Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

KARAKANA KUU YA TRC, JIONEE VICHWA VIPYA VYA TRENI, MPAKA JIKO CHUMBA CHA DEREVA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 січ 2022
  • KARAKANA KUU YA TRC, JIONEE VICHWA VIPYA VYA TRENI, MPAKA JIKO CHUMBA CHA DEREVA

КОМЕНТАРІ • 108

  • @ernestsinje7887
    @ernestsinje7887 2 роки тому +23

    hichi kipindi kilikuwaga kitamu sana enzi za MAGU

  • @nyambegamatoro6817
    @nyambegamatoro6817 2 роки тому +10

    Je, unafahamu ukweli kuwa mradi wa sgr na ule wa JNHP ni miradi pacha? Na kwamba kwamba treni ya sgr haitoweza kuanza Safari zake Hadi kukamilika na kuanza uzalishaji umeme huko bwawa la JNHP

    • @rasheedabby2871
      @rasheedabby2871 2 роки тому

      Teh teh teh wamesema ina Mabetri nama Generator

    • @conesmo5266
      @conesmo5266 2 роки тому

      Una uhakika na ulichoandika? Tuambie umeme unaotumika ni kiasi gani?

    • @mhandomhina5503
      @mhandomhina5503 Рік тому

      Ndugu hatuna umeme wa kutosha ikiwa wa nyumbani Ni mgawo

    • @salvatorymtunga5906
      @salvatorymtunga5906 Рік тому

      Siyo kweli

  • @saidothmani7522
    @saidothmani7522 2 роки тому +3

    Watanzania mbona hamuelewi.
    Umeambiwa hivi vichwa ni vya reli ya kati cyo ya umeme.muckilize kitu kinachoongelewa.cyo mnapayuka tu.

  • @athumaniabdi4122
    @athumaniabdi4122 10 місяців тому

    Hongera kwa kazi nzuri@ShirikalaReliTanzania

  • @TwalibuAlbaamiryShoka
    @TwalibuAlbaamiryShoka Рік тому

    Hivi ni kwa ajili ya reli ya kati na sio train ya umeme hivi ni kwa ajili ya mizigo

  • @celebtv942
    @celebtv942 2 роки тому +4

    Tanzania kupata treni za umeme imekuwa ndoto isiyo timia. Kila siku stori tu.mara hivi mara vile,,Bure kabisa

    • @kimariokelvin
      @kimariokelvin 2 роки тому

      Hapana kaka Frank, changamoto zimekuwa nyingi na changamoto hizo zinasababisha kunakuwa na delays, this will happen na nikuhakikishie tu kwamba Tanzania sio nchi ya kwqnza kuunda reli hata wenzetu walioendelea wamepitia changamoto nyingi, ni miradi michache sana Duniani ya reli imetekwlwzwa kwa wakati , railway conatruction is very complex na miradi kuwa nje ya muda mara nyingi ni inevitable

    • @geofreymtasingwa742
      @geofreymtasingwa742 Рік тому

      Kujenga reli sio kama kujenga choo

  • @saidkipango6772
    @saidkipango6772 3 місяці тому

    Kitaalam rocomotive zote za sasa ukitoa zile za stima ,vinatumia umeme tofauti yake hvyo vinatumia umeme wa dizeli injini ikifanya kazi inakua kama genereta inazalisha umeme ili undeshe treni.hizi za sasa hivi ndio zinatumia umeme wa grid ya taifa

  • @lama6310
    @lama6310 Рік тому

    Hivi Vitwa Mbna Kama Analog Jaman ..mbna Tunarud Kulekule..vichwa Vibayaaaaa

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Рік тому

    Hao watoto wata iba kila kitu

  • @yawepetro2049
    @yawepetro2049 Рік тому

    Jaman sasa iyo mwendo kas kwel duuh tumepingwa nakitu kizuto

  • @makwaila23
    @makwaila23 Рік тому

    Ukiangalia kwa jicho la umakini sana utagundua hivyo vichwa ni Used na wala sio vipya

  • @championtv255
    @championtv255 Рік тому +1

    Asante sana jpm love u

  • @khadhiriramadhan5984
    @khadhiriramadhan5984 Рік тому +1

    ndugu zangu tumepigwa hizi treni za mwaka 1995. speed.180😃😃 magu alisema analutea zenye speed 380.mpka 400 ..R.I.P. magufuli.

