Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024
  • Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ni niongoni mwa waliopata nafasi ya kusimama Bungeni leo June 13, 2017 kuchangia mapendekezo yake katika bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka 2017/18 na haya ndio aliyozungumza

КОМЕНТАРІ • 315

  • @philipowyinjones9645
    @philipowyinjones9645 4 роки тому +12

    Daaah wazazi walizaa kichwa kwelikweli Mungu akupe maisha marefu

  • @rajabumapunda416
    @rajabumapunda416 4 роки тому +19

    itapita miaka mingi sana kumpata mtu kama uyu

  • @josephkisura8898
    @josephkisura8898 4 роки тому +10

    Dah baada ya kuchangia hapo alipigwa lisasi mchana mungu akuokoe na akulinde jembe

    • @helencyprian6044
      @helencyprian6044 4 роки тому +1

      Kwakweli inasikitisha sana, wanadamu tuache chuki bali tuwe na upendo na tukubali kukosolewa maana sote tunamapungufu

  • @isayamachaine4705
    @isayamachaine4705 Рік тому +4

    Lissu is always ahead of time

  • @geraldcargotransporters8544
    @geraldcargotransporters8544 7 років тому +8

    Tundu Lisu nakukubari sana, kuwa mzalendo wa nchi yangu

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 7 років тому +16

    Lisu nakuelewa sana hasa unapoprove facts....salute

    • @meshackkwigize9848
      @meshackkwigize9848 4 роки тому

      Jensen Nashon ananikonga moyo pale anapoongea kwa facts ambazo amesoma na nyaraka anazo.shikamooo kaka

  • @iddisambalo8421
    @iddisambalo8421 7 років тому +32

    Napenda sana wasomi....lazma uongee kwa fact

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo9833 7 років тому +20

    Hivi ukiongea baada ya Lissu kuongea unajiskiaje??

  • @daybrelimite6126
    @daybrelimite6126 7 років тому +18

    Lissu we proudly at you Sir. { natamani sana siku 1niwe mmoja wapo wa watu, kama we we!}

  • @arnoldarnold6271
    @arnoldarnold6271 4 роки тому +4

    Lisu was smart..actualy maybe the smartest at tht time

  • @TegooMuhando
    @TegooMuhando 4 місяці тому

    Ujambo mrembo Masha llah mungu kaumba mama kazaha ww ni mzuri umekamirrka kira hidara kuanzia utmishi mpaka utwara maishara mungu acha aitwe mungu na ware wote wanao kutakia mabaya basi mwenyezi awatie kiza very Nice baby

  • @mwajumafadhily7712
    @mwajumafadhily7712 6 років тому +4

    Mnyama Lissu long life man

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 7 років тому +5

    Shikamooo tundu lisu

  • @Tutindaga
    @Tutindaga 7 років тому +51

    ndio nilikuwa nasubiria hili jembe liongee roho yangu itulie sasa nimeshaelewambivu na mbichi VIVA TUNDU LISSU

    • @aggreyenock1221
      @aggreyenock1221 7 років тому +2

      V Allen una akili sana Dada angu

    • @emmanuelmsigwa714
      @emmanuelmsigwa714 7 років тому +9

      walioshindwa kuzifanyia kaz ropot zanyuma c Magufuli.Magufuli n Jembe babukubwa wtz tutaona jins atakavyoifanyia kaz ripot hii Mungu mpe ujasili Rais wetu.

    • @thetreasure2230
      @thetreasure2230 7 років тому +2

      V Allen una IQ kubwa sana.

    • @getrudadodieck7164
      @getrudadodieck7164 6 років тому

      tundu lissu

  • @SUPREMEDIGITAL
    @SUPREMEDIGITAL 6 років тому +2

    Nakukubali hapo #TunduLissu unaenda na Reference na taarifa za kila kilichotokea na kufanyika.Lakini bado watu wanaendelea kubisha sasa sijui wanataka nini la ziada.Keep #UKAWA kwa Ukombozi

  • @DanielDaniel-ey8th
    @DanielDaniel-ey8th 7 років тому +7

    No one like Lissu, God bless you!

