GODLIVER Afunguka Kuzaa na CHECHE hadi Kuachana! | "Waliniomba Rushwa ya Ngono hadi Nikakata Tamaa"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 55

  • @hidayasanga1571
    @hidayasanga1571 3 роки тому +8

    Nakupenda sana dada! You are the best, napenda unavomtaja Mungu kwa uhuru, nilikuwa nakupenda, nimezidi kukupenda

  • @leauwikunze3903
    @leauwikunze3903 Рік тому +1

    Hongera yote hayo unawezeshwa na Mungu.pia kama kweli una hofu ya Mungu hutoshindwa kwa lolote

  • @leauwikunze3903
    @leauwikunze3903 Рік тому

    Nakupe my sister gogoooo

  • @rubenkategere3348
    @rubenkategere3348 2 роки тому +1

    Nakupenda sanaaaaa dada angu Gordoliver Mwenyezi Mungu aendelee kukupigania naikubali kazi yako unauvaa uhusika kazi yako unaitendea haki 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🍏🍎🍎🍎🍏🍏🍏🍏🍏🍏

  • @robertjoseph8968
    @robertjoseph8968 3 місяці тому +1

    Safi sana GODLIVER GORDIAN ongea ukweli watu wapone na watu waelewe na wajitambue .na pia napenda the way unavyoigiza

  • @AngelOkechi-y2m
    @AngelOkechi-y2m Рік тому

    Thank you so much ❤

  • @julietmateru5789
    @julietmateru5789 2 роки тому +2

    Nakupenda sana dada Godliver una kipaji kikubwa sana.big up sana.

  • @nurujackson1825
    @nurujackson1825 2 роки тому +1

    Nakupenda sana

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 2 роки тому

    Blessed ❤️ ma love u

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 3 роки тому +7

    She's the best Actress now in Tz

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 3 роки тому

    Issa anaweza Tena sanaaaaa 🔥🔥🔥❤️💯✔️🇹🇿✔️❤️❤️❤️

  • @agnesslucas4744
    @agnesslucas4744 2 роки тому +1

    Anna nakupenda mnoo napia kazi zurii sana

  • @jollywilson9938
    @jollywilson9938 2 роки тому

    Kashachumbiwa sasa mashaallah❤

  • @lilianmnyazikaililian446
    @lilianmnyazikaililian446 2 роки тому

    Be blessed annah

  • @LoveAron
    @LoveAron 4 місяці тому

    Cute❤

  • @fitinajustine7801
    @fitinajustine7801 3 роки тому +1

    Nakupenda bure Anna

  • @NazaelJuma
    @NazaelJuma 10 місяців тому

    ❤❤❤

  • @evaristokayombo9385
    @evaristokayombo9385 2 роки тому +1

    Nimeangalia kitu Bora Sana Leo ubarikiwe

  • @deborameshack7919
    @deborameshack7919 3 роки тому

    Jaman nampenda Sana uyu dada

  • @tausimichael6838
    @tausimichael6838 2 роки тому +1

    Nampenda dada uyo

  • @stellamwazembe4854
    @stellamwazembe4854 2 роки тому +1

    Nc

  • @afrieagle8314
    @afrieagle8314 2 роки тому +3

    Duuu nilikuwa Cjuh kama ndo yule uliyekuwa mke wa Cheche sir ya mtungi🤭hongera dada kwa kaz nzur

    • @eashaeasha9776
      @eashaeasha9776 Рік тому

      Ndio mwenyewe yupo vzr Tu Ila ndio Kwanza Leo najua kua cheche ni Baba watoto wake

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 2 роки тому

    Safi sana akuna aka kogombana katika maisha ya leo

  • @maryamhamad494
    @maryamhamad494 3 роки тому +1

    Kweli

  • @petermaro9852
    @petermaro9852 2 роки тому

    You are so talented and charismatic in nature in your career.I really liked your chemistry with Zembwela on Haikufuma plus the ballads the two of you had.God bless you from now onwards and your talent as well.

