LIVE: IKATAE SAUTI HII NDANI YAKO, NI YA SHETANI KABISA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 жов 2024
  • Kwa maana dunia itajazwa maarifa ya utukufu wa BWANA, kama maji yaifunikavyo bahari.
    Habakuki 2:14
    Maarifa ya Ki-Mungu
    @SIRI ZA BIBLIA
    www.sirizabiblia.com
    +255 758 708 804
    linktr.ee/siri...
    Instagram Account
    / siri_za_biblia
    SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
    M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
    CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

КОМЕНТАРІ • 141

  • @NatashaCharles-gv3qb
    @NatashaCharles-gv3qb 3 місяці тому +2

    Nibadilishe YESU niwe mwaminifu kwako

  • @alicethobias932
    @alicethobias932 8 місяців тому

    Napokea muujiza wangu kwa jina la Yesu

  • @EsterMhulula
    @EsterMhulula 11 місяців тому

    Nisamehe yesu nisamehe yesu,nisaidie kutembea katika njia yako, kwa ujumbe huu!!mahitaji rehema yako, nianze upya kusimama na kutembea na wewe yesu.

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Рік тому

    Amen baba

  • @PrisidaMnyangali
    @PrisidaMnyangali Рік тому

    Asante mtumishi huu ujumbe umeniimarisha Sana kiroho

  • @FelistaMartin
    @FelistaMartin 11 місяців тому

    ameena hawahi na Wala hachelewi🙏🙏

  • @catherinemalikita12
    @catherinemalikita12 11 місяців тому

    Mtumishe ni kwel kabxa 🥺mungu ni mwema kabxa na ni muhimu katika maisha yetu

  • @graceboke4346
    @graceboke4346 Рік тому

    Amen pasta Mungu akubariki sana

  • @HeritierMwengeGisele
    @HeritierMwengeGisele Місяць тому

    ❤oh yesu nikumbuke,nataka tena niimarike zaidi

  • @diananaswa4842
    @diananaswa4842 Рік тому

    Hilineno ni langu kbsa ....Asante MUNGU umeniwezesha kumaliza mfungo salama

  • @furahamkonda5112
    @furahamkonda5112 11 днів тому

    Mungu nirehemu mim mwanao mkosaji 😢

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 Рік тому

    Amen Ameeeen

  • @SUBIRASENGO-fp1kq
    @SUBIRASENGO-fp1kq Рік тому

    AMEEEN AMEEEN, mtumish ubarikiwe sanaa.

  • @Dhore-jb5pb
    @Dhore-jb5pb 10 місяців тому

    Amen and amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @eunicewangecieunicewangeci6359

    amen mungu nisaidie nikama hii ujumbe ni wakwangu

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Рік тому

    Nakuelewa mtumishi wa BWANA

  • @maseaJoe8676
    @maseaJoe8676 Рік тому

    Asante Yesu Amen Amen Amen

  • @imeldaadam154
    @imeldaadam154 11 місяців тому

    Ameeen tubadilike watu wa mungu

  • @RoseKageha-kn1uh
    @RoseKageha-kn1uh Рік тому +2

    Asante mtumish nenolako unafundisha vinzuri sana .Hakisikukuwa nimeokoka lakini kupitiya kwafuzo lako naona mkono wabwana ubarikiwe amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @maorinebarongo7789
    @maorinebarongo7789 Рік тому

    Amen Amen

  • @BernadethaChigenda-pz5vn
    @BernadethaChigenda-pz5vn Рік тому

    Ameen 🙏

  • @RahmaKidaly-nw6tn
    @RahmaKidaly-nw6tn Рік тому

    Asante mtumishi kwa mafunzo yako

  • @edinamtemela9214
    @edinamtemela9214 11 місяців тому

    Ameeeen ameeeen barikiwa sana

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Рік тому

    Ameeeeeeeeeen❤

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Рік тому

    Napokea baraka zangu in Jesus name Leo loe

  • @SoosanOman
    @SoosanOman Місяць тому

    Amen

  • @suzzymussa89
    @suzzymussa89 Рік тому

    Baba yangu niponyee🙏🙏

  • @julietmunyazi
    @julietmunyazi Рік тому

    Ameeeeen🎉🎉🎉

  • @feminakidiavai5849
    @feminakidiavai5849 Рік тому

    Amen nimebarikiwa sana

  • @SarahRuhega-bf8zo
    @SarahRuhega-bf8zo Рік тому +7

    Ujumbe huu ni WA kwangu kabisaa nisamehe Mungu nibadilishe niwe MWAMINIFU kwakoo YESU 😭😭😭

