Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
Zuchu : "Nilipeleka Nyimbo Kama Tano, Diamond Alizikataa Zote" | SALAMA NA ZUCHU
Вставка
- Опубліковано 16 жов 2022
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Kuna usemi mmoja unaenda kama hivi, kulea mimba si kazi ila kazi ni kulea mtoto, tafsiri yangu naamini mhenga hapo alikua anatuambia kazi pengine inaanza baada ya kupata kazi, tunaelewa jinsi gani ambavyo kupata kazi huwa ni kazi. Tena kazi yoyote, haijalishi kama ni ya upishi au ulinzi au ufundi au hata u daktari, mi nawajua madaktari kadhaa ambao nao pia wanapata shida kupata hizo kazi. Na baada ya kupata shida zote hizo wakati wa kutafuta kazi basi kazi halisi huanza pale unapoipata sasa hiyo kazi yenyewe.
Kazi ya Zuchu ilianza kabla hajaipata hiyo kazi yenyewe na ilikua kazi haswa kuipata na Mama yake Bi Khadija Kopa ndo alikua kinara kwenye hiyo connection ambayo Binti yake alikua anaitaka ili aweze kuwa msanii wa Diamond, na hayo ndo yalikua maneno yake hasa, toka alivyorudi kutoka Nigeria kwenye mashindano ya kusaka vipaji na alikua hajielewi elewi kwa kiasi flani ni kitu gani alikua anataka kufanya na kama basi kutakua na la kufanya inabidi liwe kutoka WCB na sio sehemu nyengine yoyote na agulia nini kilitokea? WCB aliipata na kilichokua kinatakiwa baada ya hapo ni UVUMILIVU wa HALI YA JUU.
Kwenye vitabu vyangu vyote Bi Zuhura Othman Soud ndo muandishi wangu BORA wa KIKE kuwahi kutokea katika kizazi chetu hiki cha Bongo Flava, na naweza sema hivyo wakati wowote iwe usiku au mchana, kipaji hicho ndicho kilichonifanya mimi nistaajabu sana na kutaka kuongea nae na kumuuliza yote yale ambayo nilikua nataka kumuuliza, ingawa humo humo nilikua nishajijibu kutoka kwenye historia ya familia atokayo ingawa hiyo haikutakiwa ndo iwe lazima, lazima mtoto wa Khadija Kopa na Othman Soud awe muandishi mzuri maana wazazi wake wamejaa vipaji tena na Baba yake ndo muandishi mkubwa wa nyimbo nyingi za Mama yake zilizowahi kuvuma.
Kwa umri wake wakati mwengine hujiuliza kajuaje haya maneno yote, anajua maana yake hii? Kasikia wapi hili neno au pengine je huwa anamfikiria Mama yake (ambaye ndo kipenzi chake na ndo amemlea) wakati anaandika hii? Anaona aibu? Je huwa wanaongelea hayo mashairi wanapokua wawili tu? Mazungumzo huendaje?
Sasa turudi kwenye kazi hiyo ya kuanza kuifanya baada ya kuipata sasa WCB, ukiachana na msoto mrefu alopitia, WCB wenyewe walikua waangalifu sana kwenye mipango ambayo ilikua ikiandaliwa kwaajili yake, yeye ndo msanii wa KWANZA wa KIKE kuwahi kutokea kwenye label kwahiyo ukichana na kipaji pia uwekezaji wa hali ya juu ulitakiwa ufanyike and boy they did that. Toka single yake ya kwanza mpaka wakati naandika hii Zuchu hakuwahi kuwa na kazi chafu, album yake ya kwanza alotoka nayo ya I am Zuchu ilikua na nyimbo 7 ambazo zote zilienda kufanya vizuri, na mpaka leo kila wimbo ambao anaachia ni wa moto, tukisema namba moja nadhani namba zake pia zinasema hivyo za kila sehemu, hakuna chumvi yoyote ndani yake.
