THE CLASSIC DUDU BAYA : KIINI CHA BEEF YAKE NA MR NICE,CHIDI BENZI NA KALAPINA/MIMI SISHINDWI LOLOTE
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Karibu Katika episode nyengine muhimu katika historia ya Bongofleva,Dudubaya ni moja ya wasanii ambao walipambania kuua dhana ya muziki ni uhuni chino,hii ni interview ambayo itakupa taswira ya upande wa pili wa maisha ya nyota huyu alieripotiwa kua na migogoro mingi.
Dudubaya kichwan yupo timamu sana, napenda interview zake
Kiukweli dudu BAYA anajuaa kujielezea kuliko wasanii wote Africa mashariki na kati respect Dudu baya
Sijawahi kuangalia interview kali ya DUDUBAYA zaidi ya hii
Dudu baya ulitamba sana kenya kwetu na,mziki mzuri kama nampenda mpenzi asie penda doo,na nakupenda tu,kwa maredio na matatu ulitisha sana mwanangu ,I really miss the old good days 😢
Hyu ndio vigilante” wa kwel kwenye game .... vivaDUDU LEGEND ..!!
Watu kama Dudubaya, TID , Chid Benz hauwezi kukuta wanaongea pumba kama tuu watahojiwa na watangazaji makini mfano wa Jabir Saleh aisee kazi nzuri sana wakuu wa kazi 🔥🔥🔥🔥🔥🤝🏿🤝🏻
asante sana brother
Katika list hapo na sky akihoji huwa unainjoi interview
Jabir we ni mtu muhimu sana kwenye hii tasnia
asante sana kaka
Dudu baya anaongea vitu ambavyo vipo na mkweli hapepesi maneno Big up Buyola Musiuem
Hii Ndiyo interview safi, real sio udaku. Dudu baya napenda sana kila mara huachi kutaja utatu mtakatifu 🫡
Dudu baya anajua sana Kuadithia
Mtafute jamaa mmoja anaitwa Voice wonder amesumbua sana Radio one kwa Ebby D...Nimpende nani. Ilibamba sana.
Nimpende nani mwenzenu naalia kisa maskini, anaaanikatalia.... ausiyo hiyo nini mkuu
@@selemanimsangi7805ixi. 🐅xv😗😃😗
Amekufa huyo
@@yusuphrashidi-dr1kbVoice yupo anamaisha safi kabisa ni mwana namjua mpaka ofisi kwakr
Tatizo ana hit mbili tu 1.nimpende nani
2. Hajazaa
Mtu wa Mungu Godfrey Tumaini ( Dududabaya )
What a interview! The best interview in 2023
Mambo ya zamani ugomvi mnataka kuyarudisha
Nimekipenda sana hiki kipindi,kinakumbusha mambo mengi ya zamani.
Na muziki mzuri wa zaman unaishi sio siri
Dudu ana kumbukumbu sana
Old is gold...meno kam Ngirii ilitisha sana
Mungu anatumia yaliyopita kukufundisha. This guy is awesome. Big up Konki
Brother wngu wa family kabisa nkumbuka tulikuwa kahama kwenye shoo yke na ss tulikuwa wasanii wadogo sna kipindi icho sehem ya shoo ilikuwa kagongwa... Nkumbuka tulivyo maliza shoo si tulipata tabu usafir Akuna mi na RFK yngu kwakuwa tulikuwa na Dudubaya mda mwingi sna pale Alitupenda sna
Kaza buti dah amenikumbusha mbali sana dudu .salute
Great show mzee baba
We need to give some money to the OGs when they come to your interviews.
Mrudishe tena DuduBaya
Unyama sana Konki Master
This dude ni Legend 🙌
Dudu baya kipenzi cha wa Tanzania Big up Bro
Mtafute roho 7 atubless na interview moja japo hafanyi mziki kwa sasa
Dah bonge moja la interview
Kweli asee tuleteeni Mr nice na Saida Karoli
Tunahitaji vipimdi kama hivi vingi asee sababu wakati wanatuburudisha hapakuwa na teknolojia ya kutosha kutunza kumbukumbu zao, hawa watu sio wakupotea kirahisi rahisi. Big up jabir
Kazi nzur....sasa fanya kuwaalika wote kwa pamoja (Dudu baya na Kalapina, Dudu baya na Mr Nice, Chid benz Kalapina na Dudubaya n.k) inaweza ikabamba
Salute kwako jabir tunamuomba na suma g
Good hiphop music history in TZ
Dudu Baya anakumbuka kila kitu.
