Kuna watanzania wengine akili zao ni nzito sana haya mabehewa ni ya reli ya zamani (MGR) na yale kumi na nne ni ya SGR sasa watu kwa uzuzu wao huchanganya vyote pamoja
@@allyhassan8357 angalia ndugu kuna tofauti kati ya SGR na MGR hakuna siku mabehewa ya SGR yanaeza pita kwa MGR sasa ukiniambia kuwa kuna maandishi ndani ya hayo mabehewa yanaonesha kuwa ni SGR ninakuwa sikuelewi kabisa ....halafu nukta ya pili ni kwamba haya mabehewa ya MGR ni 22 na yale yalioshushwa ya SGR ni 14 kama hatujui mambo ni busara kuuliza wanaojua na sio kujitia wajuaji kupita kiasi au vyema kunyamaza kabisa.......karudie video za mabehewa ya SGR 14 kwa umakini utaelewa
Safi sana, lakini nina maoni kidogo tuu, Hili ni shirika la Umma, na mngependa habari kama hizi vyomba vya habari vingine viweze kutumia, so sijaona sababu ya TRC kuweka logo kila mahali as if wana compete na na media house nyingine kupata habari Exclusive. Tuwaombe msiwe mnaweka logo kila mahali esp ya katika katika. Ili mrusuhu media nyingine kutumuia materials hayo kuzalisha habazir zaidi na kupromote shirika letu zaidi.
Hongera kwa Uongozi huu wa awamu ya 6 kwa kujali wananchi, Mwenyezi awape nguvu ,maharifa na uadilifu viongozi wote wanao msaidia Mhe Rais , tukiwa na iman na tukishirikiana tunaweza kufikia malengo yetu
Mlituchanganya mlipo tuambia kuwa ni sgr watanzania walistuka kidogo so kwa Sasa tunapo ona Ina fanya kazi kwenye mgr hapo tuko sawa ila sgr tulisha ambiwa na Mzee Magu ni ya umeme.
MUNGU anawaona kwakweli mara ooooh! ni za mwendokasi ng'ong'ong'o kumbe niza kwenda kigoma ooooh! MUNGU wangu watazame watu hawa hawajui walitendalo wana shindwa kuwa wakweli
Yote kwa yote basi mkarabati basi na stesheni zenu TRC ziwe za kupendeza hata kama majengo ya mkoloni mnaweza kuyaboresha yakawa ya kuvutia kama stesheni ya Tanga daah
Washauri waandike LONDON QUEEN ili ufurahi na akili ya kutawaliwa huwezi kubadirisha jina la kweli kisa behewa. mpya jamani amkeni huku ulaya wazungu wanaish tofauti na munavyowaona kwenye TV
Kuna watanzania wengine akili zao ni nzito sana haya mabehewa ni ya reli ya zamani (MGR) na yale kumi na nne ni ya SGR sasa watu kwa uzuzu wao huchanganya vyote pamoja
ndani kwenye siti za abiria pamoja na screen maandishi ni SGR
@@allyhassan8357 angalia ndugu kuna tofauti kati ya SGR na MGR hakuna siku mabehewa ya SGR yanaeza pita kwa MGR sasa ukiniambia kuwa kuna maandishi ndani ya hayo mabehewa yanaonesha kuwa ni SGR ninakuwa sikuelewi kabisa ....halafu nukta ya pili ni kwamba haya mabehewa ya MGR ni 22 na yale yalioshushwa ya SGR ni 14 kama hatujui mambo ni busara kuuliza wanaojua na sio kujitia wajuaji kupita kiasi au vyema kunyamaza kabisa.......karudie video za mabehewa ya SGR 14 kwa umakini utaelewa
Safi sana, lakini nina maoni kidogo tuu, Hili ni shirika la Umma, na mngependa habari kama hizi vyomba vya habari vingine viweze kutumia, so sijaona sababu ya TRC kuweka logo kila mahali as if wana compete na na media house nyingine kupata habari Exclusive. Tuwaombe msiwe mnaweka logo kila mahali esp ya katika katika. Ili mrusuhu media nyingine kutumuia materials hayo kuzalisha habazir zaidi na kupromote shirika letu zaidi.
Very nice mashalaah,
Hongera kwa Uongozi huu wa awamu ya 6 kwa kujali wananchi, Mwenyezi awape nguvu ,maharifa na uadilifu viongozi wote wanao msaidia Mhe Rais , tukiwa na iman na tukishirikiana tunaweza kufikia malengo yetu
Huu usafiri nimzuri Sana nawapongeza viongoziwetu Sana mungu ibariki tanzania
Haya mabehewa nimazuri Ila ustaarabu ukikosekana tu yatachakaa ndani yamiezi mitatu.