    • @fnnyanda5993
      @fnnyanda5993 3 роки тому

      Mr.Daniel."No one like Lissu".Ni kweli kabisa hakuna mtu mchafu, Mnafiki, Anatumiwa na Mabeberu, Mchochezi nk.Kama Lissu. Yaaani, huyu ametiwa Microchip na Wazungu ili awe chombo cha kupitishia mambo yao.
      Na bado, Kufikia 2025,mtakuja kumwelewa tu. Endeleeni kumsifia.

  • @user-de7nf8pp3w
    @user-de7nf8pp3w 7 років тому +32

    Nakuelewaga sana kamanda wanguu wape ukwl japo wanakuponda

  • @raibena2695
    @raibena2695 7 років тому +11

    hivi sick we bongo tuna akili gani jamani hivi mtu unaona lisu kaongea pumba hivi kweli hebu kueni na akili bhana minichwa yenu imejaa mafuta ya taa lisu yupo sawa kabisa

  • @christophertarimo5047
    @christophertarimo5047 3 роки тому +3

    LISSU the Legend

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu 4 місяці тому +1

    Huyu jamaa noma sana

  • @severinepetro4395
    @severinepetro4395 4 роки тому +3

    Mungu akupe maisha malefu kamanda

  • @saidjagger.5543
    @saidjagger.5543 4 роки тому +2

    Tundu always iz back

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 3 роки тому +3

    Mwanaume wa shoka huyo hatotokea tena jama Mhe Tundu Lisu.

  • @joxeesetty1980
    @joxeesetty1980 7 років тому +18

    Lissuuu saluti kwk

  • @emanuelbelato7524
    @emanuelbelato7524 7 років тому +14

    lisu laiti tungekuwa na watu 20 kama hii kuna mahali tungefika

  • @robbiejerrson7437
    @robbiejerrson7437 Рік тому +1

    Duuh, hii imenikumbusha mbali. Jamaa alimaliza tu kuzungumza asubuhi ile, mchana wa saa 7 akapigwa risasi na bahati nzuri Mungu akamnusuru, hakufa..!

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 5 років тому +2

    Mungu mbariki MTU huyu aitwaye Lissu.

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya 7 років тому +25

    Shetani tu ndo atampiga Lisu

  • @erickrobinson8826
    @erickrobinson8826 7 років тому +3

    dah, yani watanzania inatakiwa tuelewe maana ya bunge VIVA LISU

  • @venancemsanjila1895
    @venancemsanjila1895 7 років тому +14

    Tanzania mpya..Iiileee....Naiona....MAGUFULI NI AFYA YA WATANZANIA...Mungu bariki TANZANIA

  • @gaspermassawe7397
    @gaspermassawe7397 7 років тому +20

    SASA kweli MTU wa Faida km huyu mnamwuulia nini JAMANI,? FAIDA YAKE NI KUBWA KULIKO HIZO CHUKI ZENU KWA MANUFAA YA NCHI,

  • @mh.samoladanielchikaka1370
    @mh.samoladanielchikaka1370 9 днів тому

    Huyu jamaa ni noma.

  • @doctorjuniour9459
    @doctorjuniour9459 7 років тому +19

    SHIKAMOO LISSU

  • @benny4345
    @benny4345 7 років тому +13

    mchango wa Tundu Lissu. aliyefuatia sasa😭😭

  • @daniellyimo636
    @daniellyimo636 4 роки тому +2

    Mungu akupe Nguvu urudi na Walio kudhuru Mungu awachukue Hakika Mungu ni Mwema.😱😱😱😱😱😥😥😥😥😥😥

  • @isackmabanza4937
    @isackmabanza4937 Рік тому +1

    Tundu Antipas lissu the hero of the country 🔥🔥

  • @tanzaniatheroyaltour518
    @tanzaniatheroyaltour518 2 роки тому +1

    The legend tundu lisu

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala8119 5 років тому +14

    Hivi kweli Tundu Lissu ana makosa kwenye hii nchi???! Kweli??

