NINA MIAKA 60 NAWJUA VIZURI MAZURUI SIJAPATA KUMUONA AKILEWA, AKIVUTA BANGI , KUPOTEZA AKILI KWA KIFAFA, KUPANDA MALARIA KICHWANI, YALE ALIYOSEMA ALIKUWA NA AKILI TIMAMU. KAMA YEYE ALIKOSEA ATOKE HADHARANI ASEME SIO KUKULISHENI MANENO. HAYO UNAYOSEMA HAYANA MAANA YOYOTE NI UZUSHI MTUPU
Kama unayosema Mhe. Jussa ni kweli mpe nafasi aseme mwenyewe. Alichosema Mhe. Mazrui ni ukweli. Acha siasa iwepo lakini mkiifanya kama vile mkija nyinyi hatutatumia ardhi hii sio sawa. Viongozi wa upinzani ni Viongozi waandamizi wa Serikali kwa miaka mingi, wanachaajabu kipi? Tujifunze "appreciate inquiries " yaani sio vibaya kuanza na uzuri uliopo hara kama mdogo halafu elezea ubaya mwingi uliopo.
Huyu Mazrui jinsi alivyoaminiwa na marehemu Maalim Seif anastahiki kupigwa chuchuli ... hafai hata kidogo... he is a hopeless case hana personality na kujiamini ... anamsifu mtu ambae kasababisha vifo vya ndugu zetu .... kauli ile ni kama anawaambia wafusi mchagueni tena muuaji huyu ikisha wajengewe majumba na bara bara waridhike
Wewe ulokuwa na personality una chuki na roho mbaya Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah looo loooo loooo unayo wake huupati looo mijitu ilokuwa na roho mbaya utawajuwa kwa comments zao za kijinga jinga kama hizo
Kuwa na haki ya kukereka na kuumizwa sawa lakini hamna haki ya kumtusi kwa sababu Yeye ni Binadam kama Binadam wengine kuteleza ni moja ya mapungufu mlitakiwa mumpe udhuru loo mmekuwa kuliko wanyama mnasahau fadhila zake zote viumbe gani nyie
Nyote ndo wale wale tuna kupeni mioyo yetu kwa kuwa tunakutegemeenk maendeleo ya nchi yetu lakini hamna lolote mwisho tunauliwa hakuna liwalo wanafiki tu nyote hamna lolote
Inanihusu mimi muafrika kwa sababu sisi waafrika hatuna mtume Mohamed,huyo mtume ni muarabu. Wewe ndio haikuhusu kwa sababu hujitambui.Kwani huyo mtume ni Mzanzibari?😂 Mtume ni muarabu na dini yake uislamu,anatuhusu nini sisi waafrika 😂@@Zuwenamachela
Waarabu kwetu wazanzibar ndio ndg zetu kuliko hata watanganyika waarabu hawaja wahi kutunyonya siku baada ya sku wanatuseidia ila sie wazanzibar tulitiwa roho mbaya kwao tuone kuw ni wabaya kumbe sio wabaya
Tokea hapo sio mpiga kura tuu kama ni mzanzibari kindakindaki na mwenye mapenzi ya kweli na Wazanzibari ndio pakufanya Ari sio kula dongo kwani hiyo kura unampugia yeye ukosefu wa kutumia akili tu magongo yote yale alopigwa kuumizwa alikoumizwa fedha zake anavyozitowa kwa ajili ipatikane ZANZIBAR yenye mamlaka kamili looo hamsarifiki kama hao CCM hampo tayari watu kama mnafiki wenu mwingi Allah hamfichi mnafiki
Eti qauli ya Mazrui imenitowa imani huna hiyo imani tokea mwanzo tulo na imani zetu za kweli wala hatujateteruka wala kutahariku kwasababu tuna mthamini na nafasi yake ya pili ilibidi aseme vile kuweni na akiba mkisema
Yaallah tulindie Mhe Mazrui na hali yake kiafya baada kuumizwa huko na kuharibuwa mali zake kwa ajili ya kuwatetea Wazanzibar wachache wasiokuwa na fadhila wala kuyapa madhila ya wenzao umuhimu wowote eti sipigi kura usipige
Mzushi wewe mkosesfu wa kufikiri naam ana akili timamu ila ni magongo alopigwa na washenzi madhalim wakubwa Hasbunallah Waniimal Wakiil tizama vidole vingapi vinakuele wewe mwenyewe
