Nimefurahishwa na ubunifu uliozingatia urithi wa Mzanzibari, ni mategemeo yangu kwamba architectural design za majengo yetu yote yatatoa taswira ya urithi wetu.
Zanzibar ndio matatizo yenu jambo dogo tu munatabia ya kulikuza sana na kulifanya kubwa mno hali halipo hivyo.Zanzibar kwa mtu ambae hajawahifika anaweza kusema ipo juu sana kimaendeleo hasa ya kiuchumi lakini sio hivyo kabisa isipokuwa bwebwe nyingi tu .
Wazanzibar acheni mbwembwe kwajengo gani sasa eti litakuwa lakwanza Africa na dunia kwa ujumla kwajengo gani sasa jengo lenyewe limekaa kama hekaru la mfarme suleimani acheni ushamba bana mnatuaibish
Unalalamika wakati serikal Wakuu wa juu wote kutoka pemba wanajua sababu ya kufanya hivyo maana waluvyo kuwa kina sefu Ali idi watu waliona labda waunguja wanajipendelea kumbe sivyo ilivyo..saivi Serikal wakuu wa mamuzi wote kutoka Pemba ila pia unasema inajengwa Unguja pemba haijegwi sasa waulize wenzio, Katibu mkuu kiongoz, makamo wa 1 na 2, makatubu wakuu, wakutugezi, ao ndio taktiban asilimia 90 ni Wapemba sasa wao wanajua sababu ya hivyo
Asante kwa kuendelea kufatilia habari zetu. Ni eneo maalum la kufikia wageni mashuhuri wakiwemo wafanyabiashara na watu mashuhuri wanapofila znz kiualii na kibiashara ikiwemo na utalii halal
Jengo Pekee Africa 😂😂 Have ever been travelling out Zanzibar ? Stop Lying Ogopa M/Mungu Hayo Ni Mabanda Ya Farasi Sio VIP . Ufisadi Kwenda Mbele . What are Jokes 😂😂😂
superb!
Nimefurahishwa na ubunifu uliozingatia urithi wa Mzanzibari, ni mategemeo yangu kwamba architectural design za majengo yetu yote yatatoa taswira ya urithi wetu.
Ila muandishi Mungu anakuona kwa kweli daaaah
Zanzibar ndio matatizo yenu jambo dogo tu munatabia ya kulikuza sana na kulifanya kubwa mno hali halipo hivyo.Zanzibar kwa mtu ambae hajawahifika anaweza kusema ipo juu sana kimaendeleo hasa ya kiuchumi lakini sio hivyo kabisa isipokuwa bwebwe nyingi tu .
Wabara ndio mnatukandamiza
Umeongea ukweli ❤❤❤
punguza chukiiiiiiiiii shehe
Teachie na zanzibar yetu
Tuachieniiiiiii
Barabara ya mkowaniiiiiiiii😂😂😂. Kwaiyo hosenii naee haonii
Kisiwa cha wanyonge pemba kimekosa nn Jamani.
Wazanzibar acheni mbwembwe kwajengo gani sasa eti litakuwa lakwanza Africa na dunia kwa ujumla kwajengo gani sasa jengo lenyewe limekaa kama hekaru la mfarme suleimani acheni ushamba bana mnatuaibish
Liko eneo gani hili jamani tujiandae?
Sijaelewa kaandika kizungu
Uwanja Wa Ndege Zanzibar
Lina sifa gani za kipekee?
Mnajenga unguja tu pembaaa mmekuwachaa😢
Tutajengaje pemba wakata wapemba wote wako unguja
Unalalamika wakati serikal Wakuu wa juu wote kutoka pemba wanajua sababu ya kufanya hivyo maana waluvyo kuwa kina sefu Ali idi watu waliona labda waunguja wanajipendelea kumbe sivyo ilivyo..saivi Serikal wakuu wa mamuzi wote kutoka Pemba ila pia unasema inajengwa Unguja pemba haijegwi sasa waulize wenzio, Katibu mkuu kiongoz, makamo wa 1 na 2, makatubu wakuu, wakutugezi, ao ndio taktiban asilimia 90 ni Wapemba sasa wao wanajua sababu ya hivyo
@@Dranka186wapo tele watu usiseme wapemba wote wapo unguja
Jishauweni tu muwadanganye wasioona vioo na viti ni Sawa na nguo ya mtumba iliovaliwa ikatupwa
Mbona pemba mmeitupa sana hakuna maendeleo yoyote wamekukoseeni nini mpaka ikawa hampeleki maendeleo
Umelala wew, pemba ya saiv sio ile unayoikumbuka wew
Hata wanapajua Pemba haw maraisi wa unguja
Pemba wapinzani ila unguja pana na ndugu zetu wa damu kutoka Bara😂😂then Pemba ni Zanzibar musium ni urithi wetu haipendez kufanywa maendeleo😅
Nnyie wenye wapemba hamjengi kwenu ss tutanzaje kupeleka mandeleo kwa haraka
Wapemba muache lawama muanze wenyewe kujenga pemba serekali ifate mapori matupu mnajenga unguja ndio ulaya yenu
Ety na DUNIA 😂😂😢😂😢😢😂😢😂
Kwan huu ni uwanja wa wapi?
Uwanja wa Amani Zanzibar Airport
Lounge ndio nini? Me sijafaham
Hehehehehehe atuambie
Asante kwa kuendelea kufatilia habari zetu. Ni eneo maalum la kufikia wageni mashuhuri wakiwemo wafanyabiashara na watu mashuhuri wanapofila znz kiualii na kibiashara ikiwemo na utalii halal
@@isleblogTv Asante nimepata uelewa sasa
😢
Kwanza hapa NI UWANJA WA NGEGE AU SIJAFAHAM
Ndio wa Zanzibar wa kisasa kuliko huu wa kwetu wa Dar
Safi sana
Ipo sehemu gani hiyo
uwanja wa ndege unguja. sehemu ya ndni ambayo wanatumia wageni mashuhuri kama maraisi na wakuu wa nchi
Pia ndio nchi yenye njaa Kali raia wake
Umesikia wat wamekuf kwa njaaaa
@@naaaboud2371 subiri afe babaako
Uzushi mtupu hapana wala hayupo kwenye ukweli huyu jamaa ameandika ili tufungue video yake.......
Mbona fupi
Jengo Pekee Africa 😂😂 Have ever been travelling out Zanzibar ? Stop Lying Ogopa M/Mungu Hayo Ni Mabanda Ya Farasi Sio VIP . Ufisadi Kwenda Mbele . What are Jokes 😂😂😂
Wazanzibari wacheni sifa za kijinga,hamna lolote
Mbona kipovu mzee shida n nn kwani ndg