Brother musiba mungu akulinde we ni shoka big up huna unafik Kama walio nao wapuuz wengne hawana msimamo mwanaume yakupasa kuwa na msimamo c kunyekea wenye au kuogopa mtu musiba aisee hongera saaaana
Pole sana musiba kwakukosa check and balance Hujafa hujaumbika Sasa ujifunze kwa kiherehere chako Siku zote anaemtegemea mtu badala ya mungu amefeli sana
Hongera Musiba na poleni sana wazee. Mwanafalsafa aliwahi kusema historia huandikwa na mshindi.Wazee na vijana wao wameandaliwa mtego wakaujaa kirahisi. Ilikuwa ni kiasi cha kuwasubiri wawasiliane kwa simu tu. Sasa tushajua matatizo yetu yote tangu tupate uhuru kasababisha nani! Hizi zote ni harakati. Sio za 2020 bali za 2025. Kuna kambi imeingia kambini mapeeema.
ndugu watanzania wazalendo tuseme ukwel wa mungu ktk watanzania wazalendo na waliojitoa kutetea nchi huyu musiba yumo ebu tunamuunge mkono kwa kugonga like hapa kum-suport yan tumtie moyo.
Kwa kweli nashauri mmojawapo kiongozi mkuu mwandamizi wa CCM ajitokeze hadharani aombe radhi watanzania kwa kulea wezi, mafisadi na walanguzi. Hongera JPM
Katika mtu ataingiza nchi kwenye vita ni huyu Musiba. Bada ya Lusifa/Shetani kuona Tanzania haijawahi kumwaga damu ameamua kumtumia Musiba kutimiza lengo lake. Kwa kuwa akili za Watanzania ni finyu sana wanashangilia maneno ya Musiba wasijue huyu katumwa na Shetani kuwaingiza Watanzania vitani. Musiba amekuwa akiwasema watu hadharani asijue kuwa watu kama akina Slaa walikuwa katika vyama vya upinzani. Atuambie yeye yuko chama gani cha upinzani mpaka awataje watu hadharani wakati anajua kabisa hao anaowataja wana familia na wana ndugu. Hivi mtu anapotaka kugombea uongozi nchi hii kitu gani kinamzuia wakati katiba inakubali. Kila Mtanzania anaruhusiwa kukopa Bank hata kama ni kiongozi. Kinachotutesa Watanzania ni kuogopa kukopa. Wenzetu wa kanda ya Kaskazini wameendelea sana kibiashara mpaka kuitwa Mafisadi na Magufuli. Huyu Rais amerudisha wafanya biashara nyuma sana kwa kuwafilisi na kuwasingizia ufisadi. Tanzania haya yakiendelea lazima zipigwe tu. Muulizeni Magufuli moshi uliojitokeza akiwa kusini ulitoka wapi. Huyu amuongezee tu Magufuli maadui akijidai anamfanyia kampeni kumbe anamuongezea maadui. Waache wakuhurumie maana wana Dini.
Dah Musiba. Nakuunga mkono. Wazee hao waje kujibu hoja. Kila mtu atakufa lakini namuombea maisha marefu rais wangu na wale wote wanaotaka kuinyoosha nchi.
Supiriani majula msiba,nakupa hongela sana kwa yote ulie kuwa unae yasema KILA mala mimi niko tayali nikutafte kulingana na wewe kwa ajiri ya kutetea Taifa letu,naomba niruhusu nikutafte
Mama yetu SAMIA SULUHU HASAN RAICE WA JAMHURI YA MUNGANO. AMTEUWE HATA KUMPA UWAZIRI HUYU JAMA ANAUZARENDO WA DHAT NA ATAKUSAIDIA. AMA ANGALIE MAHAL PAKUMUWEKA. MUNGU BARIK TANZANIAN MUNGU BARIK AFRICA
Mama Samia mpe zawadi Musiba na mpende kwa taarifa zake tale yaliyomkuta Msgufuli na wewe yamekukuta Mama umewarudisha lakini wamekusaliti wanataks Urais
Margarethpolepole una maana wasingekua wanazengea kiti chake angewaacha tu eti ee! Wananchi tumeshajua ccm hakuna yeyote mwenye kumuogopa Mungu atakayethubutu kuuachia utajiri abaki amepauka!!?