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Рік тому

    Mungu Wangu nakushukuru naomba nisimame ktk nafasi yangu wewe unionekanie

  • @NaomiBahat-bz6ri
    @NaomiBahat-bz6ri 3 місяці тому

    Eeee Mungu nisawa unikumbuke nami pia

  • @victoriaaman6628
    @victoriaaman6628 Рік тому

    Amen Mtumishi 🙏 🙏

  • @AnitaMr-g3b
    @AnitaMr-g3b Рік тому

    Amen 🙏

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Рік тому

    Naomba Roho mtakatifu nisaidie pale nilikofanya Kwa ulegevu nisamehe Baba naomba Rehema na Toba Nisamehe Baba

  • @Emerance-i9b
    @Emerance-i9b Рік тому

    Yesu nisadiye 😢😢❤ nioneye uruma

  • @AdrianaSepapha-fn8sy
    @AdrianaSepapha-fn8sy 11 місяців тому

    Napatikana geita jaman mafundisho mazur kabisa yananihusu mimi mungu nisaidie

  • @JosiphineWairimu
    @JosiphineWairimu 11 місяців тому

    Yes

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Рік тому

    Shetani mbaya Sana na neno lake la eti eee,,,,shindwa ndani yangu ktk jina la YESU

  • @VeronicaMagiri
    @VeronicaMagiri Рік тому

    Mungu nisamehe thumbing sangu .naunibariki .asant kwakunipeya nguvu ya kufunga na kuomba

  • @saitafrank4945
    @saitafrank4945 Рік тому

    MUNGU wangu naomba unisamehe Mimi nimekuwa mtu waambaye sio mwaminifu

  • @joyceshiyo7257
    @joyceshiyo7257 Рік тому +1

    Mungu naomba uingilie Katie yangu haya ninayopitia

  • @jesca.mkony2015
    @jesca.mkony2015 2 місяці тому

    Ni kweli kabisa

  • @gladysnjeri282
    @gladysnjeri282 Рік тому

    Shalom Shalom

  • @agathemichelle238
    @agathemichelle238 Рік тому

    Shalom shalom

  • @ellienjohn2753
    @ellienjohn2753 Рік тому +2

    Amen amen umeniona Roho Mtakatifu na kunifanya nisikilize ujumbe huu umenigusa na mm. Asante MUNGU 🙏

  • @georgepeter2564
    @georgepeter2564 Рік тому

    Nmejufunza kwa kweli

  • @Feldauc
    @Feldauc Рік тому

    Hakika ujumbe huu ni wangu,, niliweza siku tatu za mwanzo, baada ya hapo shetani akajiinua kwa nguvu isiyoeleweka,, mungu naomba nisamehe na kunitegemeza kwako

  • @KabikaKajuwegeye-vr1ol
    @KabikaKajuwegeye-vr1ol Рік тому +1

    Mm nilikuwa siwez kufunga masaa 24 wala mwez hii ndo mala yang yakwanza tangu nizaliwe...asante Mungu kuna vitu vingi sana naviona ni vigen sana kwang..kimoja wapo funga yang ilikuwa ngum mwanzon ila ilifika hatua nikawa sisikii njaa kabisa nilisha fungua kwa kunywa maji tuu na nikafunga tena yaan nakuwa sina njaa kabisa had nashangaa n mm kwel Mungu mkubwa sna...mafungo ya masaa 24 yalifungua tumbo lang nilikuwa siwez kula chakula kilicho tengenezwa kw ngano ila nilipo funga masaa 24 nikaweza nakula vyakula vya ngano had nashangaa...nilikuwa sili ngano kwa zaid ya miaka 10.Mungu ni mwena na namuomba sana anijalie fungu la kumi.Amen

