"Mimi na Wema Sepetu tunakutana sana” - Diamond Platnumz
Вставка
- Опубліковано 12 чер 2017
- Mwimbaji Diamond Platnumz alikaa kwenye Exclusive Interview na On AiR with Millard Ayo kuzungumzia ishu mbalimbali za muziki akiwa na kundi lake la WCB ambapo pamoja na maswali mengine, alijibu kuhusu uhusiano uliopo kwa sasa kati yake na aliyewahi kuwa Miss TZ 2006 Wema Sepetu ambapo.
Diamond go back to wema sepetu from kenya I love wema so much
nakubali na kuangalia habari zako kiroho safi hubahatishi Mungu akubariki Millard Ayo. from Dubai asante sana habari mingi za Tanzania nazipata kupitia kwako
Kweli wema na diai wapendane tuu wana lingana I love u wema be strong
Diamond kuwa na wema utapendwa sana
wasanii wa WCB are down to earth wen it camz to their fans.....rilly luv dat
subscribers kwenye UA-cam channel yangu EBUZZ TZ KARIBU
diamond huwa anakumbuka sana fadhila za wema na anajua wema kambust sana tatzo vijiwatu tu pembeni vinaongea kuhusu waoo lakin diamond anajua kuwa wema ni muhimu sanakwake
Mwaija Ramadhani 👏👏👏👏👏👏👏👏
wema kipenzi Cha watu 😍 Wakenya kiherehere leteni hapa ! Millard sauti duh!
Wema for life
Mme damsha nawapenda sana
Napenda wema and diamond sana
Tumushabe hadijjah uko wapi Dada?
millard ayo cograts ni kwako tu unaweza pata habari za ukweli bila kuongeza chochote,,mnayo ongelelea ni sawa na kichwa cha stori
mond unazingua wema ndo wako afu yeye ndo kakufanya ujulikane
Mama T anajua kuwa wanapendana na wana mapenzi ya dhati ambayo hayawezi kufa moja kwa moja, kwa hiyo inabidi awe mpole.
Team Wema.....
Lenny Ayugi tupoooooooooo
Lea kinema ukweli diamond,,,wema anakufaa mwenyezi mungu awabariki sana nawapenda kutoka kenya
wema ni queen na bby wa diamond period
wema ni wako nawapenda sana kwanza ukiwa na wema mnaendana kweli
Rehema Julias yes
woyooooh wema 😍😍😍😍😍😍😍😍
appreciation
2021 tujuane hapa
hasanova Tia comment kama wengine acha kutukanana
D manze uko fiti tu sana hongera nairobi yaani kenya ni lini
safi sana simba
Always a fan of Zari Hassan na ako poa kwa Diamond platnumz,,age is just a number,,what makes me to envy them,is just the love for her kid,a rare thing to find from celebs
nafurahia sana ukimludia wema mbongo mwenzako achana na nawengine lakini ujali kuhusu watoto
2020 tupo gonga like tujuane
Nice platinum and rayvan
Beautiful studio set up but you honestly need to get professional Headsets. I strongly recommend AUDIO TECNICA ATH M50
wcb team u know how to straighten them ....u rock simba
nyie hajaachana sema sisi do vilaza2
yani umrudiee kwa amani tu Mungu awajalie mzae mtoto wenu kwasababu nina imani mmeachana kwasababu ya wema kutokuzaa lkn bado mlikuwa mwapendana na mnapendezana sn
funs upadates tourists Mungu yupo atamponya tu madame Wema namuombea apate watoto mapacha vile dah
great
Thanks Ray
vizuri sana!
Yaani hiyo furaha yng siku diamond na wema kurudiana ntafanya bonge la party
Bro mond. ur a man who. needs to be appreciated. ever in Tanzania congrats sana Bro mond. kucheza na wema datc a normal thing sema watu weng wa Tz n uncivilised
You are not serious
gd jb Simba
salute u simba diamond
ur right
mrudiane tu nmewamic😅😅
Watching Tanzanians speak Swa makes me feel like I can chomoa some Sanifu of my own. Oh the struggle is real.😎
subscribers kwenye UA-cam channel yetu sasa EBUZZ TZ
😁
Hy
Hy@@ebuzztz8307
wow rayvanny unajua kuongea diamond mwalimu mzuri
nawapend bure sana
waaaaaw
umerd kweny na mludi kwao xio mtumwa wema oyeeee
Wcb forever and for Always.....