Kuna msemo 'kuvua watu nguo..ambayo inaeza kua ata shati.. Lakin hii sasa ni kuvua Boxers kabisa.. JE NIA NIKUREKEBISHA NA KUONDOA UFISADI kuonekana mzalendo AU KUDHALILISHA MTU DIRECT? Je isingekua busara ungeomba kuonana na wahusika ukayazungumza tu Privately? Ili nao WAPEWE NAFASI ya KUJIBU aya? Badala ya kutumia nitandao tena insonekana zaidi ya 10..
Ila kama nikwel haya jamani yasemwayo wenzangu wahali yachini tumuombeni mungu baada ya kifo chetu tupunguziwe kama sio kuondelewa adhabu mana tunateswa na mengi hapa duniani mungu tusaidie waja wko masikini
Shida viongozi wa ki Africa ni wanafiki sana,wakishiba ugali wanajisahau,halafu wanapeana ugali waokwao,mungu atusaidie,mama anawaapaje uongozi watu kama hao,au hajui
Mwaga mwaga umezaliwa siku moja na utakufa siku moja kwa kweli huo mtambo uliniathiri sana maana nilikuwa humo ndani nilisomesha watoto kwa shida mshahara tulikuwa tunalipwa shs 5000 tù kampuni ilikuwa inakombwa sana mungu awalaani sanaa sasa wanaumbuka adhabu haiko mbinguni iko hapa hapa duniani
tunakoelekea n hatar sana lakn haya mambo mbona mwanzo yalikua hayasemwi, mmi nafikiri viongozi mnatakiwa kujipangapo na kanchi huru haka inakuaje mtu akitoa ya rohoni ndio watu wanakuja na mambo haya, hivi wangekua hawajatoa waraka wao mambo haya hayasemwi, ( kuna katatzo hapo)
Wanafiki hawawezi kuisha huyu kijana anatafuta cheo hakuna jambo alilozungumza bila kumsifu raisi nikweli unachokipongeza lakini usitumie raisi kiwe kichaka cha kutikana watu
Unapo sema utaratibu wa kuleana haupo je hatua kali alizo chukuliwa ni huko kutenguliwa au, mbona mnapo ambiwa habari za katiba yenye ma shiko mnagoma na mko kimya sasa mnafikiri kwakutumia maneno mengi kwenye vyombo vya habari kunaisidia nini,na Taifa linazidi kuteketea ?
Musiba hawakuzoea waambie.. Na sali nikiombea hawa wote kina January, Kinana nk mkono mkali wa sheria na ukawe juu yao.. shame on them!!!! Magufuli for life, long live JPM
Kwa kweli nape kanitesa kuuza huo mtambo niliteseka sana kusomesha watoto niliuza maandazi samaki chapati ili wanangu wasome mungu walaani wote waliouza mtambo wa modern printers mtambo wa uhuru mungu toa jibu
Dahaaàe hatariiiii kasemae lakini mwiba ukikuchoma mguuni kutoka ulipoingilia acheni kujadili mtuu mmoja mmoja tunachahitaji ni siaasaa safiii isyo kwa ya matusii unafiki tuelezeni mtakachofanyia watanzania wekeni mpira uwanjani mupimwe CCM Chadema''' wazalendo CAF fainali tuta amua seye wapiga kuraaaaa Apo vipi
Musiba pole sana walikuonea. Munyonge hana haki wakakupoteza. January Makamba baada ya haya yote, akapewa uwaziri. Hii ni kuwatapikia watanzania
Brother musiba mungu akulinde we ni shoka big up huna unafik Kama walio nao wapuuz wengne hawana msimamo mwanaume yakupasa kuwa na msimamo c kunyekea wenye au kuogopa mtu musiba aisee hongera saaaana
Hongera unasaidiaje swala la bandari inatuuma sana watanganyika
Pole sana musiba kwakukosa check and balance
Hujafa hujaumbika
Sasa ujifunze kwa kiherehere chako
Siku zote anaemtegemea mtu badala ya mungu amefeli sana
Asante sana musiba unatuonyesha viongozi wenye sifa mbaya sana ninachoomba raisi wetu usituletee viongozi wasio waaminifu watatumaliza .
