HARMONIZE AFAFANUA VIJEMBE ANAVYOMPIGA DIAMOND, “USINISEME TU NIKISTAHILI UNISIFIE PIA, SINA UKARIBU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лип 2024

КОМЕНТАРІ • 80

  • @kelvinbeckson7554
    @kelvinbeckson7554 20 днів тому +19

    any one who like konde click like button here👍🏾

  • @dulladelzz13
    @dulladelzz13 15 днів тому +4

    Acheni kuongea utumbo sasa hapo amejigamba kitu gani hapo konde boy ni mtu mmoja pisi sn tuu ❤

  • @user-ps5el6ef2u
    @user-ps5el6ef2u 19 днів тому +7

    Kinachoongelewa na mlichoandika haviendani😅

  • @ellyjimmy22
    @ellyjimmy22 19 днів тому +3

    Suel tv we are watching 🔥

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 19 днів тому +7

    Jeeshiii la mtu mmoja jeshii kama jeshii 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @titoamani-e8b
    @titoamani-e8b 15 днів тому +2

    Harmonize hana imaani na kipaji chake tena ndio maana ameamua kua na uchawi..Mzee Popo...laana tupu😅😅😅

  • @user-xp4re6tv8l
    @user-xp4re6tv8l 20 днів тому +6

    Vanny mkubwa sana

  • @boniphacemsafiri
    @boniphacemsafiri 20 днів тому +4

    Wale vywawa wako mbona hatujawaona pimbi na wasenge wengine kelele wote leo wapost na hili

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 20 днів тому +2

    Unafiki wenu mm huwa siupendi

  • @youngrickericjames1850
    @youngrickericjames1850 19 днів тому +2

    Mtangazaji unachokiongea ni tofauti na msanii anachojibu 💁🙄

  • @AUGENSYLIVAND-rq7hz
    @AUGENSYLIVAND-rq7hz 18 днів тому +1

    Aaa Hawa hawaeleweki huwa ni kiki

  • @user-lb1nr2fw7t
    @user-lb1nr2fw7t 20 днів тому +6

    Harmonize bado sana kwa lukuga

  • @donlee9992
    @donlee9992 9 днів тому +1

    Ukubwa wajna utapendeza ukiambatana na mkwanja.

  • @BurundiMedia
    @BurundiMedia 20 днів тому +62

    wa Tanzania acheni unafki bila kupepesa macho wa mdomo Hamonize ni musanii muzuri ila kujilinganisha na Diamond bado sana kwa kweli afike kwanza level Rayvanny kwasababu Rayvanny pekeake kamzidi mbali sana Hamonize ila Hamonize anataka anataka kujifanya kua haujuwi kua Rayvanny mkubwa kuliko yeye anajuwa sana

    • @Peterchila-un2lx
      @Peterchila-un2lx 20 днів тому +10

      Sahihi sana ndugu upo sahihi kabisa

    • @binkomhesi9019
      @binkomhesi9019 20 днів тому +1

      Poleni

    • @MbalasaJRMwakabalile
      @MbalasaJRMwakabalile 20 днів тому +6

      ​@@binkomhesi9019Ukikuwa kidogoo ukiwa na akili ya kuona kitu utaelewa harmo is better broo

    • @Farida-jx5nz
      @Farida-jx5nz 20 днів тому +7

      Harmonize Yani bd sanaaa sema yeye anajikubari sana kuliko ata mashabki wanavyomkubari

    • @DM_15
      @DM_15 20 днів тому +10

      Duh unamjua konde kweli , kuna utofauti wakua popular nakua namafanikio kwa umaarufu naku shine diamond ni the best. But nguvu ya ku ficha ulichonacho na ku mention konde ni strong angekua dhaifu angepotezwa kabisa kwenye ramani ya muziki kama mavoko. Diamond usipokua imara ana hakikisha amekushusha hataki ushindani wa kuona mtu ana mpita ki ustar na umaarufu, kitu unatakiwa kujua ukiwa maarufu wafanya biashara wenye nguvu ya kuficha thamani wana tumia umaarufu wako kuingiza pesa, Diamond anatumika namakampuni mengi, mfano chibu perfume nimtu aliwekeza , diamond karanga nimtu aliwekeza wasafi media kunamtu kawekeza, wasafi bet, mkenya ka invest , peps mkubwa wao wahindi wamewekeza, air tel pia hivyo hizo kampuni zote hazi milikiw nayeye baadhi ana his nazo. Na unatakiwa kujua hakuna mtua anaweza kukulipa zaidiya anachopata. That means haimaanish hawezipitwa na wasanii wengine. Do you know that guy musion AY. He has a lot good result , bana boy wajuz tuu kawapita wengi kiuchumi, hivyo hata konde anawezakua wa juz aka mpita mondi pia inawezekana.

