"Nilibadili Dini, Marafiki Wakaanza Kunitisha, Ilikuwa Inanitesa Sana" |SALAMA NA GODLIVER PT1
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
LUVVIE
Jina la episode litosheleze kumuelezea mgeni wetu wa wiki hii, hodari, mahiri, mcheshi na mwenye kujielewa ila kikubwa kuliko yote ni Mwanamke. Alipotoka na mipango yake ya maisha ilikua ni moja ya chachu zilizotufanya mimi na wenzangu tuone anastahili kukaa kitako kwenye kiti chetu kile kilichopauka. Na hakukua na mjadala juu ya yeye kuipata nafasi hii.
Godliver kwa sasa ndo nyota yetu ing’arayo kila kona ya bara na dunia kwa ujumla, kwa imani niliyonayo kwake naamini huu ni mwanzo tu wa mengi makubwa na mazuri na pengine ya kushangaza na kuiandikia historia Taifa letu yanakuja, kiu hiyo ya kupata hayo na zaidi unaiona kwenye macho yake na kujiamini alikonako. Ukibahatika na kuangalia kazi zake basi ndo utazidi kuamini na kumtakia kila lenye kheri.
Mitihani na kupanda na kushuka kwenye maisha yake naye alipitia kama kila mmoja wetu, jinsi alivyokua anayapangua na kutengeneza kinywaji kila mara alipokua anarushiwa malimao kumemfanya awe na kiu zaidi na kutaka kusonga mbele zaidi kwa kasi ya majaaliwa.
Alianza kama mas’hara tu na mengine ni historia tu kwa sasa. Mama wa mtoto mmoja ambaye ni kila kitu kwake, Godliver ananihadithia moja ya mikasa mingi ilowahi kumkuta maishani mwake, na pia amenikumbusha umuhimu wa kuchagua marafiki na watu ambao unawaweka karibu kwenye maisha yako.
Alishawahi kubadili dini na kuwa Muislamu, bahati nzuri alikua na wazazi ambao ni waelewa sana, hakuna aliyekua anamhukumu kwenye maamuzi yake, pengine walikua disappointed kwa kiasi fulani, zaidi Mzee wake lakini wala hakuonyesha kushutushwa au kutaka kumsema vibaya kwa maamuzi yake, badala yake waliheshimu na kumpa support tu kwenye maamuzi na maisha yake.
Maisha yamemumfundisha mengi tu, pengine kwa adhabu zaidi yamemfundisha kuwa marafiki ambao ndo aliwaona wanampenda sana waliishia kumhusisha na mambo ambayo si mazuri na ambayo yalimfanya ajaribu imani yake kwa kiasi kikubwa sana.
Humu anakumbuka jinsi alivyokua anahangaika kwa waganga na kujaribu kwa nguvu vitu ambayo vilikua hata havihitaji hiyo njia ambayo alikua anaaminishwa kama ndo zilikua sahihi.
Anakumbuka Imani yake ilivyo jaribiwa na utukufu wa Mungu alipokuja kumuongoza.
Hapo juu nilisema huyo ndo muigizaji BORA wa kike kwa sasa, pengine wengine wanaweza wakawa na mawazo tofauti kidogo na haikatazwi, ila kwenye vitabu vyangu? Kwa hesabu ya leo? Huyu ndo Mama yao.
Sasa aliwezaje kutoka huko? Alikutana vipi na Baba wa mtoto wake? Na filamu au kazi yake ya kwanza ilikua inatwaje? Na aliipataje hasa? Nani ndo anamuangalia sana maishani mwake? Ambaye angependa kuwa kama yeye? Wapi anajiona huko mbele kwenye kazi yake hii?
