Basi mpenz zamu yako iko kikubw umeingiy kweny ule mtego wa ndoa 😂😂😂 bora ungebak mchepuk 😀 na ww unajisif eti hauogop wakati akitok anakuw sio mme wak ila akirud ndio mme wako,malipo ni hapa hapa duniani ndugu yang, zamu yako iko tuuuuu 🤣😀usifurahiy yalio mkuta mwenzak
Hahahahahaahha jamani mke mbona ni jambazi sasa mbele za watu ndo kama ivyo tumejionea veep asitaft demmu mwenye bsara jmn atali sanaa kwa Hali hi nabado tunasalitiwa tu kwa jruri zetu
Huyo dada alochukua mume wa mtu nimependa kwakweli wallah ni mstalabu sana huyo wa mume anahasila wakati yeye ndo kaitamkutano😅😅😅😅😅😅 sasa vinamtoa jasho
Nilichogundua kwann mme amechepuka ni pale alivyoambiwa atambae na wakati ana mkimbiza ndipo nilipomuoana vzr kwa makini mchepuko ana sababu zilizopelekea jamaa kuchepuka😂😂😂
Hahahhaha mm siwez ningekurukia hapohapo na kwenda police sitakagi dharau mm hasira ingeniponza walah.lakin pia mchepuko duuuu unajiamin sana na nimekupenda bute
Mke ni mbabe sn, na haipendezi mwanamke kuwa mbabe mbabe, na hapo ndipo tunapoharibu sisi wanawake, Tazama alivyomkalisha kwenye kiti ni ubabe ambao hauna maana yoyote, kufanya hivyo ni kumdhalilisha mume ya kuwa unamuwezaaa sn, hata uwe mzuri wa kiasi Gani tabia mbaya zitakushusha na kuonenaka wa hivyo kbsaaa, arudi kwako miezi 3 km si 6 akajifunze namna na kuishi na mume
Mm mwanaume.nipo kwenye ndoa wanaume wengi tunakosa furaha kwenye ndoa zetu, Wanawake wengi walio olewa first huwa wanajisahau ndio maana wanaume wanatafuta sehem yakupoza moyo🎉 ila huyo mke wa jamaa hafai kuwa naye nashaur aachane naye abaki na mke mtarajiwa tuuu😮
Kwahyo na mke akikosa furaha aende wapi!!??? Au mnadhani muda wote wao wanafuraha but they hold on to little love and happiness you shared au mnadhani ndoa Ni furaha tu milele?????
Huyu mwanamke wake anaonekana mdomo mwingi sana ndio maana mume wake Amfata huyu mwingine mstarabu mkewe sio mstarabu atakama mume wake anamakosa sio hivo
Umeona eeh mnyamwezi msikie tu atafanywa kitu hata kaa asahau mume ana uma bora usiwakute wote halafu mie kaniudhi pale anampigia simu baby mbele ya mke wake eti nakupenda sijuwi anajiamini nn vile
Mwanaume usiwe mtu wa kukubali kila kitu Kwa mwanamke hata Kama unampenda kiyas gan hamjapanga kukutana unapigiwa ghafra unaenda dahhh huu ni uzembe mkubwa Sana
Kila cku mnagombea hawa viumbe hivi c muwe na akili kama yangu aysee mapenz hayana maana kwangu tangu niko singo sion lililobadilika em jikubalini bwana mnalia lia tuu kitu gan
Jamn ila mchepuko ana sauti nzuri😂😂🙌
Umalaya tu kuoa Aaaaah😅
kwaaakili zangu chache zinazonisaidia kuvuka barabara ni hiv...... mke ndo chanzo cha mwanaume kutoka ..... nawasilisha mada 🙏
Swadakta
Upo sahihi kwakiasi kikubwa sanaaaa
Nadhan upo sahihi
uko sahihi↕
@@yohanakipako7934kabisaaa 👏
Huyooooo mkee Anaonekanaaa shangingiii saaaaana yaaaaan😅😅😅😅😅😅utasema yeye ndio mchepuko na Huendaa Analelewaa huyooo ndioo maaana
shangingi lkn a cheat angemuacha tu kwanza kabla ya kuanz mahusiano
Mumewangu simpeleki mtandaoni hata nimuone kafanya dhambi gani😂😂😂😂😂 Tutamalizana tu huku kudhalilika huku
Upo sahh kbsa
Kabisaaa kipenzi tena hakuna anaejua mapungufu yake namsifia Kwa watu hatari
Hata mm mwanaume wangu alikuwa anaongea siri za mkewe zote,😅😅😅 na mm nikawa nazdsha mahaba nyie🙌🏻🙌🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻 hadi tukaowana, we huwogop?
