CCM ZANZIBAR WAUWASHA MOTO-HABARI KUBWA OMO-KATAA HAYA KIRIRI KINAMCHUKUA MZAZI MWENZA USHAHID!KILUP
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Tazama video hii ya kipekee ili uendelee kupata habari mpya kutoka CCM Zanzibar. Kiriri anazama kwa kina katika mada motomoto za sasa, ikiwa ni pamoja na mijadala mikali na mijadala inayozunguka kukataa kwa Omo kukubaliana kuhusu masuala fulani. Usikose kufuatilia kipindi hiki tunapochunguza ushahidi tunapotafuta ukweli kutoka kwa mzazi mwenzetu. Endelea kufuatilia drama, maarifa na mafunuo yote!
Endelea kuwasiliana na kufahamishwa kwa kujiandikisha kwenye chaneli yetu kwa sasisho zaidi.
CCM ZANZIBAR HABARI KUBWA-KIRIRI KINAMCHUKUA MZAZI MWENZIO USHAHIDI
CCM ZANZIBAR WAUWASHA MOTO-OMO KATAA HAYA KWENYE KIRIRI TUTAMCHUKUA MZAZI MWENZIO ATOE USHAHIDI
Ushahidi huu wa kushtukiza utabadilisha namna unavyoiona CCM Zanzibar milele!
Ili jamaa ni aibu ata kusema ni baba Ako au ni kaka ako, watu wanajadili hoja za msingi za kitaifa ana leta mambo ya kifamilia, na mabumunda yanaitikia na kupiga makofi😂
Wauwaj wakumbwa na roho za watu mtaenda kuzilipa subirini kidogo t Mungu Hana haraka
Musimshirikishe ALLAH kwenye mambo ya uchafu na uwongo
Hizi ni siasa za kikhanisi au za kishonga weka maneno yenye kukutuleteya faida siyo mipasho huyu maneno yake kama mau zunde Hana tofauti kabisa hizi siasa zimepitwa na wakati kabisa vyema nikujibi hija siyo khanisi huu kama shoga vile.
😂😂😂😂
UKISIKIA KUNA MASHOGA BASI SHOGA MOJA NI HILI👁️👁️!
Angalau umesema mke na si hawara...
Dawa zinawaingia sana
Acha usengeee uwooo Sisa izo zishapitwa namaste wakati
Unaongelea ndoa za watu mbona yako huiweki wazi ukiambiwa hunaakili utasema kuwa unatukanwa kama hamna cha kuongea acheni ujinga
Tafuteni watu wenye akili zao muwaweke kwenye uongozi.anazungumza nini huyu,wacha ujinga mambo ya mtu na mkewe nayaletahapo.wewe ni pumba hufai hata kuongoza mtu mmoja.
Mie ccm lakin hapo ccm mwenzangu umechemsha tushaindika kwenye siaza hizo zamani huna hata mvuto wa siasa hufai a kabisa
Ndy maan tunakataa siasa akili hamuna mwatutia dhiki ya Masha tuu
Huyu sijui kamazanzibar jamani heee hufai kabisa kabisa huko tumetioka
Jaman huyu jamaa kaibiwa mkewe au maan hii sio siasa ni mipasho
Sasa mambo yake na mkewe yanatuhusu nini Sisi wananchi wenye njaaa.jibuni hoja
Wacha kusema maneno usiokua na uhakika nayo .. kisha pia mumchukue na yule alie endesha uchaguzi wa 2020 tuwalinganishe nae ivi ni yupi kadhalilisha watu wengi
Mbona unaleta mambo ya waketena"!? Hii ni siasa gani hii
Hila Jamaa Fala Hasaa Halina Hata Hoja😂😂😂😂😂😂
Hii NDIO siasa au ni kitu gani jamani? Mie sijafahamu chochote
Huyu ni mtu wa kumfungulia mashitaka
Kwel nmeamn akili ya act mmoja ni sawa na ccm 100 hli jamaaa boksi asah
Mm mbona sioni pwenti za msingi abazoongea pumba tuu ama kweli hawana sera hawana ilani😂😂😂😂🎉
Ata aibu hamna unaongea pumba jichwa kubwa ila kichwani 0.0
Kwani we huna mke au umeolewa wee azungumza usengee kabisa
Ujue yule ni mwanamme mwenzio , we vipi hiyo sio siasa
Ongea kitu kinachoweza kuingia akilini wao wanaonelea mambo ya siasa Sasa wake saba aloowa ci uamuzi wake na ww owa nane km uwezo upo
Kwhio haya ndio mafunzo yanayotolewa kwa vijana wa Ccm?