Natumai utajifunza mawili matatu kutoka kwa Dada Mkali na uta enjoy pia.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Kumbe Anna asivyo na msimamo kwenye maigizo ndio maisha yake halisiiii😳eti uende uislamu ukaburuzwe huko then urudi Kwa Yesu duuuh!!! Huyu ndio Anna dada Ake Bill na Frank!! Mke WA Diba, mchumba WA bobo, na sasa Mr Focus Aiseee umetishaaaa!!
mskini , nilikuhukumu ktk nafsi yangu kumbe kosa lilitokana na waislam wenyewe. ungepata misingi sahihi ya dini usingerudi kwenye ukristo
Glory to God
Kila ulimi utakiri Yesu ni Bwana
Make apo kwanza nicheke 😂😂😂
@@user-ls8rn4tz5m😅😂
Qur an inatosha sana kikubwa ni kujuwa vipi utaitumia kwa shida zako
Dada huo ni mtihami ujue wislamu ni dini ya kweli Sasa wanachikifanya watu wengi hawaamini maandiko wànawafuata watu Hilo balaa Quran haijabakisha kitu, manake hata hao wanaosali halafu wanaroga au kwenda kwa wagani wote motoni
Kwa yesu ndo mahali sahihi hajakosea
Inategemea unaenda Kwa mganga kufanya nn, kama unaenda kujikinga sidhani kama ni dhambi
@@rizoibrahimovich605Mungu ataki kuchanganywa Kinga ni Mungu pekee
Tuonyeshe alierudi kutoka wafu akakwambia hayo au ndio bendera fuata upepo
Uislamu si mbaya ila kuna baadhi ya watu wanaharibu Uislamu
Safi dada una ujasiri wa kusema habari za Yesu kwa ujasiri mkubwa
Wow!Godliver umesema vizur umeokoka na unampenda Yesu:Nakupenda unajua kuigiza pia luv❤
Hao marafiki ni sababu tu ya ww kurud ukristo coz haukua na Imani na amani na ujasir w kutosha w kufocus na dini ambayo ni ngeni kwko ata muislam ambaye ange shift ukristo ange do the same even if asingekutana na marafiki hovyo.
Mungu wa mbinguni akubariki sana na uzidi kumpenda mungu na mungu bila shaka ataoneka ndani yako
Ulikutana na matapeli. Hawakuwa Muslims.
Jina la YESU ni dawa ni faraja linaponyaa linauwisha Lina fariji aisee kam ww umebahatikaa kumpata Yesu , mashukuru Mungu aisee hii ni NEEMA , NEEMA nikwamba umepata kitu ambacho hukistaili so aiseee tushukuru kuwa wakristo 💒🙏👍💪❤️😘
🙏🙏
Yesu awe Mungu Kisha wanaadamu wamkamate wamuuwe!
@@hamadmohamed3056 punguzeni kutupia watu majini mnazingua kinoma😂😂
Amen sana
Uislam wenyew hauruhusu ushirikina,wewe sema ulifata mapenzi, itabaki palepale uislam haujabakiza kitu
Hakuna muislam yeyote anemchukia yesu. ila nyiny wa kristo sio waelewa
Wewe hujakutana na Waislam hasa umekutana na Washirikina bhnaa
Mi pia nakupenda sana Godliver Mungu atukuzwe kwa ajili yako
Umeniletea mtu ninayempenda sana, personality yake tu mimi inanikosha mno. Big love Anna 😍
Godliva is awesome in each way, Salama unajua mpka unaboa yani ni balaa
Usiwe mkristo tu kua sister kabisaa afu uwone kama aloumba mbingu atapungukiwa kitu uislamu ndo dini Tu no duscas
Dunia ni gereza kwa waislam na dunia ni dunia ni pepo kwa makafiri unajihisi km maisha umeyapatia kumbe ni starrehe ya dunia tu
Allah akuongoze
Nazani Interview hii itakuwa Nzuri sana ngoja tuone
Ila salama ni mrembo jamani ❤️❤️ I love you 💚
Ahsante ila ndivyo tulivyo masalama ama vp
Wote dini tumezikuta kutoka kwa nababu zetu
Umeongea vizuri...Pili uislamu na ushirkina ni vitu viwili tofauti ulipata watu sio sahihi kabisa
Ulikuwa ukipendeza sana ulipokuwa ukivaaa ushungi
Nawapenda Wote Kwaajili Ya M/MUNGU 🙏🙏🙏😘😘😘
Salama mnafiki et hata mimi nampenda Yesu😂😂😂😂😂
Anampenda yesu salama kwa sababu uyo mnouita yesu ni nabii ISSA mtume wa 24 kati ya 25;waliotajwa katika Quran,atamchukiaje salama yesu?
