Msigwa Aripoti CCM Iringa Mjini | Aahidi Kuitumikia CCM kwa Nguvu Zote kama Alivyokuwa CHADEMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024
  • Mchungaji Peter Msigwa ameripoti rasmi katika ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Iringa Mjini ikiwa ni siku chache zimepita tangu aachane na CHADEMA na kujiunga na CCM ambapo amepokelewa kwa shangwe na kufanya mazungumzo maalum na viongozi wa Kamati ya Siasa ya CCM katika ofisi hizo.
    Wakati akizungumza mara baada ya kupokelewa katika ofisi za CCM Iringa Mjini Julai 09, 2024, Mchungaji Msigwa amesema kuwa yupo tayari kutoa ushirikiano wa kutosha ili kuwaonesha wananchi ni kwanini wanatakiwa kumuunga Mkono Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa anazofanya kuiletea maendeleo Tanzania.
    Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku.
    Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani.
    Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments.
    #FocusDigitoTV
    ..................
    Tufuatilie Zaidi kupitia:
    INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
    Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
    Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
    We Love You | Tunakupenda
    Regards
    Team FocusDigitoTV
    MSIGWA AFUNGUKA SABABU YAKUITOSA CHADEMA KUHAMIA CCM "MIMI NI MTU MZIMA
    MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA BAADA YA KUJIUNGA NA CCM, ATAJA SABABU ZILIZOMFANYA AONDOKE CHADEMA.
    MBOWE na LEMA WAMLIPUA VIBAYA PETER MSIGWA - WAMWITA MSALITI - WAFICHUA ALICHOKIFUATA
    DR.SLAA ANAONGEA SAKATA LA MSIGWA KUHAMIA CCM ZAKARIA OBAD WA CHADEMA KUFICHUA MAZITO
    MSIGWA WA CHADEMA AIBUKIA CCM RAIS SAMIA AMPOKEA

КОМЕНТАРІ • 92

  • @omarysheha-lc3cu
    @omarysheha-lc3cu Місяць тому +5

    Pesa za Mama Abdul zinfanya kazi

  • @HulumaKisakali
    @HulumaKisakali Місяць тому +1

    Mungu anakuona

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo760 Місяць тому +3

    Duuuh kweli nchi imeharibika, watu wanajiuza mchana kweupe bila chembe ya soni eti "badala ya ku-compete, kwa nini nisi-collaborate" kumbe kanunuliwa! Yeyote aliyedhani tunauongozi, aanze kujua kwamba kila kitu kimeparaganyoka walioko madarakani kazi yao ni kuhonga watu ili wakae madarakani, basi!! Hatari kubwa...

  • @OswadSanga-hb2vi
    @OswadSanga-hb2vi Місяць тому +6

    Unaona aibu wewe kwa mungu huendi

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Місяць тому +4

    Huna sela ww kwendaaa

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 Місяць тому +3

    Safi sana msigwa

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 Місяць тому +3

    Unanuka mavi Mungu utakupiga kipigo hutaamini maisha yako pesa na vyoote ni vya muda tu cheo cha dhuluma ni laana imeikaribisha nyumbani kwako.

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 Місяць тому

      We nan? Mavi ya popo ww? Achana na Msigwa kabisa endeleeni kukalia mawe ya kikabila hayo ni upuuzi kubaki chama cha wanywa mbege

  • @piusjuma7384
    @piusjuma7384 Місяць тому +5

    Jimbo tayr Lina mtu ucje ukafikr utachukua jimbo

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Місяць тому

    Mkimbizi mpooo❤

  • @samsonogunde4508
    @samsonogunde4508 Місяць тому +2

    Katoka Mwenyewe kwa Pesa za Mama tu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Місяць тому +1

    Safi sana Msigwa, umeachana na chama cha kikabila, kidini na kikanda

  • @user-wz3ne2kc3o
    @user-wz3ne2kc3o Місяць тому +3

    Mzee ameanza kumtukuza mama,😮

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 Місяць тому +3

    Mie na familia yangu tulikuwa wafuasi wako ila kwa sasa bye see you sina urafiki na msaliti yaani wewe umeenda kufuata cheo na vipande 30 ukaacha kuwa sauti ya wasio na sauti. Na umekubali kufa kisiasa. RIP

    • @brunomirambi8792
      @brunomirambi8792 Місяць тому

      MSALITI MBOWE HAYO MANENO PELEKA KWA MBOWE MWENYEKITI GANI WA KUKAA MADARAKAN MIAKA 30??? ACHA POROJO ACHA POROPAGANDA

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 Місяць тому +2

    yaani shavu limenona muda mfupi kweli pesa za Samia zimefanya kazi

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Місяць тому +2

    Msigwa umejidhalilisha, unatembea bila suti. Rushwa na njaa imekudhalilisha.

