LIVE: IKATAE SAUTI HII NDANI YAKO, NI YA SHETANI KABISA
Вставка
- Опубліковано 7 жов 2024
- Kwa maana dunia itajazwa maarifa ya utukufu wa BWANA, kama maji yaifunikavyo bahari.
Habakuki 2:14
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Nibadilishe YESU niwe mwaminifu kwako
Napokea muujiza wangu kwa jina la Yesu
Nisamehe yesu nisamehe yesu,nisaidie kutembea katika njia yako, kwa ujumbe huu!!mahitaji rehema yako, nianze upya kusimama na kutembea na wewe yesu.
Amen baba
Asante mtumishi huu ujumbe umeniimarisha Sana kiroho
ameena hawahi na Wala hachelewi🙏🙏
Mtumishe ni kwel kabxa 🥺mungu ni mwema kabxa na ni muhimu katika maisha yetu
Amen pasta Mungu akubariki sana
❤oh yesu nikumbuke,nataka tena niimarike zaidi
Hilineno ni langu kbsa ....Asante MUNGU umeniwezesha kumaliza mfungo salama
Mungu nirehemu mim mwanao mkosaji 😢
Amen Ameeeen
AMEEEN AMEEEN, mtumish ubarikiwe sanaa.
Amen and amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
amen mungu nisaidie nikama hii ujumbe ni wakwangu
Nakuelewa mtumishi wa BWANA
Asante Yesu Amen Amen Amen
Ameeen tubadilike watu wa mungu
Asante mtumish nenolako unafundisha vinzuri sana .Hakisikukuwa nimeokoka lakini kupitiya kwafuzo lako naona mkono wabwana ubarikiwe amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Amen
Ameen 🙏
Asante mtumishi kwa mafunzo yako
Ameeeen ameeeen barikiwa sana
Ameeeeeeeeeen❤
Napokea baraka zangu in Jesus name Leo loe
Amen
Baba yangu niponyee🙏🙏
Ameeeeen🎉🎉🎉
Amen nimebarikiwa sana
Ujumbe huu ni WA kwangu kabisaa nisamehe Mungu nibadilishe niwe MWAMINIFU kwakoo YESU 😭😭😭
Mungu Wangu nakushukuru naomba nisimame ktk nafasi yangu wewe unionekanie
Eeee Mungu nisawa unikumbuke nami pia
Amen Mtumishi 🙏 🙏
Amen 🙏
Naomba Roho mtakatifu nisaidie pale nilikofanya Kwa ulegevu nisamehe Baba naomba Rehema na Toba Nisamehe Baba
Yesu nisadiye 😢😢❤ nioneye uruma
Napatikana geita jaman mafundisho mazur kabisa yananihusu mimi mungu nisaidie
Yes
Shetani mbaya Sana na neno lake la eti eee,,,,shindwa ndani yangu ktk jina la YESU
MUNGU nisaidie nikutolee zaidi
Mungu nisamehe thumbing sangu .naunibariki .asant kwakunipeya nguvu ya kufunga na kuomba
MUNGU wangu naomba unisamehe Mimi nimekuwa mtu waambaye sio mwaminifu
Mungu naomba uingilie Katie yangu haya ninayopitia
Ni kweli kabisa
Shalom Shalom
Shalom shalom
Amen amen umeniona Roho Mtakatifu na kunifanya nisikilize ujumbe huu umenigusa na mm. Asante MUNGU 🙏
Nmejufunza kwa kweli
Hakika ujumbe huu ni wangu,, niliweza siku tatu za mwanzo, baada ya hapo shetani akajiinua kwa nguvu isiyoeleweka,, mungu naomba nisamehe na kunitegemeza kwako
Mm nilikuwa siwez kufunga masaa 24 wala mwez hii ndo mala yang yakwanza tangu nizaliwe...asante Mungu kuna vitu vingi sana naviona ni vigen sana kwang..kimoja wapo funga yang ilikuwa ngum mwanzon ila ilifika hatua nikawa sisikii njaa kabisa nilisha fungua kwa kunywa maji tuu na nikafunga tena yaan nakuwa sina njaa kabisa had nashangaa n mm kwel Mungu mkubwa sna...mafungo ya masaa 24 yalifungua tumbo lang nilikuwa siwez kula chakula kilicho tengenezwa kw ngano ila nilipo funga masaa 24 nikaweza nakula vyakula vya ngano had nashangaa...nilikuwa sili ngano kwa zaid ya miaka 10.Mungu ni mwena na namuomba sana anijalie fungu la kumi.Amen
Amina barikiwa umenitoa shimoni
Asante MUNGU kwa kunikumbuka
Ee YESU wangu unapo suru wengine nami naomba pia usinipite
Eeee mungu wangu nisamehe hili neno limeniona Mimi Manisha yangu kwa kweli mtumishi hizi sauti huwa nyingi sana kwanu naomba mungu wangu nizishinde hizi sauti kwa jina la yesu
Amen 🙏
Oooh my God,,, Nisaidie nisikuweke pending
Roho mtakatifu kaa nami mimi na familia yangu uwe tegemeo letu,Amen
Ameen Mungu atuongoze maan mtumishi unayosema nkwel kabsaa
Balikiwa sana mtumishi wa Mungu Asante Yesu kwa kutupa mwalim wa neno lako
🙏🙏
Amen🙏🙏🙏🙏nisaidie Mungu niwe karibu na weww
Wow this is true I think this massage is mine
Mungu naomba unisamehe kwakuwa mwiz wa fungu la kumi.nirehem Baba.