  • @MaryamSimai-b9f
    @MaryamSimai-b9f Рік тому

    Cheche mzuri na mlienda ila muhuni huyu hawezi kuoa mwanamke yoyotte

  • @dyneskamagi2412
    @dyneskamagi2412 3 роки тому +1

    Nakupenda anna

  • @robertjoseph8968
    @robertjoseph8968 3 місяці тому

    MTUMISHI WA MUNGU AKUBARIKI

  • @ansanthonygospel
    @ansanthonygospel 2 роки тому

    AMEN

  • @careeninnocent738
    @careeninnocent738 2 роки тому

    NAKUPENDA MNO❣️❣️❣️

  • @mack_B.
    @mack_B. 2 роки тому +1

    Hofu ya Mungu ndio mzizi mkubwa Sana wa usalama wa mtu yyte yaan namaanisha hofu jmnn ohooo

  • @MaryamSimai-b9f
    @MaryamSimai-b9f Рік тому

    Sio unaact Kisha unapenda wanaume hovyo tu

  • @MaryamSimai-b9f
    @MaryamSimai-b9f Рік тому +1

    Fanya ujengeeeee anakushinda bi staaa wewe Ana akili sana mwenzio kajenga mjengo wa mana

  • @MaryamSimai-b9f
    @MaryamSimai-b9f Рік тому

    Kwani hamuwezi kuact bila ya kulala na mwanaume kitanda kimoja hebu aangalieni kina mzeee jongo hawakuwa hivyo

  • @angelinamamu8854
    @angelinamamu8854 2 роки тому +1

    Nimrembo 🥰

  • @MaryamSimai-b9f
    @MaryamSimai-b9f Рік тому

    Cheche kakutoa akili wewe ndio mana akakutia mimba

  • @MaryamSimai-b9f
    @MaryamSimai-b9f Рік тому

    Utulie sasa kwa mumeo

  • @MaryamSimai-b9f
    @MaryamSimai-b9f Рік тому

    Uhuni uko kila sehemu ila kwenye usaniii umezidi mana mnaukaribisha uhuni .mana wewe ushalalla na wanaume wa ngapi kwa kuact tu

  • @MaryamSimai-b9f
    @MaryamSimai-b9f Рік тому

    Kwenye kujibu maswali uko vi zuri najifunza mengi ila uhuni ndio unanikera

  • @MaryamSimai-b9f
    @MaryamSimai-b9f Рік тому

    Wewe una una hofu ya mungu wewe

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Рік тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍

  • @teddylameck3355
    @teddylameck3355 2 роки тому +1

    Dada unajuwa mno adi unapitiliza ila sijui Tanzania tunakwama wapi wasanii wazuri awapewagi kipaumbele dah Mungu akutunze

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 2 роки тому

    Pambweee sana unajiamini

  • @debbykasitu6990
    @debbykasitu6990 3 роки тому

    A

  • @husnazahorohusna3905
    @husnazahorohusna3905 2 роки тому

    Hakun hata ugumu hapo

  • @ukhtyrayyan7884
    @ukhtyrayyan7884 3 роки тому +1

    Hebu tuwacheweee mungu.aseme kwani.yupo.ka.mtu.acha.kukufuru weedada

  • @ukhtyrayyan7884
    @ukhtyrayyan7884 3 роки тому +2

    Sema kama unamajini.yako.yanakutuma

  • @hildamatinga2249
    @hildamatinga2249 2 роки тому

    We c umecheza Siri ya mtungi wewe? Mbona ata huisemi...mi nilikujulia apo

    • @hildaaloyce8043
      @hildaaloyce8043 2 роки тому

      Ameongelea alizocheza mwaka 2021 tu, Ila anazo nyingi mno.

  • @Mabunta
    @Mabunta 9 місяців тому

    ❤❤❤