Mambo yamenoga jamani hawe hawe yakuwa jani tanzania kwanza wu proud of it Makufuli Shikamoo saluti baba wewe ndio tishio la dunia Tramp hatakuja mwenyewe wala usimfuate hapo kazi tu safi sana ubarikiwe sana sana penda watu wako tz kwanza
Mmejipanga vizuri sana. Hasa kwa habari ya huduma ya kwanza hiyo nimeishuhudia baada ya kuhudumiwa vizuri sana. Mini nawapongeza sanaa. Reli yetu kwa maendeleo yetu.
chaneli nzuri sana na ina elimisha sana sana...hongera sana mtangazaji mwanantala utabaki kuwa juu mawinguni....Pongezi pia kwa serikali yetu kwa kuboresha huduma nyingi za wananchi wa kipato cha chini..Mheshimiwa Rais, tuko nyuma yako asilimia mia moja!
Ile ya Zamani ilikuwa na 1st class na 2nd sleeping, tulienjoy sana. Yale mabehewa wajanja wameyauza. Njia ya Tanga na moshi kulikuwa na mabehewa mazuri sana, ila Wabongo sio kabisa yaani.
Nakumbuka nilikuwa nataka kukata ticket kwenda kigoma, lugha za kebehi na za hovyo kutoka dirisha la ticketi. Hakuna ncustomer care na unalipa pesa, uwabembeleze kuwapa pesa? Business administration ni mbovu mno kwenye huduma zetu. Nafikiri vijana wa biashara na house keeping wapewe ajira kwenye train.
Ukijiji unatusumbua, ukijiji hutengeneza tabia ya mtu. Mtu hata asome vipi ukijiji kupungua ni ngumu. Sasa rais akitimua mtu ofisini utasikia lugha za hovyo.
reli yenu mnayoimba sasa ilijengwa na mkoloni (mjerumani) hizi treni zilikuwepo kila siku miaka ya sabini daraja moja mpaka tatu , huyu jamaa anasema buffet car kama vile waTZ hawajawahi kusikia , mungu anawaona na uwongo wenu , upuuzi mtupu
Mambo yamenoga jamani hawe hawe yakuwa jani tanzania kwanza wu proud of it Makufuli Shikamoo saluti baba wewe ndio tishio la dunia Tramp hatakuja mwenyewe wala usimfuate hapo kazi tu safi sana ubarikiwe sana sana penda watu wako tz kwanza
hongera serikali , lazima tuelewe kuwa awamu ya nne pia imefanya mengi kuhusu usafiri wa reli
Good presentation Ben. Very informative. Big up TRC
Ahsante sana .Mtazamaji watu tunashukuru sana..kwa kukubali kazi zetu
good presentation msenge wewe , kuishia Pugu ?
Tanzania yetu one love
mnafanya kazi kwa upendo sana kwawel sitamani kupanda usafir mwingine kwenda tabora.naipenda njia ya reli naipenda treni
Mmejipanga vizuri sana. Hasa kwa habari ya huduma ya kwanza hiyo nimeishuhudia baada ya kuhudumiwa vizuri sana. Mini nawapongeza sanaa. Reli yetu kwa maendeleo yetu.
Ahsante sana Mkuu tupo pamoja
chaneli nzuri sana na ina elimisha sana sana...hongera sana mtangazaji mwanantala utabaki kuwa juu mawinguni....Pongezi pia kwa serikali yetu kwa kuboresha huduma nyingi za wananchi wa kipato cha chini..Mheshimiwa Rais, tuko nyuma yako asilimia mia moja!
Kwa kweli Tuna kila sababu ya kumpongeza na kumuombea Rais watu JPM kwa juhudi zake hizi madhubuti za kuipaisha Tanzania
mjinga wewe embu rudi shamba
Hii treni kaiacha jk we wawapi?
@@josephwilliam5813 deluxe train ilikuwepo nimepanda toka DSM-Kigoma 2015 sasa sidhani kama jiwe lako lilikuwepo ingawa wote ni majiwe wa ccm
Ni kama vile ziara ya wasanii kumsifia magu wakati wako juu ya treni ya jk na reli ya mkoloni ni unafki wa hali ya juu
@@josephwilliam5813 thank you Brother
🙏🏾Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
Kama umemuona Mpishi anavopika wali mfano wa Ugali nipe like zangu.
Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kuripa mafanikio makubwa san taifa ritu na zidi kuwaongoza viyongoz wetu
oooh I miss our old train from Kenya
Ohoo magufuli his are very good prezisent ❤❤🙏
Ile ya Zamani ilikuwa na 1st class na 2nd sleeping, tulienjoy sana. Yale mabehewa wajanja wameyauza. Njia ya Tanga na moshi kulikuwa na mabehewa mazuri sana, ila Wabongo sio kabisa yaani.
Uledi Mtumwa we mtumwa kweli
Nakumbuka nilikuwa nataka kukata ticket kwenda kigoma, lugha za kebehi na za hovyo kutoka dirisha la ticketi. Hakuna ncustomer care na unalipa pesa, uwabembeleze kuwapa pesa? Business administration ni mbovu mno kwenye huduma zetu. Nafikiri vijana wa biashara na house keeping wapewe ajira kwenye train.
Aisee kama kwenye ndege vile tena zile ndege kubwa akina A380 au Boeing 747, 777, etc...
Naomba kuuliza vip safari za treni kuelekea moshi ni siku gani na je bado zinaendelea
Najivunia kuwa mtanzania
Hongera Tanzania
Tuongezeen behewa moja kwajili ya kuchezea disco
duh hongereni
safi sana
saafi saana
TRC mmetisha na hii naona ni Traler picha kamili mwendokasi itafunikasi itafunika zaidi
Majina ya kiafrica amuna nyi majirani
Kwakweli TRC mpya nimpya kweli imejipanga kila idara naona kwenye kuitangaza na sikuitangaza tu lakini wanamaanisha
Mnajitahid ....VP maendeleo ya ufufuaji njia ya reli kupitia Tanga had Arusha umefkia wap
Nahisi umeshajibiwa swali lako
Mtangazaji utamshi wake wa maneno hovyo.
rahasana
Kwa hali hii jamaa waondolewe kinga ya kushtakiwa kipengele cha wahujumu uchumi kiwahusu
treni ya deluxe ilianza awamu ya nne na sio mnagufuli alioanzisha
Kenya Railways, this could be us.......but of course you're 6ft under, why even bother!
daraja la pili kukaa viti ni vichafusana jamani tafuteni namna ya kusafisha
Shirika tunaomba mfanyie kazi hili kwa kuwafikishia ujumbe idara husika ili kuleta ufanisi zaidi na huduma bora..
Tayari viti vimejaa jasho, hivi hamuoni au ni utamaduni wa uchafu?
Ukijiji unatusumbua, ukijiji hutengeneza tabia ya mtu. Mtu hata asome vipi ukijiji kupungua ni ngumu. Sasa rais akitimua mtu ofisini utasikia lugha za hovyo.
hivi tuseme marais waliopita wao walikua wanaishi kusogeza siku au??
reli yenu mnayoimba sasa ilijengwa na mkoloni (mjerumani) hizi treni zilikuwepo kila siku miaka ya sabini daraja moja mpaka tatu , huyu jamaa anasema buffet car kama vile waTZ hawajawahi kusikia , mungu anawaona na uwongo wenu , upuuzi mtupu
Samahani mkuu,uongo na upuuzi hapa ni upi?
Wewe Ndio mpuuzi zilikuwepo sawa lkn hii umeambiwa imeanza 2015 sasa kwann wasiseme
Utakuwa mwanga wewe cio Bure
@Samater
hivi ihatumiaga mafuta
vipi Ben sehemu za kuchajia cm zipo?
Zipo aisee
TRC RELI TV yaani yale mabehewa ya zamani yamefyekelewa mbaali ama?
Na yale yaliyoanguka kwenye njia ya pugu vipi?!
Zipo za kutosha
Kabefi Ramadhani sijajibiwa
@@mnzavachris5423 Sehemu za kuchajia zipo ndani ya mabehewa mwanzo mpaka mwisho wa safari bureeeeeeeeeeeeeeee
Nauliza kila behewa Lina mgahawa au ni mmoja tu?
behewa ni nini??
....tafuta kamusi/dictionary ya kiswahili, itakufahamisha BEHEWA n nn hasa.