Diamond Platnumz kazungumza ukweli kuhusu beef na Davido na walivyokutana juzi, mtoto wiki ijayo
Вставка
- Опубліковано 17 лип 2015
- Mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz amekutana na camera ya AyoTV hapa Durban South Africa wakati tukisubiria tuzo za MTV 2015 kaongelea Beef yake na Davido ilivyokua na mpaka wakakutana, mtoto wake wiki ijayo, tuzo za MTV na mengine.
- Розваги
Diamond is soo humble and ni mkweli....I thnk hii ndio sababu anazidi kwenda juu.Kazi njema ...mob love from kenya
Jambo Mr diamonds I wish you all the best ***** umekomaa kia kili unavyo jibu interview zako zooooote vizuri sana keep it up and god bless you kwa yote unayoyafanya akulinde na akuepushe na wanoko wabaya. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏TINA from Kenya.
Diamond platnumz he iz best aisee duh..yaan full point big up chibu bro Millard Ayo thank for da good interview uko vizur bdo tunatarajia vitu vizur kutoka kwako
Ahsante xaana #millradayo kwa kutupa chakula cha ubongo!! Keep it up & be blessed!!
Big up our Tanzanian bro. U make us proud. We love u sana Mwenyezi Mungu akulinde.
this gy bana anaupeo mkubwa kweli,,yani unakuwa uanatamani efanyiwe interwiew kila mara anajua sana kujibu maswali,,plus anakipaji kikubwa,mno,,big up diamond mungu akujalie,,mana kunawasomi lakini kujieleza hivyo hawawezi,,yani unajua mpka unakera wenzio,,,,mungu akujalie kaka
I love Diamond's music so much I think his personal life and the Instagram teams at time potrays him different but he is humble and a good performer,anaipeperusha bendera ya Tanzania vyema and thats what matters the most congrats to him oooh back to you Millard keep doing what you do,your trully going places,we need more younger gentlemen as this guys.Kudos to both.
Diamohd
Idrisa Mohamed
nice boy
One more thing. Millard unafanya kazi nzuri sana, kwenye hii TV yako mpaka kwenye kipindi chetu pale katika redio, duh.......big up kakangu
Asante xana milard kwa ctor nzuri
Nnapendaga interviews za diamondplatnamz mwanzo mwisho
bigup bro kazi nzuri.
Na shindwa hata kusema kitu, Diamond your awesome, na nakuombea mema kaka, na ujue kuwa watanzania tunakupenda ka changamoto hazina budi kuja, one love kaka, pamoja sana. Tunakuombea mwaya.
Dimond umejituma sana hakuna asiyejua so usiangalie nyuma angalia mbele najua mafanikio yako nifanikio yangu kitaifa so kepup
+paul buchira oya
(Off topic) Tatizo na sisi wabongo tumezidi kha..! Yaan video Ina viewers 30k alaf likes eti 300 kweli guys? I don't understand sijui watu hawana account za UA-cam? Cuz I'm pretty sure hamna ambae hajaipenda video Hii au any from milard ndio maana Mimi kwa channel yangu (comedy videos) nina upload video za kiingereza nyingi na za kiswahili chache... We need to show support jaman..y'all don't know how much it takes for a person to Record,Edit and upload Hapa UA-cam...Unsubscribe tu shida, hata kulike jaman? And Liking a video sio lazima but at least it gives a person moyo wa Ku do more and more..
Bb. Y oi
Milard nice 4 good work
Hi Mr miladayo, big up for your Nice program
Jamaa ana point za maana ahsante sana millardayo
awesome
D -Zari 4rever
2020...
Millard Ayo gud job with diamond,U'r on top wid ur interview
Gvbcnvgc
Aline Bikundwa lo
Jamaa ana ni inspire sana as kijana. 255 All the way.
good sana ...
Aiseeeee Kaka umeongea points nzuri sana nimezipenda ...keep it up broh
Mika Chavala Thanks for watching Mika, shukrani kabisa
Millard Ayo sante xan brother unatujuz mengi
+Millard Ayo nice job brother
hongera bro
big up millard
safi
Davdo yupo juu diamond ukasom ufati apo kwa davdo ata ukiimba kichina.
Ayo wewe ni kwikwi...... yani ni nomaaaaaaaa @ayotv
Safi
you can get a chance to win
Kweli mond uko pow
respect baba tiffa
nimefurahi kuona hi video
nyimbo mpya ya diamond platnum
DIAMOND
Tunashuru kwakutuwakilisha vizur hapa tz
Love you baba Tiffah
asants
abel mdapo nn
Diamond Yuko juu kuliko davido
nom
diamond we sai uko ju kumliko davido kimziki
Majambazi
Janda dogomu
UKO POA KAKA KAZA TU chief young moro hapa.
milard upo vzr sana utadum kk.
ayo ww ni wakimtaifa big up bro.nlmm napenda kukwitwa mzarendo+mirladayo
Nakukubar sana diamond
good xana chibu di chibu de
Poa sana millard kwa kutuweka karibu na dangote......tuko pamoja damu damu milele
delly mulashan
Anapenda kulamba mdomo sijui kwanini au unalambaga sana kuma
Dah diamond mwacheni aitwe diamond
Diamond
u
n
a
w
e
z
a
Kuwa na akili si lazima uende shule. Hongera raisi
Hizi sheria za Magufuli za kitoto isee
Diamond kwani wewe unamakengeza? alafu kwenye majadiliano unapenda kumtaja kinyanya cha Uganda kwa nini?
Hapo poa kabisa kaka nakubali. Mambo murwa kabisa.
tutakupositi kwamazuri yako mpaka mwisho.
manase
we diamond msaidiye mzee wako utakuja juti baadaye
bakary mussa90
jamaa yukojuusana kazabuti
Saf kk
Msafa wa obama kenya
jamaa yukojuusana kazabuti