wa Tanzania acheni unafki bila kupepesa macho wa mdomo Hamonize ni musanii muzuri ila kujilinganisha na Diamond bado sana kwa kweli afike kwanza level Rayvanny kwasababu Rayvanny pekeake kamzidi mbali sana Hamonize ila Hamonize anataka anataka kujifanya kua haujuwi kua Rayvanny mkubwa kuliko yeye anajuwa sana
Duh unamjua konde kweli , kuna utofauti wakua popular nakua namafanikio kwa umaarufu naku shine diamond ni the best. But nguvu ya ku ficha ulichonacho na ku mention konde ni strong angekua dhaifu angepotezwa kabisa kwenye ramani ya muziki kama mavoko. Diamond usipokua imara ana hakikisha amekushusha hataki ushindani wa kuona mtu ana mpita ki ustar na umaarufu, kitu unatakiwa kujua ukiwa maarufu wafanya biashara wenye nguvu ya kuficha thamani wana tumia umaarufu wako kuingiza pesa, Diamond anatumika namakampuni mengi, mfano chibu perfume nimtu aliwekeza , diamond karanga nimtu aliwekeza wasafi media kunamtu kawekeza, wasafi bet, mkenya ka invest , peps mkubwa wao wahindi wamewekeza, air tel pia hivyo hizo kampuni zote hazi milikiw nayeye baadhi ana his nazo. Na unatakiwa kujua hakuna mtua anaweza kukulipa zaidiya anachopata. That means haimaanish hawezipitwa na wasanii wengine. Do you know that guy musion AY. He has a lot good result , bana boy wajuz tuu kawapita wengi kiuchumi, hivyo hata konde anawezakua wa juz aka mpita mondi pia inawezekana.
Diamond ni ya Kusaga yeye anashea ndogo na Ally Kiba yuko na waziri nyumq yake na ndiyo qliyemleta wa BBC London kuna siri nyuma ya pazia tulieni vijana
any one who like konde click like button here👍🏾
Acheni kuongea utumbo sasa hapo amejigamba kitu gani hapo konde boy ni mtu mmoja pisi sn tuu ❤
Kinachoongelewa na mlichoandika haviendani😅
Suel tv we are watching 🔥
Jeeshiii la mtu mmoja jeshii kama jeshii 🔥🔥🔥🔥🔥
Harmonize hana imaani na kipaji chake tena ndio maana ameamua kua na uchawi..Mzee Popo...laana tupu😅😅😅
Vanny mkubwa sana
MkubwaMungu tu siyo Vann
We nn kafirwe uko Acha shobo
@@yussufamour9979 Acha matusi toa maoni tu nenda shule usiitumie simu vibaya
Wale vywawa wako mbona hatujawaona pimbi na wasenge wengine kelele wote leo wapost na hili
Unafiki wenu mm huwa siupendi
Mtangazaji unachokiongea ni tofauti na msanii anachojibu 💁🙄
Aaa Hawa hawaeleweki huwa ni kiki
Harmonize bado sana kwa lukuga
Ukubwa wajna utapendeza ukiambatana na mkwanja.
wa Tanzania acheni unafki bila kupepesa macho wa mdomo Hamonize ni musanii muzuri ila kujilinganisha na Diamond bado sana kwa kweli afike kwanza level Rayvanny kwasababu Rayvanny pekeake kamzidi mbali sana Hamonize ila Hamonize anataka anataka kujifanya kua haujuwi kua Rayvanny mkubwa kuliko yeye anajuwa sana
Sahihi sana ndugu upo sahihi kabisa
Poleni
@@binkomhesi9019Ukikuwa kidogoo ukiwa na akili ya kuona kitu utaelewa harmo is better broo
Harmonize Yani bd sanaaa sema yeye anajikubari sana kuliko ata mashabki wanavyomkubari
Duh unamjua konde kweli , kuna utofauti wakua popular nakua namafanikio kwa umaarufu naku shine diamond ni the best. But nguvu ya ku ficha ulichonacho na ku mention konde ni strong angekua dhaifu angepotezwa kabisa kwenye ramani ya muziki kama mavoko. Diamond usipokua imara ana hakikisha amekushusha hataki ushindani wa kuona mtu ana mpita ki ustar na umaarufu, kitu unatakiwa kujua ukiwa maarufu wafanya biashara wenye nguvu ya kuficha thamani wana tumia umaarufu wako kuingiza pesa, Diamond anatumika namakampuni mengi, mfano chibu perfume nimtu aliwekeza , diamond karanga nimtu aliwekeza wasafi media kunamtu kawekeza, wasafi bet, mkenya ka invest , peps mkubwa wao wahindi wamewekeza, air tel pia hivyo hizo kampuni zote hazi milikiw nayeye baadhi ana his nazo. Na unatakiwa kujua hakuna mtua anaweza kukulipa zaidiya anachopata. That means haimaanish hawezipitwa na wasanii wengine. Do you know that guy musion AY. He has a lot good result , bana boy wajuz tuu kawapita wengi kiuchumi, hivyo hata konde anawezakua wa juz aka mpita mondi pia inawezekana.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Vanny kwani anaomba Nini ?
Yeye kila mara mpaka amtaje mwamba diamond
🎉
Mbona anaiga kwa mond mpaka anakosea ,,,anaongea kwa uhumble sana
Bado sana harmo
Mond apewe heshima yake
Momentis duh
Diamond will always be your papa…without him you aint shit. End of story.
Wewe n ng'ombe kila mtu amesaidiwa hat diamond alipitia mikono ya mtu
Excellence bro @@piusnyaboga903
Acha ujinga 😂😂😂mwenyewe aunalolote wala mwelekeho ndomana munaweka akili ya usahidizi
Simba angemchukia harmonize angemuacha kabla bado haijatoka
Chuki inakuja baada ya kuona mafanikio ambayo ukuyategemea kwa ulimsaidia, Aliyekusaidia anatamani uwe chini yake uendelee kuwa muhitaji kwake.
Language barrier 😂😂😂
Ili muuze lazima mumtaje diamond for no reason
Mond jini sio mtu konde afanye kazi aache unafiki
Aje kuliko simba
Naona mashabiki wa rayvanny wanavyo weweseka
😂😂😂😂😂watapatapa😂😂
Wewe Baba ako ni Diamond..
Diamond ni Baba ako wewe..
Jesh na kiba ninwakali
Rayvanny ni mkubwa kuliko huyu harmonize.....maana harmonize anavimba saana na bado yupo chini ya platinumz na vannyboy
Msiwe mna kurupuka bhana😂
Dogo unajifanya wewe ni mkubwa
Mtangazaji unaongea sana
Anaongea kaaa mondi
Think about Konde Gang kumebaki tu Ibraah na yeye ni Kama yupo and hayupo 😂
Diamond ni ya Kusaga yeye anashea ndogo na Ally Kiba yuko na waziri nyumq yake na ndiyo qliyemleta wa BBC London kuna siri nyuma ya pazia tulieni vijana
Diamond anamiliki 45% unasema ndogo!? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