  • @imeldamussa4124
    @imeldamussa4124 Рік тому +1

    Amina barikiwa umenitoa shimoni

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Рік тому +1

    Asante MUNGU kwa kunikumbuka

  • @everlinenafula
    @everlinenafula Рік тому +1

    Ee YESU wangu unapo suru wengine nami naomba pia usinipite

  • @alicesidi-sq5yz
    @alicesidi-sq5yz Рік тому +2

    Eeee mungu wangu nisamehe hili neno limeniona Mimi Manisha yangu kwa kweli mtumishi hizi sauti huwa nyingi sana kwanu naomba mungu wangu nizishinde hizi sauti kwa jina la yesu

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Рік тому

    Oooh my God,,, Nisaidie nisikuweke pending

  • @juliuskalawa7860
    @juliuskalawa7860 Рік тому +1

    Roho mtakatifu kaa nami mimi na familia yangu uwe tegemeo letu,Amen

  • @MwaduduFatma
    @MwaduduFatma Рік тому +2

    Ameen Mungu atuongoze maan mtumishi unayosema nkwel kabsaa

  • @jacklinegatwiri635
    @jacklinegatwiri635 Рік тому +1

    Balikiwa sana mtumishi wa Mungu Asante Yesu kwa kutupa mwalim wa neno lako

  • @MiltonObote-ln4wb
    @MiltonObote-ln4wb Рік тому

    🙏🙏

  • @elizabethkhisa4755
    @elizabethkhisa4755 Рік тому +1

    Amen🙏🙏🙏🙏nisaidie Mungu niwe karibu na weww

  • @nasimiyujustine
    @nasimiyujustine Рік тому

    Wow this is true I think this massage is mine

  • @shukurusyriack3504
    @shukurusyriack3504 Рік тому

    Mungu naomba unisamehe kwakuwa mwiz wa fungu la kumi.nirehem Baba.

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Рік тому

    MUNGU anaweza jamani

  • @Marianamariana181
    @Marianamariana181 Рік тому +3

    Mungu nakataa maroho yanayoinuka katika maisha ndoyo za ngono na kurudi shule ndoto za kukimbia bila kujua nako ende eeeh mungu haya maroho nayakataa katika jina la yesu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Beaazul7
    @Beaazul7 Рік тому

    Asante roho mtakatifu🙏🏾🙏🏾msaidizi wetu🙏🏾

  • @leilasaimjomba4246
    @leilasaimjomba4246 Рік тому

    Mwenyezi Mungu nisaidie katika boma langu

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Рік тому +1

    Nakushukuru Mungu kuniwezeshe kufikia siku ya 29/9/29 Haikuwa Rahisi lakini Kwa Neema nimefika leo

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Рік тому

    Amina Amina Mtumishi Jina la Bwana lihimidiwe ubarikiwe na Mungu mtumishi wa Mungu

  • @everlinenafula
    @everlinenafula Рік тому +1

    Pastor MUNGU akupe maisha marefu,naasidi kuku angazia roho mtakatifu

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Рік тому

    Najiungamanisha na madhabahu hii niendelee kusimama na Adui Aneshindwa Kwa Jina la Yesu

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Рік тому

    Mungu Baba Naomba nikukaribie ili uniheshimishe Amina

  • @ProsperNgabirano-pn2xy
    @ProsperNgabirano-pn2xy Рік тому

    Bwana Yesu asifiwe ibda ya Leo imenigusa sana sikuzote nikipanga kufanya kazi ya Mungu awa nishindwaga malanyingine nasikia mwiri kuchoka au usingizi malanyingine nasikia Roho inataka kunichomola Leo hiyi Mungu anitie nguvu niweze kushinda bila Mungu siwezi

  • @irenemlingi4603
    @irenemlingi4603 11 місяців тому

    Mbona hampokei cm jamn nina shida muwe mnapokeaaaaaaaa

  • @fatumakyese290
    @fatumakyese290 Рік тому

    Amen amen Bwana Mungu nisaidie

  • @jacklinegatwiri635
    @jacklinegatwiri635 Рік тому

    Neno la Yesu Kristo nipewe sifa na utukufu Amen Amen 🙏🙏

  • @safialuhizo4979
    @safialuhizo4979 Рік тому

    Ahsante Kwa kuniwezesha ehhhh roho mtakatifu Kwa kukamilisha mfungo WA mwezi,,,kesho yangu yaja,,,naahid kutenda matendo ya Baba yangu aliye mbinguni,,,,,Aaamen