MUNGU anaweza jamani
Mungu nakataa maroho yanayoinuka katika maisha ndoyo za ngono na kurudi shule ndoto za kukimbia bila kujua nako ende eeeh mungu haya maroho nayakataa katika jina la yesu 🙏🙏🙏🙏🙏
Same here Amen
Asante roho mtakatifu🙏🏾🙏🏾msaidizi wetu🙏🏾
Mwenyezi Mungu nisaidie katika boma langu
Nakushukuru Mungu kuniwezeshe kufikia siku ya 29/9/29 Haikuwa Rahisi lakini Kwa Neema nimefika leo
Amina Amina Mtumishi Jina la Bwana lihimidiwe ubarikiwe na Mungu mtumishi wa Mungu
Pastor MUNGU akupe maisha marefu,naasidi kuku angazia roho mtakatifu
Najiungamanisha na madhabahu hii niendelee kusimama na Adui Aneshindwa Kwa Jina la Yesu
Mungu Baba Naomba nikukaribie ili uniheshimishe Amina
Bwana Yesu asifiwe ibda ya Leo imenigusa sana sikuzote nikipanga kufanya kazi ya Mungu awa nishindwaga malanyingine nasikia mwiri kuchoka au usingizi malanyingine nasikia Roho inataka kunichomola Leo hiyi Mungu anitie nguvu niweze kushinda bila Mungu siwezi
Mbona hampokei cm jamn nina shida muwe mnapokeaaaaaaaa
Amen amen Bwana Mungu nisaidie
Neno la Yesu Kristo nipewe sifa na utukufu Amen Amen 🙏🙏
Ahsante Kwa kuniwezesha ehhhh roho mtakatifu Kwa kukamilisha mfungo WA mwezi,,,kesho yangu yaja,,,naahid kutenda matendo ya Baba yangu aliye mbinguni,,,,,Aaamen
Amen Amen mtumishi ubarikiwe kwa somo
Napokea Baraka zako ktk maeneo yote ya maisha yangu Napokea Kwa Imani
Mungu nakiri kukusikilza maagizo Yako
Nakuelewa mtumishi wa Mungu
AMEN asante Mungu kwa kunijalia afya njema jina lako ritukuzwe milele Amen
Hili Neno ni langu kabisa.Mungu nisamehe nimekuwa nikisikiliza sauti ya shetani na kuitii.
Amen nimebarikiwa na maneno ya mungu ,mungu anisaidie nibadilike,pale ambapo sipo sawa na mungu,nienende sawa na kusudi lake mungu,barikiwa mtumishi
Amen amen,barikiwa sana mtumishi wa mungu kwa hili neno la mungu
Najiungamanisha na ibada hii ya leo Mungu akanibadilishe
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu🙏🙏
Toka niaza kukufutilia nabalikiwa sana
Ubarikiwe sana pastor unaeleweka vizuri sana
Mungu Baba nisaidie nikupende kwani wewe umenipenda zaidi nakushuku Baba yangu wa Mbinguni
Amen ubalikiwe Sana mtumishi🙏🙏🙏🙏 uwezo wa mungu uwe juu yako daima...Kuna muda tunaoishinao wanaweza kutuodoa au kutufanya tukawa mbali na uwepo wa mungu hivyo mungu atutengeneze upya na roho mtakatifu atusaidie Sana...amen
Yesu tusaidie sio kwa hakili yangu🙏🙏
😭😭😭😭😭 asate papa kwamahubiri yareo yamenigusa kweri papa unapo ombea wegine usinisahawu papa asate kwaneno rareo rimenigusa umeneneswa naroho wamungu kweri papa ubarikiwe Sana Sana mungu akupe guvu naujasiri wake am
en amene papa ubarikiwe
Mungu nisaidie sana niwe karibu yako bwana🙏🙏
Amina 🙏🏼🙏🏼
Amen amen asante Sana Bwana Yesu kwa Neema Na ulinzi katika Maishani Mwangu, barikiwa Sana mtumishi kwa ujumbe Huu mzito .
Mungu wangu kutana na haja ya moyo wangu😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Tuko pamoja
Assnte
Amen amen amen,jina la yesu kristo liinuliwe.
Amen mungu akubariki sana
MUNGU ASANTE KWA YOTE UNETENDA NA KWA YALE UTATENDA UMBALI HUU IMEKUGARIMU AM SOO GRATEFUL. THANK YOU LORD JESUS 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