MAPENZI YA BODABODA YAME MPONZA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 чер 2024
  • Bodaboda katupeleka ka amua kuwakutanisha wanaume wawili wa dada mmoja

КОМЕНТАРІ • 491

  • @EstherMulindwa-fp3ml
    @EstherMulindwa-fp3ml Місяць тому +10

    Daaa hu mkaka namuoneya uruma, mapenzi Yana uma😢😢 anagoma kuongeya, Mungu atampatiya mke mwingine bora mwenye anajielewa❤

    • @wilsonmalosha3337
      @wilsonmalosha3337 Місяць тому

      Jamaa hivyo kabisa, Demu mwenyewe wala hana mvuto wowote. Huhitaji kulazimisha penzi

  • @EstherMulindwa-fp3ml
    @EstherMulindwa-fp3ml Місяць тому +15

    Kesho ya mtu inajuwa mungu😢😢 Mr Uky ipo Siku uta posty huu mdada akiomba msama tena kwakupiga magoti, andika iyo😢

    • @doctorsalmaclinic
      @doctorsalmaclinic 12 днів тому

      SOMETIME UNAFANYA KWA KUMTETEA MTU ILA ATAKUJA KUOMBA MSAMAHA

  • @user-rm1uz6lm8r
    @user-rm1uz6lm8r Місяць тому +14

    Jamani wew kaka mwenye jezi jekundu mstaharabu nimekupenda bure jamani 😘😘😘

  • @darenhussein7839
    @darenhussein7839 Місяць тому +6

    Hiii ata mimi siamini kama ni kwelii watu wana roho mimi mbona huo mda siwezi kua nao wa kumfata mtu hivi nakudhalilika kote uko ila wanawake hapana 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @elibarikimwanyama7246
    @elibarikimwanyama7246 Місяць тому +11

    Daah imeniuma sana yan wanawake ndo mana mnauwawa na kutupwa kwenye vipreft

  • @Rehmathathman23
    @Rehmathathman23 Місяць тому +9

    Aniii nimecheka hapo mwishoni eti "Marry hatujui wootee"😂😁🤣🤣🙌

  • @user-pp9mp1pz9f
    @user-pp9mp1pz9f Місяць тому +8

    Maskin huyo mkaka namuonea huruma ni mpole sana😢wanawake wengine bhna dah,yaan c wengine tunavyo teseka na mapenz mtu anapta mwanaume bdo anahangaika tu,kwel kweny miti hkuna wajenz lkn atakuja kujuta na huyo marasta.

  • @user-pz5xd2fc5d
    @user-pz5xd2fc5d Місяць тому +4

    Hii Dunia bilaa sisi hawezi kunoga na sio salamaaaa🎶sisi sasa😂😂😂😂

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 Місяць тому +10

    Mary,Maria😂😂 duuh hata kwenye Jua Kali Kuna Maria huko anasumbua

  • @SoohiedavidMasika
    @SoohiedavidMasika Місяць тому +10

    Njoo kwangu kaka mi yatima ya mapenz😂😂😂

  • @user-lx8nl8hh3f
    @user-lx8nl8hh3f Місяць тому +2

    Daah! Pole kaka angu maskini anaupendo mwenyewe

  • @user-wp3hw5hd2e
    @user-wp3hw5hd2e Місяць тому +8

    Mwana man u anatia huruma na kasaut kake jaman ila ni handsome

  • @diva_20162
    @diva_20162 Місяць тому +6

    Sema huyo kaka wa Man U mstaarabu sana,,, ila huyo mwanamke litamkuta jambo aseee

  • @hashimrweabula9
    @hashimrweabula9 Місяць тому +2

    Baadh ya Wadada wasengee sana duuh noma sanaaa

  • @rosemilingi7860
    @rosemilingi7860 Місяць тому +3

    Cjui ni seme nn from Kampala

  • @franciscakija1702
    @franciscakija1702 Місяць тому +5

    Hii inaitwa tatu mzukaaa 🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️ shkamoni wadada