The next is you babe usifirahie mwanaume kama anaweza kuongea vitu vya mkewe bas na wew zako zitaongelewa
Basi mpenz zamu yako iko kikubw umeingiy kweny ule mtego wa ndoa 😂😂😂 bora ungebak mchepuk 😀 na ww unajisif eti hauogop wakati akitok anakuw sio mme wak ila akirud ndio mme wako,malipo ni hapa hapa duniani ndugu yang, zamu yako iko tuuuuu 🤣😀usifurahiy yalio mkuta mwenzak
@@neytasteven3851na ndivyo itakavyokuwa
Usiogope tumia fursa
Afu kaka mwenyewe sasa hendsome mpka basi afu limama alina adabu ajui kuongea lazima atafute pakuzizimishwa roho❤😂
Sawa mume anauma,ndio umpige mbele ya watu jamn , pole Shem
Ila mchepuko ni mzuri 😂
Mke anashamra shamra hadi raha nimepentraaaaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahahahahaahha jamani mke mbona ni jambazi sasa mbele za watu ndo kama ivyo tumejionea veep asitaft demmu mwenye bsara jmn atali sanaa kwa Hali hi nabado tunasalitiwa tu kwa jruri zetu
Huyo mkee tuu akionekana ni wamambo mengi umalaya mtuupu umemjaa
Unauhakika gan 😅😅😅
kweli kabisa
Kwa muonekano tu. Mh. Ka..kweli vile Ajatulia 😂😂😂😂😂😂
Kweli kabisaa....sura na anavoongea mambo mengi😅😅😅
MIMI NAVYO MUONA JISURA KAMA LINAKUNYA 😂😂😂😂
Picha linaanza mke hamuheshim mumewe 😂😂..ndio mume kakosea lkn huwez mtolea maneno ya ajab hvyo mbele ya watu..angekua mstarab km huyo mcheps mke angependeza zaid
Huyo dada alochukua mume wa mtu nimependa kwakweli wallah ni mstalabu sana huyo wa mume anahasila wakati yeye ndo kaitamkutano😅😅😅😅😅😅 sasa vinamtoa jasho
Mstarabu wap mshenz
@@aminamzuri9933ushenzi wake ni nini?
Kwani niwakwako pekeyak wew dad unachekesh san alokwambia mwanaum niwaumoj kak wew 😂😂😂😂
Hapo ndoa kazi mke mwenye ndiy huyo
Mhuuuuuuu mchepuko mwenyewe hata alipi sura mbovu kam yangu alafu kanajikuta mstarabu byokooooi
Mmmh kaka umeoa mshangaziii hahahhaa et nyokooo hahhahahaha
Mr UK munafikii San wahiziii mambo 😂😂😂😂😂 semaa flesh San mzee baba 🙌 😀 kwanzaa hilo jimama miyeyusho san 😀
😂😂uwiii mchepuko anasifa wallah
Huyu mchepuko na yeye mjinga 7bu km mtu anataka kumuaacha mkewe kwanini anakuficha Si.,,ujingaa huo jmn ila wanaume 🙌🙌🙌🙌
Nilichoona hapa za wanawake ni nyuso zao na ngozi za mwili ni tofauti, murky TU ndio ana rangi Moja,
😊we hujui wamepaka makeup au unataka na me uk apake makeup
@@nancyg8664Alafu huo mkono mweupe sio wa Mary Hakuonyeshwa sura
😂😂😂😂mniue sisemi
Wakati mwingine wanawake wakishaipata ndoa wanajisahau sanaaaaaa!! Unaeza ukawa mzuri ukajipodoa kweli lkn ulimi wako ukakuponza.