  • @katherinasamwel3937
    @katherinasamwel3937 Рік тому

    Amen Amen mtumishi ubarikiwe kwa somo

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Рік тому

    Napokea Baraka zako ktk maeneo yote ya maisha yangu Napokea Kwa Imani

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Рік тому

    Mungu nakiri kukusikilza maagizo Yako

  • @ziadalumumba6238
    @ziadalumumba6238 Рік тому

    Nakuelewa mtumishi wa Mungu

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928 Рік тому

    AMEN asante Mungu kwa kunijalia afya njema jina lako ritukuzwe milele Amen

  • @bugomasipola9075
    @bugomasipola9075 Рік тому +1

    Hili Neno ni langu kabisa.Mungu nisamehe nimekuwa nikisikiliza sauti ya shetani na kuitii.

  • @victorianjau8856
    @victorianjau8856 Рік тому

    Amen nimebarikiwa na maneno ya mungu ,mungu anisaidie nibadilike,pale ambapo sipo sawa na mungu,nienende sawa na kusudi lake mungu,barikiwa mtumishi

  • @marykisiangani2470
    @marykisiangani2470 Рік тому

    Amen amen,barikiwa sana mtumishi wa mungu kwa hili neno la mungu

  • @ziadalumumba6238
    @ziadalumumba6238 Рік тому

    Najiungamanisha na ibada hii ya leo Mungu akanibadilishe

  • @leahluhwavi7850
    @leahluhwavi7850 Рік тому

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu🙏🙏

  • @HeldaX
    @HeldaX 5 місяців тому

    Toka niaza kukufutilia nabalikiwa sana

  • @faridamahushi3613
    @faridamahushi3613 Рік тому

    Ubarikiwe sana pastor unaeleweka vizuri sana

  • @gracehose8840
    @gracehose8840 Рік тому

    Mungu Baba nisaidie nikupende kwani wewe umenipenda zaidi nakushuku Baba yangu wa Mbinguni

  • @DeboraHavila-iv6fy
    @DeboraHavila-iv6fy Рік тому

    Amen ubalikiwe Sana mtumishi🙏🙏🙏🙏 uwezo wa mungu uwe juu yako daima...Kuna muda tunaoishinao wanaweza kutuodoa au kutufanya tukawa mbali na uwepo wa mungu hivyo mungu atutengeneze upya na roho mtakatifu atusaidie Sana...amen

  • @suzzymussa89
    @suzzymussa89 Рік тому

    Yesu tusaidie sio kwa hakili yangu🙏🙏

  • @jeskaniyimumpaye4170
    @jeskaniyimumpaye4170 Рік тому

    😭😭😭😭😭 asate papa kwamahubiri yareo yamenigusa kweri papa unapo ombea wegine usinisahawu papa asate kwaneno rareo rimenigusa umeneneswa naroho wamungu kweri papa ubarikiwe Sana Sana mungu akupe guvu naujasiri wake am
    en amene papa ubarikiwe

  • @sophiamwangi843
    @sophiamwangi843 Рік тому +1

    Mungu nisaidie sana niwe karibu yako bwana🙏🙏

  • @zawadilubondo4848
    @zawadilubondo4848 Рік тому

    Amina 🙏🏼🙏🏼

  • @LinetNanjala-ou3fp
    @LinetNanjala-ou3fp Рік тому

    Amen amen asante Sana Bwana Yesu kwa Neema Na ulinzi katika Maishani Mwangu, barikiwa Sana mtumishi kwa ujumbe Huu mzito .

  • @sophias3334
    @sophias3334 Рік тому

    Mungu wangu kutana na haja ya moyo wangu😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka3762 Рік тому +1

    Tuko pamoja

  • @cimpayeriziki6680
    @cimpayeriziki6680 Рік тому

    Assnte

  • @FaidaWilly-du8ts
    @FaidaWilly-du8ts Рік тому

    Amen amen amen,jina la yesu kristo liinuliwe.

  • @setds-ey2qs
    @setds-ey2qs Рік тому

    Amen mungu akubariki sana

  • @shazzysymon6835
    @shazzysymon6835 Рік тому

    MUNGU ASANTE KWA YOTE UNETENDA NA KWA YALE UTATENDA UMBALI HUU IMEKUGARIMU AM SOO GRATEFUL. THANK YOU LORD JESUS 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