Noma sana broo
diamond nakukubar. were noma
Bashiru Mohamed nice
wema na daimond wanaendana sana naomba MUNGU afanye wepesi waoane
Nice
SAFI SANA NASSIBU KWA KUACHA MABIFU NA WEMA
safi
Team simba..wakenya mpo🙋
Mariana Akala tupoo🙌🙌
Mariana Akala ndaniii
Mariana Akala Hapa🙌🙌🙌🙌🙌
Mariana Akala tupo kama kawaida yetu dear 👍
Mariana Akala ndaaani ndaaani ndaaani
Kenyan fan
p1 sana mtu wanguvu
nice simba
N msanii mgani huyo alikuwa anasema ati atakuwa kwa vidio na n wimbo gani huo kama unajua weka comment na like pia
🔥🔥🔥WCB
nice
🔥simba
2020 ✊✊✊
kazen mazee
Apo sawa
diamond uko I love ua teeth kama hauna zile meno badika
Nyeusi Kadadyy Chege mm pia juu akivaa huwa anaongea utafikiri meno ni mingi sana kwa mdomo
mbona wasanii wanakua weupe kwanini hahahaha uwiiiii
subscribers kwenye UA-cam yangu karibu kwetu EBUZZ TZ karibu
Fatma Nasser maji mengi
Kungaa ni kawaida saana ukiwa karibu na hela hasa +furaha,unakuwa mweupe
upoo juuu
Daaaaa komaah kaka we nma
Millard ayo unaletaga mambo mazuriiiiiiiiiiii hujui tu
wakenya 2po xna tunawaona
Williams Kemisola mie sauti yake tu Mmmmmh aseeee tam kinoma yani.......
team zari actually zari is beautiful person and responsible
Tuseme tu ukweli diamond na wema wanapendezana hata mama diamond anamkubali wema
wema ni wema bhana nyie mnapendana Sana tu sema nini mzee baba Fanya mchakato kwa madame Wema bhana Dah....... Rayvanny Eeh umetisha but #Millardayo hiyo sauti mie inanipagawishaga Sana yani Dah sio powa 😭😭😭😭
daaaaaaani
Team Fire💪
Safi mond cheka na madam wema ipo siku utanifurahisha zaid
good
hongerani wana mzikii
Ko baada ya kusema Zari alikuwa akiwasiliana na IVAN na unalipa kisasi kwa kuusema unasasiliana sana na Wema? Bac Tumekubali.
Nilitamani sana Diamond avue hizo side mirrow machoni ila naapeenda sana interview zako unaongea vizur sana kaka
Hi,millard Ayo, kutoka,Tanzania, me lam Mellen Ondieki from USA please namufuta,huyo,musichana, bitoke, kenya hii,studio, station yako.Asante sana,but if you get this message, yangu,huyo,musichana alisema,atajiua,if ben pol,ataki,to marry her,please tell her, if ben pol,is not going her,l will get her to American to get ajob,then a forget about that,but if ben pol marry her,it will be very grateful .l think you will understand, me,please take this message to Bitoke.
milard ayo I love you ,lol hio sauti .. mmmmmh
nakushauli kk pita kooote Ila usimsahau wema kakutoa mbali jaman
damond usivaage miwani bn me napendaga nione machoyakoo kakaangu babatifa
naitaji na mm nijiunge na wcb kwajili ya usafitu yaani kusafisha office najuwa ona day nitaingia uko
kuachana sio sababu ya mabifu ya kipuuzi. salamu kwao haters
Ne Ne zmewafikia hahahhaha
l dont think is problem to befriend with ex is normal
Wema na mond wallah mngeoana ingependeza sana
king simbaa naniii mwengneee
wasafiiii ndo.habariii ya town
Simba wewe noma
B gap xana milady naona uko na chama la WCB una liwakixha vyema 👊👊👊👊👊👊👊
Rayvanny anaongea vizuri basi
nc
sawa baba tunakuelewa
Jamani ciku diamond akirudiana na wema na kuwa mke na mume nitapata furaha ya milele
wema na diamond munapendezana sana
Duuuuu jamani
team bongo
subscribers kwenye UA-cam yetu karibu EBUZZ TZ
yule mtto.wa khadija kopaa yuko.wapi au washatosaaa
Wema mama lao
wemaanakufàa sana tu kuriko tajiri wa uganda
mm nasikia raaha mondi kuwa Na wema maana walipendana Tang kitambo
nbona diamond kazima?
subscribers kwenye UA-cam yetu EBUZZ TZ KARIBU
binafsi nimeziwekea alarm blog nyingi ikiwemo Millard Ayo lkn sasa zote zitapga alarm na nitasoma na kuangalia video ila nisipopgiwa alarm na ayo tv haisee ctaweza kuamn hyo habar mpaka ayo tv Ihusike
yani mm pia huwa naamini kutoka Millard
Wcb 4 lyf
ile kitu na young killer hatukisikii kutoka mondi au mipango sio matumizi
time wema
Oya
2nd on the line to comment
where's the f***ing English version?!
mtu wangu wa nguvu Miller ayo uwa na kupenda una busara kwa kuuliza maswali nacbu nimekupata ndio binadamu ao kwao zury baya ...baya... baya hawakoc lakusema
Tisha sn simba marekani wandengereko wapo bwn
Duh