#21- MZIGO - MAU MPEMBA - FUMBUA MACHO
Вставка
- Опубліковано 8 лют 2025
- #MauMpemba #KomboKichwa #VitukoZanzibar
Furahi na jifunze na vichekesho vya Mau Mpemba. Mau Mpemba ni msanii wa Zanzibar anaejulikana sana kwa aina yake ya sanaa ya maigizo kwa kutumia asili yake ya Pemba. Kwa kushirikiana na wasanii mbali mbali Tanzania, Mau Mpemba anasisimua na kuvunja mbavu za watu wengi wanaopenda aina yake ya maigizo.
Aina ya sanaa anayofanya Mau Mpemba ni mfano wa kuingwa kwani, anatumia kile kidogo alichonacho ili kufurahisha na kuelimisha pia.
Ukihitaji kuunga mkoni harakati za wasanii hawa ili waweze kuleta furaha kila siku katika jamii zetu, hakikisha unatangaza biashara yako au kutoa ushauri wako kupitia.
+255 777 001500
Watatu nipo hapa shusha laik
Heeee mau wadaiwa lipa ps zawatu
Mm fro from Iraq napenda sana movie zenu nzuri
Mm wakwanzaa leo 😂😂😂😂👍
Hii sehemu ya mwisho kat ya mwiny na mau.mmmmmmmh mwiny apewepongezi zake
umeua mzee mwinyi hhhhh Mungu akuongoze zaid
Kazi nzuri sana
Nami from united Arabic Emirates
Dah funzo 😢😢😢
Wa mwanzo jamani like zangu naombeni from Omani 🇴🇲🇴🇲🇴🇲
A.alaikm
@@othmanalnabhany3208 walaykum salam warahmatullah wabaraqatul
Tushakupa❤🎉😂
Oman iyo kwiyo
Ww za nini?
dongo nakupenda tena ukiongea
Tuwe makin San na viapo jaman kiukweli viapo baadh ya wakati vina matatizo tujitahidini sana na ALLAH atusaidie
Dongo nakupenda kwa ajili ya Allah.
Thanks
all the way from qatar..tuko pamoja
Kanga ya warda nzry imekaa km embe
"Msohili ana Lile" yaan zmefnn khasswaaa
Na mm nili hisi ni embe kumbe silo
Mau lipa pesangwaaaa😂😂😂😂 kunnasa kweny tundu bovu la mzee mwinyi
shukran
Vzr san
HIKMA KUBWA KUTOKA KWA MZEE MWINYI 🙏🙏
Mtu mzima dawa mtumzima hekima asanteni sana
nawapenda sana wapemba wenzangu❤️
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌 Mau ameingia choo Cha mzee mwinyiiii.
Thank you nakubali sana kaka kazizako nana zifuafilia kwassna tuu ww hodari Mungu akupe mafanikio mema❤❤❤❤❤❤❤
Huu hasa ndio mdomo wa kipemba
Fantastic! Imeisha iyo bwan Makame umefanya ndivyo hasa. 🎉
Napenda wanawake wakiishi hali ya kua wamejistiri
Saf xna
Nimecheka eti akakae kitako alipomkopesha pesa😂😂😂😂
nzur zote mshall
Uyo mke wa dongo ana sauti ya makunde au ni ndugu😂
From UK 🇬🇧
Naomba upo sawa ila jitahidni kidg kupanga filam kw fomla maana mara hii kdg nzr zna pendz maashaah
Awaka moto mdomoni
Hahahahhahahaha mauuuu sikaribu hajafika saiv.
Hongeren
Mpo vizuri
Wallah wapemba nawapongeza mnalafdhi tamu haki
Ndio kiswahili fasaha hicho mzee
Waakharamu nyi 😅😅
Mashaallah Mungu akupen nguvu mafunzo mazuri san
Nimekumbuka hichi kisa kwa sheikh Othman Maalim. Mwinyi nimekuelewa
Naomba na dogo mupo vizur
**Kazi nzr sana**
Mijichoye
Great
Wamuogopa mijichoye hhhhhh
Asubuthuuuuuu afiki ata kwa mikwaju😂😂😂😂
Nice
hhehehehe adaiwa kweli kumbe
Safi sana ❤❤❤❤❤❤
😊😊😊😊😊😊❤❤
Hatupoi
Yaani nynyi jamaa kwa kweli mnaniburudisha kiukweli nina zawadi yenu naomba contacts zenu please
😂❤❤❤❤
Mashaalah😊
Mau nitaftie mke uko ile asije kuwa mkekewa
**watakiwa uipiganie hakiyo mpka dakika yamwisho**
Dongo kumbe pesa unayo basi mkopesha namiye haaaaaa wemau weye ndege njanja hukamatwa ntundu bovu
Eti wenye kazi wakiaga wage vip😅😅😅
❤❤❤
😂😂😂mtumzima dawa jamani
hiii kweli
Fikra ya kisa imekopiwa ktk kitabu flani nilisoma zamani tu.
Niktayar
😆😆
mamb zenu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Dah nimecheka kufaaaaa eti assalala hasubutu ata kwa mikwaju sikaribu ati
Dongo badilisha kikanzu🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Hhhh
😂😂😂
28
Nice