Mashaka naikubali sana 😮😮
I love Dudu Nzuri
Mnyamwez #DUDUBAYA 🔥🔥🔥
Kaka tunaomba utuletee LUCAS MKENDA jamaa aliiteka sana east africa
Atuletee pia Zig D Mzee wa tamala
Bila kumsahau Jafarai Mzee wa niko buzy
Hapo sawa
Nakubali hii ngoma ilinisaidia kutulia maana ilkuwa tabu mtaani😂
MAPAFU YA MBWAA?? DUHHH ILA KWELI UMETISHA SANA TANGU ZAMANI❤❤❤❤
Jamaa ni story teller mzuri sana😅
Respect
Much respect brother Dudu baya
Nime kuja kugundua uki hitaji historia ya bongo fleva.. Kati ya watu top 3 ambao una takiwa kuongea nao Dudu Baya lazima awe kwenye hio orodha. Sugu,Dudu Baya, Jay Dee.
ina onekana mukono wakulia wa Dudu Baya haufanyi kazi vizuri
Kweli!
Kaza Buti! 🇰🇪
bonge la interview aise aitwe tena ndugu hahahhaha
Tuletee TID on the next episode on the classic.
TID tayari Mzee
Perfect❤
Good show unacheka,unajifunza😂😂😂😂😂
Kaka respect mungu akuweke sana
Hakili mingi huyu Dudu✊🏿👮🏿♂️
Akili mingi
kuna ngoma inaitwa SAFARI NJEMA, yupo JAY MOE, marehemu COMPLEX, na DUDUBAYA ,Inaenda:
nasema nachofanya ,nafanya ninachosema,
kavipandilia ,mithili bado mapema
tumesota sana ,muda wetu kuhema
kama zali, ukishindwa tema baba safari njema.
Humu ndani Dudubaya aliua bonge moja ya verse, nilianza kumkubali hapo..
Dudu baya alifanya unyama na nusu kwenye iyo ngoma
Kumbe dudu ndio maana una penda sana haki,,,umefunzwa haki ya mungu
KUV FACT nasikiliza hii na JR TUU nawakubari sana 1..kuv 2.. Jr
Jamaa kapungua sana.....hadi misuli ya mikono imekwisha
Chid Benz anatakiwa ajifunze hapa maana analialia sana
Bonge la show the dudu😂
Joseeee mtambo akuje
Creativity in full
Msapotieni huyo jamaa ana ujumbe mzuri kwa Jamii.
Interview Ya Fa umeipandisha kitofaut tunashindwa kudownload
Dudubaya ni moja ya wasanii wenye akili sana.
Dudu is Smart sana.
One love Dudu baya
WEBF mpo wapi jamani tutambuane bana ng'wanza
Nakubali konki 3
🔥🔥🔥
😊😊
konk konk konk konk masterrrrrrrrrrrrrrr…
Can u tell him that's I like him
Great show kaka, salute..!
asante sana kaka
#DUDUBAYA
Dudu anajiamin sana
Tunamtaka tena dudu baya
Konki ❤
Dudu baya ninamkubari saaaana
KuviFact nitaanza kumfuatilia... mlete Mr Nice
Jamaa anahitajika na Mungu. Ana akili sana. He is very real. And that's hip hop.
Mamba
Tunamuomba na Mr Nice kuvfact
Yea
Mchizi kapungua sana
I wanna have this kinda studio. Nifanyeje? I'm a BARIADI guy
Mtafute GK
MAMBA #ON3
Nimecheka, hauwezi kuiangusha dola ya mambaz.
Dudu ana akili sana
Mlete jose mtambo man
Halla
Kweri broo turibeba kideo sebureni tukatia uzuni famiria mda wa kutest tuchukue maokoto kikaungua
Yaaaani hii interview naicheki inaishaa nainzaa tenaa inaishaa haiishi utamu aiseeee😅😅😅😅
Kuna jamaa alikua anaitwa SONERI umlete
Sasa nmeelewa kitu dudu,kanisani ndio ilikuwa njia yako japokuwa mafanikio yalikuja ila roho ilikufa
Dudu anasaut mkwaluzo
Yani dudu uwakalishe kikosi cha mizinga😂😂
Tatizo unaogopa stori za kalapina😂😂
The Game wa Tz
Nataman kumsikia msanii mmoja anaitwa Kilalu alifanya nyimbo na mr blue-nikabaki hoi
Kweli maaa umeondoka maaa huku nyuma moyo umeuchoma sio Siri maa tangu uende maa nikabaki hoi..
Kuna msanii anaitwa j4c aliimbaga wimbo inaitwa siamini yalonikuta mm ohoo juu ya binti nlompenda mm ohh Leo niende halusini ,mtafteni ase ata sura simkumbuki ,,wakongwe
By the way ana exposure kubwa sana kwenye mziki kuliko Chidi. Chidi kutwa kutamba mtoto sijui wa Ilala sijui mjini. 🗑️
DB 🧠 kubwa