Huyu Kama kaka akemauzindee
Mwaka 95 hamukushinda uchaguzi..shahidi ni Ali Ameit
Unajuwa unae mzungumzia lakini
Tunataka hoja za Maendeleo na sio mipasho Ccm ni chama kikubwa mnapikua na hoja zisizo na mashiko kwa wananchi mnakidhalilisha chama
Yaani hufai hta kuhuguvika kuku unaongae pumba basi safari hii atamuoa mama ako awe baba ako
meishiwa hoja huo usenge wa kufatilia familia huo ni usenge wacha tabia za kishoga hata aibu huon
😊😊😊😊 huna ishu bwana weweeeeeee cc hatujibu na wasiokua wasomi
Huyu si yule omar kilupi aliekua akimenya mbatata za chips jumba number 8 sasa kawa mwanasiasa hhhhhhhhh miaka imeenda mashallah
Umekuw kadhii cku hizi acha ujingaa
Kumbe wangaliko kina
It's best to play the ball instead of a man.
Hii siasa Wazenjibar or Mipasho lol 😆 nyie na nyi
Pumbavuu tuu punguwan hayawaan,hamsini rasi hamsini majeruhi eti hawa ndo wakutuongoza cc jaman mmh,hayaa mtihaan walev na wasenge wapewe vyeo wny akili waachwe mitaan wakitesekaa na dunia..😢😢
kuna majitu mabumbavu kama haya!!
Watu km hawa husumbulia hata wake zao km wamewaletea chakula akiambiwa chakula kimeisha tokea mgeni basi husumbulia
CCM LINI IMESHINDA NAOMBA MAJIBU WATU WAMECHOKA NA FITINA NAUWADUWI WENU WA CCM WATU HAWAITAKI CCM WEKENI UCHAGUZI WA HAKI NA USALAMA CCM HAMUPENDWI
Sasa hizo ni sera au ushonga mwaname au mzima unafuwatilia mwame mzima
Hki kikao ni kwa ajili ya kuzisema familia za watu au mbna mi ccm km ngombe akil zao m nahis ccm wenye akili hawazid 10
Muongo mkubwa ww..ivy ukiongea sura linakusuta
Mjinga huamini kila aambiwalo, na Hao wanaotwa vijana wa CCM wanazidishiwa ujinga ili wawe Majuha poleni
CCM mara nyingi wanapenda sana kuwatumia watu wasiokuwa na elimu kwa kuwapa fikira za kijinga na kuwajaza chuki ,lakini ukiwaangalia Act Wazalendo wanachosema jukwaani ni hoja nzito ukiangalia kama upo Zanzibar hasa kipindi cha uchaguzi utakubali kuwa wanachosema kwenye majukwaa ni kweli .
Ccm mfundisheni kwanza kuongea huyu jamaa halaf ndio mumpe mic 😂kituko
Wakati nyiyi si watawala zugumza yamuhimu achana nao tu ina maana hamjiyamini
Watu wamekuja hapo wanataka uwaambie maendeleo sio kutoa aibu za mtu haifanyi Kwani sote ni wazanzibari tuwe kitu kimoja.
