MADEREVA WA TRENI WAIVA KUIENDESHA TRENI YA UMEME

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 102

  • @themba.theunapologetically5966
    @themba.theunapologetically5966 11 місяців тому +9

    This reminds me of magufuli. I so wish he was still alive to see. Long live the spirit of magufuli✊✊

    • @benjaminjoseph1747
      @benjaminjoseph1747 10 місяців тому

      Amen 🙏
      Mc him too so much. Lala mahala pema baba Magufuli

  • @mashashpastory7467
    @mashashpastory7467 11 місяців тому +7

    R.I.P MAGUFULI,Asante kwa ujasiri wa kuanzisha mambo makubwa kama haya kupitia Kodi za wananchi sasa tunaenda kifaidi maono yako,
    Asante mh raisi SAMIA kwa kuendeleza usimamizi wa miradi hii ya kimkakati, thank you.

  • @petermarwa7818
    @petermarwa7818 11 місяців тому +4

    JPM huko uliko mambo yako uliacha hayajakwama pokea maua yako

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 11 місяців тому

      WAPIGA deal wamerudi kwa spidi ya kimbunga

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 11 місяців тому +7

    Mngeajiri vijana wanaume na wanawake na kuachana na wazee, mkiwekeza kwenye vijana itakuwa na faida sana kwa taifa!

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 11 місяців тому +3

    Hili toleo la treni la mwaka gani model gani. Land cruiser 80,100,200,300

  • @FanuelAloyce
    @FanuelAloyce 11 місяців тому +2

    As normal Kazi za connection. Wazee wenye watu wao in government offices ndo wanapewa kazi wakati vijana wengi wako mtaani hawana ajira. Angalia wanaotoa mafunzo na wanaopewa mafunzo. Two different generations.We make one step ahead then three steps back. We will never go through. Mtakuja kuona.

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 10 місяців тому +1

    HAINA SPEED.KLMETA 160 KWA SAA 1. IMESHINDWA UWEZO NA V8.

  • @shabanichillo6879
    @shabanichillo6879 11 місяців тому +2

    Tufahamu kwamba hao wanaoonekana hapo ni viongozi wabobezi walioaminiwa kwa zoezi la majaribio na mafunzo kwa ajili ya kuangalia uwezo na kubaini kasoro na changamoto kama zitakuwepo zirekebishwe yaani commission team upande wa mwekezaji na commissioning staffs upande huu ikijumuisha madereva wazoefu na waalimu, wahandisi mitambo na njia, mafundi, wahandisi toka serikalini nk hukutana pamoja katika kutoa na au kupata mafunzo na zoezi litaendelea kwa vijana wote walioandaliwa kwa kazi hiyo na kisha kukabidhiwa jukumu.

  • @GilbertNhigula
    @GilbertNhigula 10 місяців тому

    Mambo Safi Sana !,.

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 11 місяців тому +1

    Dah huyo jamaa wa mwisho kaua 😂

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv 11 місяців тому +3

    Tunaomba kujua umri wa kuendesha treni ni miaka mingapi maana Hawa Madereva naona kama walisha staafu au wanakaribia kustaafu au ni wa mkataba na kwann hamna vijana tunaomba mtuelezee kwann vijana hamna na wanawake hatuja waona mlizingatia criteria gani kuwapata hao Madereva wa Treni.

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 11 місяців тому

      Madreva wa treni wanawake wako wengi sana tu labda wewe ndio hujawaona

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 11 місяців тому

      @@josephstephen2047 wako wapi madereva wanawake si wawaonyeshe, ona madereva hao ni wazee ukute hata uwezo wa akili Na kuona umepungua

  • @abroadconnectededucationlt5435
    @abroadconnectededucationlt5435 10 місяців тому +1

    all respect to MAGU

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 11 місяців тому +2

    Kwani gari likiwa na uwezo wa kutembea km 200 kwa usalama ni lazima uende zote 200. Zingatisni usalama pia. Hakuna mwenye haraka kiasi hicho.

