Hiii ata mimi siamini kama ni kwelii watu wana roho mimi mbona huo mda siwezi kua nao wa kumfata mtu hivi nakudhalilika kote uko ila wanawake hapana 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Maskin huyo mkaka namuonea huruma ni mpole sana😢wanawake wengine bhna dah,yaan c wengine tunavyo teseka na mapenz mtu anapta mwanaume bdo anahangaika tu,kwel kweny miti hkuna wajenz lkn atakuja kujuta na huyo marasta.
Haya ni maigizo jamani mi Ndo merry. Inatosha mmenitukana sana mimi siko hivyo ila nilikuwa kazini. Mi nimwigizaji jamani Vp naweza kukaza. Sisi ote hapo ni waigizaji
Jamani mapenzi yaacheni2 ila mie nitabaki nitabaki na mapenzi ya mwenyezi Mungu maana mapenzi ya wanadamu nfo kama hayo mnayoona leo GALINDE kesho YUSUPHU😅
Daaa hu mkaka namuoneya uruma, mapenzi Yana uma😢😢 anagoma kuongeya, Mungu atampatiya mke mwingine bora mwenye anajielewa❤
Jamaa hivyo kabisa, Demu mwenyewe wala hana mvuto wowote. Huhitaji kulazimisha penzi
Kesho ya mtu inajuwa mungu😢😢 Mr Uky ipo Siku uta posty huu mdada akiomba msama tena kwakupiga magoti, andika iyo😢
SOMETIME UNAFANYA KWA KUMTETEA MTU ILA ATAKUJA KUOMBA MSAMAHA
Jamani wew kaka mwenye jezi jekundu mstaharabu nimekupenda bure jamani 😘😘😘
Anavyoongea kama mchaga
Hiii ata mimi siamini kama ni kwelii watu wana roho mimi mbona huo mda siwezi kua nao wa kumfata mtu hivi nakudhalilika kote uko ila wanawake hapana 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Daah imeniuma sana yan wanawake ndo mana mnauwawa na kutupwa kwenye vipreft
Aniii nimecheka hapo mwishoni eti "Marry hatujui wootee"😂😁🤣🤣🙌
😂😂😂
Maskin huyo mkaka namuonea huruma ni mpole sana😢wanawake wengine bhna dah,yaan c wengine tunavyo teseka na mapenz mtu anapta mwanaume bdo anahangaika tu,kwel kweny miti hkuna wajenz lkn atakuja kujuta na huyo marasta.
Hii Dunia bilaa sisi hawezi kunoga na sio salamaaaa🎶sisi sasa😂😂😂😂
Mary,Maria😂😂 duuh hata kwenye Jua Kali Kuna Maria huko anasumbua
Au sioo 😢
@@mariachifupa4654tulia 😂😂😂
Njoo kwangu kaka mi yatima ya mapenz😂😂😂
Mafalla😂
Unapatkana wap❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅
Daah! Pole kaka angu maskini anaupendo mwenyewe
Mwana man u anatia huruma na kasaut kake jaman ila ni handsome
Sema huyo kaka wa Man U mstaarabu sana,,, ila huyo mwanamke litamkuta jambo aseee
Baadh ya Wadada wasengee sana duuh noma sanaaa
Cjui ni seme nn from Kampala
Hii inaitwa tatu mzukaaa 🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️ shkamoni wadada
😂😂😂😂
Sawasawa nyinyi wanaume si pia nihivohivo mukipta mschana mpya wazamani wasahau gud work mery🥳
Kijana wa manchester united tafuta pesa hao wapo wengi wamejaa wengine bado hawajazaliwa . najua kaumia sana. MAPENZI WEWE😊😊😊😊
Etii usiifunge mlangoo😀😀😀😀😀
Kumamaake sjawai kuona hii 😂😂😂😂
Huyu mdada namwonea huruma sana, kitakacho mkuta hata amin kwenye maisha yake
Mdada mbibi😊
Hahahah Mr UK 😀😀 Merry Hatujui wote
Hiv nikweli jaman au move na kama kweli njoooo unifanye challenge na mimi mpenz wangu jaman
Haya ni maigizo jamani mi Ndo merry. Inatosha mmenitukana sana mimi siko hivyo ila nilikuwa kazini. Mi nimwigizaji jamani Vp naweza kukaza. Sisi ote hapo ni waigizaji
Merry Malaya khaa😅
😂😂😂😂😂 kaacha mume mzurii rasita iposiku nawe utageukiwa tu
Mr Uky ;Mary hatujui wote 😂😂😂🤣,, kauli imekaa kinafki sana
hiii Mr uky umetupigaaaaaa mbaya acheni kutengeneza story
😂😂😂😂😂 mr uky
Najiuliza tu huyo bodaboda kamtafuta Mr UK sangap na mwenye mpenzi sangap had waende kufumania
Sikuhizi wameshakuwa wadananda ye ns kiredio
Kwakwel ya Leo cjailewa but bando langu huwa linaishiwa kwao so wajitahid kufanya vzur
Eti kumsindikiza kwenye chocho zote hizo apo tumepigwa 😂😂
Namba si zipo dk zako tu unampata
hapo mmetudanganya jamani mr uky
duuh huyo dada kamkataa jaman 😂😂😂ila anacomfidance°°kama zote
Dah wallah eti tokeni nyumban kwangu na maji kamwangiwa aiseeeh 😢nimeumia saaana alafu kijana msitaarabu tu vizuri jmn maskini
Jmn nmecheka kaka mbav zinauma mr uky et Mary hatujui wote😂😂😂😂
Hunifikii mimi nilivyocheka😂😂😂
Jamn leo nimeamini wanawake kwann tuliitwa ndugu wa shetani jamn ...😂😂
😂😂😂😂😂😂nmechka nakuanguka
Jamani mapenzi yaacheni2 ila mie nitabaki nitabaki na mapenzi ya mwenyezi Mungu maana mapenzi ya wanadamu nfo kama hayo mnayoona leo GALINDE kesho YUSUPHU😅
Cjui ni coment nn from Oman 🇴🇲
Kapike tuu kubusi za ucku mwaya😂😂😂make ya huko tz yanaumiza af yanachekesha wabuyeee😀😂😂😂
@@UmayyaNkya-ze3ri😂😂😂😂
Kaka mweny tshirt nyekundu ❤❤
Iyi m'metengeneza!siyo ya uwalisiya
We kaka mm yatima wa mapenz muache marry njoo kwang bn haelewik hyo na hajitambui
Merry hatujui wote nimecheka sana
Wanawake ni noma Sana kiukweli inauma Sana duhhh
Duh pole sanaaa kak ake jamni mwanamke mkavu huyu
Nimelia sanaa
Mchaga umeachwa ao ndo kna marry😢😮😅😊😂
Mr uky 😂😂😂😂 et mArry hatujui wotee😂😂😂😂😂
Safi sana Marry..walitaka wakuumbue umewanyoosha.
