PAPII KOCHA: Huu ndo WIMBO wa BONGO umepigwa sana GEREZANI, Msanii huyu AMETUOMBEA kwa RAIS tuachiwe

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 бер 2018
  • LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa masta unaowakubali.
    Hakikisha una Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp au mitandao yako ya kijamii (facebook na twitter).
    Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
    / lilommy
    / lilommy
    www.lilommy.com
    for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea lilOmmy.com
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 54

  • @Vanisikaka
    @Vanisikaka 6 років тому +4

    Ommy safii sana...clouds wapeta chance ya kuwahoji ila wamehoji pumbaa.....ila ommy wewe ni the baddest

  • @joshuakaminyoge4954
    @joshuakaminyoge4954 6 років тому +5

    Wimbo wa Waambie naupiga asubuhi mpaka jion wala haunichoshi.... Papii bigup sana

    • @gambetonny5963
      @gambetonny5963 6 років тому

      joshua kaminyoge nakuona kaka joshua

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 6 років тому +2

    Bora hata interview hii umewahoji different questions ommy keep it up bro

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 років тому +3

    *LilOmmy* unajua nice your job bro.

  • @mangalamlala3516
    @mangalamlala3516 6 років тому +3

    Lil ommy wewe nomaa

  • @boscoaugen7618
    @boscoaugen7618 6 років тому +1

    sanaaa lilommy

  • @timotheokileo4335
    @timotheokileo4335 6 років тому +1

    lil ommy ur great

  • @georgeelumba8413
    @georgeelumba8413 6 років тому +1

    Fire

  • @aminadaba740
    @aminadaba740 6 років тому

    Iko pow sana

  • @kedmonmaquiz
    @kedmonmaquiz 6 років тому

    Best show in town

  • @ShaibuOthmanshaibu
    @ShaibuOthmanshaibu 6 років тому

    Aaise mungu awabaliki

  • @momylaviel
    @momylaviel Рік тому

    Waambieeee naipenda sana jaman

  • @adolphyamin1245
    @adolphyamin1245 2 роки тому +1

    Rip Magufuli

  • @barickprogrammer
    @barickprogrammer 6 років тому +1

    Always u ze best bro....

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr8436 6 років тому +3

    Hapa Lilomy umefanya interview ya kibabe sana,Ni fupi ila imebeba content kubwa sana Hahah sema papii mjanja mjanja sana huyu jamaa

  • @karthala6676
    @karthala6676 2 роки тому

    Sasa walifanya hicho kitendo. Na Kama kweli wamefanya basi huwezi kuwatowa jela

  • @rahimajuma688
    @rahimajuma688 6 років тому +1

    papii unashangaa camera sn 😂😂 mzee baba

  • @asmabintikiwashatz9321
    @asmabintikiwashatz9321 6 років тому +1

    nice babu sea

  • @godypatrick6485
    @godypatrick6485 6 років тому +2

    Mzee nguza afanye kazi na diamond

  • @emmanuelfeli7392
    @emmanuelfeli7392 6 років тому

    hongereni xna

  • @umydaddy4697
    @umydaddy4697 6 років тому

    Daaah hawa kweli wamekula calenderbado wana mpunga sasa kuna mkwanja🤣🤣🤣

  • @patricktravis6575
    @patricktravis6575 6 років тому +1

    hapa kwlii Tabweeee ww ni motooo kweny hii show

  • @shareefkamtande4692
    @shareefkamtande4692 6 років тому +1

    14 yrs duuh.... si mchezo

  • @shekhekhandereizer559
    @shekhekhandereizer559 6 років тому

    jamaa ana shangaa nn uyu

  • @fredypeter29
    @fredypeter29 6 років тому

    fredy peter

  • @mariamangel1264
    @mariamangel1264 6 років тому

    Kbs baba inabidi aache tuu mziki maana kakuwa

  • @hasnaali3879
    @hasnaali3879 6 років тому +5

    Walifungwa kwa nini naomba mnijuze mie siwajuw hawa walivotoka ndio nawaona kila mtu amefurahi Nataka kujuwa kwnn walifungwa mtu na baba ake na miaka mingi 14

    • @badmanno.1650
      @badmanno.1650 6 років тому

      sweetyy Ahood walishtakiwa kwa kesi ya kurubuni wanafunzi kimapenzi..

