Jamani tuwe tunaagalia na watu wa kuwa nao kwenye mahusiano kwa mfano huyo kaka aliemtumbukiza mpenzi wake kwenye maji, huyo ni tahira Kabisa tena chizi
Duuh hiv wanawake we zangu mnapataga wapi nguvu za kuninulia hawa wanaume vp jaman khaaa ebu tubadilike nazani kama iyo pessa angemtumia mama yake angeshukuru sana aisee kama hakuwa na mama basi amsaidie mtu wakumsaidie duuuh aisee inasikitisha sana wadada wenzetu hawa wanaume sio wenzetu badilikeni bhna wadada
Mungu naomba na mm unijalie huo moyo wakumnunulia huyo mtto wa mama mkwe Iphone 15 au nitoe2 pesa yangu n mpe yan kwa matumizi ya nyumbn Amen 😂😂😂😂 Maana kila nikijaribu natetema mikono yangu
@@user-sy6fo8cb5v yaani huyu kaka mwenye marasta angegoma kutoa simu kwa mr uky, huyu dada badala anunue mafuta apake usoni mashavu yasiungue na jua yeye anamnunulia mhuni simu
kazi iendeleeeee,,mpaka woooooote,, tunyookee bhana
Jamani tuwe tunaagalia na watu wa kuwa nao kwenye mahusiano kwa mfano huyo kaka aliemtumbukiza mpenzi wake kwenye maji, huyo ni tahira Kabisa tena chizi
Mungu akulinde Sana ❤❤ nakufatiliya toka Congo ninzuri❤❤
Hii sio kazi mwisho watu watakuuwa tafta kazi kaka
Kazi nzuri tu kikubwa atumie utulivu wakati wa mahojiano atulize akili tu kaziiii nzuriiii mno wanafki wajulikane
Hii kazi nzuri sana sema watu sio waelewa
Duuh hiv wanawake we zangu mnapataga wapi nguvu za kuninulia hawa wanaume vp jaman khaaa ebu tubadilike nazani kama iyo pessa angemtumia mama yake angeshukuru sana aisee kama hakuwa na mama basi amsaidie mtu wakumsaidie duuuh aisee inasikitisha sana wadada wenzetu hawa wanaume sio wenzetu badilikeni bhna wadada
I appreciate bro
Make sure kuwepo na trust🎉🎉🎉🎉🎉
Pole sana jamnii lakin usikate tamaa
pole sana Mr Uky
Mm nataka nimchalenji mpenzi wangu
tunajinza sana kupitia izo challenge
Mungu naomba na mm unijalie huo moyo wakumnunulia huyo mtto wa mama mkwe Iphone 15 au nitoe2 pesa yangu n mpe yan kwa matumizi ya nyumbn Amen 😂😂😂😂 Maana kila nikijaribu natetema mikono yangu
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅
Hahahahaha kiukweli huwezi
@@FrancisKashe-tt7db Nimejaribu nashindwa cjui kwanini
@@rosemery3017 We huogopi😂😂😂
endelea na kazi ,wanaume wamezidi kudanganya .Kwani si alijua kuwa ana mwanamke mwingine? angekataa kutoa simu
haha hzo nguvu za ku mnunulia mwanaume simu inatoka wap
@@user-sy6fo8cb5v yaani huyu kaka mwenye marasta angegoma kutoa simu kwa mr uky, huyu dada badala anunue mafuta apake usoni mashavu yasiungue na jua yeye anamnunulia mhuni simu
@@user-sy6fo8cb5vyaan mi hiyo leso ya buku tu siezi
Pole sana
Pole jmn Mr Uky ila usiache kazi bhn
challenge ziendelee mpaka wote tunyookee
Kuna siku utakula chuma cha kichwa wew kua makin na hiz inteviw zitakuja kukuumiza
Hakuna kazi isiyo nachangamoto
Aise mmeleta hii video tena😂😂😂😂😂ntapasuka mbavu jamani mimi hahahaaaa 😅😅😅😅
❤❤
Jaman kua makin sasa maana mmmh lakn dada pole
Kweli mwamba yupo makini nakubali
Endelen nakaz nzur kunalakujifunza apo ila tafuten bod gad
😂😂😂 unaifata simu ulipoitupa
Umzgua sana ndgu iv ugekua ww ugfanya nin. Au ndio kusema ww ndio smart boy. Tena ningkua mm ata vtsa ugechezea tu
Wewe una akili mbovu
I mhhh 😂pole
Mbn cpati part 2 jmn za hiz video
Duh hatari 😢
Umezgua ww acha kjielza sana
Iyo zawadi jmn daaaaaaah ad uruma jmn
Tatizo magonjwa mjombaa
Jaman ivi hiyo nguvu ya kumnunulia cm mwanaume mnaipatwa wapi jaman hamuogopi wewe??😂😂😂😂 🙌🙌🙌
Yaaani mpk mapafu yanakufa jmn mm siwezi mpa mwanaume kitu yani labda babangu hawa manina hawaaaaa kwanza ela za mwanaume ndio za kula
@@ShaelKimaro 🤣🤣🤣🤣🤝🤝🤝
Kufatilia mtu moyo wenyewe ndo huu😂😂😂
Wakwako yupo wapiii😂😂
❤❤❤
Et baharin hp nibaharin
Mbona uongo sasa baharini au sweeming pool
Wewe imezidi Sana mana unawafanya wenzio kama wajinga wakati wabongo wengi sio waaminifu iyo ndo shida
kwahiyo unatakaje waendelee kuwa siowaminifuu???
Usiesuka ukamnunulie mwanaume sim😏
Nashangaaaa yani Mungu aniepushe na hilo janga la kumlea mwanaumr kwa pesa zangu
Yani nitamlea kwa pesa zake
@@user-lh2ul3nb6h😂😂😂umeona ee
Kweli ww mtoto wakiume ila co mwanaume ndio mahna unafanya ayo mambo co