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 Рік тому +1

    Mungu ni mwema kutupatia watu kama tundu lisu.

  • @fayeezomar8283
    @fayeezomar8283 7 років тому +4

    respect u!

  • @TheQaled
    @TheQaled 7 років тому +11

    Wawakilishi wa Chama tawala mnatia aibu,lkn ipo siku mtapigwa mawe majimboni...Mungu anawazoom

    • @luganokapula6267
      @luganokapula6267 7 років тому +1

      Khaled Masondore mulize tindu lissu jimboni kwake kafanya nn

    • @beatusnestory1158
      @beatusnestory1158 7 років тому +1

      Lugano Kapula hata Huyo wa jimboni kwako kafanya nn

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 3 роки тому +5

    Nani anasikiliza hii mwaka April 20121

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 3 роки тому

      👍

    • @babuwaziri715
      @babuwaziri715 3 роки тому

      Sijaona kama huyu bado, unfortunately akapigwa risasi kwasababu hiyo

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 3 роки тому

      hii ndio 7bu iliofanya mwamba apigwe risasi!!!!!

  • @samwelmwinyi7879
    @samwelmwinyi7879 7 років тому +5

    Kuna wakat unaweza ukihc Mwanasheria huyu Lisu haelewek! Lkn bnafc namuelewa sana! Lp neno la kumfaa zaid ya kumtakia KHERIZE MOLA zmtangulie ktk kuzfungua faham! na sharize shetan ZIMUEPUKE! haya n MAOMB yangu ya DHAMBI Tanzania mpya INAKUJA km haijaja tayar!

  • @jamesmedard5538
    @jamesmedard5538 7 років тому

    Asante Mh.Lissu nakupongeza sana kwakusimamia ukweli

  • @jumaedward7110
    @jumaedward7110 2 роки тому +1

    The MASTER!

  • @manywelemanywele7621
    @manywelemanywele7621 6 років тому +7

    Mama alitakiwa kuvuta pumzi kidogo maana ameongea kwa temper saaaana. By the way kile alichoongea Father Lissu we call it Factum Probandum

  • @robertonaftal4856
    @robertonaftal4856 7 років тому +11

    Mzee lissu ww unajua yan

  • @gichochore9990
    @gichochore9990 3 роки тому +1

    Nakukubali sana lisu

  • @marryshilla2922
    @marryshilla2922 7 років тому +5

    sawa tindu lisu leo umewapa ukweli

  • @obadiajumamkaria2568
    @obadiajumamkaria2568 Рік тому

    Aya ok

  • @ngwanafabian7532
    @ngwanafabian7532 4 роки тому

    Asante Yesu kwa kutuletea Dr. John Joseph Magufuli. Umemshindia vita ya makinikia, uzushi, chuki, corona na mengine mengi. Umewaaibisha wasaliti wa taifa walituombea tunyimwe misaada kumbe wanatusaidia kujitegemea kama taifa hivyo wametusaidia kuingia uchumi wa kati mapema kabla ya malengo yetu. Bariki watanzania wote wenye mapenzi mema. Amina

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 5 років тому +1

    Wenye akili na uwelewa mara nyingi hawaupati uongozi wa juu urais ila wababaishaji na wazee wa kubip!!! Mungu wangu keep this man alive!! Ana upeo mkubwa na misimamo inayoeleweka!!!!

  • @frankmanga3721
    @frankmanga3721 7 років тому +14

    Tundu lisu oyeeee

  • @zabronhamad9530
    @zabronhamad9530 6 років тому

    lissu Mungu akubariki na akujalie maisha marefu kamanda

  • @markkayuni9775
    @markkayuni9775 7 років тому +33

    Msio mpenda kaja shikamo lisu wambie ukweli hao ujumbe umefika

    • @simbadume3126
      @simbadume3126 7 років тому +3

      Hana kitu huyo, usimdhamini atakudis-appoint mbele, huyu rais wa sasa sio mkurupukaji kama wengi wanavyodhani...tumpe muda tutaona. Hakuna jipya hapo!

