Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'
Вставка
- Опубліковано 4 вер 2024
- Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ni niongoni mwa waliopata nafasi ya kusimama Bungeni leo June 13, 2017 kuchangia mapendekezo yake katika bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka 2017/18 na haya ndio aliyozungumza
Daaah wazazi walizaa kichwa kwelikweli Mungu akupe maisha marefu
Sio mchezo
itapita miaka mingi sana kumpata mtu kama uyu
Dah baada ya kuchangia hapo alipigwa lisasi mchana mungu akuokoe na akulinde jembe
Kwakweli inasikitisha sana, wanadamu tuache chuki bali tuwe na upendo na tukubali kukosolewa maana sote tunamapungufu
Lissu is always ahead of time
Tundu Lisu nakukubari sana, kuwa mzalendo wa nchi yangu
Lisu nakuelewa sana hasa unapoprove facts....salute
Jensen Nashon ananikonga moyo pale anapoongea kwa facts ambazo amesoma na nyaraka anazo.shikamooo kaka
Napenda sana wasomi....lazma uongee kwa fact
iddi sambalo a
Hivi ukiongea baada ya Lissu kuongea unajiskiaje??
Lissu we proudly at you Sir. { natamani sana siku 1niwe mmoja wapo wa watu, kama we we!}
Lisu was smart..actualy maybe the smartest at tht time
Ujambo mrembo Masha llah mungu kaumba mama kazaha ww ni mzuri umekamirrka kira hidara kuanzia utmishi mpaka utwara maishara mungu acha aitwe mungu na ware wote wanao kutakia mabaya basi mwenyezi awatie kiza very Nice baby
Mnyama Lissu long life man
Shikamooo tundu lisu
ndio nilikuwa nasubiria hili jembe liongee roho yangu itulie sasa nimeshaelewambivu na mbichi VIVA TUNDU LISSU
V Allen una akili sana Dada angu
walioshindwa kuzifanyia kaz ropot zanyuma c Magufuli.Magufuli n Jembe babukubwa wtz tutaona jins atakavyoifanyia kaz ripot hii Mungu mpe ujasili Rais wetu.
V Allen una IQ kubwa sana.
tundu lissu
Nakukubali hapo #TunduLissu unaenda na Reference na taarifa za kila kilichotokea na kufanyika.Lakini bado watu wanaendelea kubisha sasa sijui wanataka nini la ziada.Keep #UKAWA kwa Ukombozi
No one like Lissu, God bless you!
Mr.Daniel."No one like Lissu".Ni kweli kabisa hakuna mtu mchafu, Mnafiki, Anatumiwa na Mabeberu, Mchochezi nk.Kama Lissu. Yaaani, huyu ametiwa Microchip na Wazungu ili awe chombo cha kupitishia mambo yao.
Na bado, Kufikia 2025,mtakuja kumwelewa tu. Endeleeni kumsifia.
Nakuelewaga sana kamanda wanguu wape ukwl japo wanakuponda
افلح السريرس nakupenda bulee
hivi sick we bongo tuna akili gani jamani hivi mtu unaona lisu kaongea pumba hivi kweli hebu kueni na akili bhana minichwa yenu imejaa mafuta ya taa lisu yupo sawa kabisa
Raibena ! hawana akili hao
Na hatutabadilika kamwe
Raibena ! Hua nakuelewa sana hata nisipokula najisikia kama mtanzania
Rebeka ww huna akili fala ww
LISSU the Legend
Huyu jamaa noma sana
Mungu akupe maisha malefu kamanda
Tundu always iz back
Mwanaume wa shoka huyo hatotokea tena jama Mhe Tundu Lisu.
Lissuuu saluti kwk
lisu laiti tungekuwa na watu 20 kama hii kuna mahali tungefika
Duuh, hii imenikumbusha mbali. Jamaa alimaliza tu kuzungumza asubuhi ile, mchana wa saa 7 akapigwa risasi na bahati nzuri Mungu akamnusuru, hakufa..!
Mungu mbariki MTU huyu aitwaye Lissu.
