HARMONIZE AFUNGUKA SAKATA LA KUMPIGA BABA LEVO CASINO, KUFUNGUA KAMPUNI YA KUBASHIRI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лип 2024

КОМЕНТАРІ • 125

  • @adolfmathew9698
    @adolfmathew9698 18 днів тому +116

    Vijana wenzangu tutafute hela. Tusali sana. Tujipambanie sisi na familia zetu. Harmonize.kiba.diamond.mario sjui simba na yanga wasitufanye tukeshe mtandaoni tujikumbuke. Nakaribisha matusi pia

    • @JosephDamasimushy
      @JosephDamasimushy 18 днів тому +1

      Kumamayo bax

    • @SaidiMkome-qq7hy
      @SaidiMkome-qq7hy 18 днів тому +2

      Wewe mwenyewe unashinda mtandaoni umeonaje🙌🙌🏃🏃🏃

    • @michaelgeorge1431
      @michaelgeorge1431 18 днів тому

      Na wewe ni Kuma unatombwa​@@JosephDamasimushy

    • @michaelgeorge1431
      @michaelgeorge1431 18 днів тому

      ​@@SaidiMkome-qq7hywewe ni mpumbavu

    • @RutaRubedi
      @RutaRubedi 18 днів тому +10

      Ni kweli, anaye kutukana ipo siku atatamani akutafte akuombe msamaha ila hatakuona

  • @EnockLubengo-uu3zi
    @EnockLubengo-uu3zi 17 днів тому +3

    congratulations from Zambia 🙌😍👏

  • @isackpatrick3743
    @isackpatrick3743 15 днів тому +2

    Sijawahi aisee kuona interview mbaya ya harmonize kama hii

  • @brightmboya596
    @brightmboya596 18 днів тому +2

    Iko poa sana one konde boy congratulations

  • @reusmwampamba
    @reusmwampamba 18 днів тому +4

    Ujumbe umewafikia
    No matter what

  • @VunjabeiVunjabei
    @VunjabeiVunjabei 18 днів тому +7

    Vijana na wazee natoa ml 200 Kwa mwaka acheni kubeti piga namba hii nikusapoti

  • @RomeoGago
    @RomeoGago 18 днів тому +6

    Big up bro Kila la kheri kwako konde

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis9579 18 днів тому +6

    Dah! Asee eti Mwenuezi Mungu amefanikisha😭 kweli jamani? Hapana hii haikai sawa, tusipende kumshirikisha Mungu kwa mambo ya anasa tena hasa kamari ni mchezo wa laana kupitiliza si poa kumshirikisha Mungu.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 18 днів тому +2

    Acheni kamari...tufanye kazi.. Dini zote zinakataza kamari

  • @hadija846
    @hadija846 16 днів тому

    JESHII NIPO PAMOJA NAWE WAKATI KWOTE 💐💕💕💕💕💕KONDE DAMDAM💗

  • @Kibudu
    @Kibudu 18 днів тому +11

    Unamtaja Mungu kwenye kufungua kampuni y kamali, innalillah

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 18 днів тому

      Uwekezaji wa kibongo bana
      Betting sjui mamiziki

    • @AleiHadji-js3ed
      @AleiHadji-js3ed 18 днів тому +1

      Mtihani kweli kweli😢😢😢😢😢😢😢dahhhhhhh

    • @user-le6jm2tf5y
      @user-le6jm2tf5y 18 днів тому

      Mungu unamjua ww au unatafuta jina Kuma ww

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 14 днів тому

    Ayo konde ndo abari ya mjini hii imeenda❤❤❤

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz 18 днів тому +2

    Hahahah mimi sina la kusema apo😂 #tellaaxistz

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 18 днів тому +4

    Siasa

  • @madisonjonathan4112
    @madisonjonathan4112 18 днів тому +6

    Mi nmefrah tu alipoongelea ugomvi wake na baba levo kaongea Kwa busara sana

  • @alexmbigi4878
    @alexmbigi4878 18 днів тому +2

    Safi ila betingi dah😢 ime nifilisi sana sina ata hamu nayo
    uki iendekeza sana una kufu masiki 😅😂😅

  • @Nasir-zc1mz
    @Nasir-zc1mz 18 днів тому

    😂😂😂😂😂anatangaza biashara vzr harmonize dadeki

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 18 днів тому +3

    Mtangazaji unaongea sana

  • @HalimaKassim-yz3we
    @HalimaKassim-yz3we 18 днів тому +6

    Jeshii yaoo yaoooh

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 17 днів тому

    Umejenga hoja vizuri lakini haujaonesha aliyecheza na kushindwa ananufaika vipi... angalau ungesema asilimia 10 ya pesa yake atapata...kwa mfano 1000 umeshindwa..unapata shs 100

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 17 днів тому

    Rajab we ndo wangu

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 18 днів тому

    🔥🔥🔥👌👌

  • @singidaprincetz1883
    @singidaprincetz1883 15 днів тому

    Daaah jmn tutafute pesa mno tuje tusaidie familia zetu jomn

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 15 днів тому

    Kwani hamna michongo mingine ya kuongeza production nchini na kutoa deal kwa mashabik zaid ya kamari yan kila sehemu bet kamari tu ela zenyewe ziko wapi mitaa ina njaa kufulu...??

