MASHIRIKA MENGI WAKIPIGA CHINI RUZUKU , LAZIMA NCHI ITAPATA maendeleo maana watu wataacha soma magazeti na kila mtu atawajibika kwa nafasi yake, sekta binafsi na umma zitaingia kwenye mfumo wa uzalishaji kwa pamoja
HII RELI NDIO KIUNGO MUHIMU KWA NCHI... ALLAH AMPE PEPO,,NIMAAMUZI MAGUMU NA YA MALENGO MAKUBWA SGR NDIO UCHUMI ..DAR-MWANZA,DAR_KIGOMA,DAR-BURUNDI,DAR_KIGONGO,DAR-RWANDA,DAR_KENYA NA UGANDA....NIOMBE EAST AFRICA...TUJIUNGE NA HILI KWANI UCHUMI NA MAISHA MAZUR KWA WATU VITAKUWA POA SANA.
Jamani ningefurahi kama speed ingeongezeka kujenga reli kuja tabora mwanza kigoma katavi after then Rwanda na Burundi, maana hatuoni huku sughuli zikiendelea kama mwanzo embu tujenge basi hataa hadi tabora kwanza ili hela ziendelee kuingia nyingi.
Ina maana hujui kama michakato inaendelea ya kujenga mpaka huko, nadhani mpango ulilenga kukamilisha lot ya Dar mpaka Mwanza ambapo mpaka sasa kazi za ujenzi zinaendelea, Tayari vipande vya Isaka -Tabora na Tabora -Kigoma vimeshapata fedha na ujenzi uko ,mbioni kuanza , na Burundi nao washaomba kuunganisha na Kigomna na washaanza mchakato huko kwao, lakini pia Uganda nao washaaanza ujenzi huko kwao. So mambo mazuri yanakuja, Subira yavuta kheri.
Pesa mziweke vizuri maana maintenance ikianza itakuwa ishu.
Point kubwa sana
MASHIRIKA MENGI WAKIPIGA CHINI RUZUKU , LAZIMA NCHI ITAPATA maendeleo maana watu wataacha soma magazeti na kila mtu atawajibika kwa nafasi yake, sekta binafsi na umma zitaingia kwenye mfumo wa uzalishaji kwa pamoja
Hongera sana kwa hilo, tupo pamoja.
HII RELI NDIO KIUNGO MUHIMU KWA NCHI... ALLAH AMPE PEPO,,NIMAAMUZI MAGUMU NA YA MALENGO MAKUBWA SGR NDIO UCHUMI ..DAR-MWANZA,DAR_KIGOMA,DAR-BURUNDI,DAR_KIGONGO,DAR-RWANDA,DAR_KENYA NA UGANDA....NIOMBE EAST AFRICA...TUJIUNGE NA HILI KWANI UCHUMI NA MAISHA MAZUR KWA WATU VITAKUWA POA SANA.
SGR inabidi ilipe deni yenyewe tusifurahie kujiendesha yenyewe tu.
Kama inajiendesha na kulipa deni la waliotukopesha basi hongereni sana sivyo...kazeni buti
Muaze kulipa wakandarasi wa ndani sasa mungekuwa na akili ya kutumia chuma cha ndani msingekua na pressure kubwa ya YAPI
Miradi kama hiyo ingetakiwa kua na 50% jeshi. Hata Marekani Mambo yote muhimu Yana jeshi ndani. Hata USPS..... Ndo maana rangi yake Ina rangi ya jeshi
Imagine hiyo wakii-bet-ia odds za kutosha iwe ata mara mia zaidi alafu wazitumie kulipia ujenzi wa lots zingine zilitobaki
#AKILIKUMKICHWA😂😂
wangeiweka kwenye soko la hisa ili kuongeza mtaji
Yes well said
🎉🎉🎉🎉
Nina wasiwasi na jinsi zitakavyokuwa zinapishana. Kuna haja ya kuweka line nyingine ndefu ya kupishana pasipo kusimama.
Jamani ningefurahi kama speed ingeongezeka kujenga reli kuja tabora mwanza kigoma katavi after then Rwanda na Burundi, maana hatuoni huku sughuli zikiendelea kama mwanzo embu tujenge basi hataa hadi tabora kwanza ili hela ziendelee kuingia nyingi.
Ina maana hujui kama michakato inaendelea ya kujenga mpaka huko, nadhani mpango ulilenga kukamilisha lot ya Dar mpaka Mwanza ambapo mpaka sasa kazi za ujenzi zinaendelea, Tayari vipande vya Isaka -Tabora na Tabora -Kigoma vimeshapata fedha na ujenzi uko ,mbioni kuanza , na Burundi nao washaomba kuunganisha na Kigomna na washaanza mchakato huko kwao, lakini pia Uganda nao washaaanza ujenzi huko kwao. So mambo mazuri yanakuja, Subira yavuta kheri.
TRC WAKITAKA KUFANIKIWA SERIKALI ITENGANISHE ACCOUNT KUWE NA ACCOUNT YA COLLECTION MAINTENANCE NA PESASA ZA KULIPA OPPARATION
bado ukaguzi wa tikti ni mdogo, sijui kama wanaolipia nauli pungufu imedhibitiwa. nimepanda mwezi mmoja uliopita
Tatizo upiga ni mwingi, hakuna biashara haina faida.
Muombe luzuku tena
Ruswa