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Місяць тому +2

    Unakwepa mavazi ya ccm

  • @user-rl6vf9tg8m
    @user-rl6vf9tg8m Місяць тому +2

    Mmmmmmmmmmmh huyo ni msingwa au sion

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d Місяць тому +3

    Limekaa kama msukure pumbavu zako msariti usiyekuwa na haya na unatumia jina la kudharilisha uchungaji

  • @saidmushehe
    @saidmushehe Місяць тому

    Hizi ni Sasa za Tanzania ...Mm Wala sisashangai

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Місяць тому +2

    Hiyo ndio ccm utatumika baada ya hapo-------

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Місяць тому +1

    Hofu imtawale huyu msaliti kwajina la yesu

  • @makobamasawemangu4122
    @makobamasawemangu4122 Місяць тому

    Jamaa linasema ccm oye huku limekunja ngumi hili niliana Chadema kabisa wana ccm tustukeni

  • @willykomba8376
    @willykomba8376 Місяць тому

    NJAA Mweee 😢

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Місяць тому +2

    Mhhh hata haibu hana,ni ufisadi tu

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Місяць тому

    Pyeerrerrrrrr

  • @samsonogunde4508
    @samsonogunde4508 Місяць тому +1

    Mchungaji hata Aibu huna

  • @piusmdoe3200
    @piusmdoe3200 Місяць тому

    Umeshindwa kusoma nyakati na majira.
    Ungesubiri tusingesema ni baada ya kukosa.

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Місяць тому +2

    Yaani wewe huna lolote kuiamini ccm ni sawa na kumwamini shetani tutakukubari huyo mama yako akitupatia katiba mpya

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd Місяць тому

    watz kweri kabisa nikichwa Cha wendawazim, watu wanawaza Leo tu kesho ni Giza Totoro hatari Sana.

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Місяць тому

    Huyu jamaa akachunguzwe akili sio mzima. Hafai hata kuonekana mbele ya Watanzania

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Місяць тому

    kama yuda vile nahisi atajinyonga Kwa usaliti

  • @bazilmateru915
    @bazilmateru915 Місяць тому

    Gen z ya Tanzanian

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Місяць тому

    Msukuma alisema kweli kabisa huyu ni zaidi ya shetani kabisa, huyu kakubali kununuliwa kwa vpande 30 vya fedha.

  • @user-xx1je7sy4h
    @user-xx1je7sy4h Місяць тому

    Tayari kishakuwa chawa pumbavu zako mbwa wew

  • @sizorstartv6168
    @sizorstartv6168 Місяць тому

    Msigwa umesikitisha watanzania ..umekuwa msaliti wa ajabu ajabu .. hatuamini machoni mwetu ..ila pigo likukute kama farao katika biblia ..leo unaonekana na kujidhalilisha kisa cheo..kumbe kupigania kwako haki za wanachi ilikuwa geresha bali wataka cheo ..Hakika hustahili hata huko CCM muwe nae makini msimwamini kirahisi

  • @ramawilson3709
    @ramawilson3709 Місяць тому

    Umekuwa lipumbavu kwelikweli

  • @geofreykasinda1895
    @geofreykasinda1895 Місяць тому

    Yani watanzania bado atuja amuwa, kama tungeamka hawa ccm wasinge kuwepo madarakani

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 Місяць тому

    Ms#nge

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Місяць тому +1

    Chama mbogamboga cha kusomba watu kuwapikia wali haragwe cha machawa umeacha kupigania haki utalaaniwa

  • @JJ-fb9jp
    @JJ-fb9jp Місяць тому

    Mbona kama wapambe ni wanafunzi wa sekondari?

  • @adeltuszakumuha9618
    @adeltuszakumuha9618 Місяць тому +2

    Shenzi

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 Місяць тому

    Haahaa msigwa kafilisika, kafuata mlo ccm😂😂

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Місяць тому

    ms igwA lost darection why no confidence on ccm as the powerforce msigwA was before even voice that moray msigwA was in chadema is the different msigwA we know him that anounciment all political party attend his first meeting in lringia home place msigwA lost popularity l don't think so if chadema will attend that call for msigwA to leasening him on thouse opposition leader l don't think so number 2 ccm has got no problem of politician problems of ccm reality underground speak reality underground wich msigwA cant be free wil be Force and control by ccm what to say with limit hapo ndipo patakapo mkwaza msigwA kupangiwa cha kusema na kuwa monitor maneno ya kusema ndani ya ccm tofouti km angekuwa 4:33 upinzani chama kingine angelikuwa na nguvu

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn Місяць тому

    Chadema imekupendezesha wewe na imekutoa mbali

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc Місяць тому

    Msigwa unadhani utaibomoa Chadema?

