Mimi binafunsi napenda sanakutumia njia ya leli lakini keloyangu kuu niusumbufu kuanzia kukatatiketi mpaka kwenye safari usumbufu mkubwa sana tunaomba tupewe mamba maalumu ilituwe tunatoa malalamiko yetu
Suala langu moja tu abiria wapo hatuna sb ya kuwa na safari mara mbili iwe kila sku usk asbh watu wamefika moshi Arusha. Lazima twende na soko na usasa muda unakimbia na ss tukimbie jaman
@@uledimtumwa2406 Kaka nafanya kazi stesheni apa dar Treni inatoka dar behewa za kigoma zimejaa Behewa za tabora zimejaa Behewa za mpanda ndo zimezidiwa mpaka watu wanasimama mwanza ni aibu abiria wawili au watatu daah Tuseme tu ukweli abiria wa mwanza wanapanda sana mabasi
Treni ni tren tu acheni kudanganya watu. Huduma zenu ni mbovu mnoo, angalau wakati mnaanza mlianza vizuri ila sasa naona kila kukicha afadhali ya jana.
Magufuli oyeeeee teen magufuli
MAGUFULI TREIN HIYOOOOOO!!!. VIMEUNDWA HIVYOO MSIONE VINAELEA MAGUFULI HUYOOO.
Naona unawasimbulia lakini imebidi maana wanajifanya hawaoni wala hawajui
Magu
Umetufungulia njia
Alafu ghafla umetuacha
Pumzika kwa baba
Yani trc mnazingua sanaa hamna huduma nzuri hata kidogoo ovyo sanaaa
Hakuna ratiba nzuri ya treni kwa sasa yani inachelewa kufika sifa nyingi vitendo tofauti
Tunaomb namba kwa maelekezo zaidi
jaman reli ya Mpanda mnatunyanyasa sana maaana mabehewa machache
Kazi nzuri lkn watu wanapita kwenye reli ni hatari, "accident waiting to happen " wapo wapi kitengo cha health & Safety?
Mimi binafunsi napenda sanakutumia njia ya leli lakini keloyangu kuu niusumbufu kuanzia kukatatiketi mpaka kwenye safari usumbufu mkubwa sana tunaomba tupewe mamba maalumu ilituwe tunatoa malalamiko yetu
Nataka usafiri naupataje wa treni dar to Mwanza
Sawa lakini upotevu mkubwa unakuwa kwenye uendeshaji wa mashirika yaani malipo ya vikao hewa na mambo kama hayo.
Seat cover zifanyieni mpango pia
Suala langu moja tu abiria wapo hatuna sb ya kuwa na safari mara mbili iwe kila sku usk asbh watu wamefika moshi Arusha. Lazima twende na soko na usasa muda unakimbia na ss tukimbie jaman
Nimesafiri nanyi kama mara nne hivi lakini hatukuwahi hata siku moja kuondoka ontime tena kuna mwaka tuliondoka ijumaa badala ya alhamis
💃💃💃💃💃💃
Mwanza mmeitelekeza ,Treni inakuja mara moja kwa wiki!!???Nyie jamaa ni wahujumu miradi ya serikali.
Hakuna abiria
@@nasibugunda7927 Wewe huijui Mwanza.Kuna abiria, mizigo na Mifugo. Njoo ushuhudie.
@@uledimtumwa2406 Kaka nafanya kazi stesheni apa dar
Treni inatoka dar behewa za kigoma zimejaa
Behewa za tabora zimejaa
Behewa za mpanda ndo zimezidiwa mpaka watu wanasimama mwanza ni aibu abiria wawili au watatu daah
Tuseme tu ukweli abiria wa mwanza wanapanda sana mabasi
Ratiba haipo sawa. Unaambiwa gari litafika saa 6 mchana,tahamaki linaingia saa 12 jioni au saa 2 usiku.Zingatieni muda muone mafuriko.
@@uledimtumwa2406 Ratiba haipo sawa kwa mwanza tu ?
Treni ni tren tu acheni kudanganya watu. Huduma zenu ni mbovu mnoo, angalau wakati mnaanza mlianza vizuri ila sasa naona kila kukicha afadhali ya jana.
Safari ya ck mzma asubuh mpaka ck ya pili eti ndani hamuna hata tv wakat gari dar Moro zna tv au boti za zenj pia zna tv ila tren hamuna tv
Usafiri ni mzuri Ila kuna baazi ya wafanya kazi sio waaminifu nikipata no ya kadogosa ntamuelezea private
Tanga MOSHI Arusha link?
Mbona hamboreshi maeneo yenu ya abiria kusubiri treni naona vurugu mechi tu hapo
Kweli. hata. mm. nimeona. sajapenda. bado. mambo. yapo. kishamba. sana
Njia ya mtandao ni ipi hiyo
Muitunze jamani
Kama upo ndani ya tz wewe pia unapaswa kuilinda.
Ukiina mtu kwake amejengea kutumia vyuma vya reli toa taarifa kwa mamlaka ili kuzuia uharibifu
Where is Ben Mwanantala ?
Siti pia chakavu
Kama faini %100nisawa je mtu akikata tiketi alafu akakosa siti inakuaje
Wapi mwanantala?
Mnafika kigoma saa ngapi?mbona hamsemi hapo?
Sijasikia mwanza!
Kumbe viti kama vya basi
Abiria wa mpanda wanateseka sana unakuta abiria wengi behewa chache ambapo sasa unakuta abilia wanasafiri raha
MOSHI / KILIMANJARO HATUPANDAGI TRENI SISI NI TAIFA LILILOENDELEA NI NDEGE NA VIP BUS TRENI ZINAWENYEWE SIO KANDA YA KASKAZINI
Nadhan upande wa usafirishaji wa mizigo ni nafuu zaidi
😀😀😀😀😀
Sawa