  • @FatmahAnwar-fp9wq
    @FatmahAnwar-fp9wq Місяць тому +2

    Sawasawa nyinyi wanaume si pia nihivohivo mukipta mschana mpya wazamani wasahau gud work mery🥳

  • @garigajoelgesegeti6493
    @garigajoelgesegeti6493 Місяць тому +1

    Kijana wa manchester united tafuta pesa hao wapo wengi wamejaa wengine bado hawajazaliwa . najua kaumia sana. MAPENZI WEWE😊😊😊😊

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 Місяць тому +4

    Etii usiifunge mlangoo😀😀😀😀😀

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 20 днів тому +2

    Kumamaake sjawai kuona hii 😂😂😂😂

  • @RaymonDbertha
    @RaymonDbertha Місяць тому +3

    Huyu mdada namwonea huruma sana, kitakacho mkuta hata amin kwenye maisha yake

  • @officialijang
    @officialijang Місяць тому

    Hahahah Mr UK 😀😀 Merry Hatujui wote

  • @AsenathBeganio-oc8tf
    @AsenathBeganio-oc8tf Місяць тому +3

    Hiv nikweli jaman au move na kama kweli njoooo unifanye challenge na mimi mpenz wangu jaman

    • @juliethsanga8730
      @juliethsanga8730 6 днів тому

      Haya ni maigizo jamani mi Ndo merry. Inatosha mmenitukana sana mimi siko hivyo ila nilikuwa kazini. Mi nimwigizaji jamani Vp naweza kukaza. Sisi ote hapo ni waigizaji

  • @innocentcareen818
    @innocentcareen818 Місяць тому +2

    Merry Malaya khaa😅

  • @Aisha-qg5mj
    @Aisha-qg5mj Місяць тому +1

    😂😂😂😂😂 kaacha mume mzurii rasita iposiku nawe utageukiwa tu

  • @Humanity21216
    @Humanity21216 Місяць тому

    Mr Uky ;Mary hatujui wote 😂😂😂🤣,, kauli imekaa kinafki sana

  • @alfredngido9807
    @alfredngido9807 Місяць тому +1

    hiii Mr uky umetupigaaaaaa mbaya acheni kutengeneza story

  • @OmanOman-ru4eu
    @OmanOman-ru4eu Місяць тому +2

    😂😂😂😂😂 mr uky

  • @user-wh6bs7cm5p
    @user-wh6bs7cm5p Місяць тому +8

    Najiuliza tu huyo bodaboda kamtafuta Mr UK sangap na mwenye mpenzi sangap had waende kufumania

    • @user-cv4jb1bm6i
      @user-cv4jb1bm6i Місяць тому

      Sikuhizi wameshakuwa wadananda ye ns kiredio

    • @user-wh6bs7cm5p
      @user-wh6bs7cm5p Місяць тому +2

      Kwakwel ya Leo cjailewa but bando langu huwa linaishiwa kwao so wajitahid kufanya vzur

    • @avilamatsuva3358
      @avilamatsuva3358 Місяць тому +2

      Eti kumsindikiza kwenye chocho zote hizo apo tumepigwa 😂😂

    • @AgnesDavid-et3zn
      @AgnesDavid-et3zn Місяць тому

      Namba si zipo dk zako tu unampata

    • @user-pk4ov4cy5c
      @user-pk4ov4cy5c Місяць тому

      hapo mmetudanganya jamani mr uky

  • @felicianboss6953
    @felicianboss6953 Місяць тому +1

    duuh huyo dada kamkataa jaman 😂😂😂ila anacomfidance°°kama zote

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 Місяць тому

    Dah wallah eti tokeni nyumban kwangu na maji kamwangiwa aiseeeh 😢nimeumia saaana alafu kijana msitaarabu tu vizuri jmn maskini