    • @Adryfierce
      @Adryfierce 7 років тому +8

      Simba Dume Muda upi tena, mtu karibia anaingia mwaka wa tatu lkn hamna alichofanya zaid ya bla bla tu

    • @abdallahrenatus6677
      @abdallahrenatus6677 7 років тому

      +Simba Dume
      kaibua mambo mengi Na hayajakmilka

    • @samweldanford4660
      @samweldanford4660 6 років тому

      Shujaa

  • @jumajasjas2925
    @jumajasjas2925 7 років тому +8

    point ya msingi n kubadir sheria zetu... na kingine Kikwete nae ahojiwe maana hata escrow pia mkataba wa iptl unamhusu... jamaa ni mwizi ila n mwanasiasa...tukitaka kufika lazma tufanye maamuz magumu... mda mwingne n bora tu nchi ingekua yakifalme... hawa marais walopita n lazma wahojiwe... haiitaj uwe na PhD kujua kua hao marais nao walinufaika... au bado wananufaika...

  • @noelasimon1878
    @noelasimon1878 3 роки тому +3

    kwanii usiwe rais lisuu kwann ww kura yng chukua

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe1036 2 роки тому +1

    Point

  • @consolatamaarufu6762
    @consolatamaarufu6762 6 років тому +1

    lisu love you so much

  • @shamssaid7632
    @shamssaid7632 7 років тому +1

    Shikamoo TUNDU LISU. Huyo mama yupo nje ya mada

  • @mwalimupaulosmengi6980
    @mwalimupaulosmengi6980 7 років тому +8

    only the cursed oppose you viva Lissu

    • @justinemgomi9561
      @justinemgomi9561 7 років тому +3

      asante TL

    • @abduurassa2308
      @abduurassa2308 4 роки тому

      Kiukweli tundu lisu mm ninakuelewaga sana nitamani ciku moja tanzania wawatunze watu kama hawa lakini watanzania atutaki kuwa mbiwa ukwli kwa sasa tanzania atuna mtu kama tundu lisi

  • @kovuchanelstar9446
    @kovuchanelstar9446 6 років тому

    MTU makin saana tundu lisu....mungu akujalie

  • @christantkitaka4946
    @christantkitaka4946 3 роки тому +3

    Huyu jamaa n tunu yaa tanzaniaaa leo 2020 nAsema n yeye

  • @peninamartin9867
    @peninamartin9867 7 років тому

    Ho ngera sana Jembe Letu Lisu. Mungu Akulinde Daima.

  • @janethpalangyo7790
    @janethpalangyo7790 7 років тому +1

    Lisu noma sana 😊

  • @musisahumbimusisa1056
    @musisahumbimusisa1056 7 років тому +3

    Tundu Lissu....................

  • @boscojohn4120
    @boscojohn4120 5 років тому +3

    Mashine ya kazi hiyo

  • @shooterchriss9572
    @shooterchriss9572 5 років тому +1

    Lisu noma

  • @johngavile5106
    @johngavile5106 5 років тому +3

    Watu na maliza chuo wanazurura mtaani we Una unga mkono wee mama umetumwa wewe

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 роки тому

    Mungu tubariki watoto wa Tz

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Рік тому

    JEMBE LISSU MTUME WA MWENYEZI MUNGU KWA TANZANIA❤❤❤❤❤

  • @boniphasmvungi9807
    @boniphasmvungi9807 7 років тому +12

    tulikuwa tunakusubir wewe sasa tumeelewa

  • @mohamedmnjeja6182
    @mohamedmnjeja6182 Рік тому

    mwamba ndo huuyoooo hapo sas 💪💪💪💪 mh Lissu

  • @shekhekassim6402
    @shekhekassim6402 6 років тому +3

    Wewe ni kifaa Allah atakulipa

  • @stephanothomas3585
    @stephanothomas3585 6 років тому +3

    Sema baba seeeemaaaa!!

  • @salummawazo4324
    @salummawazo4324 3 роки тому +1

    Lissu kwanini umebadilika umekuwa pappet dah 😭

    • @babuwaziri715
      @babuwaziri715 3 роки тому

      Kaka kauli yako nzito, unapaswa kuwa uhakika na sio kufuata political wagging. Tuseme kama asingepigwa risasi angekimbia nje ya nchi? Leo ungemuita puppet?