huyo mzazi mwenzake ni nani jamn??
Nlikuwa najiuliza kwa nini nampenda kumbe ndo maana 💞💞 Nakupenda wewe Dada jamani
Tupe Sababu Ya Kumpenda By Loveness Ibrahimu
Nakupenda wewe Dada
YESU NDO KILA KITU. SOURCE OF LIVE IS HIDEN WITHIN A NAME OF JESUS.
Neno linasema amwaminie mwana Yu na Uzima.
Tuache kiki ... Za kudukua followers mtandaoni!
Hukuwahi kuujua uislam sisi tuliozaliwa nao tunafarijika sana kuzaliwa tukiwa waislam.
MUNGU NI MWEMA
Godliver my favourite and the best actress
Sijui Christina Shusho anafuatilia hii Interview🙂 Nadhani akiangalia atakuwa mtu ambaye alikuwa mwanzo... Mnyenyekevu
Kwanini
Sikuhizi kawehuka, Roho wa Mungu ashatoweka, tunajionea mapichapicha tu.
Tha beautiful story of testimony of the blood of Jesus very powerful
Huyu salama ana jua kuuliza sana
Ni dhairi waislamu wanatumia majini, sule akuwa wazi Kwa ilo,lakini DAMU,ya YESU Iko na nguvu ya toa Kila nguvu za giza
Nyie watu nisainieni jina na yule kaka video kig wa video ya zoba ya banana zoro ndo kazaa na huyu dada
Ndiyo
Cheche
Wale marafiki zako walikua si watu wazuri walikupeleka uko kwaajili ya kukuangamiza tuu na si kukulinda ilikua ni kwa manufaa yao
Kilicho Cha Mungu hakipotei
Heeeee kutoka kwenye ziro hadi juu na kushuka tena kwa kasi kurudi kwenye ziro mbona iyo kiboko
yote maisha cha muhimu kumjua Mungu
Kumbe nishomile mwenzangu🥰🥰
Mimi Mars afocus zaidi kwenye kuigiza na arudi kwenye utangazaji zaidi itapendeza
😅kwa sababu hiyo kazi unayofanya haiendani na uislaam
My biggest brother khaaaa kinge hiki hahahaha, my Elder brother
Ww dadangu hukushika uweslamu. Kisawasawa poli
Mimi nimempenda uyu dada kwenye haikufuma aliitwa Ester aliigiza chenga na alimtesa robati huyu dada Hapo ndioo nilipo mpenda Mimi Hadi leo piga Kazi
Jamani Kama mimi
She is story teller, she is good and smart.
Kwa hiyo ana uliacha uislam kwa sababu ya marafiki wabaya wewe hukua na msimamo usitudanyanye bana
Polesana ulikutana na waislamu jina afu ukisema dini unakihukumu uislamu kwajiri ya hao matapeli umejichanganya sana mana hayo majini kanisani ndo kilasiku wanaombea sasa mwamposa na wenzie ndo kaziako yesu anafanyinini
Huyu cheche kafanya makosa makubwa sana kumwaga damu yake hapo kapoteza damu yake
Ila salama
Hata mimi na mpenda, YESU!