  • @ElizafidelisEliza
    @ElizafidelisEliza Місяць тому +1

    Jmn nmecheka kaka mbav zinauma mr uky et Mary hatujui wote😂😂😂😂

  • @GraceNgido
    @GraceNgido Місяць тому +5

    Jamn leo nimeamini wanawake kwann tuliitwa ndugu wa shetani jamn ...😂😂

    • @AishaMwarabu
      @AishaMwarabu 29 днів тому

      😂😂😂😂😂😂nmechka nakuanguka

  • @user-wd6wh2cl8n
    @user-wd6wh2cl8n Місяць тому +1

    Jamani mapenzi yaacheni2 ila mie nitabaki nitabaki na mapenzi ya mwenyezi Mungu maana mapenzi ya wanadamu nfo kama hayo mnayoona leo GALINDE kesho YUSUPHU😅

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Місяць тому +4

    Cjui ni coment nn from Oman 🇴🇲

    • @UmayyaNkya-ze3ri
      @UmayyaNkya-ze3ri Місяць тому

      Kapike tuu kubusi za ucku mwaya😂😂😂make ya huko tz yanaumiza af yanachekesha wabuyeee😀😂😂😂

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 Місяць тому

      @@UmayyaNkya-ze3ri😂😂😂😂

  • @moureennyarusai536
    @moureennyarusai536 Місяць тому

    Kaka mweny tshirt nyekundu ❤❤

  • @user-sy4yj5ci3j
    @user-sy4yj5ci3j 22 дні тому

    Iyi m'metengeneza!siyo ya uwalisiya

  • @Juliethbryson
    @Juliethbryson 21 день тому

    We kaka mm yatima wa mapenz muache marry njoo kwang bn haelewik hyo na hajitambui

  • @user-ln4he3yp5l
    @user-ln4he3yp5l Місяць тому

    Merry hatujui wote nimecheka sana

  • @saidshaban8110
    @saidshaban8110 8 днів тому

    Wanawake ni noma Sana kiukweli inauma Sana duhhh

  • @user-zv2rw1sm1s
    @user-zv2rw1sm1s Місяць тому

    Duh pole sanaaa kak ake jamni mwanamke mkavu huyu

  • @ibraoman2745
    @ibraoman2745 Місяць тому +1

    Nimelia sanaa

  • @VictaMsodoki
    @VictaMsodoki 7 днів тому +1

    Mchaga umeachwa ao ndo kna marry😢😮😅😊😂

  • @zinatyben
    @zinatyben Місяць тому

    Mr uky 😂😂😂😂 et mArry hatujui wotee😂😂😂😂😂

  • @ClaraMhoro
    @ClaraMhoro Місяць тому +1

    Safi sana Marry..walitaka wakuumbue umewanyoosha.

  • @user-wh1ri3to8h
    @user-wh1ri3to8h Місяць тому

    Sema mme igiza vzur

  • @MuksiniTv-tk2jq
    @MuksiniTv-tk2jq Місяць тому

    Mr uky unaroho mbaya sana😃..😃😃😃😃😃

  • @beatrcidavid3318
    @beatrcidavid3318 Місяць тому +5

    Huyu mery atakuja kujuta maisha yake yote

    • @AshaKache-nr5fz
      @AshaKache-nr5fz Місяць тому

      Merry anakaa mtu mkubwa lakin wanaume wake wote watto 😊

  • @angelsaid7869
    @angelsaid7869 Місяць тому

    Marasitarasita ya ajabu 😂😂😂 tokeni nyumbani kwangu nyot awajui😊

  • @stelabrent6056
    @stelabrent6056 12 днів тому

    Kaka wawatu anaupendo jamni wanawake ni mtihani mbona mungu akupe moyo kaka utapata mwanamke mwema

  • @MadenaIphone
    @MadenaIphone Місяць тому

    😂😂😂meri
    Hawajui wote dadamkavu macho

  • @sahraabdallah7242
    @sahraabdallah7242 Місяць тому

    Sijuhi wanawake Mungu atatuchoma na moto wa nini dah!😢😢 dada mkavu kabisaaa pole mwamba