Hongera Musiba na poleni sana wazee. Mwanafalsafa aliwahi kusema historia huandikwa na mshindi.Wazee na vijana wao wameandaliwa mtego wakaujaa kirahisi. Ilikuwa ni kiasi cha kuwasubiri
wawasiliane kwa simu tu. Sasa tushajua matatizo yetu yote tangu tupate uhuru kasababisha nani! Hizi zote ni harakati. Sio za 2020 bali za 2025. Kuna kambi imeingia kambini mapeeema.
hihuqq
Kwa hili nakupongeza sana bro mungu akubarik
Wajumbe mlivyowanafiki bado mnamulewa musiba 2021😀
Du nilikosa mda vitu vya ukweli,msiba uko sawa nakukubali sana
ndugu watanzania wazalendo tuseme ukwel wa mungu ktk watanzania wazalendo na waliojitoa kutetea nchi huyu musiba yumo ebu tunamuunge mkono kwa kugonga like hapa kum-suport yan tumtie moyo.
Brother upo?? Kama upo fanya basi kwenda kumchangia izo bilion 6 mzalendo.
@@titorazalo2546 Musiba yupo na yuko salama 100% mnaomuombea mabaya kamwe hamtafanikiwa.anakula maisha
Hongera bro Musiba
Mwana wasu simama na Yesu kristo atakuonekea tu kwani msema kweli hupigwa mawe
Muunge mkono mwenyewe huyu msiba ni mhuni,,huyu huyu si ndo alikuwa akiwatukana watz wenzake kwakiburi kutoka kwa magufuli,,
Asante kaka kwakutufahamisha , sasa watu hao hawana nafasi tena katika nchi hii
Mungu akulinde na maadui kwakupigania haki ya taifa
Sana ililiwa sana sasa hivi wananchi wameamka kila alae hii nchi afe
Kk kk unanikosh daa sema sikuanza kukuelewa Leo tuka umeanza namungu ataukulinda na duwa zetu
Hongera musiba kwa hizo nondo.Tunaomba umsaidie Samia wanamsumbua sana watu hawa.
Kama namuelewa huyu bwana!! Mmmh,hatari sana.
Amina nimekupata Mr msiba hakika na kweli
Sema tu baba kuna mijitu mijinga bado tu haikuelewi achana Nayo.
Yaan kuna majitu mengi hayaelew
Mimi mmoja wapo ambae simuelewi huyu jamaa
wajinga tu ndio wanaojifanya kumuelewa
Kwa kweli nashauri mmojawapo kiongozi mkuu mwandamizi wa CCM ajitokeze hadharani aombe radhi watanzania kwa kulea wezi, mafisadi na walanguzi. Hongera JPM
Kina Zitto wanasema hao wanaosenwa ndio WEMA sio hawa wasasa
yap
Mmh haya bhana
my friend siasa ni mbaya sana pengine hata huyo anaeongea ni FSD
Katika mtu ataingiza nchi kwenye vita ni huyu Musiba. Bada ya Lusifa/Shetani kuona Tanzania haijawahi kumwaga damu ameamua kumtumia Musiba kutimiza lengo lake. Kwa kuwa akili za Watanzania ni finyu sana wanashangilia maneno ya Musiba wasijue huyu katumwa na Shetani kuwaingiza Watanzania vitani. Musiba amekuwa akiwasema watu hadharani asijue kuwa watu kama akina Slaa walikuwa katika vyama vya upinzani. Atuambie yeye yuko chama gani cha upinzani mpaka awataje watu hadharani wakati anajua kabisa hao anaowataja wana familia na wana ndugu. Hivi mtu anapotaka kugombea uongozi nchi hii kitu gani kinamzuia wakati katiba inakubali. Kila Mtanzania anaruhusiwa kukopa Bank hata kama ni kiongozi. Kinachotutesa Watanzania ni kuogopa kukopa. Wenzetu wa kanda ya Kaskazini wameendelea sana kibiashara mpaka kuitwa Mafisadi na Magufuli. Huyu Rais amerudisha wafanya biashara nyuma sana kwa kuwafilisi na kuwasingizia ufisadi. Tanzania haya yakiendelea lazima zipigwe tu. Muulizeni Magufuli moshi uliojitokeza akiwa kusini ulitoka wapi. Huyu amuongezee tu Magufuli maadui akijidai anamfanyia kampeni kumbe anamuongezea maadui. Waache wakuhurumie maana wana Dini.