  • @jobmbwilo7960
    @jobmbwilo7960 6 років тому

    woooh thatz great

  • @issazakaria863
    @issazakaria863 3 роки тому

    Hiii bungee la sasa iv sasa hiiiiii

  • @thetreasure2230
    @thetreasure2230 7 років тому +8

    JPM jishushe tu rais wangu. Hili jembe Lissu linakufaa sana.

  • @bonybabalao8921
    @bonybabalao8921 4 роки тому +2

    Wew utapata uraizi mim chma chdema

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Рік тому

    SIKUKOSEA KABISA NILIPOKUPA KURA YANGU NAJIVUNIA HILO❤❤❤❤

  • @feyzalyusuph14
    @feyzalyusuph14 4 роки тому +1

    Tunakumis Mh Lisu

  • @evaristedward8557
    @evaristedward8557 7 років тому

    Uzalendo Wa kweli ni kusimama na taifa lako wakati wote na kuionya serikali inapokosea! Kua mzalendo sio kusimama na raisi au kiongozi yeyote wa serikali! Tunashukuru kupata sauti hizi katika taifa letu! Washabiki na wasio na maarifa ni ngumu sanaa kwao kuelewa! Mungu ibariki Tanzania!

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 роки тому

    Talent hiii

  • @lucasmagori5784
    @lucasmagori5784 7 років тому +1

    Kamandaaaa

  • @alexlyova5115
    @alexlyova5115 7 років тому +11

    LISU WEWE NI KIBOKO YAO...... ACHA WAKUPINGE LAKINI WATAKUJA KUKUMBUKA ULIYO YAONGEA...!!!

  • @patrickpaul5692
    @patrickpaul5692 6 років тому +1

    lissu anaongea point tena kwa fact hadi ccm humo ndani wanatamani wakimbie

  • @johsun8018
    @johsun8018 3 роки тому

    my president 💙

  • @Adryfierce
    @Adryfierce 7 років тому +21

    Shikamooo LISSU... No one like u... hahahah

  • @polycarpmdemu3552
    @polycarpmdemu3552 3 роки тому

    Lisu the master

  • @hamisidaud9912
    @hamisidaud9912 3 роки тому

    mnyama the don, mwenyewe ,lissu daah,

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 3 місяці тому

    Huyu mtu anajituma sana hivi hizi taarifa anatoaga wapi

  • @sinaubavu2810
    @sinaubavu2810 Рік тому

    Nice

  • @guliyinyabungi332
    @guliyinyabungi332 Рік тому

    Ni Kweli huyu jamaa yuko mbele ya muda. Leo ni miaka 5 lakini mambo aloyasema yanajitokeza

  • @hopekacheranga2065
    @hopekacheranga2065 5 років тому

    A Very skilled M. P

  • @dicksonaroka6961
    @dicksonaroka6961 4 роки тому

    Mi naomba nikwambie kua JPM ameweza kile ulicho kua na wasi was nayo na sasa katuletea sheria mpya nzuri ya madani yetu Asante JPM kwa kutegua hichi kitendawili ambayo ilishaachwa kua haiwezekan na sasa imewezekana.

  • @paulowangoma4932
    @paulowangoma4932 Рік тому

    I had to revisit 😢

  • @danielnyangi7806
    @danielnyangi7806 7 років тому +2

    tuache kufukua makaburu yasije yakatunukia badae badae tukahama madha tuangaarie mberee chamusingi marufu kusafirisha dhabu kwenye .makotena acacia hana t.i.n namba anatumia ya baryck unaogopa mini lisu

  • @obadiajumamkaria2568
    @obadiajumamkaria2568 Рік тому

    Unajua lisu aongeitu anafanya utafiti wajambo huyu mtu anafaakua Raisi

  • @shedeck8974
    @shedeck8974 3 роки тому

    Huyu jamaa anajua sanaa, sema kaja kubadirika uku mwisho.