💯✍️
Nilichogundua kwann mme amechepuka ni pale alivyoambiwa atambae na wakati ana mkimbiza ndipo nilipomuoana vzr kwa makini mchepuko ana sababu zilizopelekea jamaa kuchepuka😂😂😂
😅😅😅😅
Ayoo mavazi tu umalaya mtupu
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂oyoooo ngoja nizeekee tu huku gulf maaan siwez kugombania mwanaume aise 😂😂nilishayaacha kitambo sana 😂😂
Kwer my tupigane na vyombo2 vya waarabu😂😂😂😂😂😂
@@NajmaSelemani yaan apo ndo uhakika mapenzi tuwaachie wahind 🤣🤣🤣
Kwakwel tuoshe vyoo tu 😂😂
@@jokhajj kabisa mamy
Mchepuko ni mstaarabu kulikon mke
Kabisa ndio maana salum anasepa kwa merry
Ndo maana wanaume wanachepuka midomo yetu
@@AngelBoniface-oe8ug hapa nimejifuza smropokei tena hubby wan
Hii ya myamwezi nimeipenda mtani wangu duu punguza hasila
Yaan huyo babi sijui ni nani hajui kutangaza hata kidogo 😩na hivyo vingereza mchwara sana 😂🙌
Hahahhaha mm siwez ningekurukia hapohapo na kwenda police sitakagi dharau mm hasira ingeniponza walah.lakin pia mchepuko duuuu unajiamin sana na nimekupenda bute
Usinichekeshe utaenda police
Kabisaa mwenye kosa ni mwanaume
Bora hata uyo dada anajua kuropoka anatoa sumu moyoni😂💔 maan unaweza kufa
Nmekapenda kamchepuko kaporeeee kama mimi😂😂😂
Mume anauma nyie acheni hayajawakuta,mimi yamenikuta na stasahau,mchepu anajiamini kushida mwenye ndoa😢😢😢
Alafu Kuna mengine yapo kumkashifu mke halal, nafikiri ni michepuko pia wao au hayajawakuta lakini mwenye yashamkuta anaelewa mke halal anavyosikia
@@chunaabdullah1333 mimi alikua akiniambia simuachi ndo nishampenda kama huwezi kukaa ondoka,ni ndoa na nina watoto
😂😂😂mbona mwanaume anapigwa kama mtoto jamani
Ndo tunataka tujadiliane tumpe Mr UK jeshi la ulinzi na uokozi😂😂😂😂
Huyo dada kwa hali hiyo lazima mwanaume achepuke..dada amejichubua kama shetani..mdomo sasa😅😅😅merry huyo mchukue moja kwa moja pumbavu
😂😂😂😂😂
Naunga mkono hoja
Na nilichopenda mwanaume hajamkana marry wake
Amejichubua kama Nani?
Kwa huyo Dada lazima Mme wake atafute pumziko la moyo
😂😂😂
😂😂😂Mwanaume amekalishwa chini😂😂
Mke ana mdomo kama kitu gani.,😁😁😁😁😁Ila mary anajiamini sana khaaa.......
Kina mary atunaga baya fruu confidence 😅
Wanaume tunahitaji utulivu, kudekezwa kupetiwa petiwa, mke bondia Kam huyo aisee hata Mie tungeshindwana aisee😂 unakuaje na mke evanda Holly field😅
😂😂😂😂nimecheka kwanguvu mie jmn😂😂😂 mke ni chizi😂😂😂 mchepuko ametulia
Shikamoo mijanaume 😂😂,mchepuko nae anakosa la kutembea na mume wa mwenzie wakati anamjua kabisa
Hahhahaah ndo maana hurefuki ila ndoa chunguu mume anauma jamani
😅😅😅😅😅huo mwenye mume mkali njo maana mwanaume katoka kwake ukibaki hivo anatafuta nawengine
😂😂😂mungu wangu
Mwanamke enyewe mbaya kaka mzuriii😂😂😂
😂😂😂mume wa mtu nipo nae ninatamba nae😂😂😂😂
Km ni mume wangu nakutoa busha lakisimi
@@user-rf9ip9bc5d yanii mume wa mtu anajalii weee😀😀kama ni wako utanisameh shoga angu
Nasemajeee kama ni wangu nakutoa mkia kwenye tundu la mkundu yani natafuta jina lako tuu afu chamoto utaenda kusimulia kwenuu@@beatricesway5782
Oyaaaa kumekucha hbu sbr nicheke kwnz 😂😂😂😂
Zamu yako iko dada, malip ni hapa hapa Duniani jinsi wanavy sema tutaonj umauti na jinsi utaonja ulichomfanyia mwenzak na unalip mara mbili yake
Mume au mke haibiwi-
Siyo vzr kusema mtu mwenye akili zake timamu kaibiwa
😂😂
Saaa kumbe mume wenyewe sio age yao😂😂😂