Shetani tu ndo atampiga Lisu
dah, yani watanzania inatakiwa tuelewe maana ya bunge VIVA LISU
Tanzania mpya..Iiileee....Naiona....MAGUFULI NI AFYA YA WATANZANIA...Mungu bariki TANZANIA
SASA kweli MTU wa Faida km huyu mnamwuulia nini JAMANI,? FAIDA YAKE NI KUBWA KULIKO HIZO CHUKI ZENU KWA MANUFAA YA NCHI,
Asante sana
Huyu jamaa ni noma.
SHIKAMOO LISSU
mchango wa Tundu Lissu. aliyefuatia sasa😭😭
😂😂😂😢
Mungu akupe Nguvu urudi na Walio kudhuru Mungu awachukue Hakika Mungu ni Mwema.😱😱😱😱😱😥😥😥😥😥😥
Dua yako mungu ameijibu
Tundu Antipas lissu the hero of the country 🔥🔥
The legend tundu lisu
Hivi kweli Tundu Lissu ana makosa kwenye hii nchi???! Kweli??
Hana hata kidogo
Mungu ni mwema kutupatia watu kama tundu lisu.
respect u!
Wawakilishi wa Chama tawala mnatia aibu,lkn ipo siku mtapigwa mawe majimboni...Mungu anawazoom
Khaled Masondore mulize tindu lissu jimboni kwake kafanya nn
Lugano Kapula hata Huyo wa jimboni kwako kafanya nn
Nani anasikiliza hii mwaka April 20121
👍
Sijaona kama huyu bado, unfortunately akapigwa risasi kwasababu hiyo
hii ndio 7bu iliofanya mwamba apigwe risasi!!!!!
Kuna wakat unaweza ukihc Mwanasheria huyu Lisu haelewek! Lkn bnafc namuelewa sana! Lp neno la kumfaa zaid ya kumtakia KHERIZE MOLA zmtangulie ktk kuzfungua faham! na sharize shetan ZIMUEPUKE! haya n MAOMB yangu ya DHAMBI Tanzania mpya INAKUJA km haijaja tayar!
Asante Mh.Lissu nakupongeza sana kwakusimamia ukweli
The MASTER!
Mama alitakiwa kuvuta pumzi kidogo maana ameongea kwa temper saaaana. By the way kile alichoongea Father Lissu we call it Factum Probandum
Mzee lissu ww unajua yan
Nakukubali sana lisu
sawa tindu lisu leo umewapa ukweli
Aya ok
Asante Yesu kwa kutuletea Dr. John Joseph Magufuli. Umemshindia vita ya makinikia, uzushi, chuki, corona na mengine mengi. Umewaaibisha wasaliti wa taifa walituombea tunyimwe misaada kumbe wanatusaidia kujitegemea kama taifa hivyo wametusaidia kuingia uchumi wa kati mapema kabla ya malengo yetu. Bariki watanzania wote wenye mapenzi mema. Amina
Wenye akili na uwelewa mara nyingi hawaupati uongozi wa juu urais ila wababaishaji na wazee wa kubip!!! Mungu wangu keep this man alive!! Ana upeo mkubwa na misimamo inayoeleweka!!!!
Tundu lisu oyeeee
lissu Mungu akubariki na akujalie maisha marefu kamanda
Msio mpenda kaja shikamo lisu wambie ukweli hao ujumbe umefika
Hana kitu huyo, usimdhamini atakudis-appoint mbele, huyu rais wa sasa sio mkurupukaji kama wengi wanavyodhani...tumpe muda tutaona. Hakuna jipya hapo!
Simba Dume Muda upi tena, mtu karibia anaingia mwaka wa tatu lkn hamna alichofanya zaid ya bla bla tu
+Simba Dume
kaibua mambo mengi Na hayajakmilka
Shujaa
point ya msingi n kubadir sheria zetu... na kingine Kikwete nae ahojiwe maana hata escrow pia mkataba wa iptl unamhusu... jamaa ni mwizi ila n mwanasiasa...tukitaka kufika lazma tufanye maamuz magumu... mda mwingne n bora tu nchi ingekua yakifalme... hawa marais walopita n lazma wahojiwe... haiitaj uwe na PhD kujua kua hao marais nao walinufaika... au bado wananufaika...