  • @karimkondo3449
    @karimkondo3449 11 місяців тому +1

    Nawashauri TRC muongeze picha ya mnyama kama ville swala kwa mbele kwenye nembo yenu. Tuendelee Kutangaza vivutio vyetu

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 11 місяців тому +5

    Nashauri huduma itakapoanza kutolewa mashabiki wa SIMBA tutengewe mabehewa yetu ili tusijichanganye na UTO

  • @pabliz_
    @pabliz_ 11 місяців тому +3

    Rest in peace Magufuli

  • @shakaurembo477
    @shakaurembo477 11 місяців тому +2

    Umeme wenyewe usije ukatukatia njian 😅

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 11 місяців тому

    Yeah! Big up TRC.Big up the URT.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 11 місяців тому +3

    Watanzania wenzangu naomba tuwe Wazalendo na kumuungauunga mkono Mheshimiwa Rais Dokta Samia katika Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Nchini. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @benimlisa6056
      @benimlisa6056 11 місяців тому

      Tatizo lipo kwenye shirika. Loose cargo ikifika tu siku ya kwanza siku ya pili wanaanza kuiongezea gharama na kwenye lisiti hicho kitu akijahainishwa. Hawa watu wakupeleka mahakamani.

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 11 місяців тому

      Kwendraaaa zaakoooooo

    • @talilmluchagula417
      @talilmluchagula417 10 місяців тому

      Unatafuta iteuzi au? Hili ni wazo la magufuli sio mama

  • @hallin9561
    @hallin9561 11 місяців тому +1

    waTrain vijana, wazee wapumzike

  • @starjay3052
    @starjay3052 11 місяців тому +2

    mtu kaachwa na mke wake uko mnampa aemdeshe tren subilini muone

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 11 місяців тому

    kazi zenyewe mnagea geana geana kijomba jomba 2

  • @GeraldMswazi-bp2kw
    @GeraldMswazi-bp2kw 10 місяців тому

    Anaye liongoza Gari la moshi anaitwa kandawala

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 11 місяців тому +2

    Serikali ipewe maua yake 🇹🇿

  • @Robert-p7c1k
    @Robert-p7c1k 10 місяців тому

    Vichwa vya kuchomgoka viko wapi?😂😂😂

  • @sajigwelunogelominga2446
    @sajigwelunogelominga2446 11 місяців тому +1

    Ongezeni madereva wenye umri wa kati wawe wengi maana naona wengine wanakaribia kustaafu

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 11 місяців тому

      Akili za matope za kibonge yaani watanzania huko waliopewa dhamani wana upeo mdogo sana wa kufikiri hata haifikirii hawa wazee wamechoka hata ku adapt new technology issue Na soon watastaafu , ila imejaza wazee wakati wako vijana smart sijui akili hii imetoka wapi

  • @DayoMarando-dz9bh
    @DayoMarando-dz9bh 10 місяців тому

    Kumbe madereva wenyew ni leaner

  • @sylvianm3170
    @sylvianm3170 10 місяців тому

    Wow

  • @aqudreamer
    @aqudreamer 11 місяців тому

    Kwanini musifundishe vijana wadogo . Madereva wakuwe wazee

  • @VENANCEAUGUSTINO
    @VENANCEAUGUSTINO 11 місяців тому

    Bora muache,tunataka usafiri sio maneno

  • @Cruxtrend
    @Cruxtrend 9 місяців тому

    Kumbe the Tanzanian Train is as ugly as that of Kenya ..i thought it would be something better as the PR potrayed in TZ ...lol!

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 10 місяців тому +1

    R.i.p JPM

  • @VENANCEAUGUSTINO
    @VENANCEAUGUSTINO 11 місяців тому

    Mmmmmmh

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 10 місяців тому

    Gari sio tren

  • @josephkauki6094
    @josephkauki6094 10 місяців тому

    Madereva wazee sanaa

  • @josephsureeliajosephmion9997
    @josephsureeliajosephmion9997 11 місяців тому

    Mlizoea kuiba Diesel hapo mtaibanini mottor au!!!?

  • @elibarikinelsonnsenga3949
    @elibarikinelsonnsenga3949 10 місяців тому

    mzee kasema hii gari sio train.

  • @benimlisa6056
    @benimlisa6056 11 місяців тому

    TRC mnatapeli watu mizigo ya Mwanza inayokuja pale yard yenu

  • @OgivePeter-y7y
    @OgivePeter-y7y 11 місяців тому

    Mmmh

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 11 місяців тому

    Mbona wazee,,,vijana wako wapi???

