THE CLASSIC KALAPINA : NLIJUTIA KUMTEKA SOLO THANG/KUMPOSA MR BLUE/UGOMVI NA MTOTO WA RAIS JK /BEEF
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Hii ni interview ya The Classic na Mwanahiphop mahiri Kalapina ambae alikua kiongozi wa ukoo mkubwa wa hiphop wa Kikosi cha mizinga,Interview hii ilifanyika mwaka mmoja uliopita na Kalapina alituelezea kiundani kuhusu tuhuma nyingi ambazo zilizungumzwa juu yake,hii ni sehemu ya maongezi yake
Hii ni interview bora sana kwangu kusikia na imeeleza vizuri sana hizo background gossips za bongo fleva kuhusu kikosi na hiphop. Pina is very nice guy 🖖
Watu wa Hip hop wanaakil sana
Those days I remember biliads hip hop ilikuwa real kinyama kikosi dah
Binadamu wanaomba mabaya/
Mtaani kwangu wazee hawana haya/
Wamejaa husuda chuki na roho mbaya/
Hakika wasingetupenda Hata tungeimba kwanya
Napenda kumsikiliza brother pina
Appreciation
sema kalapina na ubabe tofauti sana he is so innocent ukimuangalia
Mwamba Mtu Guddi Sanaaa
Kikosii Cha mzinga🔥🔥🔥
Nabiii koko📌
Muongo wewe Arusha before 2005 walikuwa wanafanya live, Via Via. Hii habari ya kujifanya pioneers ndio inaleta ego.
Napenda Sana the classic
Nabii Choco namuongezea stress akisikia hzo vocal
HAO WANAKATAANA,,MI NAFATILIA SANA INTV ZAO,,DUDU,,LORD,,KALA NA HIP HOP WENGI WANAOKUJA HAPO,,KILA MTU ANAJIONA YEYE NDO ALIKUWA MBABE KULIKO MWENZIE,,ILA TUNAWAAMBIA NYIE SIO MASELA MSINGEKUWA URAIANI.
Hujielewi, Kwani msela lazma aende jela .?...kwenda jela ni UFALA ww .!
@@ismailmasoud6001 WE ndi fala kaka,,,si msela si umepinda?? Waliopinda wote wako chimbo wanasubiri kifo 😀,mnamuiga 2 pac kufa amfi 😃,,nyie mabinti tu
@@hassanbakari4525 ...ukiona mtu Kenda JELA Kwa wizi au ugomvi ujue fala ..!..ndio maana ukiingia JELA uliowakuta wanakuuliza umekuja Kwa kesi aina Gani ..!
@@ismailmasoud6001 ASA UNABISHA NN,,UKIWA MTUKUTU MANAKE WE UMESHINDIKANA,,,SEHEMU ZAKO NI MBILI TU,,KIFO NA JELA,,,,VINGINEVYO WEWE NI RAIA MWEMA TU...HAPO HUELEW NN APO
@@hassanbakari4525 ...Kwani Kuna watukutu wangapi hawajaenda JELA na WEMA wangapi wameenda JELA..?..
Kalapina sikungi broh
Kalapina alikuwa shida sana
Ashim dogo Kala Pina is the best hip hop bongo akuna tena atakuwa kama awa awa ndio wagumu kamili
Walikuwaa wababe sana adii kutekanaa😁
Game ilikuwa real sana. Mabifu ya Hip hop kama mbele. Ila hichi kikosi cha mizinga nakikubaligi sana 🙌🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wasanii waZamani walikuwa wanaishi kimerekani sana mabifu live na yaukweli
UKWELI USIOPINGIKA KIKOSI NDIO BABA YAO .
KALAPINA
😝😝😝😝😝 jamaa ni storyteller mzuri sana . Hyu atafutiwe EP ingine
💯💯
Hamna ndefu?
Kikosi cha mizinga block 41
Tuleetee yuni besti Kona walio imba tisheti na jinzi
University Corner
Hip hop forever
Noma Nabi coco
Kwa nini hao watangazaji wamevaa barakoa?
Sijui wanasahau au nini, age sawa ila kila mtu akiongea issue zinapishana, brother kuvi can u please intervene on my coment for learning purpose
Kila mtu anavutia upande wake
Sasa mnavaa ayo yanii intaviyu ainogi
Wasanii waZamani walikuwa wanaishi kimerekani sana mapifu mengi na yaukweli
ila mkwara imezidi sana kuliko vitendo
Mnazingua mabarakoa ya nini sasa hapo mmezingua kuweni wastaarabu
Kalapina was STUPID na hujui Hiphop . Mwili mkubwa akili KISODA.
😂😂😂😂pina
Kaka voda sio msanii ni msela wa maskanii
Vipi humor ndani Corona dizaini flani kama imewarudia au ndio ugumu?
Hizi barokoa vipi tuambine..
Huyu Alishwahi kupata Corona, ila Mwenyezi Mungu aliweka Shani yake akapona.
Kwahiyo bado anahisi kama bado ipo. Tahadhari kwake ni muhimu zaidi kwasababu ilishampata.
Sahihi intvw hiyo nlifanya wakati ndo nmeanza kupona hivyo bado nlikua navaa
Nlikua natoka kuumwa covid mkuu
@@KuviFacts Sawa nimekuelewa, ahsante kwa kuniweka sawa
Nice
Sema fupi uyu jamaa uchoki kucheki intaview yak Yani
Ndefu ipo nenda kwenye account ya E FM hii ya kitambo kuvichaka kairudia kwenye account yake
Uyu jamaa alikuwa so mgomvi ila alikuwa mbabe wa kundi ukimchokoza ndo anakuzingua
Kala pina amekua mtu mzima siku hizi ameacha ubabe wa kijinga.. bug up bro😂😂😂😂
Ndio Leo nimeelewa kwanini kalapina wanamtaja saana wana hiphop,,,, alijulikana kwa ubabe na sio kwa mziki ua nafatili mziki wake lakini cjawahi kukutana na kibao Cha kutisha sana
Mstari wa mbele
Kasikilize singeli na amapiano wewe. Hujui hip hop😢
@@frankkajoba8372 naludia tena Kalapina hakua msaani wa kutisha kwenye hip hop ,,,, Kuna vichwa kama Sol seng walifanya makubwa kwenye game
U don't know
Kalale mkundu wewe,hip hop waachie wenye akili,huna rhymes hujui mziki,kelele nyingi maku wewe,kaimbe taarabu,
Duuu, ivi ww una akili kweli? Haya matusi ya chuki yanatoka mdomoni au?😢
Tulia mdogo wetu unaona unatatizo aupo sawa
Nakubali sana the classic