THE CLASSIC SUGU EP 1:MIAKA 30 YA GAME /BEEF NA KWANZA UNIT/KUHARIBU ZAWADI MBELE YA MKUU WA MKOA
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2024
- Kama hukuwahi kuona The classic na Sugu ambayo ilfanyika mwaka jana sasa ,tumekuwekea hapa ambapo Sug anaelezea alivyoanza game ya rap miaka 30 iliopita,katika episode hii Sugu ameelezea ugumu alioupata katika miaka hiyo na jinsi ambavyo aliwez kushinda vizingiti vikubwa katika safari yake mpaka sasa
#theclassic #sugu #jongwe #kuvifacts #trending #popular #podcast #bongoflava #kuvichaka
Mrudie hii
Part 2 naitafuta sijaona
Sugu ni Tupac Shakur wa Bongo 🔥🔥 much respect kaka jongwe
Noma sana
😂😂😂sugu 🙌
Interesting Sugu
Ifike mahala watu wampe sugu maua yake, sio mpaka aondoke, daily watu wanataja, dogo hashimu,profesa jay etc sikatai kwamba hawa watu ni hatari na ni tunawasheshimu sana ila SUGU ndio engineer wa hip hop halisi, mwanaharakati
Kwanza unit ndiyo waanzilishi,hata Sugu mwenyewe anakiri hapo
@@thehunter5920 mwanaharakati, kupigania haki, toka enzi za wamachinga, sugu hakua wa kwanza hata kwanza unit hawakuwa wa kwanza, ila wote wapo kwenye kizaz cha kwanza cha hip hop ya bongo, ila sugu alikua tofauti kabisa
@@kingnebuchadnezar wa kwanza walikuwa kina nani sasa,nataka niwajue
@@thehunter5920 kuna mtu alikua anaitwa salehe jabir, alianzia kwa kubadiliaha nyimbo za kizungu na kuzichana kibongo, ila hao wote kina salehe, sugu, kwanza unit, kina KR wa temeke GwM, kina sygon wote watu wa mwanzo, yani kila kona kulikua na watu wameshaanza kuchana. Kizaz cha pili ndio kina proff jay, juma nature, jay mo, mwana fa,
Mtata
SUGU HIPHOP G.O.T
Gego Masta Repping UNJU BIN UNUQ
Unju
Kuvifacts, am proud of you brother. Thanks for these Interviews. Peace.
The meaning of real nigga...!!! Sugu moto chini..!! Wanamuita nani? Sugu. Hahaha Bro kuvi fanya km kuwe na muendelezo hv Taita bado hajamaliza story
Uyu jamaa ndio anajuwa interview na wasanii
Mbona haijaisha wazee,tuwekeeni muendelezooo
Hakuna kubisha SUGU kubws laoooo!!!
Ndo maana kumbe umekuwa ukifanikiwa sana
Sugu
Kaka mkubwa jongwe toeni ngoma moja na Mwana Fa itakuwa 🔥🔥🔥
Hakuna kama Sugu hapa Bongo
Raha Sana kumskiza sugu ,namwelewa sana anko sugu
Sugu number 1 MC in Tanzania
Kuna jamaa wanaitwa kwanza unity noma mzee na hao ndo wameanzisha mziki wa kufoka foka watu wazima sasa hatari sana
Good vibez kabisa. Peace.
Genious
Sugu moto chini. Hatareeiii, nawakubali sana myamba EFM. Afu Tunamsubiri kwa hamu sana Jacob Makala a.k.a JCB😂😂😂👏👏🙌🙌🙌
Bora nibaki na respect kuliko kuondoka na redio😂😂😂😂, Jongweee😅😅🙌🙌
Mbeya Nchi,Sugu Raisi 😂😂😂
Legend💪
Sugu moto chini
Sugu mtu makini
❤
Nakukubali Sugu Mkali
mfalme wa rhymes anatakiwe aje apo
LEGEND🔥🔥🔥🔥
Jongwe
Gego the master.... nakuona kwa mbali.😀
Mwanangu Ice Cube 😂
Sugu
🔥🔥🔥🔥🔥sugu
Jongwe
HE IS NOT FAKER
💥💥Show Kal
Noma sana
Kindly bring Mr. Nice pia kwa studio. Peace.
Tazama nyuma hapo amekuja miezi miwili iliopita mkuu
Sungu nakukubali Sana one day is Nitakutafuta nikipe mukono