  • @NGOSHA
    @NGOSHA 19 днів тому

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @DamasLehani
    @DamasLehani 20 днів тому

    Vanny kwani anaomba Nini ?

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 7 днів тому

    Yeye kila mara mpaka amtaje mwamba diamond

  • @noelnchomal2023
    @noelnchomal2023 4 години тому

    🎉

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 20 днів тому +2

    Mbona anaiga kwa mond mpaka anakosea ,,,anaongea kwa uhumble sana

  • @user-fc1pn6ee4z
    @user-fc1pn6ee4z 2 дні тому

    Bado sana harmo

  • @lamecknzuzu9734
    @lamecknzuzu9734 11 днів тому

    Mond apewe heshima yake

  • @enockezekiel4125
    @enockezekiel4125 19 днів тому

    Momentis duh

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania3797 19 днів тому +6

    Diamond will always be your papa…without him you aint shit. End of story.

    • @piusnyaboga903
      @piusnyaboga903 19 днів тому +2

      Wewe n ng'ombe kila mtu amesaidiwa hat diamond alipitia mikono ya mtu

    • @GenerousAzard-fq1ym
      @GenerousAzard-fq1ym День тому

      Excellence bro ​@@piusnyaboga903

    • @GenerousAzard-fq1ym
      @GenerousAzard-fq1ym День тому

      Acha ujinga 😂😂😂mwenyewe aunalolote wala mwelekeho ndomana munaweka akili ya usahidizi

  • @yokossiaks867
    @yokossiaks867 2 дні тому

    Simba angemchukia harmonize angemuacha kabla bado haijatoka

    • @SiraMinanda-k1n
      @SiraMinanda-k1n 2 дні тому

      Chuki inakuja baada ya kuona mafanikio ambayo ukuyategemea kwa ulimsaidia, Aliyekusaidia anatamani uwe chini yake uendelee kuwa muhitaji kwake.

  • @RAZAKIMMALINDA
    @RAZAKIMMALINDA 16 днів тому

    Language barrier 😂😂😂

  • @gustaphkadio5144
    @gustaphkadio5144 11 днів тому

    Ili muuze lazima mumtaje diamond for no reason

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 17 днів тому

    Mond jini sio mtu konde afanye kazi aache unafiki

  • @JuliusOkanya
    @JuliusOkanya 19 днів тому

    Aje kuliko simba

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 20 днів тому

    Naona mashabiki wa rayvanny wanavyo weweseka

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 19 днів тому

      😂😂😂😂😂watapatapa😂😂

  • @AudaxLwekamwa-kt6eg
    @AudaxLwekamwa-kt6eg 19 днів тому +3

    Wewe Baba ako ni Diamond..
    Diamond ni Baba ako wewe..

  • @user-fh5xt9pr3v
    @user-fh5xt9pr3v 19 днів тому +2

    Jesh na kiba ninwakali

  • @shannarsaidSwahili
    @shannarsaidSwahili 20 днів тому +9

    Rayvanny ni mkubwa kuliko huyu harmonize.....maana harmonize anavimba saana na bado yupo chini ya platinumz na vannyboy

  • @SmilingBeaver-rf6sf
    @SmilingBeaver-rf6sf 20 днів тому +5

    Dogo unajifanya wewe ni mkubwa

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 20 днів тому

    Mtangazaji unaongea sana

  • @Barakanenealldays-bp8cd
    @Barakanenealldays-bp8cd 19 днів тому

    Anaongea kaaa mondi

  • @d-manb-free3478
    @d-manb-free3478 19 днів тому +1

    Think about Konde Gang kumebaki tu Ibraah na yeye ni Kama yupo and hayupo 😂

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 20 днів тому +1

    Diamond ni ya Kusaga yeye anashea ndogo na Ally Kiba yuko na waziri nyumq yake na ndiyo qliyemleta wa BBC London kuna siri nyuma ya pazia tulieni vijana

    • @amohamed4969
      @amohamed4969 20 днів тому

      Diamond anamiliki 45% unasema ndogo!? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