Vipi sasa anaweza ku maintain hii schedule yake ilojaa mambo kuanzia asubuhi mpaka usiku? Kutoka Jumatatu mpaka Jumapili? Je ana muda kwaajili yake? Ana mpenzi? Mipango yake je? Endelevu? Vipi hizi title ambazo tunampa anazichukuliaje? Kuna pressure yoyote? Na kuhusu familia je? Kuna pressure yoyote kwenye baadhi ya mambo na maamuzi? Na kwenye label nako? Watu na furaha na kazi yake?
Kwa kuanzia msimu wetu wa TANO nadhani introduction ya Ms Zuchu inatufaa sana na yangu matumaini uta enjoy pia.
Asante kwa support ya toka siku ya kwanza ulipoanza kutupa macho na masikio yako.
You’re the best, nakukumbusha tu kwamba mengi yajayo yatakufurahisha In Shaa Allah maana kazi ndo kwaanza imeanza.
Love,
Salama
Napenda zuchu anavyoongea very charming😍
Leo nmejikuta nampenda Zuhura😍 zaidi ya Zuchu
ILike her she’s down to earth. Loove from Ireland 🇮🇪 ❤
Nawakubali sana zuchu na salama kila mtu ana play party yake vzr yaan salama anajua kuuliza maswali na zuchu anajua kujibu maswali
One of the best interviews ever. Keep it up Salama and Zuchu👏🏽
Watu wa Zuchu gongeni like hapa 🙌
Zuu you are great 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 simba jike umebebwa ukabebeka hadi wasafi waliokubeba wanaijoi na mashabiki tuna have fun.
Hakuna kitu kizuri kama kuangalia interview ya mtu mchangamfu kama Zuchu 🥰🥰🥰
For real her interviews are always a vibe Na she is really intelligent everytime ukiskia interview zake u can’t help but love her more.
Mimi interview hata iwe masaa kumi naimaliza.... Yeye na Simba they are great kwenye interviews
@@BigZhumbe umepatia kabisa
🥰🥰
@@BigZhumbe sanaaa
Majibu ya ukomavu nakukubali zuchu🥰🥰🥰🥰😍
Zuchu hadi umeniliza mamy nakupenda❤❤❤❤
Zuchu akili nyingi usibadilike u are a good girl
Aaaaw i love the way she is real❤️🔥🥰
I love you zuchu haulingi dada
Ici kibindi nakipenda kwasababu hakina ushabiki kwata kwenye masali maswali yanaoulizwa yanajitosheleza . Kwakweli napenda da Salama.❤
Interview Nzuri mno.. inafurahisha na kufunzaa
Huyu binti yupo vizuri mno kwenye kichwa chake
Niliisubir xanaa hii zuchu love u😘😘
Her voice God waoooh so wonderful 😊😊
Jamani mi naona maneno hapo juu nyuma ya Zuchu,KumaNoko Kula, au sioni vizuri.
Interview nzuri sanaaa! Daa nimekapenda bureee katoto ka watu jaman
ZUCHU my love🥰😘😍❤❤❤
👏👏👏yuko positive sana zuchu kama zuchu
Salama be asking all the right questions
Happy for you zuchu,may Allah protect you
Best interview ever,,,this girl is beautiful and wise
Exactly even me I love her much more ♥️❤💖🥰
Nakupenda Zuchu💓💓💓
She is clever😇
salama ni muwazi sana sio mnafiki
Salama this is one of the best interviews. I love the way your calm and Zuchu is just awesome.
You just can’t stop loving her❤
i just love salama for some strange reason she is so real i mean she asks the correct questions in a polite manner and zuchu love the energy girl and the wisdom
She is very humble nimempenda
Nimeangalia tena na tena hongereni sana kwa interview
Yeeee wakwanza mm leo
one of the best interview i have ever seen in my life
Yani salama ana bonge la interview saaaana big up salama
Proud of you Zuchu!! Keep it up don’t change 🥰
Salama you are the best...
