Vizur sana ila jitahidini upana wa bara bara uko ovyo sana sheria yenu mbovuu et upana mita 15 kutoka katikati mita kumi na tano ni ndogo badilishen sheria ndo mana mnasema barabaran kuchafu mana watu wanajenga chini ya barabara mita muloweka ni ndogo mnoo uchafu hautokwisha ikiwa nyumba zipo chini ya barabara
Tumepoke wazo lako pia Mamlaka husika itawafikia na watalifanyia kazi. Kikubwa share hii video kwa wapenda maendeleo wote ili Na wao watoe Mawazo katika kujenga Zanzibar bora
Fly over tunaweza kujenga mji mzima na mjunba masuri watu tusilale na njaa tuishi tukiishimiana na husuda tusihudiane mamlaka kamili dodira yetu. Kilamzanzibar tukatae kutawaliwa na tanganyika jina wamejita Tanzania kumbuka kama kuungana Kwa nn nchinyengine zisilete maombi kwenye mungano huu tambua haufai tumetawaliwa chukua hatua kataa mungano huu wa ukandamizaji
Safi sana
Nimeshamkubali sasa
tunapenda kuona viongozi wakitekeleza ahadi zao hongera dr.mwinyi endelea kutuletea mafanikio na maendeleo zanzibar
Hongera d mwinyi
🤝🤝🤝 Tunatakiwa kumpongeza Raisi wetu kwa Maendeleo Anayo tuletea Zanzibar
Ndoto ya wazanzibar ni mamlaka kamili ya kujiamulia mambo yake mwenyewe na sio fly over wala mabarabara hayo ni mambo ya lazima
👏👏👏
Na asingejenga pia mngelalamika
Vizur sana ila jitahidini upana wa bara bara uko ovyo sana sheria yenu mbovuu et upana mita 15 kutoka katikati mita kumi na tano ni ndogo badilishen sheria ndo mana mnasema barabaran kuchafu mana watu wanajenga chini ya barabara mita muloweka ni ndogo mnoo uchafu hautokwisha ikiwa nyumba zipo chini ya barabara
Tumepoke wazo lako pia Mamlaka husika itawafikia na watalifanyia kazi. Kikubwa share hii video kwa wapenda maendeleo wote ili Na wao watoe Mawazo katika kujenga Zanzibar bora
Fly over tunaweza kujenga mji mzima na mjunba masuri watu tusilale na njaa tuishi tukiishimiana na husuda tusihudiane mamlaka kamili dodira yetu. Kilamzanzibar tukatae kutawaliwa na tanganyika jina wamejita Tanzania kumbuka kama kuungana Kwa nn nchinyengine zisilete maombi kwenye mungano huu tambua haufai tumetawaliwa chukua hatua kataa mungano huu wa ukandamizaji
👏👏👏 Tuwe wavumilivu