  • @user-vw5bz6eh8s
    @user-vw5bz6eh8s Місяць тому

    Uyo Dem Ana Nyodo mamae Kuna Wakuudumia na Wakupewa mahaba

  • @aminasasya3767
    @aminasasya3767 Місяць тому

    Mr uk muoga at usifunge mlango😂😂😂 daah nimelia san

  • @user-sz3rj5bv7q
    @user-sz3rj5bv7q Місяць тому +1

    Pole bro 😢😢

  • @IrakozeJuliette-so1iu
    @IrakozeJuliette-so1iu Місяць тому +1

    Kali ya mwaka iyi sasa

  • @EstherMulindwa-fp3ml
    @EstherMulindwa-fp3ml Місяць тому +1

    Nimerudiya tena 😢😢 daaaa inaniuma Sana 😢😢 kunasiku hu mdada atamuliliya.

  • @PendoDavid-yl7pr
    @PendoDavid-yl7pr Місяць тому +2

    Heri mchawi kuliko BODABODA mmbeya🤣

    • @youdya
      @youdya Місяць тому +1

      😂😂

  • @sarasaraz-vn1vl
    @sarasaraz-vn1vl Місяць тому

    😂,😂 ebu ngoja nitafute pesa hayo madude yanaumiza sana

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Місяць тому

    Safi sana uyo dada kafanya vizuri Sana ..Sasa wewe unafikil Kwa situation kama iyo mtu unajiteteaje?? Lazima ukatae Ili uepushe aibu safi

    • @InnocentKisuge
      @InnocentKisuge Місяць тому

      😂😂Ahh wewe ndo ukijitetea Gani huko kama co umalaya

  • @nurdinallymassagamohammed3939
    @nurdinallymassagamohammed3939 8 днів тому

    Kmk Mary mkavu kabsah doh

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 Місяць тому +1

    🔥

  • @AishaMwarabu
    @AishaMwarabu 29 днів тому

    🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌👆dunia simama nishuke ahela nimbali jmni dda mkavu kama mavuzi duuu😂😂😂

  • @edinanestory5569
    @edinanestory5569 Місяць тому

    Mr uk mbea wew😂😂

  • @enalamichael4436
    @enalamichael4436 Місяць тому +9

    😂😂ata mm nisingewajua 😂 kbasaa dunian wawil wawili bhana

  • @user-np2tk1jy1t
    @user-np2tk1jy1t 23 дні тому

    Mwanamke ajawahi penda ana shawishika. Ata na vyombo vya ndani apo kapenda nywele

  • @ashamohdjuma6325
    @ashamohdjuma6325 Місяць тому +1

    Mr uky hizo stori huzipangi lakn😂😂😂😂😂😂 maana ni shidaaa

  • @doramkolo1745
    @doramkolo1745 Місяць тому

    Mmmh movie hii

  • @hurumaanyisile1918
    @hurumaanyisile1918 Місяць тому

    Marry weeeeee😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂 nmecheka

  • @user-fg3cf2eh9y
    @user-fg3cf2eh9y Місяць тому +1

    Wabana pua wa Dar bhana. Ila hii challenge ujinga mtupu

  • @simonlungu8930
    @simonlungu8930 Місяць тому +1

    Sio kweli ni ya kutengeneza

  • @user-pj4jw7jd6e
    @user-pj4jw7jd6e 8 днів тому

    😂😂😂😂 daaaaa huyu dada ni ukoo wa Ali-shabb

  • @user-vk7li5qs2f
    @user-vk7li5qs2f Місяць тому

    Mr uky...uyo chugaa mletee kwang..mm nko single😢

  • @user-yz7nr2vr9h
    @user-yz7nr2vr9h 7 днів тому

    Eti tokeni nyumban kwangu mama mtu mzima Akili kisoda ao wanaume wote hakuna hata anaendana nae