Age ndio nn ss, au ujui ni no tu. Kama umuislamu utaelewa hata mtume wetu mkewe alikua na miaka ngapi bi khadija kwa iyo jiongeze
Yan wamezeeka😂
@@chunaabdullah1333 ni mtume sio vijana wasasa....mtume usimfananishe na vijana wa hovyo wasasa🙏🙏🙏
😂😂😂😂 Mwanamke mbabe ningekuwa mm mchepuko nishakimbia
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂daaah
😂😂😂😂
Mke ni mbabe sn, na haipendezi mwanamke kuwa mbabe mbabe, na hapo ndipo tunapoharibu sisi wanawake, Tazama alivyomkalisha kwenye kiti ni ubabe ambao hauna maana yoyote, kufanya hivyo ni kumdhalilisha mume ya kuwa unamuwezaaa sn, hata uwe mzuri wa kiasi Gani tabia mbaya zitakushusha na kuonenaka wa hivyo kbsaaa, arudi kwako miezi 3 km si 6 akajifunze namna na kuishi na mume
Mume anauma sana jamani namuelewa uyu dada
Mimi sisemi yaliyonikuta nimakubwa sana nasiwataki Tena wanaume
Mm sijaolewa.....ila namuelewa mke😂😂😂😂😂
@@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct usifanye ivo
@@maimunaulotu2075 😅😅😅 hujui lakn amemfanya nn huyo jamaa mpk akaamua ivo
Mmmh acheniii jaman
Namtaka hapa😂😂
Mishangazi ya bongo bana Dah kweli bongo wanaume wachache ila mishangazi mh😂🤣😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣ila tutafute ela tafuteni pesa mapenzi yapo2
Kwakweli kwahali nlioiona mke ndo sababu yamumewe kutoka nje mdomo na ubabe wakishamba😂😂😂😂😂😂 ataibiwa sana
Nimeona kwanin huyu mwamba anataka kukimbia mahusiano😂 sio kwahio vitaa
Mume anauma jamaniiii uwiiii, mume Mume Mume nyie wanaume nyie Mungu avilaze hivyo mnavyoringia
Mbona hasira ivo jaman
@@user-vz4xv7lg3x yaani wanaume mnaboa sana, mnasababisha hata sisi tuchepuke
@@franciscakija1702 nyie ndo chanzo...hb angalia huyo mwanamke anavong'aka hapo...hamna mwanaume anavumilia hiyo kelele
@@user-vz4xv7lg3x hapana kwani kilichowafanya utoke ni kelele au nin! Maana hizo kelele ni baada ya kuona hilo tukio
😂😂😂 kwakweli
Mchepuko anamsambwanda 😂😂😂😂
Uyo mke mbovu kisenge hahahahaha Sura BAYA
Mchepuko mwenyewe kizee
Leo mmenoga kwa sababu tumewaoona wore, au mnasemaje wadau😅😅
Jamaa kawachanga sema mbona Kama yote mishangazi kwake 😂😂😂
We kuwezaa😂😂
Kuweza wap bby inauma😅
😂😂😂😂😂😂kumbe mke ndo yupo hivyo sikuon😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimechek kwa saut
Mimi natangaza atakaetoka na mume Wangu mti wa sehemu zasiri unamuusu siwez kuumia mwenyeww
😂😂😂,
Hahaha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hadi nimecheka uyo mwenye mume ni kichaa kapagawa
😂😂😂nacheka kama mazuri dahaa
Naombeni mwendelezo😂😂😂😂😂😂
Ak macho kama ya chui nimeona leo 😂😂😂
😂😂😂😂😂alivyokalishwa jamn mm hoi 😂😂
Yani mke kichaa 😂😂
Aiseee, adui wa mwanamke n mwanamke mwenzie
Mm mwanaume.nipo kwenye ndoa wanaume wengi tunakosa furaha kwenye ndoa zetu,
Wanawake wengi walio olewa first huwa wanajisahau ndio maana wanaume wanatafuta sehem yakupoza moyo🎉 ila huyo mke wa jamaa hafai kuwa naye nashaur aachane naye abaki na mke mtarajiwa tuuu😮
Anza kumuacha ww mke wako bc km taamu,
Umalaya TU umewajaa na kuanza kuwalaumu wanawake
MKE KUNAMUDA INATAKIWA HEKIMA TU NA SIO HASILA JAPO ROHO INAUMA MKE MATUSI YA NINI SASA
Kwahyo na mke akikosa furaha aende wapi!!??? Au mnadhani muda wote wao wanafuraha but they hold on to little love and happiness you shared au mnadhani ndoa Ni furaha tu milele?????