Sawia kabisa
Asante sana baba
Ooooi nchi yangu Tanzania kuishaaaaa! Tuende wap cc mungu wangu.
Ahsante mungu atakusaidia sana mbona sasa hivi simu zote zinasikilizwa
Mmmmmh mungu akulinde wewe baba watakuzuru watu wengi binadam wachache ukweli siku zote unauma
Amepandishwa Leo hii Waziri mambo ya Nchi za nje CCM mtaleta vita nchini mwetu!!
Huyu jamaa Musiba naanza kumeelewa, yuko right kabisa!
Kweli bwana
Leta vifaa ijengwe reli ziwa victoria 😂😂😂
Hapo veeepeee
No comment for me today... We Musiba tukuache2 sababu kama ulivosema haya tunaugeni nayo kuyasikia... Lakini Mungu akutangulie Inshallah.
Jamaa anajiamin sana, huu ndio UANAUME KAMILIO SIO KULIALIA
😂😂😂😂 leo kiko wapi sasa fala tu huyo
uko vizuri,tupe ukwel
Msiba we mnafiki namba moja na ni mtu hatari hata maongezi yako Yana maegemeo upande mmoja na hajui tageti mi naona muogope mungu
Unajiskiaj na hali
Dah Musiba. Nakuunga mkono. Wazee hao waje kujibu hoja. Kila mtu atakufa lakini namuombea maisha marefu rais wangu na wale wote wanaotaka kuinyoosha nchi.
Hivi hii nchi ni ya watu wa aina Gani? Jifunzrni Kenya jamani ...Ukweli na uwazi ,hao ndio nani .asantee msiba kwa kuwaheshimu nguli wakuu wanchi hii
Vip Uamsho mbona hawajapata zamana mpaka leo ?
Ukweli hujitenga na uongo daima. Hongera Musiba kutoka kwenye microphone moja mpaka 20.
Ulikwa wapi mpaka tunaibiwa ndoo unasema sass?
Keep it up Musiba
@@ipyanamwakabana858 pp
Mwenzangu sura yako Leo iko wap Mana membe yuko hot .January ni wa moto nape wa moto
Supiriani majula msiba,nakupa hongela sana kwa yote ulie kuwa unae yasema KILA mala mimi niko tayali nikutafte kulingana na wewe kwa ajiri ya kutetea Taifa letu,naomba niruhusu nikutafte
Asante Sana nimekukubali wewe ni mwanaume uogopi kabisa
Mm nakuelewa sana kaka musiba ......timua vumbi timuaa
Ndugu umeiona ya January tu, mbona 1.5 trilion ya jiwe hukuisema ?
Mda mwingi SANA sijakuona kwenye midia
Mama yetu SAMIA SULUHU HASAN RAICE WA JAMHURI YA MUNGANO. AMTEUWE HATA KUMPA UWAZIRI HUYU JAMA ANAUZARENDO WA DHAT NA ATAKUSAIDIA. AMA ANGALIE MAHAL PAKUMUWEKA. MUNGU BARIK TANZANIAN MUNGU BARIK AFRICA
Aliyataka Mama yoote haya matapishi urudie kuyala nikichefuchefu ayaone hayo atahiyo kikwete naye ndio kigogo mkuu
Upo sawa bro
Mungu akusaidie
Mkuu tuambieee Ss yotehayo tulikuwa hatuyajui😇😇😇😇
Mi nashauri tujitenge tuu mara inne hii inch nikubwa sana imekosa wazaleondo kuiongoza wamebaki loyal familia kufaidika na haki za wengine
Mungu akutetee naona magu amesimaa umenikumbusha magu baba sema
Tu aomba mhe.utusaidie hili swala la bandari ila Tanzania tuna watu wenye akili sana hongera kijana wangu
Mama Samia mpe zawadi Musiba na mpende kwa taarifa zake tale yaliyomkuta Msgufuli na wewe yamekukuta Mama umewarudisha lakini wamekusaliti wanataks Urais
Margarethpolepole una maana wasingekua wanazengea kiti chake angewaacha tu eti ee! Wananchi tumeshajua ccm hakuna yeyote mwenye kumuogopa Mungu atakayethubutu kuuachia utajiri abaki amepauka!!?
