THE CLASSIC SUGU EP 1:MIAKA 30 YA GAME /BEEF NA KWANZA UNIT/KUHARIBU ZAWADI MBELE YA MKUU WA MKOA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024
  • Kama hukuwahi kuona The classic na Sugu ambayo ilfanyika mwaka jana sasa ,tumekuwekea hapa ambapo Sug anaelezea alivyoanza game ya rap miaka 30 iliopita,katika episode hii Sugu ameelezea ugumu alioupata katika miaka hiyo na jinsi ambavyo aliwez kushinda vizingiti vikubwa katika safari yake mpaka sasa
    #theclassic #sugu #jongwe #kuvifacts #trending #popular #podcast #bongoflava #kuvichaka

КОМЕНТАРІ • 51

  • @TeamSelekta
    @TeamSelekta 2 місяці тому

    Mrudie hii

  • @isakangogo3636
    @isakangogo3636 6 місяців тому +1

    Part 2 naitafuta sijaona

  • @Bumutz-po2df
    @Bumutz-po2df 9 місяців тому +2

    Sugu ni Tupac Shakur wa Bongo 🔥🔥 much respect kaka jongwe

  • @robartifabiani
    @robartifabiani Рік тому +2

    Noma sana

  • @Abuukhatibu
    @Abuukhatibu 7 місяців тому +1

    😂😂😂sugu 🙌

  • @ngaukamaita3979
    @ngaukamaita3979 Рік тому +1

    Interesting Sugu

  • @kingnebuchadnezar
    @kingnebuchadnezar 9 місяців тому +7

    Ifike mahala watu wampe sugu maua yake, sio mpaka aondoke, daily watu wanataja, dogo hashimu,profesa jay etc sikatai kwamba hawa watu ni hatari na ni tunawasheshimu sana ila SUGU ndio engineer wa hip hop halisi, mwanaharakati

    • @thehunter5920
      @thehunter5920 6 місяців тому

      Kwanza unit ndiyo waanzilishi,hata Sugu mwenyewe anakiri hapo

    • @kingnebuchadnezar
      @kingnebuchadnezar 6 місяців тому +1

      @@thehunter5920 mwanaharakati, kupigania haki, toka enzi za wamachinga, sugu hakua wa kwanza hata kwanza unit hawakuwa wa kwanza, ila wote wapo kwenye kizaz cha kwanza cha hip hop ya bongo, ila sugu alikua tofauti kabisa

    • @thehunter5920
      @thehunter5920 6 місяців тому

      @@kingnebuchadnezar wa kwanza walikuwa kina nani sasa,nataka niwajue

    • @kingnebuchadnezar
      @kingnebuchadnezar 6 місяців тому

      @@thehunter5920 kuna mtu alikua anaitwa salehe jabir, alianzia kwa kubadiliaha nyimbo za kizungu na kuzichana kibongo, ila hao wote kina salehe, sugu, kwanza unit, kina KR wa temeke GwM, kina sygon wote watu wa mwanzo, yani kila kona kulikua na watu wameshaanza kuchana. Kizaz cha pili ndio kina proff jay, juma nature, jay mo, mwana fa,

  • @Nigaboy-p4s
    @Nigaboy-p4s Рік тому +1

    Mtata

  • @mbelikemtamaduni7905
    @mbelikemtamaduni7905 Місяць тому +1

    SUGU HIPHOP G.O.T

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 Рік тому +8

    Gego Masta Repping UNJU BIN UNUQ

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu2963 6 місяців тому +2

    Kuvifacts, am proud of you brother. Thanks for these Interviews. Peace.

  • @hameesnassoro7158
    @hameesnassoro7158 Рік тому +3

    The meaning of real nigga...!!! Sugu moto chini..!! Wanamuita nani? Sugu. Hahaha Bro kuvi fanya km kuwe na muendelezo hv Taita bado hajamaliza story

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 9 місяців тому +3

    Uyu jamaa ndio anajuwa interview na wasanii

  • @fadmwangosi1007
    @fadmwangosi1007 Рік тому +6

    Mbona haijaisha wazee,tuwekeeni muendelezooo

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 7 місяців тому +1

    Ndo maana kumbe umekuwa ukifanikiwa sana

  • @abbyjma7355
    @abbyjma7355 4 місяці тому +1

    Sugu

  • @MirajiTraves
    @MirajiTraves 6 місяців тому +1

    Kaka mkubwa jongwe toeni ngoma moja na Mwana Fa itakuwa 🔥🔥🔥

  • @lowkeybongo
    @lowkeybongo Рік тому +2

    Hakuna kama Sugu hapa Bongo

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Рік тому +3

    Raha Sana kumskiza sugu ,namwelewa sana anko sugu

  • @phinaphina3201
    @phinaphina3201 Рік тому +4

    Sugu number 1 MC in Tanzania

    • @kazimilykulwa2516
      @kazimilykulwa2516 9 місяців тому

      Kuna jamaa wanaitwa kwanza unity noma mzee na hao ndo wameanzisha mziki wa kufoka foka watu wazima sasa hatari sana

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu2963 6 місяців тому +1

    Good vibez kabisa. Peace.

  • @aquinomsigwa6998
    @aquinomsigwa6998 Місяць тому

    Genious

  • @simas.a1003
    @simas.a1003 Рік тому +1

    Sugu moto chini. Hatareeiii, nawakubali sana myamba EFM. Afu Tunamsubiri kwa hamu sana Jacob Makala a.k.a JCB😂😂😂👏👏🙌🙌🙌

  • @2116-n
    @2116-n Рік тому +2

    Bora nibaki na respect kuliko kuondoka na redio😂😂😂😂, Jongweee😅😅🙌🙌

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn9633 Рік тому +2

    Mbeya Nchi,Sugu Raisi 😂😂😂

  • @twahangamba3082
    @twahangamba3082 6 місяців тому +1

    Legend💪

  • @castroydaimon3107
    @castroydaimon3107 Рік тому +2

    Sugu moto chini

  • @jiwefurniture1128
    @jiwefurniture1128 Рік тому +3

    Sugu mtu makini

  • @castroydaimon3107
    @castroydaimon3107 Рік тому +2

    Nakukubali Sugu Mkali

  • @ayoubbilali1050
    @ayoubbilali1050 Рік тому +1

    mfalme wa rhymes anatakiwe aje apo

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Рік тому +2

    LEGEND🔥🔥🔥🔥

  • @pascalgodfrey686
    @pascalgodfrey686 10 місяців тому +1

    Jongwe

  • @issaabeid1215
    @issaabeid1215 Рік тому +1

    Gego the master.... nakuona kwa mbali.😀

    • @muddyville
      @muddyville 11 місяців тому

      Mwanangu Ice Cube 😂

  • @maicgado58
    @maicgado58 Рік тому +1

    Sugu

  • @RichardCossan-rk1ub
    @RichardCossan-rk1ub Рік тому +1

    🔥🔥🔥🔥🔥sugu

  • @raphaelmheta
    @raphaelmheta Рік тому +1

    Jongwe

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Рік тому +2

    HE IS NOT FAKER

  • @mombamo5
    @mombamo5 Рік тому +1

    💥💥Show Kal

  • @zombazezu
    @zombazezu 9 місяців тому

    Noma sana

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu2963 6 місяців тому

    Kindly bring Mr. Nice pia kwa studio. Peace.

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  6 місяців тому

      Tazama nyuma hapo amekuja miezi miwili iliopita mkuu

  • @MugishaminaniEric-cx9tu
    @MugishaminaniEric-cx9tu Місяць тому

    Sungu nakukubali Sana one day is Nitakutafuta nikipe mukono