WAHAMIA CHADEMA WAKITOKEA CCM AFUNGUKA,VILIO VYATAWALA MWENYEKITI CHADEMA MKOA MBEYA AWAPOKEA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024
  • IPINDA ONLINE TV.......Asante kwa kuchagua Ipinda online Tv.........Usisahau Kusubscribe Channel yetu

КОМЕНТАРІ • 23

  • @LassonDominick
    @LassonDominick Місяць тому +4

    CCM mubadilike tutawapoteza ohoooo😢

  • @user-vq3zu8ne9b
    @user-vq3zu8ne9b Місяць тому +1

    Pipooooziiii 🔥🔥🔥🔥

  • @MussaSuleiman-ui9fy
    @MussaSuleiman-ui9fy Місяць тому

    Hao walioondoka ccm acha waondoke sisi hatuna shida nawananachama

  • @IdrisaTuppa
    @IdrisaTuppa Місяць тому

    Jino Kwa Jino 2025✌️

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Місяць тому +1

    HAKI HUINUA NCHI ❤❤❤

  • @stevenkatani3047
    @stevenkatani3047 Місяць тому

    Kazi mnayo kila tawi kuno chuma ya mama kwa ajiri ya uxhindi ssh5 tena

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 Місяць тому +2

    Chadema asante kwa kupokea hao wageni kutoka ccm ila tahadhali kuwa makini msijekupokea mamluki wakaja kurudisha juhudi za mapambano nyuma na kutoa siri za chama kwa hao majambazi wa ccm! Kuweni makini muwachunguze kwa umakini sana! Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi! Ccm inatakiwa ianguke uchaguzi huu wananchi msirudie dhambi kuichagua ccm!

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Місяць тому +1

    WOKOVU NDO MMEUJUA SASA, INABIDI MBATIZWE LEO

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Місяць тому

    Power🎉🎉🎉

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Місяць тому

    Chadema makamanda.❤

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 Місяць тому +2

    Hama hama baba ukapate maisha manzuri CDM mbeya hiyo

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Місяць тому +4

    Wanambeya mnajitambua mmekataa kufanywa watoto wadogo na hiki kikundi kidogo kinataka kututawala kama yatima

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps Місяць тому

    Jaribuni kuwachunguza wasiwe ni mamluki

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Місяць тому +1

    💯👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 Місяць тому

    Tuwe tahadhari.,na mamluki.Japo wajeNguvu yaUmma. yawahitaji.

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Місяць тому +2

    Watambuweni wageni wanaweza wakapewa pesa wakatuvuruga bc wakati wa uchaguzi.kuweni macho

  • @OdiloMagungu-uf5is
    @OdiloMagungu-uf5is Місяць тому

    Ccm ni majizi tu hakuna haki kule

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Місяць тому +2

    Unapoteza muda hiyo ni kama kutwanga maji kwenye kinu. Labda waleteni wasimamixi wa kura kutoka nnje. La sivyo ccm itaendelea kuiba kura .

  • @user-ig3bu6lb5i
    @user-ig3bu6lb5i Місяць тому

    Je awa nao wamenunuliwa na chadema?

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Місяць тому +1

    Wezi wa kura na wabadhilifu wa rasili mali za umma kutawala nchi hii inawezeka bongo tu

  • @Maximillianchacha-fm9yi
    @Maximillianchacha-fm9yi Місяць тому

    😂😂😂😂😂😂

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d Місяць тому

    Ujinga mtupu nauona hapo