    • @hasnaali3879
      @hasnaali3879 6 років тому

      Ok Asante

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 5 років тому +1

      Walifungwa kwa kuuziwa kes ya kubaka mtoto lkn sio kweli lkn kwa vile sio kosa lao ndioman walivyotoka watu wengi wanashangilia mno na wengine kufanya hadi vijisherehe kidogo lkn ndio wamepata uhuru hivyo ndivyo ilivyokuw

  • @danielmwinyi3158
    @danielmwinyi3158 6 років тому

    papii ganzi dunia lkn sio mbya mambo poah

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz1455 6 років тому

    Saf

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 6 років тому

    Nchi yetu inashangaza sana mtu kupata pasport ni lazima ukamuke jasho wakati nchi za wenzetu mtu anaomba pasport anapewa baada ya siku mbili na ikichelewa siku tatu sijui kwetu kunakuwa kuna matatizo gani?

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 5 років тому

      Wapenda rushwa ndiomn mm nimetengeneza kwa laki mbali na nusu na hapo nimepitia njia za panya yaan kutoa rushwa wakat shs elf hamsini tu unapata passport lkn sasa ndio hivyo

  • @peterzjohn6260
    @peterzjohn6260 6 років тому +1

    Hv hao wasanii hko pembeni wanaangalia nini maana kila msanii anaangaliaga hko

    • @davidwambura5915
      @davidwambura5915 6 років тому

      Peter John Acheni ushamba huko nyuma kuna sklini wanacheki ngoma

    • @peterzjohn6260
      @peterzjohn6260 6 років тому

      David Wambura asante kwa kunitoa ushamba

  • @mwanaidijumanne4146
    @mwanaidijumanne4146 3 роки тому

    Njoo unioe mm naupenda sana natamani uwe mumewangu nipo silias

  • @geraldpaul9937
    @geraldpaul9937 4 роки тому

    Dawa ya sukari ipo ya mzee tutafutane

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 6 років тому +3

    Huyu mzee kila nikimuona namueneaga uruma hadi naisi kulia

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 5 років тому

      Anatia huruma mno ukiangalia uzee umemuingia akiwa jela inauma mno mm kam mm huyo ni sawa na babu yangu kabisaaa ila mungu alivyomkubwa ndio wametoka wapo huru alhamdulillah

  • @umydaddy4697
    @umydaddy4697 6 років тому +3

    Nyinyi ni wazaire sio waTzee. Sema africa hakuna kuomba uraia unahamia tuu. Isipokua zanzibar ndo wanataka wawajue walikuja lini na wanatokea wapi. Hawajui kisiwa kinatengenezwa na wasafiri kutoka nchi za mbali wanaopita halafu wakafanya makazi

    • @mariamangel1264
      @mariamangel1264 6 років тому +1

      wey nay inaongea nini

    • @msellemsalim690
      @msellemsalim690 6 років тому

      umy daddy..hata mabara ni watu waliotoka sehem mbalmbal kutafuta chakula ama makaaz n.k..
      Allah anasema" Tumeumba kabila na mataifa na luqha mbalmbal il mupatee kujuana"
      Kwa maana io km ni TAIFA la ZANZIBAR bx hao ni WAZANZIBAR. ..

    • @umydaddy4697
      @umydaddy4697 6 років тому

      Msellem Salim true

    • @shodristvtv6121
      @shodristvtv6121 6 років тому +1

      umy daddy hujasoma history ndomana unasema hivo

  • @haskao77
    @haskao77 6 років тому

    Alikuwa anaangalia nini pembeni

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 6 років тому

    Sipati picha kamili,hivi ni wana Tanzania?

  • @boscoaugen7618
    @boscoaugen7618 6 років тому +1

    sanaaa lilommy