    • @maridadimaridadi1123
      @maridadimaridadi1123 Рік тому

      Umeambiwa ni Mgr sio sgr jua kutofautisha mzee

    • @deven.oauditx7547
      @deven.oauditx7547 Рік тому

      Speed ya mwisho ya reli inayojengwa ni 160 hivyo vichwa vya km 380 vya kazi gani?

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 Рік тому

    Mkiisha kuvitengeneza mtuambie mmenunua korea bilion 2.3

  • @erastomaro7145
    @erastomaro7145 2 роки тому +2

    Safi

  • @gibbs1320
    @gibbs1320 2 роки тому +1

    Vichwa vya treni na mabehewa ya SGR lini yanakuja. Maana maneno yamekuwa mengi sanaaaaaa. Tumechoka na story

  • @mikelelo8567
    @mikelelo8567 2 роки тому +2

    Je hivyo vichwa ni kwaajili ya mizigo tu

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 2 роки тому +2

    Wonderful 🇹🇿

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 2 роки тому +1

    Mungu ni mwema sana siku zote then kazi iendelee

  • @abbumwaipopo2940
    @abbumwaipopo2940 4 місяці тому

    Nami naja kukagua

  • @andrewcheyo6470
    @andrewcheyo6470 Рік тому

    Hongereni

  • @htvtanzania3483
    @htvtanzania3483 2 роки тому +1

    Ange kuwepo magu tusinge letewa ya hivi

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 2 роки тому +1

    Kichwa hichi ajaleta jpm jamani!!ni samia

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira6593 2 роки тому +2

    Kukagua vichwa vitatu inwachukua muda wote huo? Tuacheni mzaha jamani. Hiyo ni kazi ya week moja tu kama mtu anajua anachokifanya.

    • @amriharuna4236
      @amriharuna4236 2 роки тому

      Kabisa hata mimi nimeshangaa

    • @kimariokelvin
      @kimariokelvin 2 роки тому

      Ukaguzi unapofanyika kunabainika mapungufu ambayo yanarekebishwa, mapungufu hayo huchukua muda tofauti tofauti, na marekebisho hayo yanapokamilika ukaguzi unaanza tena ndio maana yanachukua muda mrefu

    • @makongorowassira6593
      @makongorowassira6593 2 роки тому

      @@kimariokelvin kuna uzembe mkubwa sana kwa watenda kazi wetu, unachokisema kinaweza kutokea ila sio muda wote, na hata kama kuna hiyilafu sio lazima ichukue muda wote huo kurekebisha.

    • @mudighurayra
      @mudighurayra 2 роки тому

      Hahaha wiki tatu alaf mkipakiwa siku 2 mmepata ajali iwe zogo

    • @ramadhanichembellah7849
      @ramadhanichembellah7849 2 роки тому

      Kazi nzuri, Mama Samia ,kazi nzuri TRC lakin pia tusisahau kumuenzi na kumkumbuka mzee Magufuli aliyethubutu mpaka tukaweza fikia hapo.

  • @chieflowasa7320
    @chieflowasa7320 Рік тому

    Hakuna kitu vichwa gani hivyo picha zingine mnaleta behewa za ovyo

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 2 роки тому +1

    Nilitegemea kuwa hata na " microwave" !

  • @olenyghosho7008
    @olenyghosho7008 2 роки тому +1

    RIP jpm

  • @geraldgm1217
    @geraldgm1217 2 роки тому +1

    Kongole!!!!! Hongera!!!!