Ulikuwa wapi sku zote pumbavuuu
Wee Jamaa Nakukubali Sana Yaan , Yaan wewe pure Ni Mtanzania Mzalendo Timu JPM , Nakupenda Sana Mimi mwenyewe Timu JPM 4life
Jamaa ana hoja nzuri sana
mimi sielew kabs sasa kama huku kwetu kondoa hatuelew hata nch inaendaje celew kabsa
Hongera bwana Musiba.
Keep it up
Mr msiba this country msiba mungu akakulinde
Kuna msemo 'kuvua watu nguo..ambayo inaeza kua ata shati.. Lakin hii sasa ni kuvua Boxers kabisa.. JE NIA NIKUREKEBISHA NA KUONDOA UFISADI kuonekana mzalendo AU KUDHALILISHA MTU DIRECT?
Je isingekua busara ungeomba kuonana na wahusika ukayazungumza tu Privately? Ili nao WAPEWE NAFASI ya KUJIBU aya? Badala ya kutumia nitandao tena insonekana zaidi ya 10..
Alhamdulillah hatupo kwenye hizi zama tena.
Mh! Wakiisikia hii maskini sijui watamfanyaje na hivi wameshika mpini!
Hatukani mtu. Anatuelimisha, hasa sisi wanyonge. Tunamshukuru sana , Endelea Musibaaaaaaa
Yuko wapi sasa
Mungu akurinde jamani mtoto wa mwanamke mwezaku jasili
Ila kama nikwel haya jamani yasemwayo wenzangu wahali yachini tumuombeni mungu baada ya kifo chetu tupunguziwe kama sio kuondelewa adhabu mana tunateswa na mengi hapa duniani mungu tusaidie waja wko masikini
Shida huwa unasema yakipita ,hebu uwe unasema wakati wakiwa madarakani mbona wapo wengi waovu na huwasemi??
Nakuelewa sana blo musiba hawa watoto waviongozi huawanahis hawafi kwakweli
Kaka hongera unauzalendo mkubwa hongera
Vipi umemlipa pesa za membe?
Lushoto imelambwa Bumbuli imetikiswa ...wapi watu wa Mayo na Funta.????
Shida viongozi wa ki Africa ni wanafiki sana,wakishiba ugali wanajisahau,halafu wanapeana ugali waokwao,mungu atusaidie,mama anawaapaje uongozi watu kama hao,au hajui
Asant kwakutetea taifa mungu akulinde
😂😂😂lakini cheo kikija ntashukuru mungu...
Hongera kiongozi, ila na sisi tunaweza kutoa maoni yetu kama wewe??
Maxwell toa maoni yako wala hukatazwi baba
Kiboko hiyo muuza pembe za ndovu kama kweli
Mwaga mwaga umezaliwa siku moja na utakufa siku moja kwa kweli huo mtambo uliniathiri sana maana nilikuwa humo ndani nilisomesha watoto kwa shida mshahara tulikuwa tunalipwa shs 5000 tù kampuni ilikuwa inakombwa sana mungu awalaani sanaa sasa wanaumbuka adhabu haiko mbinguni iko hapa hapa duniani
Leo ni tarehe 09/08/2022.... nachoweza kusema ni 'Siasa OYEEEEE' hahahaha
Hahaha fumua bro..Tunakuombea kwa Mungu
Unajua watu was ccm siwaerewi na raising wao wajipime
Kuna kenge anasema msiba ni mchonganishi au wewe nae nifisadi Nini au makamba no mme wake?
