PAPII KOCHA AONESHA UTAJIRI WAKE/ NI BALAA!/ AWATUMIA SALAMU WAFUNGWA GEREZANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2021
  • #Exclusive #PapiiKocha
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24news@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24Tz
    ⚫️ Facebook: @dar24news
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

КОМЕНТАРІ • 32

  • @Official83640
    @Official83640 2 роки тому +5

    Aisee jela sio kuzuri Papii kapendeza sana Allah Akbar ni kumshukuru kwa kila jambo na kila wakati Magu Allah atakulipa kwa hili huko ulipo

  • @halimamnyati9311
    @halimamnyati9311 2 роки тому +1

    Uko vizr kak. Hongera sn mungu akuzidishie

  • @emeldamulukuzi888
    @emeldamulukuzi888 2 роки тому +3

    Papii kocha! Nafurahi sana kuona kuwa mpo huru.

  • @thadeusmarkiminja9653
    @thadeusmarkiminja9653 2 роки тому +2

    Nafurahi kukuona una afya njema umebadilika,mungu aendelee kukuonyesha njia

  • @zolongOne
    @zolongOne 8 місяців тому +1

    Jamaa kapendeza

  • @saidchitanda2782
    @saidchitanda2782 2 роки тому +7

    Nilianza kumpenda magufuri baada ya kumtoa papii

  • @qypsyqypsy2743
    @qypsyqypsy2743 День тому

    Tumemiss sauti yako wee toa ngoma please

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 2 роки тому +2

    *Duuh!! Kweli jela sio mahali salama jamaa amenawiri uso unaonekana sasa*

  • @hafidhissa4405
    @hafidhissa4405 4 місяці тому

    Alikua ana upara saiv kaotesha nywele😂😂

  • @alextanzania
    @alextanzania 2 роки тому +1

    Moja kati ya presenter bora

  • @hussenhemed1050
    @hussenhemed1050 2 роки тому +1

    Lete bwebwe tena urudishwe jela nchi yenyewe hii Sasa hivi haieleweki

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 2 роки тому +2

    RIP JPM

  • @heavengodness1794
    @heavengodness1794 2 роки тому

    tabwe all time King

  • @ibrahlissu2710
    @ibrahlissu2710 2 роки тому +3

    Uo utajiri wa papi uko wapi

    • @stn4873
      @stn4873 2 роки тому +1

      Kwa Mungu.

  • @tiffatzhemedy9485
    @tiffatzhemedy9485 2 роки тому +2

    Jpm

  • @bonabonala5017
    @bonabonala5017 2 роки тому

    Watuwasijurikana nayo nihofuyangu?afronsi mawazo benisanane nihofuyangu au kupewa msamahawewe na babayako ndio hofuhiyo kupigwa lisasi tundu lissu we papy nyamaza dogo tuli\

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.

  • @Hkboy900
    @Hkboy900 2 місяці тому

    Towa vitu

  • @lugeshadaudi2281
    @lugeshadaudi2281 2 роки тому +1

    Tumemis muziki wako wa live kina mond wametuchosha na miziki yao ya komputa

    • @newahomwashiuya8858
      @newahomwashiuya8858 2 роки тому

      Tofautisha Sina A music gala wee,nkmekujibu Kama mwanamziki wa band

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 2 роки тому

      Mimi mond hawezi nichosha hata aimbe na tochi, 😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬 bwege ww

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 2 роки тому

    Nikweli kwa ulivyo inaonekana huna njaa kuliko mzee wako kiukweli anakonda ila wewe nakuona ukopowa

  • @essaumakariusmbunda370
    @essaumakariusmbunda370 2 роки тому

    Long time ago pini

  • @cleartzboy4074
    @cleartzboy4074 2 роки тому

    Eti sina njaaa kwel kashajisahau

    • @rosemarry2020
      @rosemarry2020 2 роки тому

      Sasa ulitaka aseme ana njaa mbona huna jema

  • @farajagordon4724
    @farajagordon4724 2 роки тому

    But unabadilika bro unatumia vinywaji vikari au, pamoja nakunawiri lakin hayo macho sijakuelewa

  • @saidimkombe9842
    @saidimkombe9842 2 роки тому +1

    Kanenepa