Mbowe ni mwamba hasa wa kuibua vipaji vya vijana ktk uongozi ndo maana akina Msigwa baada ya kushiba na kuvimbiwa wana mtukana lkn ukwl Mbowe ni bonge la kiongozi
HII SIYO CCM ILE YA NYERERE, CCM HII NI YA WATAFUTA MAISHA KWA NJIA YOYOTE ILE YAANI NJIA INAYOKUBALIKA NA MUNGU AU HAKUBALIKI NA MUNGU MRADI WAPATE WANACHO TAKA!!! NI HATARI SANA!!!
Dah ccm imefikia pabaya sana hivi mnalingia nini. Mnafanya watanzania hawaoni et mnatutishia polisi hivi nanyie polisi ndiyo mliyo jifunza kuumiza laiya wa Tanganyika kweli inauma sana 😭😭😭😭😭
Nenda kafungue kesi ya madai Mahakamani hakuna atakayekuja kukukamata na kukutia ndani. Ila ukiwa unahangaika kutafuta jibu la kiutawala (yaani jibu la kisiasa) watakusumbua sana. Wewe unamshukuru Mbowe kwa kukupa hilo jukwaa la CHADEMA kumwaga machozi, mwenzio Mbowe amefurahi kukuona umekuja hapo ili akutumie kisiasa kuonesha maovu ya CCM. Ndo maana hata jina lako hawajaandika kwenye maelezo ya video. Wamekutambulisha kama *Mtoto wa Deo Filikunjombe* Sasa kua mtu mzima, nenda Mahakamani ili utambulike kwa jina lako badala ya kutambulika kama Mtoto wa Deo Filikunjombe.
Hakika umejieleza vizuri sanaaa. Na habari yako inasikitisha kwakweli hadi hapo ulipofikia inauma.
Mbowe ni mwamba hasa wa kuibua vipaji vya vijana ktk uongozi ndo maana akina Msigwa baada ya kushiba na kuvimbiwa wana mtukana lkn ukwl Mbowe ni bonge la kiongozi
Hapa ndo kama mtu mwenye akili timamu utambue kwamba hata wewe unayejiita CCM haupo salama kwa utawala wa kishenzi namna hii.
HII SIYO CCM ILE YA NYERERE, CCM HII NI YA WATAFUTA MAISHA KWA NJIA YOYOTE ILE YAANI NJIA INAYOKUBALIKA NA MUNGU AU HAKUBALIKI NA MUNGU MRADI WAPATE WANACHO TAKA!!! NI HATARI SANA!!!
I always miss the MAN Deo Filkunjombe😢 R.I.P
Ongea kiswahili mjomba acha jichanganye lugha
Poleni sana. Hao ni WAATHIRIKA na SIO WAANGA. Washauri viongozi. Mhanga ujitakia, Mhathirika ni Mdhulumiwa.
Sasa si uende mahakamani shekh badala ya kukimbilia chadema. Watakusaidia kweli? Au majungu
Pole sana aisee
Filikunjombe jieleze kwa kiswahili unaeleweka vizuri tu, achana na kuchanganya na kiingereza, unatuchanganya….
Duh Jamani hiiserekali ya ccm mmmh hatari mpakamungu aamuetu
Pole sana mno,Filikunjombe hatutamsahau kwa kulipenda taifa lake,aliwapenda wapiga kura wake sana sana.
Wewe ukweli ni zaidi ya baba yako
CCM Ina wenyewe
Akienda mahakaman sindiounapelekwa polis. Dunia haina huruma.
Nmefrah na neno-very unfortunately
😂😂😂
Kama huyo anafanyiwa hivyo sembuse mtu mwingine asie mtoto wa ccm
Very unfortunately
Pole.sana kijana. Mungu awatetetee mupate haki yenu
Jamani hii nchi inaenda wapi?
Umeshafeli kabla ya kusikilizwa
Inamaana wakati wa jpm mtu wa wanyonge mlishindwa tena miaka 6 mpaka kuja kulialia wakati huu
Ongea kiswahili tu usichanganye lugha
Kuna jambo linajificha msimamizi wa mirathi anahusiana vipi na serikali mbona hili jambo ni la kifamilia zaidi
Nenda mahakamani huyo aliokudhulumuni.kwa nini anafanya hivo
Inavyoelekea ni wakubwa maana Mkuu wa mkoa kashindwa na kila😊 anapokwenda hasikilizwi
DaaH UONEVU MKUBWA SANA
Jembe gani !!.Walimteuwa mtu..awasimamia sasa serikali inahusikaje . wamfuate huyo waliomteuwa kwenye ukoo..ulikoenda huko.wakusaifiye
Very unfortunate 4R ni uhuni km uhuni mwingine.