  • @majidimussa8678
    @majidimussa8678 Місяць тому

    mbona nyuma yke kuna kamanda kavalia nguo ndan

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg Місяць тому

    😂acha njaa kaka

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Місяць тому

    Ukaribisho wa watoto, wewe ni hovyo kabisa, njaa mbaya sana.

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Місяць тому

    kuuza badar

  • @user-jo9gp5tb9w
    @user-jo9gp5tb9w Місяць тому

    Wewe nimsaliti mkubwa unakua kma vile unakua wakike

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Місяць тому

    Nimecheka halina Aibu

  • @makobamasawemangu4122
    @makobamasawemangu4122 Місяць тому

    Mbona kama naona kunalijamaa limevaa tisheti ya Chadema hapo nyuma

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Місяць тому

    Wewe unasiasa za kinafiki shida njaa kali

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq Місяць тому

    Mtaogea kila siku ccm haifai mpka mnakufa mnaiacha ccm inaogoz tu naimani na hilo

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq Місяць тому

    Fanya kazi msingwa acha waseme usiku na mchana

  • @user-bz3kk5te4m
    @user-bz3kk5te4m Місяць тому

    Kazi ipo hapo na Wana ccm wenyewe

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Місяць тому

    Wale wanataka kumuunga mkono Msigwa, wamejinyea.

  • @OdiloMagungu-uf5is
    @OdiloMagungu-uf5is Місяць тому +2

    Mzee umekwisha

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese Місяць тому

    Kumbe njaa mchungaji wa ,mchongo kama ww na yuda esc mtakuwa kun za kuchomea wengineo

  • @stevenibrahimu326
    @stevenibrahimu326 Місяць тому

    hata sura inaonyesha mnafiki sana

  • @timothchidebwe
    @timothchidebwe Місяць тому

    Siwezi .Kuna .kumsikiliza .mwehu

  • @user-fx4pr4vp8p
    @user-fx4pr4vp8p Місяць тому

    Hana aman

  • @salumbujjo2320
    @salumbujjo2320 Місяць тому

    Anaongea ila moyoni anaumia sana huwa uovu ni ugongwa ukubwa kuliko magonwa ya kuumiza

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Місяць тому

    Huna lolote unawaalika chama chako cha zamn nani aje kukusikilxa ww mpuuz

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 Місяць тому

    Jamaa kangara sura 😂😂😂😂

  • @user-qy9fj3yo2t
    @user-qy9fj3yo2t Місяць тому

    Mbona kama hayuko serious Nina mashaka naye

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Місяць тому

    Msigwa ni cartoon comedian hafai

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 Місяць тому

    Huyu hana muda mrefu wa kisiasa eti huyu ni mchungaji

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Місяць тому

    Duuuuu!!!

  • @lucksonsikaona505
    @lucksonsikaona505 Місяць тому

    Mukundu kabisa msgwa wewe ni motoni ya jehenamu

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv Місяць тому

    Umekwisha kisiasa ww? Lushwa imekuponza

  • @GaradiGaradi-zq1wf
    @GaradiGaradi-zq1wf Місяць тому

    Umepata ajali ya kisiasa uchawa wako ukiupeka ccm umeisha hao wanajuana.

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Місяць тому

    Na za ziara za Mwanza ikoje mbona husemi

  • @sadamshantiwa9749
    @sadamshantiwa9749 Місяць тому

    Zakayo

  • @user-md4ui2qw5n
    @user-md4ui2qw5n Місяць тому

    Yuda msigwa mkundu wako

  • @ZuhuraMarande-fl2zw
    @ZuhuraMarande-fl2zw Місяць тому

    Kinyambe😅😅😅😅😅

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 Місяць тому

    Msigwa oyeeeer

  • @christophersimoni1434
    @christophersimoni1434 Місяць тому

    pimbi wewe😅😅

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y Місяць тому

    Mkundu wako uliojaa mavi mpumbavu sana wewe yaani huna tofauti na Malaya anaotembea na kila mwanaume

    • @huyu1993
      @huyu1993 Місяць тому

      Malaya unamjua ?

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Місяць тому

    Mpumbavu mkubwa

  • @ngurukitv4584
    @ngurukitv4584 Місяць тому

    Looking good follow back done 🇱🇷 ✔ 👍 ❤❤❤❤❤❤

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Місяць тому

    Safi sana msugwa

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 Місяць тому

    MSIGWA UNAJUA SANA AKILI KUBWA