  • @betterdecorationlights1781
    @betterdecorationlights1781 Рік тому

    Rangi mbayaa

  • @dannysengata2298
    @dannysengata2298 Рік тому +1

    Mafuta tena 😁😂🤣🙌🏾 sio umeme 😂😂

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 Рік тому

    Lakini saranda vinashindwa kupanda mpaka viungwe viwili

  • @lugwaja
    @lugwaja 2 роки тому +1

    Karabatini basi angalau majengi hayo ya karakana

  • @abdalahally3113
    @abdalahally3113 2 роки тому +2

    Walai watanzania washaapigwa tayari mzee magufuli alituambia ni umeme tena nimesikia haitumii mafuta mengi????

    • @alexvenas2699
      @alexvenas2699 2 роки тому

      Brother hivi syo vichwa vya sgr,hivi vichwa ni Reli ya kati (mgr) ile ya zamani .vya umeme bado havijafika bro kuwa na amani hatujapigwa

    • @abdulmelele7322
      @abdulmelele7322 2 роки тому +1

      Hivyo ni vya meter gauge ndugu siyo vya standard gauge tofautisha hapo mimi ndiyo napga kaz humo

    • @TwalibuAlbaamiryShoka
      @TwalibuAlbaamiryShoka Рік тому

      Hivi sio vya umeme hivi ni kwaa ajili reli ya kati train ya mizigo muhimu kusikiliza kinachoongelewa

  • @mitikasitv7326
    @mitikasitv7326 2 роки тому +2

    Hivyo ndio vya mwendokasi

  • @selemanshidda9688
    @selemanshidda9688 Рік тому

    Hata neno 'engineer' kwa kiswahili maana yake ni 'mhandisi'

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 2 роки тому

    Nyie simlisema hv sio vichwa vya umeme ni vya mafundi mbona mnatuvuruga

  • @usamaahmed2624
    @usamaahmed2624 2 роки тому

    Kazi nzuri lakini kwa uwelewa wangu Dunia sasa inapambania kwenye matumizi ya umeme na sio mafuta. Hilo linachukuliwaje? Kwanini nasi tusijiande kuelekea huko.

    • @kimariokelvin
      @kimariokelvin 2 роки тому

      Kuna technicalities nyingi sana hapo ila reli yetu ya SGR ni ya umeme, ya meter gauge(ile ya zamani) sio ya umeme na haitawekewa umeme

  • @shomarymussa6970
    @shomarymussa6970 2 роки тому +1

    Pigeni rangi hayo mabati yameungua na jua

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 10 місяців тому

    Hivi vichwa je tayari vilishaanza kazi ama bado?

  • @betterdecorationlights1781
    @betterdecorationlights1781 Рік тому

    Tren la makaa ya mawe

  • @polsopheaphd6458
    @polsopheaphd6458 2 роки тому

    Trains

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Рік тому

    Tunakubari

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 2 роки тому

    Mutaongea mengi mulisema religion aitakamilika sasa mebadilisha kauli.munasema kzi ya jpm.iwe ya jpm iwe ya nani.tunachotaka ni maendeleo

  • @mr.waziri9992
    @mr.waziri9992 2 роки тому

    Najua ni mpya, kumbe ni vyakurekebisha🗿😟🗿

    • @kimariokelvin
      @kimariokelvin 2 роки тому

      Hakujawahi kuwa na system ambayo ni perfect, ndio maana kuna zoezi linaitwa commissioning, kila mtambo wowote duniani lazima ufanyiwe hiki kitu, kwani mara nyingi kunakuwaga na deviation na muda huo ndio hizo deviation zinarekebishwa, ikumbukwe kwamba vichwa ni tailor made products sio kama bidhaa nyingine ukikamilisha product moja nyingine zote mia zitakuwa zimekamilika.