  • @giftchristianmeela1409
    @giftchristianmeela1409 11 місяців тому

    Mkimaliza kutest mkizime maana umeme hautoshi

  • @starjay3052
    @starjay3052 11 місяців тому +1

    mjinga chacha wabongo wasipewe jamani aya

    • @davidanselmo4041
      @davidanselmo4041 11 місяців тому

      Wasipewe na train ni yakwao hapa na mimi najiandaa kuisomea kajinyonge nyoko wewe😂

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 11 місяців тому

    Mmechemka sana TRC kuajiri madereva wazee hawawezi kuwa Na uwezo mkubwa kwenye kuelewa, wazee wanasahau rahisi Na baada ya muda watastaafu au kuwa wagonjwa magonjwa ya uzeeni

    • @kambanimwanyulu7570
      @kambanimwanyulu7570 11 місяців тому

      Hapo siyo kuuza mandazi, huu ni uwekezaji mkubwa unao taka uziefu wa kuanzia mika 15 kazini, nenda merini uone kama kuna kijana anaendesha meli kubwa za abiria

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 11 місяців тому

      @@kambanimwanyulu7570 Mimi nakaa ughaibuni Na vijana kibao wanaendesha meli Na huku first priority ni vijana , wazee hao akili imechoka macho kuona kwa shida wengine hata kumbukumbu inaanza kupotea hawako sharp na mawazo mgando baada ya miaka michache wamestaafu na sio watu wa kujifunza wakaelewa vizuri technology vizuri , huko ndio maana mnakuwa masikini kwa kujaza wazee ambao kama hao wamejichokea hawana hata idea mpya na you can’t teach an old dog new tricks! Tembea duniani uone na kujifunza wazee sio watu wa kuwapa kipaumbele kama nchi inataka iende mbele kimaendeleo!

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 11 місяців тому

      @@kambanimwanyulu7570 sasa hao wana uzoefu gani wameendesha magari moshi ni tofauti Na treni za umeme vijana wange adapt vizuri ukute hao wazee hata smart phone ishu kutumia computer hawajui kutumia yaani zero kwenye technology Na kiingereza chenyewe cha shida au hizo instructions ziko kwa kiswahili au kisukuma?? Mwisho wa si mtakuja kuuwa watu wakorea wakiondoka kwa kuwakumbatia hao wazee !

  • @zuhurakhasimu969
    @zuhurakhasimu969 10 місяців тому

    Je umeme ndo umekatika ghafla?

  • @EmmanuelMwakyando
    @EmmanuelMwakyando 11 місяців тому +1

    Hao waendeshaji ni wazee ndio maana shirika linakuwa hakiendi kwa muda muafaka

    • @mcback4384
      @mcback4384 11 місяців тому

      Akienda kijana wa miaka 25 na mzee wa miaka 55 kuomba ajira ya udereva, yupi unadhani atapata kazi kwa haraka?

    • @EmmanuelMwakyando
      @EmmanuelMwakyando 11 місяців тому

      @@mcback4384 mzee automatically ndio kajadi kao waliko kaanzisha

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 11 місяців тому

      @@mcback4384nchi zilizo serious wangeajiri kijana wa miaka 25 ndio wako vizuri kiakili na wanafundishika

  • @aloyceandrew1855
    @aloyceandrew1855 11 місяців тому

    Good

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 11 місяців тому +3

    Pongezi kwa Mheshimiwa Rais Dokta Samia sasa Tanzania tunaelekea Uchumi wa Viwanda kwa maboresho katika Sekta hii ya Uchukuzi. Uchumi utakimbia kwa Kasi kubwa. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @MgasaEmanoeli
    @MgasaEmanoeli 11 місяців тому

    Mbona madereva ni wazee sasa

  • @rogersdavis3058
    @rogersdavis3058 11 місяців тому

    Shida umeme wenyewe

  • @amanzuberi2138
    @amanzuberi2138 11 місяців тому

    Umeme wa mgawo

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 11 місяців тому

    Dar - Moro safari zinaanza lini?

  • @georgehajji9790
    @georgehajji9790 11 місяців тому

    Sawa vijana hamna?

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 11 місяців тому

    Mshazoea kupeana peana kaz kijomba mnachukua wazee waliozeeka na kuendesha tren za mizigo mnawapa tren za umeme kwani vijana waliosemea udereva wa tren hakuna???kenge kabisa

  • @mfaumeabdul1004
    @mfaumeabdul1004 11 місяців тому

    Impressive

  • @julianmsele3880
    @julianmsele3880 11 місяців тому

    lot 3&4 imesimama mjue

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 11 місяців тому

    Train ya mizigo au!!?