Hizo ndio hoja walizonazo CCM juu ya kuitetea Zanzibar katika Muungano ,akili kichwani mwako Mzanzibar mwenzangu. Wenzao wanatoa hoja nzito hata mtoto mdogo darasa la tano (5) anaelewa kuwa kweli kuna tatizo katika Muungano dhidi ya Zanzibar yeye anazungumza suala la alikuwa na mke akamuacha .ccm Zanzibar jibuni zile hoja dhidi ya Act wazalendo kwa kuwafahamisha watu kuwa hatudhulumiwi bali tunazipata haki zetu zote kama yalivyo makubaliano ya Muungano na mutoe mifano .binafsi mimi siwaelewi nyinyi CCM .
Jamaa anatafuata tonde duu.
Familia kitu chengine.
Tangaza yako brothe.
Daar.kama ajira kaka hata kubiga debe pia ajira.
Unaweza ukenda ukafanya.
Ywongozi huuwezi.
Puuuuu mbavu.
Kisaka tonge we.
Zanzibar kwanza.
Mambo mengine baadae.
Mamlaka kamili ndio shida yetu.
Tuwe na utambulisho wetu mbele ya mataifa mengine.
Takana kusima km mzanzibar sio😂 mtanzania.😮😂😂😂😂😂😂😂😂
We huna akil
Hakuna ndoa isiyokuwa na migogoro jibu hoja acha usenge au unataka amuowe mama yako ili awe baba yako?
Nyie ni wauwaji wakubwa ila mtaenda kuzilipa roho za watu musioni hii Dunia ni ya baba yenu
Musidanaganye watu wazima munajitia aibu
Ccm kweli matako bana sasa mambo ya nyumba unaleta majukwaani na ww si kawadhalilishe bonge la babu kumbe mwehu lakini ndo ccm wote mlivyo wehu sasa ndo nn
Sasa mambo ya mke yanakujaje hapaaa kwani ni siasa au ni mambo ya familia
itakuwa ana wivu sio bure njoo uolewe na ww basi😂
😂😂😂😂wivutuuu
Ndugu watanzania wanahitaji sera sio kuongea Mambo ya jinsia ya mapenzi hizi ni sera za mau zide
Hiyo sio siasa,kuongea mambo ya mtu namume wake, Unafeli sana pole.
Kilpin bora ukasimamie full moon siasa ishkushinda baada kuja hoja bbb tunashinda vipi kwa kishindo unatoa porojo za ki bech boy
1995 ACT-Wazalendo haikuwepo bwege ww. Muongo mkubwa.
SUBHANALLAH hawa wamekuwa kama Israel kwa palestine
Ccm hawana siasa mfano hata kama ingekuwa nikweli baada yakuongea siasa unsongea faragha ya mtu
Wewe jibu hoja alizozitoa jusa
CHAMA CHA WANASHERIA ZNZ KIPO KIMNYA JUU YA UNYANYASAJI KWA WANAWAKE MNA DHIMA YA KUWASEMEA WASIO NA SAUTI....
😂😂😂😂zaidi ya wake7😂😂mtume
Omo umepata mke mpya
😂😂😂
Añalipwa kwa upuuzi huo tu mwenzenu. Mwisho wa maji ni tope
Brother pole hata lengo la hicho kikao hujalionesha😂😂😂😂
Huna jipya ww kapuku
Nenda ukaolewe na wewe kama wote amewaacha. Mkiambiwa CCM Unguja Mapimbi ndio kwanza mnazidi. Watu wanajadili mustakbali wa nchi hii mipimbi inajadili kuwacha wake pumbavu wahedi. Wewe subiri mwaka huu hatufi sisi lazima tufe na wajinga kama nyinyi.