Kweli kweli kabisa mungu anawaona mungu atalipa hapa hapa duniani
Mmmhhh nchi ililiwa kweli Rais amefanyakazi hebu jibuni hoja hizi so painful
Ahsante mama
Tulikuwa tunakuona mjinga lakini mmm.pacha magufuri
tunakoelekea n hatar sana lakn haya mambo mbona mwanzo yalikua hayasemwi, mmi nafikiri viongozi mnatakiwa kujipangapo na kanchi huru haka inakuaje mtu akitoa ya rohoni ndio watu wanakuja na mambo haya, hivi wangekua hawajatoa waraka wao mambo haya hayasemwi, ( kuna katatzo hapo)
Kklichopelekea mpaka waraka kutolewa ni maneno haya haya musiba haongei kisa wametoa waraka ila wametoa waraka sababu musiba kaongea
Wanafiki hawawezi kuisha huyu kijana anatafuta cheo hakuna jambo alilozungumza bila kumsifu raisi nikweli unachokipongeza lakini usitumie raisi kiwe kichaka cha kutikana watu
Dunia lazima ukiishi uweke mipaka ya maneno na uweke akiba ya maneno dunia lazma mtu auchunge ulimi ulimi ni hatary katika maisha ya binaadamu
Hatahivyo huyokinana simtanzania nawala hanauzalendo .sisi tunaponzwa na upolewetu nandiyo utamaduni wetu. tofauti namajilani zetu.
Tunakupenda msiba chonde chonde msiba,
Hela ya membe ushalipa?
Unapo sema utaratibu wa kuleana haupo je hatua kali alizo chukuliwa ni huko kutenguliwa au, mbona mnapo ambiwa habari za katiba yenye ma shiko mnagoma na mko kimya sasa mnafikiri kwakutumia maneno mengi kwenye vyombo vya habari kunaisidia nini,na Taifa linazidi kuteketea ?
Duuu!maneno haya ni mazuri na mazito.mbona haukumsuauri Rais asimteu Mwizi huyu.msaidie Rais mzee
Uko wapi?
Microphone 1 mpaka 20😄😄😄😄😄😄😄
Kazi kweli kweli!!!
Wewe kama nani?
Tanzania kumezuka Joka moja la kufugwa litasumbua sana.Joka hili linafugwa kwenye shamba linaloitwa ccm
Musiba hawakuzoea waambie.. Na sali nikiombea hawa wote kina January, Kinana nk mkono mkali wa sheria na ukawe juu yao..
shame on them!!!! Magufuli for life, long live JPM
Sir:Musiba nakuomba umuambie Mheshimiwa MKINGA nae afuate nyayo zako na UJASIRI.
"Ninyi ni nuru ya ulimwengu,mji(nchi)haiwezi kusitirika ikiwa KIZANI..." Ramadhan aldawiyya from ZANZIBAR
Nestroy Buyungu Ndugu tureze
Weka malengo yko juu ya tanzania,na watanzania ilitufahamiane ndugu
Mwanaharakati anaetetea serikali sijawai kuona maana wanaharakati wanakosoa serikali 😇😇
Raji unakosowa serikali kama ina makosa. Kukosowa serikali inayotimiza matako ya wananchi. Serikali ya watu
Nate Hugo ameanza zake
Hatimae mic zimeongezeka tulizoea mic 1 Mungu ni mwema
Selemani Mkonga haaaaaaaaaa, umeniacha hoi, kwa kweli, ila umaarufu ni shughuli, jamaa katoili haswaaa
Kama mobutu
Umefufuka ulikua wapi tumeku miss sana musiba.😅😅😅😅wellcome again nape kaondoka unajitokeza alikua amekubania au nn
bgap sana wambie
Kwa kweli nape kanitesa kuuza huo mtambo niliteseka sana kusomesha watoto niliuza maandazi samaki chapati ili wanangu wasome mungu walaani wote waliouza mtambo wa modern printers mtambo wa uhuru mungu toa jibu
Wape wape Baba Musiba...
Upo wapi mwanaharakati huruuuu
Dahaaàe hatariiiii kasemae lakini mwiba ukikuchoma mguuni kutoka ulipoingilia acheni kujadili mtuu mmoja mmoja tunachahitaji ni siaasaa safiii isyo kwa ya matusii unafiki tuelezeni mtakachofanyia watanzania wekeni mpira uwanjani mupimwe CCM Chadema''' wazalendo CAF fainali tuta amua seye wapiga kuraaaaa Apo vipi
Huyu mchonganishi,hela za marehemu Membe ameishalipa?
Uko vizur
Angalia