Kweli dada umenena hayo ndiyo tuna maswali juu ya raslimali yetu Ngorongoro ,bandari nayote hatetei hali ya maisha ya wanyonge kikokotooo kwa watumishi huyu mama tumwulize smepeleka wadsnii uchina kwa prsa gsni? Huku watumishi hwaongezrwi vijana hawaajiriwi huku anakopa kwanini
Wewe hamna hojja hapo wewe Binti acha ubaguzi tayari mwenyekiti wenu ameporomosha sana demokrasia katika chama chenu.na ameishawaingiza katika ubaguzi mkubwa hata wananchi wa kawaida wanaelewa
Hivi mwekezaji kupewa ardhi kwa kufuata Sheria ni kuuza!!! Tafuteni hoja nyingine. Kenya kukodisha bandari ya Mombasa kwa Mediterranean ports ni kuuza? Duniani kote bandari zinakodoshwa hata China. Jipangeni kivingine . DPworld wako waingereza, German, China, kote huko wameuzwa.
Wewe ndio huna akili,kaiba hela za BAWACHA,wewe ni Mwanachama wa BAWACHA?Hivi kuiibia nchi kama wanavyofanya viongozi wako wa CCM na kukiibia kikundi cha watu,kwako wewe usiyejitambua;Ni wapi nchi inaathirika zaidi?
Wewe Mwandishi wa habari hiyo tasnia hauna utalamu nayo
Nenda kalime viazi Kwenu
Mwandishi nae chawa
Chadema mnawabagua watu kwa dini zao mtizame slaa alimkosoa jk akamkubali magufuli leo anampinga samia
Una uliza swali utaki kujibiwa au umetumwa,
Huyu Mwandishi ni chawa wala hana akili kabisaaaa
Zero brain
Huyu mjinga kweli katumwa na Serikali
Hayo maisha magumu ninyi mnayosema mkishinda mtagawa pesa kwa wananchi? Acheni uongo wenu
Mbona magufuli alikuwa anaogeaga kisukuma mlikuwa mnakenua meno tu
Hongera zako kamanda wetu
Kweli dada umenena hayo ndiyo tuna maswali juu ya raslimali yetu Ngorongoro ,bandari nayote hatetei hali ya maisha ya wanyonge kikokotooo kwa watumishi huyu mama tumwulize smepeleka wadsnii uchina kwa prsa gsni? Huku watumishi hwaongezrwi vijana hawaajiriwi huku anakopa kwanini
mwandishi wa habari huyo ni mjinga,anachanganya issues ana akili ndogo sana
Huyo mwandishi anakupeleleza be careful dad's yangu
Duh huyu dada mbona anaakil hvo?😊
Obama hakuuza rasili mali ya wamrekani mtalaaniwa mnaotetea ufisadi unaoendelea Tanganyika
Kwani ni Uwongo hauzi Mali za Watanganyika? Wewe halifa wacha Uchawa
Wewe hamna hojja hapo wewe Binti acha ubaguzi tayari mwenyekiti wenu ameporomosha sana demokrasia katika chama chenu.na ameishawaingiza katika ubaguzi mkubwa hata wananchi wa kawaida wanaelewa
Mwandishi ni mjinga
LABDA WAJE HOJA ZAO UKABILA NA UDINI HAMNA SERA YEYOTE YA KUTUELEZA SISI WA TANZANIA
Mwbie mamako aongee kikabila tumsikie ili nifurahi
Huyu jamaa si anaishi tanganyika maswali mengine ni ujinga
Hivi mwekezaji kupewa ardhi kwa kufuata Sheria ni kuuza!!! Tafuteni hoja nyingine. Kenya kukodisha bandari ya Mombasa kwa Mediterranean ports ni kuuza? Duniani kote bandari zinakodoshwa hata China. Jipangeni kivingine . DPworld wako waingereza, German, China, kote huko wameuzwa.
Kavunja sheria au kazingatia sheria
NYIE CHADEMA MNATAKA KUTULETEA SIASA ZA KENYA UKABILA
Kwa vipi
Hanaa akili huyu mwenyewe kaiba Hela ya Bawacha huyu
Wewe ndio huna akili,kaiba hela za BAWACHA,wewe ni Mwanachama wa BAWACHA?Hivi kuiibia nchi kama wanavyofanya viongozi wako wa CCM na kukiibia kikundi cha watu,kwako wewe usiyejitambua;Ni wapi nchi inaathirika zaidi?
Mwandishi huyo ni ngombe huyo ddaa alivu ilia Sana hakakuna mwandishi hapo
OBAMA AMETAWALA MAREKANI NA RICHI SUNAKI WINGEREZA ACHENI ULIMBUKENI
Huyu Muhandishi hafai hata tone
Mwandishi yuko kwenye udini yuko kwenye uzanzibar sijui alisomea wapi mambo ya habari hawa ndo wana vyeti hewa pumba tupu
KAMA NYINYI SIO WAKABILA SIMNAONA TUNDULISSU AKIWA SINGIDA ANAWAHUTUBIA WANAICHI WA SINGIDA KWA KINYATURU YOTE HAYO TUNA YAONA ITIKADI ZENU
Tatizo lako liko kichwani Elimu, Elimu, Elimu ujinga wa wafuasi ccm ni mtaji wawatawala kisiasa