Huyu ukimsikiliza Kwa umakin utagundua jinsi anguko la Hawa jamaa lilivyo Kwa maana kifo Cha ccm ni kifo ambacho hajawai kutokea Toka Dunia iumbwe huyu jamaa haongei siasi Bali attacking by personal issue ambazo ukiangalia profile za omo ni tofauti na anachokisema swaini huyu ongea tukana apiza uwezavyo ila nyinyi ccm KIBAO KIMOJA tu
TUKUTANE 2025
Dadeki zenu
hakuna cha milele ipo siku mutsondoka kwa uwezo wa allah s w
Ama kweli ccm waongo ccm hamjawahi kushinda
Halafu na nyie rusheni hewani watu wanaoongea mambo yanayoeleweka msilete walevi, au mnaweza kutusaidia alichoongea kinamantiki gani ? Hebu jaribuni kuifanya hii chanel yenu iheshimika kwa kuleta watu wanaojitambua
Kiongozi lete Hoja zako/ Zenu Tujifunze watu hawana muda wa Kupoteza.
Sas kuowa wake saba ndo maajabu na kuwacha mke si maajabu shekh
Wakimaliza na huyu wanaendelea na Jussa hajaowa!!
Nyinyi ccm acheni wehu uo sasa ndo nn lete sera khanithi ww
wacha mambo yakike wewe ndo mana chama chenu kimejaa mabaradhuli na wewe nina mashaka nawewe
Mkuu tupe ushahidi kwa video au documents pls usitupe parojo tuu
Makubwa haya jamani
Senge weeee
WW NANI ASIYEKUJUWA WW WW UNAAIBU NGAPI UZITANGAZI UKITAKA KUMSEMA MWENZAKO SEMA WW YAKO
Mapunguwani
kilupy munanuka laaana nyie.ramadhani mnapiga fullmoon party.leo unaongea ujinga tu
Hahaaaaa poleee ndio siasa hiyo toa Sababu
Yamehusu nini kutaja Mkee Family ktk uongozi Wa siasa .
Hawa wanapoambiwa hawana hoja usio kuwa wanaonewa hivyo ni kweli kabisa,hawa ccm wasipaniki wawaeleze Wazanzibar kwa kujibu zile hoja zinazotolewa na kutoa mifano .awaseme hoja fulani jibu lake ni kwamba katika chaguzi watu hawapigi risaai wala kujeruhiwa .pia haki zetu Zanzibar tunazipata katika muungano wala hakuna hakiyetu tunayoikosa katika makubaliano ya Muungano na mifano wakiitoa kama wenzao ,wajibu kuwa hakuna ubaguzi katika kupewa vitambulisho vya Mzanzibar mkaazi watoe ushahidi kwa data kabisa hizo ndio hoja nasio kujadili kaacha mke hiyo haisababishi wana CCM kuona kama viongozi wao wanahoja nzito kuwa wapinzani wao.unafanya waamini ccm kuwa wao hawanahoja za kuitetea Zanzibar.
Mambo ya kufatlia familia za watu ndio nn toa hoja mezani uyo mwaname au alikua mkeo una wivu kuolewa cc m hamuna joja wazanzibari wamechoshwa kuburuzwa
WASHENZI HAWA
Hizi ni siasa au chuki, sasa imekuwaje kuingia kwenye familia za watu
Sasa nimekubali wapinzani wakisema mikutano yao wanaumia huyu ndo inamumiza haswaa
Tunataka mamlaka kamili nasiporojo ww ndokatibu sasa unaandika nn na hujui unacho kisema bora undolewe mana huleweki unajua siasa hizo za gorafya mpakaleo unazo waelezee watu nn mfanya jibu hoja si matusi sasa unatufundisha tutukane si huluka yetu jibu hoja au nyamaza ndivyo mtume alivyo tufundisha matusi hayasaidii
mshaallaniwa nyinyi hamna la kusema
Wengine hamjui ata kuongea, haya mambo ya wake yanakuhusu nini??!
Kimya ni bora...
Wazalendo ni nyie wauwaji wa wananchi
Ww muongo tu Kwa vile hayupo hapo
Kwaiyo ushavutiwa na ww aje akuowe omo hapendi wasenge ujue
Hii nayo pia habari kubwaa😮