Mr Uky ety merry mke wake mtarajiwa tena anacheka Uk mnafik😅😅😅
yan hawa kuwaweka nanasi chini😢😢 mume wangu unijibu jeuri😏😏
Lakini uyu dada mwingine mweusi ana akili jamani eti alisema atamuacha mkewe hahaha hahaha hahaha hahaha 🤣😂😂 ili akuoe hahaha hahaha 😂😂😂😂🤣😂😂
Awajui wanaume huyo asubili siku naye atakapoacha aolewe na mwingine haipendez wanawake kufanyiana ubaya
Mke kapata 😆😆🤣🤣🤣
Hahaha dada anavunja ndoa yake kwa mikono yake Yan inaonekana ata anampiga mume wake
😅😂etiii ndio Mary kapatikana😅😅😅
Nimerudia kuangalia huku mwishoni°°😂😂😂😂😂😂😂😂jaman sio kwa mbio hizo
😂😂😂😂😂😂haki ya mungu nimecheka kama mazuri
😂😂😂😂
Mme anahaki ya kuchepika mke ana mpiga mme weweeee ata ndo mm nigekuwa mwanaume 😂😂😂😂
❤dah jamn halafu kijana bado mdogo
Mishangazi inamshobokea ata huyo mke wake anaonekana wazi ni mkubwa kwake 😮
Huyo cheupe ata mimi simuwezii 😂😂😂😂
Cheupe yupi mm naona ndizi za kuchoma tu hapo🙌😂😂😊
Mnaosema mke ana mdomo jaman hata kama huna mdomo kuna wakati unapokuwa na hasira unaweza kufanya kitu kisicho sahihi mume anauma
Mume anauma ila wote wazinifuuuui ata mavazi sio ya wake za watu nimavazi ya mchepuko
Huyo mke kwa mdomi huo llazima mwanaume atafute pakupumnzikia
Ushaambjwa kaa hapa 🤣😂🙌😁
Huyu mwanamke wake anaonekana mdomo mwingi sana ndio maana mume wake
Amfata huyu mwingine mstarabu mkewe sio mstarabu atakama mume wake anamakosa sio hivo
Jamal jina limekumbusha mbali😂😂hadi nimelia😂
Huyooo anaenda kulogwa..maana sio kwa alivyosisitiza utaonaa
Umeona eeh mnyamwezi msikie tu atafanywa kitu hata kaa asahau mume ana uma bora usiwakute wote halafu mie kaniudhi pale anampigia simu baby mbele ya mke wake eti nakupenda sijuwi anajiamini nn vile
Mm jaman mwanamke alizaa na mume wangu akaja kuniomba matumiz mm kisa hampat mumewe wee ila mm ndoaa apanaaaa zipiteee kuleeee
Hatari
kweli mume ndio mwenye makosa
Hana makosa ak
Mwanaume usiwe mtu wa kukubali kila kitu Kwa mwanamke hata Kama unampenda kiyas gan hamjapanga kukutana unapigiwa ghafra unaenda dahhh huu ni uzembe mkubwa Sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mke anq hasiraa😂😂😂
Dada anajiamini😂😂😂😂unaweza uliwa hivihvi
😂😂😂 hii dunia inafurahisha sana 😂😂
Wewe na uyo mbwa mwenzio🤣🤣🤣
Sasa mbonaa mmekata utamuuu😂😂😂😂😂😂😂 ilaaa shangaziii kayatibuaaaa mwenyewe alichooo kitafutaa amekipataaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂
Uuyu muchepuko hana aiibu hana aibu muuzi Ana subiri nini kupata mwana ume wake kusumbuwa watu na ndoa yao ipo siku muta lipa hiki mungu Ana jua
Iyo ndoshda ya mishangazi🤣🤣🤣🤣
Kila cku mnagombea hawa viumbe hivi c muwe na akili kama yangu aysee mapenz hayana maana kwangu tangu niko singo sion lililobadilika em jikubalini bwana mnalia lia tuu kitu gan
Hahaha Hahaha mke msengeeee😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Oyaa tambaaaaaaaaa😂😂😂😂 iyo imeendaaaaa
huyu mke nikichefu chefu hana nidhamu hana hekma hana heshima limejichubua mavidole yamejaa sugu midomo imejaa malipstiki hamuheshimu mumewe