  • @lizyonce7414
    @lizyonce7414 11 місяців тому

    NAOMBENI KAZI NDUGU ZANGU

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 11 місяців тому

    WA TZ TUACHE ICHOKO KILA KITU KULALAMIKA TU DAH

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 11 місяців тому

    Mbona madereva ni wazee mngeajiri vijana ambao akili yao bado Iko imechangamka na uwezo wao wa kuona ni mzuri . Mbona hatukuona madereva wanawake ?

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 11 місяців тому

    Nyie TRC hamna hata maana mbona kundi hilo la madereva ni wazee Na kwa Mimi wote ni wanaume , madereva wanawake wako wapi ?

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 11 місяців тому

      Unataka kijana aendeshe huku anawaza kuma

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 11 місяців тому

      @@mayaally2512 sio kweli vijana akili zao ziko fast na wanafundishika kiurahisi ni watu wa ku adapt kirahisi technologia mpya, wazee wamepitwa na wakati

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 11 місяців тому +1

    Madereva wanawake wako wapi ?

  • @RajabuShaibu-m6d
    @RajabuShaibu-m6d 11 місяців тому

    Madelev wenyew wazee watapotez uwezekano wa kuona

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 11 місяців тому

      Kabisa mkuu wangeajiri vijana wanaume Na wanawake na kuachana Na wazee

  • @almasrwamiye5042
    @almasrwamiye5042 11 місяців тому

    Safi sana hongera mama Samia Suluhu Hassan

  • @starjay3052
    @starjay3052 11 місяців тому

    uyo deleva mwenyewe mbona mzee ataona macho kweli sema ndio ivo kama alivosema roma wanapeana kindugu mwanangu kua uyaone uje umtunze mama ako kweli hii ndio tanzania ❌🚯

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 11 місяців тому +1

      Nenda wewe ukapate mafunzo

    • @starjay3052
      @starjay3052 11 місяців тому

      @@elinamilyatuu7337 ata enda mama ako kum* mamako 🖕

  • @IconIcon-yz5vm
    @IconIcon-yz5vm 11 місяців тому +1

    Mbona ma dreva wa zee vijana wapo wangapi maana hii nchi 😢😢😢

    • @saidsobongo912
      @saidsobongo912 11 місяців тому

      Muhimu usafr naufika hyo habr ya wzee iache...maana hata baba yako nimzee lakn anakutafutia kula nawaenda choon kwahyo wacha makasiriko

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 11 місяців тому

      @@saidsobongo912hapana sio sahihi wazee akili yao imechoka

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 11 місяців тому

      Na sikuona madereva wanawake Pia yaani imejazana mizee tu itakuwa wapeana ajira kindugu

    • @nassirpemba9763
      @nassirpemba9763 11 місяців тому

      ​@@saidsobongo912ishu sio kufika, ishu ni hio technology ibaki tz isije wakorea wakiondoka na taaluma yao,wazee wanasahau mapema na wanachelewa kuelewa mambo ya kisasa

    • @saidsobongo912
      @saidsobongo912 11 місяців тому

      @@nassirpemba9763 uko sawa kimawazo lkn hao wazee ndio wanao ongoza nchi hao wazee ndio watoaji ushayri katk mambo y kijmii hao wazee ndio wanazngtia kazizao na kujal watu kuliko vijn
      Naukizungatia mtu alie wateuwa hao wazee kwa hajzngtuia umr bal amezngtia elimu zao py umahri wao tkta kz
      Hao Vijana lazma watakuwo ktk madereva 30 walio fundishwa kwahvo hao niwazee we tusiwe na sha

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 11 місяців тому

    Wewe mzee na weee ni chawa hivyo vichwa akili yako inakutuma kuwa no vichwa vya kisasa kweli acha upumbavu wako wewe unatufanya sisi wapumbavu Kama wewe?

    • @jumaabas6837
      @jumaabas6837 11 місяців тому

      Wabongo tuweni na akili kidogo muundo wa kichwa ni kwa ajili ya kupamba tuuu kuchongoka kwa kichwa sio uwezo wa treniii

    • @vintagemusicgroup9236
      @vintagemusicgroup9236 11 місяців тому

      @@jumaabas6837kinachowashinda kuleta treni za mchongoko ni kipi hasa?!

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 11 місяців тому

      ​@@jumaabas6837pia wengine wanataka vichwa vya kuvuta Mabehewa ya Mizigo viwe Kama vya Mabehewa ya Abiria.

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 11 місяців тому

      Wapuuzi hawa wamejaza wazee wangeajiri vijana