Hongera kwa awamu ya 6 kufanikisha mradi huu, natumaina bado mengi makubwa yanakuja🙏🏿
tokea wapi
🙄🙄🙄🙄analogy
Mradi upi unanaosema umekamilika?haya mabehewa yanatumika kweny MGR, sasa sjui unamaanisha nini
Wow nice movie !! 🚂🚃💈🚃💈🚃💈🚃💈🚃💈🚃💈🚃💈🚃💈🚃🚂🚂
Mkiwa na viongozi mnapeleka treni kwa wakati ila bila viongozi mnaturefushia muda kweli
Kupiga rangi Station ya Kigoma ita cost kiasi gani? kuendana na mabehewa mapya
Watu wengine wanachanganya kati ya mabehewa ya SGR yaliyoletwa hivi karibuni na mabehewa haya ya MGR. Watoa habari fafanueni hili basi
WATANZANIA WAKATI MWINGINE TUWAGE NA SHUKRANI JAMANI,KILA JAMBO NA WAKATI WAKE HUKO TUNAPOPATAKA TUTAFIKA NAAMINI.
Mlituchanganya mlipo tuambia kuwa ni sgr watanzania walistuka kidogo so kwa Sasa tunapo ona Ina fanya kazi kwenye mgr hapo tuko sawa ila sgr tulisha ambiwa na Mzee Magu ni ya umeme.
Wewe ndo usikilizi maelezo!
Kupiga rangi station ya Morogoro ita cost kiasi gani?
Magufuli asingenunua uchafu kama huo kwa billion 2 kila coach. Humo kuna kitu gani cha ajabu cha kununuliwa kwa 2Billions?
Masaaa Manne Mpaka Morogoro
MUNGU anawaona kwakweli
mara ooooh! ni za mwendokasi ng'ong'ong'o kumbe niza kwenda kigoma ooooh! MUNGU wangu watazame watu hawa hawajui walitendalo wana shindwa kuwa wakweli
Ile ya kaskazini Iko wapi? Nauli ya basi ipo juu maisha magumu
Mngesema mabehewa ni ya mgr mapema Wala msinge laumiwa mngesifiwa kinomaaa
Sana
Kweli kabisa. Communication ni muhimu, na timing yake ni muhimu zaidi.
Shida ni kwamba wewe siye msikilizaji makini. Ungekuwa makini tangu mwanzo wakati mabehewa yanashushwa usingeshangaa!
SAWA TUNASHUKURU ILA UKWELI UTABAKI KUWA "ANGEKUWEPO JPM BASI UNGELETWA USAFIRI WA VIWANGO ZAIDI YA HUO"
Hatuwezi kujua. Tumwache apumzike mzee wetu JPM.
Masaa manne Moro si bora upande bus amna kitu apoo
Amina 🙏🏿
WEKENI first ambayo ni kwa akili ya familia au mtu mmoja pekee hata kama itakuwa bei kubwaa
Huu ujinga treni haina muda maalumu waninga kweli
Washaanxa kuning'iniza mikate ikilidu chupi za watoto
Ratiba zasafali
Yote kwa yote basi mkarabati basi na stesheni zenu TRC ziwe za kupendeza hata kama majengo ya mkoloni mnaweza kuyaboresha yakawa ya kuvutia kama stesheni ya Tanga daah
Shida wanasema hayo mabehewa ndio ya SGR
Hapo ndio tatizo
Hakuna deluxe wala nini ni ujinga tu
Watu wa Kigoma ni washenzi watayaharibu tu, Yale mengine wameshayaharibu pamoja nakuwa yalikuwa recondition
Nadhani hizo karatasi za nylon kwenye viti zilifunika kwa muda tu hivyo wafanyakazi TRC mziondoe
Uchafu mtupu ..hivyo ni vyuma chakavu vilivyo pigwa polish
Are they not new carriages? Are they refurbished?
NAOMBA KUULIZA, KWANI HAYA MABEHEWA NI YA SGR au MGR?
MGR
Ya SGR yalikuja lakin machache
Kwani unayaona yanapita kwenye reli ipi?Mbona watu wengine hamuwezi kutumia akili kufikiri?
Behewa sio mpya, ni recondition, muwe wakweli
Hizo ni mpya kabisa acheni nongwa unawasikiliza wapinzani
Wewe ulishiriki kuyafanyia ukarabati?
Fala ww.Wachawi huwa mpo tu.Reconditioned inakuwa katika hali hii?
Mambo yote ni mapya. Ninaomba ombi langu badala ya mabehewa kuandikwa TRC ipatikane jina tofauti ili kubaini chombo hiki ni mfumo wa kisasa.
Washauri waandike LONDON QUEEN ili ufurahi na akili ya kutawaliwa huwezi kubadirisha jina la kweli kisa behewa. mpya jamani amkeni huku ulaya wazungu wanaish tofauti na munavyowaona kwenye TV
TRC maana yake Shirika la Reli la Tanzania (Tanzania Railway s Corporation,) kwa kimombo. Wabadili liitweje? Pendekeza.
@@josephwilliammnyune5464 bongo wanajua Kila kitu