  • @geophreyalkado8242
    @geophreyalkado8242 Рік тому

    injinia mbona unajikanyaga maelezo yako siyo sahii ebo.jifunze jinsi ya kutoa maerezo unatwaibisha

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 Рік тому

    Kwani hivyo vichwa vilinunuliwa na kinanan siselekali yenu wenyewe msituone wajinga yote mnafanya wenyewe ccm naselekali yenu Koo kma vyazaman nivuzur au nivibaya nyinyi ndoo mlinunua

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 2 роки тому

    Where is MWANANTALA?

  • @nth3512
    @nth3512 2 роки тому +2

    Rangi zenu (color code) si nzuri, jaribu kuchanganya na kijani hapo. Combination hyo haivutii zimekaa kiukame hivi

    • @rasheedabby2871
      @rasheedabby2871 2 роки тому

      Rangi sio za Tanzania kabisa

    • @mudighurayra
      @mudighurayra 2 роки тому

      @@rasheedabby2871 yani wa tz kwa ujinga wenu hamkosi la kusema wewe kwenu kuna rangu ya tz

    • @rasheedabby2871
      @rasheedabby2871 2 роки тому

      @@mudighurayra Tuongeze mafuta usiumie

  • @geey7893
    @geey7893 Рік тому

    RIP mwamba JPM. Ufunguzi wa SGR ilkua ifanyike mwaka jana mwezi wa 11. Tena kwa ubora. Sahizi kuna Mbwa zinapenda Sifa tu na Quality ya kazi yao ni 0.0011. Speed yao konokono na upigaji. Mungu yuko kazin

  • @morriskisesebe6541
    @morriskisesebe6541 Рік тому

    Tunashukuru mama tunashukuru mbeba maono

  • @nassibabdallah3811
    @nassibabdallah3811 Рік тому

    🤭

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 2 роки тому

    Mambo yapoyapo tu🥴

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 2 роки тому +1

    Kwa hiyo mlivipokea bila kuvikagua?

    • @kibongobongo4608
      @kibongobongo4608 2 роки тому +1

      Kuvikagua nadhani anamaanisha kupata mafunzo ya matumizi kwasababu ni system tofauti na yazamani tupo kidigitali kwa sasa...

    • @kimariokelvin
      @kimariokelvin 2 роки тому

      Kukagua ni muhimu sana, na ni sehemu ya mkataba, hivyo vichwa vinafanyiwa majaribio ya tripu za kubeba mizigo zisizopungua 3 vikiyokea DSM kwenda Tabora, katika safari hizo mapungufu yakibainishwa yanarekebishwa na kama hayajarekebishwa basi TRC haivipokei mpaka vitakavyokuwa sawa

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 2 роки тому

    Mafuta ya nini sasa kama itatumia umeme.?? Au wameshakula fedha wakanunua diesel trains

    • @masterkratos2
      @masterkratos2 2 роки тому

      Hii ni kwa reli ile ya zamani.

    • @TheProvidencefilms
      @TheProvidencefilms 2 роки тому

      Vichwa vya treni huitwa diesel-electric yaani hutumia diesel kutengeneza umeme ambao una drive mitambo ya magurudmu, mortars.

  • @minmaxc485
    @minmaxc485 2 роки тому

    Ila mbunifu wa rangi zenu zero kabisa

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 2 роки тому

    kipindi kimekuwa bored

  • @molig8489
    @molig8489 2 роки тому

    Magu allilipia kitambo hivi

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 2 роки тому

    Ben Mwanantala alienda Wapi?!

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 2 роки тому

    Muwe munasikuliliza sio Muba comment tu.

  • @emmicklamarofficial7974
    @emmicklamarofficial7974 2 роки тому

    😂 mafuta tena ?

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 2 роки тому

    Nyie nao karabatini na mabehewa ya second seat na first class.
    Yale ya India yanakera.

  • @user-gq8ox7wb7f
    @user-gq8ox7wb7f 2 роки тому

    Mafuta tena sio umeme!!

  • @abdalahally3113
    @abdalahally3113 2 роки тому

    Mafuta tena sio umeme