Tunakuomba utuletee kipenzi chetu mbosso khan
Hahaha nimeinjoi sana asante salama
Nice much love and prayers from fellow Tanzanian women both you ladies
Katoto kana akili mingi njomana simba kadata
Interview nzuri Sana Kwa kweli,
Salama you are one of the best interviewer
I like … wise one 👏
Best interview
Nakupenda zuchu
I like it 🎉
Nimekupenda buleee unahekima kaza but
🥰😘Love you Salama❤️
Interview nzuri sana
Mie ni mkenya lakini nampenda zuchu sana,,,,ningepewa nafasi nimuone tu ningeshukuru
Zuchu my blood 🥰🥰🥰
Gud interview
English.ipo.poa.lakini.salama.yupo.fresh
Salama with her trick questions eti kwa vile SIMBA aliruka na wanawake wengine ukiwa na mimba 🤣🤣🤣🤣
Ikitajwa diamond platnumz zuchu ni mgin🙈🤣👏🤣🤣🤣Is all❤️ beautiful MashaAllah Keep going sis
😂😂😂😂😂
Nice interview
Also me I wish you all the best
Jamn jaman this was funny jamn if you have crush with someone ooooh my god it's very jamn kafeeling kale duu
Safi Zuchu
This girl just has some good energy in her. She sounds so sincere when she speaks.
Will see beautiful woman and I amazing thang 🥰 the best way to be careful about it and nice 🙂
Nice sr zuchu😮
J'aime tes paroles ina saidia mipango iliko kichwani
Salama🙌
I like it
❤❤❤❤
Iko poa sana
Ukisikia watu wanalalamika kuwa eti Mtu Anaongea kiingeeza wakati wa interview... Ujue hao watu hawajaenda shule...hahahaaaa, Kama unaelewa hauna muda wa kulalamika.. Ndio kiswahili ni lugha yetu na kiingeeza ni lugha pia... Nendeni tuition mkavunje yai jamani
Achana na sisi😏
@@jasmineedamu6089 🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisaa….watu wanabidi waelewe she’s an aspiring international artist if not one already so she needs to be accessible to everyone
Mme kawiza kuyitowa
La simba lisha kuwa waziiii🤣🤣🤣
Ma Ami Leo mmekutana
Wa kwanza
Zuchu🔥🔥
Kuipata hii ni bahati sana,
Pamojasana zuch
Nimependa kingereza cha zuchu
Mafanikio ya zuchu nyuma yake kna watu sahihi wa kwanza mama yake, na mpenzi wake daimondi.
Jaman sjaona msosi leo
Wema sasa
😍😍😍
Kwajili ya kiki, she's been trained ili atakapo ulizwa kama anam date simba ajifanye shy ili ionekane kuna something kwa mtazamo wangu hamna lolote ila kiki tu.
Weee hamna lolote kwl hy?
Iyi nimarudiyo sio mpya
👋👋👋👍
All went well until u ask her about Diamond that's when she started behaving like a little girl
😂😂😂😂💔💔
Kwaiyo kiswahili mpemba kinampiga chenga au ndo tunakomoana tu
Zuchu anasauti huyu mtoto!!
Interview nzuri... Na hongereni wote... Zuchu Aka chuchu... Hapo kwenye ku date na simba... Hahahaaaa.
Ni Swali gumu sana... Biggest mistake... Zuchu ni mtulivu lkn simba wetu bado ni kicheche.
Salama tafadhali tuleteeni SHEIKH MUHIDDIN MAALIM SIASA NA SABRA MACHANO WATU ZANZIBAR
Lafudhi ya zuchu❤❤❤
Jamani.mmeonavia2.vyadadae2.zuhura😂😂😂😂
Kato kadogo lakini kanaongea point tupu
hujampa hat juice why!?our zuchu!!
Hawa mababa wengi ni nyoko kabisa.
Ivi nyinyi wa sanii wa tanzania ndio hamuwezi kuongea bila yakuongea English au inakuwa nihashuo tu
Weeeeee mbn umeliwa sasa
Dalili zote zinaonyesha zuchu analala na diamond tena kwa asilimia elfu niko paleeeeeee! mapenzi! huwa hayajifichi ipo siku watashindwa kuendelea kuficha 😂😂😂
Leo sema no no lakini ipo siku utasema yes . Huwezi kuzuia mahusiano kamwe kua siry ficha social media tu.
Ni nyimbo alikuwa anaipenda..na aliiagwa nayo. Ni nyimbo ya kumbukumbu kwako
Nice
🤣🤣🤣