Sema mme igiza vzur
Mr uky unaroho mbaya sana😃..😃😃😃😃😃
Huyu mery atakuja kujuta maisha yake yote
Merry anakaa mtu mkubwa lakin wanaume wake wote watto 😊
Marasitarasita ya ajabu 😂😂😂 tokeni nyumbani kwangu nyot awajui😊
Kaka wawatu anaupendo jamni wanawake ni mtihani mbona mungu akupe moyo kaka utapata mwanamke mwema
😂😂😂meri
Hawajui wote dadamkavu macho
Sijuhi wanawake Mungu atatuchoma na moto wa nini dah!😢😢 dada mkavu kabisaaa pole mwamba
😂😂😂😂
Uyo Dem Ana Nyodo mamae Kuna Wakuudumia na Wakupewa mahaba
Mr uk muoga at usifunge mlango😂😂😂 daah nimelia san
Pole bro 😢😢
Kali ya mwaka iyi sasa
Nimerudiya tena 😢😢 daaaa inaniuma Sana 😢😢 kunasiku hu mdada atamuliliya.
uyo namjuwa uyo mkaka mwenyw dred
kwakweli
Heri mchawi kuliko BODABODA mmbeya🤣
😂😂
😂,😂 ebu ngoja nitafute pesa hayo madude yanaumiza sana
Safi sana uyo dada kafanya vizuri Sana ..Sasa wewe unafikil Kwa situation kama iyo mtu unajiteteaje?? Lazima ukatae Ili uepushe aibu safi
😂😂Ahh wewe ndo ukijitetea Gani huko kama co umalaya
Kmk Mary mkavu kabsah doh
🔥
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌👆dunia simama nishuke ahela nimbali jmni dda mkavu kama mavuzi duuu😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mr uk mbea wew😂😂
😂😂ata mm nisingewajua 😂 kbasaa dunian wawil wawili bhana
Kabisaaaa😂😂😂
Mwanamke ajawahi penda ana shawishika. Ata na vyombo vya ndani apo kapenda nywele
Mr uky hizo stori huzipangi lakn😂😂😂😂😂😂 maana ni shidaaa
Hhhh
Mmmh movie hii
Marry weeeeee😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂 nmecheka
Wabana pua wa Dar bhana. Ila hii challenge ujinga mtupu
Sio kweli ni ya kutengeneza
😂😂😂😂 daaaaa huyu dada ni ukoo wa Ali-shabb
Mr uky...uyo chugaa mletee kwang..mm nko single😢
Eti tokeni nyumban kwangu mama mtu mzima Akili kisoda ao wanaume wote hakuna hata anaendana nae
Haya mambo naonaga kweny movie wanangu daaah sijafnyiwa mm lkn inauma xna 😢
😂😂😂😂 kwaiyo boda boda wivu umekushika daaa😢😢😢nimelia sana
Majina ya merry nomaa
D kama ni kweli mary mkavu
We Mr uky usinichekeshe😂😂 mbn upo kama haupo wakati we ndio host
I see 😂😂😂hii Kal sana nimependa bro alivyosema unaniacha kisa marastarasta
Sema wambeaa tupo wengi hahaha watu buku nne kddki 😂😂
Et Mary hatujui wotee😂
Hii move inaitwaje wazee😂😂
Ila MR Uk eti umeeka chombeza Marry hatujui wote😂
Daaah Mary😂😂😂😂
Huyu ni mery wa jua kali kabisa kafanya frenk kuomba msamaha hadi kanisani😂😂😂kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Daaahh inauma sana
Mary weeeee hahhahahahhahhahahahha 🎉🎉🎉 bax tu jmn😅😅😅😅😅
Mr uky alikuwa anateseka 😂😂 Mara achuchumae mara ainame ukutani
Mnafanya maigizooo nyie😂😂
Limalaya limeri
Tokeni nyumbani kwangu😂😢
Mr uky sio Kwa uoga huo😅😅😅 ila wanawake Sisi jamani hatujawahi kuridhika
Na hicho kigugumizi dada utajutaaa
mary knows how to act mweeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mary ruka sana,kata sana vina mdaaaaaaaaaaaaaaa dada yatakukuta
Mr uk mnoko sana ety merry hatujui🤌😂😂😂😂😂😂
Bora tu mwamba kaujua ukwel yani
....wanawake jau sana ...believe 😢
mapenz shkamoo mery umetuzalilisha jamn 😂😂😂
Kkkkkkkk mery hatujui wotekkk he Dunia ngumu hii
😅😅 Marry atujui wote 😅😅