywaji vikari au, pamoja nakunawiri lakin hayo macho sijakuelewa
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Kanenepa