  • @Tiondo
    @Tiondo 4 дні тому

    Huyu hana jipya? Kila kitu lazima am-copy yule mwenzake?

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 17 днів тому

    Badala mjenge mashule kukomboa family za kimasikini mnaanzisha michezo ya Kamali kufirisi watoto wa kimasikini

  • @carrasco416
    @carrasco416 18 днів тому

    Hawa watu hawakuji na kitu kipya. Diamond kafungua radio kila mtu sasa anafungua media, kaweka betting sasa watu wakimbia huko.

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 16 днів тому

    Konde achana na kamali fanya mziki unapitia njia za baba ako mondi pita jia zako

  • @titoamani-e8b
    @titoamani-e8b 18 днів тому +2

    Harmonize alichokifanya casino ndo kile kile alijaribu kufanya kwa Diamond State House...Kuiba Nyota za Wasanii...Majini amebuma😅😅😅😅😅😅

    • @user-mi7yx8ew1k
      @user-mi7yx8ew1k 18 днів тому

      Tupe kithibitosho sasa baba levo ana nyota gan mpk iibwe na harmonize😮😮😮

  • @jumahamadkali4683
    @jumahamadkali4683 18 днів тому

    Media kubwa ila inasema uongo

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 18 днів тому

    huyu jamaa bado hajielewi intervie yako unaanza kuongelea stori za baba levo hujauliza

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 18 днів тому

    Umamsapoti maskini au unazidi kumkandamiza?😅

  • @eliashibundabalinze2754
    @eliashibundabalinze2754 18 днів тому +2

    Allah wa waislam amemsaidia kijana kufungua kamali ili watu waendelee kubeti na kukesha kwenye kasino badala ya kukesha misikitini

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 18 днів тому

      Wamechakachua dini ili kuhalalisha maovu.. wengine wamekusanya watoto wadogo kwenye concentration camp kuwafundisha ugaidi

  • @AhmedMohamed-mw3ev
    @AhmedMohamed-mw3ev 18 днів тому +15

    Kamari ni haramu kwa sisi waislamu Allah akujalie uwache mziki na kila linalomchukiza Allah rudi kwa Allah Allah atujalie mwisho mwema na atujalie njanna

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 18 днів тому +2

      Kwel kabisaa

    • @yama_virginhairthequeen1065
      @yama_virginhairthequeen1065 18 днів тому +1

      Upo na akili nyingine au ni hii tu 😢 dini zimeletwa ilamnavyozishobokea😂😂 ww kazana tu ukkdhani Kuna peponi😮 ndio maana hatuendelea Africa kwa akili km zihi😂😂😂

    • @salimhassan3369
      @salimhassan3369 18 днів тому

      ​@@yama_virginhairthequeen1065
      Mungu akusamehe sio makosa yko

    • @AhmedMohamed-mw3ev
      @AhmedMohamed-mw3ev 18 днів тому +1

      @@yama_virginhairthequeen1065 sawa haina shida kama ni hivyo tatizo pumzi zina tuhada zitakapo chukuliwa hapo ndo tutajuwa ukweli kama ni shobo au laa

    • @ManirakizaOmar
      @ManirakizaOmar 18 днів тому +1

      ❤Amin

  • @user-le6jm2tf5y
    @user-le6jm2tf5y 18 днів тому

    Ukipata fulsa ww piga hela tu mambo mengitu tutakutana nayo mbele kwa mbele tukifa potelea mbali

  • @JophlayVicent
    @JophlayVicent 18 днів тому

    Sio watoto yatima

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 18 днів тому +2

    Mmbwa wewe unatuletea kamar fk

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi6394 18 днів тому

    KAMALI😢

  • @brunomelody1174
    @brunomelody1174 18 днів тому +1

    Unataka kusapoti maskini kwa kuchukua bukubuku zaooo daaah wazee betting ni mbaya 😢

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d 18 днів тому

    Acha huuni ww wasanii wamekushinda ukawashike bodaboda asee

  • @AmourHaroub-lv8ll
    @AmourHaroub-lv8ll 18 днів тому +1

    Huna jipyaa mziki umekushinda 😅😅😅

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 18 днів тому

    Kamari ni laana acheni kucheza kamari

  • @manbubabubaraja5075
    @manbubabubaraja5075 10 днів тому

    𝑺𝒂𝒇𝒊 𝒔́𝒂𝒏𝒂 𝒃𝒓𝒐𝒕𝒉𝒆𝒓 𝑯𝒂𝒓𝒎𝒐𝒏𝒊𝒛𝒆