Kabisa
Daah pole sana
Heeee jamani duuu kazi kweli kweli
Inatia uchungu sana.
Unfortunately...... Unfortunately....... Very Unfortunately.....unfortunately😂😂😂😂
😂😂😂😂
Dogo shule yake vip huyu!?
@@geofreyedwin5062vip mwamba kajichanganya au maana kapiga kingeri sana wazee wa kukimbia umande hatujaelewa
@@Allymwasunga haujaelewa nn hapo hamna lugha ila anajifanya kujua na anajikuta kurudia neno moja hilo tu!
Duh 😭Hii Nchi Yetu Inaenda Wapi Jamani.
Inaelekea Kizimkazi FM🎉
Dah ccm imefikia pabaya sana hivi mnalingia nini.
Mnafanya watanzania hawaoni et mnatutishia polisi hivi nanyie polisi ndiyo mliyo jifunza kuumiza laiya wa Tanganyika kweli inauma sana 😭😭😭😭😭
Dah pole
Unfortunately umejieleza vizuri
Alafu mtu anasema ccm ni baba yake😊😊😊😊
Nyinyi ndio ccm endeleen kuipambania achen kulialia watoto wa mwenye nyumba
Hahahaha
Ndunguyangu hiyondio ccm chama Cha majambazi Tanzania huwezikupatahaki
Ongea kiswaili acha izo
unfortunately ccm nikumamayo zao
Nenda kafungue kesi ya madai Mahakamani hakuna atakayekuja kukukamata na kukutia ndani. Ila ukiwa unahangaika kutafuta jibu la kiutawala (yaani jibu la kisiasa) watakusumbua sana.
Wewe unamshukuru Mbowe kwa kukupa hilo jukwaa la CHADEMA kumwaga machozi, mwenzio Mbowe amefurahi kukuona umekuja hapo ili akutumie kisiasa kuonesha maovu ya CCM. Ndo maana hata jina lako hawajaandika kwenye maelezo ya video. Wamekutambulisha kama *Mtoto wa Deo Filikunjombe*
Sasa kua mtu mzima, nenda Mahakamani ili utambulike kwa jina lako badala ya kutambulika kama Mtoto wa Deo Filikunjombe.
Deo utahangaika sana ktk nchi hii rudi matumbala kakae bureee
😢
Hawa ndiyo watoto wa Simiyu wanaopotes halafu wanalaumu Polisi kutowatafuta.
Deo alikua mtu kamili mwamba yule rip my shupavu nimefurahi kulisikia jina kake
Safi
That's politics boy! No permanent friends no permanent enemy!! CCM Ina wenyewe, je wewe na marehemu baba yako ni miongoni mwao??
😊😊
Sorry buana
Msaada jamami kwenye tuta apo 4R ni nini? Jamani
Punguza Unfortunately
dogo tumia lugha fasaha basi na sio kuchanganya,, ujue Kuna watu hata secondary hatujafika ko English kwetu ni tatizo
Co kila tarifa uijuwe kama ndio hivyo
Ivi kama huyunaye analalamika je kuna hajagani ya
Unfortunately litamfikia samia
Unavituko,, 4tnatry
Ongea kiswahili wewe mbowe atakupa hata ubunge😂😂😂
Sikiliza point Acha kuwa kama demu
😢😢 ccm. Kwajweli. Mnakwama. Wapi???
Changamoto kubwa sana
Aiseee nchi hii ukiwa na shida halafu utake haki yako huko juu ,utakutana na majangili kweli
P0le sana mwanangu de0
Unfortunately.... Unfortunately....unfortunately 😂😂😂😂
CDM ndiyo chama pekee kilicho beba matumaini ya watanzania
Labda matumaini ya mbowe
Dih,haya mashetani yalaaniwe
The slave no leave
CCM woote ni matapeli wakubwa familia ya shetani
Unfortunately...... Very Unfortunately. Don't you have any other English word?
Duh hatari sana hii
Waambieee wanachosha
Kwaiyo unatakanini
We Kaa hapo hapo chadema achana na wale
Huyu ni enantiomer ya Filikunjombe. Mzee ameacha jembe
Yaan wangejua kuwa madaraka ni ya muda hata wasingewatesa wenzao bac tu roho ya Philip njombe inahuzunika
Hiyo ndio ccm
laa aise
tkisema delete ccm huwa hamuelewi
Chagadema mtafika mmechoka sana maana wakati wote mnahasira duh
Heri wajinga waishio katika ujinga maana Hawa hawatambui hata haki zao za msingi
Rc ndo mnafki
Ccm.kwishaaaa
Unfortunately umejieleza vizuri