😂😂😂😅🤣🤣😂
Hajakosea. Waislam pia tunampenda yesu, na tunamuamini kama Nabii, so hapo ndo tunapotofautiana na wakristo wao wanamuamini km mtoto wa Mungu.
🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣yaani alivyojibu Kwa haraka
Wewe umeongea UKWELI
Woooh ubarikiwe sana anna
It's marvelous interview waited along time .
Nice interview
Interview tamu halafu muda umeisha haraka duuuh.
We dada ninakupenda mpaka najishangaa natamani siku nionane nawew lakini naona hixhokibali sina ila nakupenda sana Anna
Inshaallh utamuon tu
Ubungo kisiwani my best school,,
Uliwekwa huru dada, baada ya Uhuru na gharama zake! Inafurahisha!
Ulishajua sio watu sahihi ungetafuta watu sahihi wangekusaidia km kweli ulikua na nia na unaupenda uislamu
Naku iga ila nimesha shindwaaa kbsaaaa niambie nifanyeje mpaka niku fikie
Yan huyu dada jmn...nampenda mno mno
I never watch interview za kiswahili like this hadi mwisho, I love this actress.
But English belong to white people
Hakuna muislam yeyote anemchukia yesu. ila nyiny wa kristo sio waelewa
Hukuwa na imani thabit ndio mana ukarudi kwenye Dino yake
Nakupenda wwe dda hujuwitu na omba siku moja tukutane my
Nakupenda❤❤ dada Ana MUNGU awe nawe
LOVE HER SO MUCH❤❤❤
Nakupenda Sana dada kazi yako nzuri sana
Msimami wako zero kabisa baki kwenye Dini moja unayoiamini kuliko kutanga tanga
Waganga hawasali wala hawasomi qur an
Yan salama na Godliver❤️❤️❤️❤️💋💋💋
Hujielewi ata kidogo mpaka cheche kakupa mimba ujielewe asaaa utafute wanaume .
Kwani cheche ana nn
Shout out kwa Mwanangu Mboghochov...
Nakupenda maira
Labda kuenda uislamu ni Kwa maslahi Fulani.
I LOVE YOU GODLIVER..YOU ARE SUCH AN INSPIRATION!!!
🔥🔥❤❤❤💥💥
Salma my dada kaz nzuri sana na godlvar
Hayo yalikuwa matesoòo au umeyatafuta hayo majini kwa waganga?
Nakupenda wewe ni kitu usicho kijua❤
Nawachukia hao marafik waliokusumbua Kupitia uislam but I love 💞 so much anna
Kumbe Anna umesoma Mtendeni mashallah
She is very humble
Mbona Kama story yako na yangu zinaendana 😢😢😢😢
Salama umenenepa Mashaallah
Tena kanenepa na nusu
Jaman kitu cha bk hicho nakupenda mno anna
Takbir
Nacheka nikikumbuka na ile adha ya mapenz jua kali
It's true. Getrude she is the best
Hukuingia kweny uislam. Si kwa7bu mungu
Kwanini mnaongea kingereza jamani mmmm
Asante YESU aliekurudisha mtoto wake! There was a reason @godlivergordian
Akikuchagua hupotea, utaenda na kurudi nyumbani Kwa Bwana, hallelujah on that. Sifa na utukufu anao yeye.
nampenda sna hyu dada kutoka moyoni i wish nije kuwa kma yy mbelen coz napend sn uigizaji
Uislamu na uchawi ni Samaki na maji uwezi kuvitenga
Kama ulivokua ukristo Na ushoga huwez kuvitenga kbisaa
Ukristo na kufilwa ndio pake mna hama sisha ushoga makanisani😂😂😂
Salama tuwekee part 2 jmn
Nampenda sana huyu dada jamani
Sio tuu nakupenda nakupenda zaidi yasana
Nampenda.ana.kama.ninavyo.kupenda.madam.salama.mmmmwaaaaaa
Nakukumbuka kweny nusura ulikuw mke wa cheche❤