Jusa mwenyezmungu akupe kher in shaa allah
Ukweli hasaaaa Mazrui Hataki Siasa za Umasikini kila siku
NINA MIAKA 60 NAWJUA VIZURI MAZURUI SIJAPATA KUMUONA AKILEWA, AKIVUTA BANGI , KUPOTEZA AKILI KWA KIFAFA, KUPANDA MALARIA KICHWANI, YALE ALIYOSEMA ALIKUWA NA AKILI TIMAMU. KAMA YEYE ALIKOSEA ATOKE HADHARANI ASEME SIO KUKULISHENI MANENO. HAYO UNAYOSEMA HAYANA MAANA YOYOTE NI UZUSHI MTUPU
Walizani tutatetereka sis ndio wazanzibar
Watu wakiwa wakosefu wa Subra huwa kuliko washenzi msaliti mwenyewe Allah atamlipia
Kilamsaliti. Wazanzibar. Hadumu
Kama unayosema Mhe. Jussa ni kweli mpe nafasi aseme mwenyewe. Alichosema Mhe. Mazrui ni ukweli. Acha siasa iwepo lakini mkiifanya kama vile mkija nyinyi hatutatumia ardhi hii sio sawa. Viongozi wa upinzani ni Viongozi waandamizi wa Serikali kwa miaka mingi, wanachaajabu kipi? Tujifunze "appreciate inquiries " yaani sio vibaya kuanza na uzuri uliopo hara kama mdogo halafu elezea ubaya mwingi uliopo.
Acha kumtetea mazrui ni msaliti kakumbwa na fadhaaa
Kasumba Za Wanasiasa Sijawahi Kuwaelewa Hata Siku Moja Hawa Jamaaa 😂😂😂😂
Watu wa shioting mnazingua mnaongea sana huyo anaehutubia hasikiki
Jussa Ukiwa mfanya Biashara halafu chama Upinzani Utaumiaaaaaaa
Jussa muulize katumbi kule Congo TP mazembe Hoi
Huyu Mazrui jinsi alivyoaminiwa na marehemu Maalim Seif anastahiki kupigwa chuchuli ... hafai hata kidogo... he is a hopeless case hana personality na kujiamini ... anamsifu mtu ambae kasababisha vifo vya ndugu zetu .... kauli ile ni kama anawaambia wafusi mchagueni tena muuaji huyu ikisha wajengewe majumba na bara bara waridhike
Wewe ulokuwa na personality una chuki na roho mbaya Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah looo loooo loooo unayo wake huupati looo mijitu ilokuwa na roho mbaya utawajuwa kwa comments zao za kijinga jinga kama hizo
Hasbunallah Waniimal Wakiil Salyali
Hukujibi suali
masauti ya nini? mnazigua sana watu wa kurekodi
Hamna sera maendeleo yanafanyika mpaka mnasifia wenyewe achani kulisha watu ujinga siasa ni ajira zenu hamna lolote
We una ona maendeleo gan Zanzibar njoo uone wabongo wanavo fanya maendeleo uku kwa pesa zetu wazanzibar
Mazrui ht aseme nn tyr ni msalit dawa ya usalit kule rusia nadhan mnajua kwa putin
Msaliti mwenyewe loo hasidi mmoja
Hasbunallah llah Waniimal Wakiil fasayakfika humu llahu Waniimal Wakiil
Kuwa na haki ya kukereka na kuumizwa sawa lakini hamna haki ya kumtusi kwa sababu Yeye ni Binadam kama Binadam wengine kuteleza ni moja ya mapungufu mlitakiwa mumpe udhuru loo mmekuwa kuliko wanyama mnasahau fadhila zake zote viumbe gani nyie
Nyote ndo wale wale tuna kupeni mioyo yetu kwa kuwa tunakutegemeenk maendeleo ya nchi yetu lakini hamna lolote mwisho tunauliwa hakuna liwalo wanafiki tu nyote hamna lolote
Utapigiwa wewe hiyo chuchuli Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal Wakiil Hasbunallah Waniimal kuweni waungwana Mazrui sio mjinga kama nyie wakosefu wa kufikiri na kuchunguza nature ilokuwa katika mazingara yale
Eh Balahau huna Chhama weee !