  • @adammasumba5179
    @adammasumba5179 10 днів тому

    Haya mambo naonaga kweny movie wanangu daaah sijafnyiwa mm lkn inauma xna 😢

  • @user-ew3zj8ig4n
    @user-ew3zj8ig4n Місяць тому

    😂😂😂😂 kwaiyo boda boda wivu umekushika daaa😢😢😢nimelia sana

  • @karoliyege157
    @karoliyege157 Місяць тому

    Majina ya merry nomaa

  • @mwajumarupia2526
    @mwajumarupia2526 Місяць тому

    D kama ni kweli mary mkavu

  • @HidayaTwitunge
    @HidayaTwitunge Місяць тому

    We Mr uky usinichekeshe😂😂 mbn upo kama haupo wakati we ndio host

  • @JohnGembeNyanqura-no7ec
    @JohnGembeNyanqura-no7ec Місяць тому

    I see 😂😂😂hii Kal sana nimependa bro alivyosema unaniacha kisa marastarasta

  • @Sylvestersenkoro
    @Sylvestersenkoro Місяць тому +1

    Sema wambeaa tupo wengi hahaha watu buku nne kddki 😂😂

  • @user-lr2og8dj1r
    @user-lr2og8dj1r Місяць тому

    Et Mary hatujui wotee😂

  • @alexramadhani6660
    @alexramadhani6660 Місяць тому +1

    Hii move inaitwaje wazee😂😂

  • @adelinamaluli4216
    @adelinamaluli4216 Місяць тому +1

    Ila MR Uk eti umeeka chombeza Marry hatujui wote😂

  • @HellenJulius-ky7sx
    @HellenJulius-ky7sx Місяць тому

    Daaah Mary😂😂😂😂

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 Місяць тому

    Huyu ni mery wa jua kali kabisa kafanya frenk kuomba msamaha hadi kanisani😂😂😂kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @RehemaSaid-rt8hb
    @RehemaSaid-rt8hb Місяць тому

    Daaahh inauma sana

  • @user-lq4op1bv5c
    @user-lq4op1bv5c Місяць тому

    Mary weeeee hahhahahahhahhahahahha 🎉🎉🎉 bax tu jmn😅😅😅😅😅

  • @ester2515
    @ester2515 Місяць тому

    Mr uky alikuwa anateseka 😂😂 Mara achuchumae mara ainame ukutani

  • @richardjohn-uj2gq
    @richardjohn-uj2gq 5 днів тому

    Mnafanya maigizooo nyie😂😂

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt Місяць тому +2

    Limalaya limeri

  • @deboramwalugala1006
    @deboramwalugala1006 Місяць тому

    Tokeni nyumbani kwangu😂😢

  • @HusnaaAbdul-rahmaan-lu8uj
    @HusnaaAbdul-rahmaan-lu8uj Місяць тому

    Mr uky sio Kwa uoga huo😅😅😅 ila wanawake Sisi jamani hatujawahi kuridhika

  • @Ms.Shansha
    @Ms.Shansha Місяць тому

    mary knows how to act mweeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @HappyGervas-kd9pu
    @HappyGervas-kd9pu Місяць тому

    Mary ruka sana,kata sana vina mdaaaaaaaaaaaaaaa dada yatakukuta

  • @reginalolo3897
    @reginalolo3897 Місяць тому

    Mr uk mnoko sana ety merry hatujui🤌😂😂😂😂😂😂

  • @Hustling_everyday
    @Hustling_everyday Місяць тому

    Bora tu mwamba kaujua ukwel yani
    ....wanawake jau sana ...believe 😢

  • @Mamunabeel-hh9kb
    @Mamunabeel-hh9kb Місяць тому

    mapenz shkamoo mery umetuzalilisha jamn 😂😂😂

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 21 день тому

    Kkkkkkkk mery hatujui wotekkk he Dunia ngumu hii

  • @HosianaAlphayo
    @HosianaAlphayo Місяць тому

    😅😅 Marry atujui wote 😅😅