Sio kuhojiwa wafungwe kabsa
kwanii usiwe rais lisuu kwann ww kura yng chukua
Point
lisu love you so much
Shikamoo TUNDU LISU. Huyo mama yupo nje ya mada
Shams Said
only the cursed oppose you viva Lissu
asante TL
Kiukweli tundu lisu mm ninakuelewaga sana nitamani ciku moja tanzania wawatunze watu kama hawa lakini watanzania atutaki kuwa mbiwa ukwli kwa sasa tanzania atuna mtu kama tundu lisi
MTU makin saana tundu lisu....mungu akujalie
Huyu jamaa n tunu yaa tanzaniaaa leo 2020 nAsema n yeye
Ho ngera sana Jembe Letu Lisu. Mungu Akulinde Daima.
Lisu noma sana 😊
Tundu Lissu....................
Mashine ya kazi hiyo
Lisu noma
Watu na maliza chuo wanazurura mtaani we Una unga mkono wee mama umetumwa wewe
Mungu tubariki watoto wa Tz
JEMBE LISSU MTUME WA MWENYEZI MUNGU KWA TANZANIA❤❤❤❤❤
tulikuwa tunakusubir wewe sasa tumeelewa
mwamba ndo huuyoooo hapo sas 💪💪💪💪 mh Lissu
Wewe ni kifaa Allah atakulipa
Sema baba seeeemaaaa!!
Lissu kwanini umebadilika umekuwa pappet dah 😭
Kaka kauli yako nzito, unapaswa kuwa uhakika na sio kufuata political wagging. Tuseme kama asingepigwa risasi angekimbia nje ya nchi? Leo ungemuita puppet?
woooh thatz great
Hiii bungee la sasa iv sasa hiiiiii
JPM jishushe tu rais wangu. Hili jembe Lissu linakufaa sana.
The XYZ were jamaa umeona mbali sana.
Wew utapata uraizi mim chma chdema
SIKUKOSEA KABISA NILIPOKUPA KURA YANGU NAJIVUNIA HILO❤❤❤❤
Tunakumis Mh Lisu
Uzalendo Wa kweli ni kusimama na taifa lako wakati wote na kuionya serikali inapokosea! Kua mzalendo sio kusimama na raisi au kiongozi yeyote wa serikali! Tunashukuru kupata sauti hizi katika taifa letu! Washabiki na wasio na maarifa ni ngumu sanaa kwao kuelewa! Mungu ibariki Tanzania!
Talent hiii
Kamandaaaa
LISU WEWE NI KIBOKO YAO...... ACHA WAKUPINGE LAKINI WATAKUJA KUKUMBUKA ULIYO YAONGEA...!!!
lissu anaongea point tena kwa fact hadi ccm humo ndani wanatamani wakimbie
my president 💙
Shikamooo LISSU... No one like u... hahahah
Lisu the master
mnyama the don, mwenyewe ,lissu daah,
Huyu mtu anajituma sana hivi hizi taarifa anatoaga wapi
Nice
Ni Kweli huyu jamaa yuko mbele ya muda. Leo ni miaka 5 lakini mambo aloyasema yanajitokeza
A Very skilled M. P
Mi naomba nikwambie kua JPM ameweza kile ulicho kua na wasi was nayo na sasa katuletea sheria mpya nzuri ya madani yetu Asante JPM kwa kutegua hichi kitendawili ambayo ilishaachwa kua haiwezekan na sasa imewezekana.
I had to revisit 😢
tuache kufukua makaburu yasije yakatunukia badae badae tukahama madha tuangaarie mberee chamusingi marufu kusafirisha dhabu kwenye .makotena acacia hana t.i.n namba anatumia ya baryck unaogopa mini lisu
Unajua lisu aongeitu anafanya utafiti wajambo huyu mtu anafaakua Raisi
Huyu jamaa anajua sanaa, sema kaja kubadirika uku mwisho.