Tuombe Salama Tu lakini Siasa Motoni tuuu😢😢😂
Mnajipa kazi ilokuwa sio yenu ya kumhukumu watu na moto
Siasa na dini vitu 2 tafaut mtu anajitoa kwa siasa kuliko dini
Mtume Mohamad anahusika nini na Zanzibar wakati yeye ni Mwaarabu?😂
Jussa unaiangusha Zanzibar
Haikuhusu kafiri wazanzibar ni waislam unataka wasimtaje mtume wao koma mbwa we
Inanihusu mimi muafrika kwa sababu sisi waafrika hatuna mtume Mohamed,huyo mtume ni muarabu.
Wewe ndio haikuhusu kwa sababu hujitambui.Kwani huyo mtume ni Mzanzibari?😂
Mtume ni muarabu na dini yake uislamu,anatuhusu nini sisi waafrika 😂@@Zuwenamachela
Waarabu kwetu wazanzibar ndio ndg zetu kuliko hata watanganyika waarabu hawaja wahi kutunyonya siku baada ya sku wanatuseidia ila sie wazanzibar tulitiwa roho mbaya kwao tuone kuw ni wabaya kumbe sio wabaya
Wewe mjinga sana Kwa hiyo hakuna mwarabu anahusik na ZANZIBAR?
@@mataypanga5262 kwan hao waraabu zanzbr wana haki kuliko hata watanganyika
Alei Hadji umepewa kazi na Allah wewe ya kutia watu motoni kama kuzuri utakwenda mwenyewe
mm ACT lakini kauli ya mazrui imeniumiza sana sipigi kura chama chochote bora nitulie nyumbani
Usipige kwani kura yako haitaleta athari yoyot Allah kwa ukarim wako atawapeleka miaa moja haaaa pumbavu zako
Tokea hapo sio mpiga kura tuu kama ni mzanzibari kindakindaki na mwenye mapenzi ya kweli na Wazanzibari ndio pakufanya Ari sio kula dongo kwani hiyo kura unampugia yeye ukosefu wa kutumia akili tu magongo yote yale alopigwa kuumizwa alikoumizwa fedha zake anavyozitowa kwa ajili ipatikane ZANZIBAR yenye mamlaka kamili looo hamsarifiki kama hao CCM hampo tayari watu kama mnafiki wenu mwingi Allah hamfichi mnafiki
Eti qauli ya Mazrui imenitowa imani huna hiyo imani tokea mwanzo tulo na imani zetu za kweli wala hatujateteruka wala kutahariku kwasababu tuna mthamini na nafasi yake ya pili ilibidi aseme vile kuweni na akiba mkisema
Au mkiandika mijitu ilivyo na negativity thinking nyoyo zao zinakuwa haziwezi kufikiria kabla kusema au kuandika
Yaallah tulindie Mhe Mazrui na hali yake kiafya baada kuumizwa huko na kuharibuwa mali zake kwa ajili ya kuwatetea Wazanzibar wachache wasiokuwa na fadhila wala kuyapa madhila ya wenzao umuhimu wowote eti sipigi kura usipige
Mzushi wewe mkosesfu wa kufikiri naam ana akili timamu ila ni magongo alopigwa na washenzi madhalim wakubwa Hasbunallah Waniimal Wakiil tizama vidole vingapi vinakuele wewe mwenyewe