I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
julius katemi Isa.25:9"Katika siku hiyo watasema,Tazama,huyu ndiye MUNGU wetu,Ndiye tuliyemngija;Huyu ndiye BWANA tuliyemngoja,Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake".MUNGU yuko ndani ya hili Taifa.
Jamani watanzania mumepata rais mzuri kweli hanaga dharau anawapenda sana wananchi yake na hapendi kujionesha kama yy ni rais kila anapotembea awepo ndani ya gari kama vle marais wengine hata hatupati kumuona live wala kuenjoy nae kwa kupiga pic kama hapo wadada walvyokubaliwa kupiga pic nae, mungu awalindie rais wenu huyo anatabia yake pekee na hata pia kapitia sana maisha ya hivyo chochote kwake bora hata kukaa kwa mkeka akitandikiwa ana kaa hata ugali bila nyama anakula ni mtu aliejitambua katka hayo maisha na kujiamini zaidi, na hivyo ndio binadamu wengile waliojaliwa uwezo wakimaisha inatakiwa waige mfano kama huo, wakumbuke roho ndio utu mali si kitu.
Sio wewe bas tuko wengi mie wakati mwingine naingia ndani nalia mapaka bas na sijajuwa ni kwanini kifo cha huyu Baba mpaka Leo kimeninyima raha we acha mwaya we 😭😭😭
Magufuli hizi video ni azina ya Tanzania 🇹🇿🇹🇿 tutajifunza sana, wasio kujuwa miaka ijayo tutaeaonyesha ivyo zitaishi, hii ni zama ambayo wengi tumeshuudia huongozi wako wanyerere sikushuudia na hata waliokuwepo wamekusifu wewe ni baba lao, TULIKUPENDA MUMGU KAKUPENDA ZAIDI BY BABA
Alistair Elias ninauhakika sababu mimi ni mfatiliaji mzuri sana wa mitandao na habari tena kwamiaka mingi tu,ila nataka na wewe uniambie kiongozi gani unamkubali?
sisi wanadamu sijui kiongozi afanyeje ili aambiwe pongezi zake, kuna watu vyama vimewaingia ktk damu hata dini haina nafasi, kiongozi akifanya jema apongezwe hata kama hukumchagua, muogopeni mungu sote ni udongo tu tunapita
Kweli hakuna mtu wa mfano kama raisi huyu. Kwan kuwa kiongozi aangali privilege kwan kama kuvuka asingelipa akapanda bure lakin kujua kuwa ni wajibu wa kila mtanzania kulipia kivuko na yeye kama mtanzania akalipia kivuko. Big up to Mr president
Me President namshauri kitu kimoja tu akae na wapinzani waache kuchukiana wafanye kazi pamoja na kamatakamata haijengi wala haimrekebishi mtu ni hekima pekeyake ndio itanyoosha Mambo..
Seif Massoud tambua rais ana kazi nyingi muda Wa kukaa kujadili umbea haupo mwone rais trump ukimzingua anakupoteza kwelikweli na wamarekani wala hawalalamiki iweje sisi na vidagaa kama kinalisu
Akina Lissu ni watafuta kiki.. hana analojenga yeye kazoi yake ni kutaka kuwachanganya Watanzania ili aonekane analo la kuongea.. kama Lissu angekuwa na akili na kama nagekuwa ni mwenye kuitetea TZ angepinga kupewa ugombea urais Lowassa amabaye hakuitetea Tanzania kwenye issue ya Richmond..! Sasa leo ndio amekuwa shujaa wa kumfanya Magu aliyekuwa anasisitiza makampuni ya nje yawajengee Watanzania.. barabara kama ilivyokuwa makubaliano.. aonekane mbaya..! Uhuni wanaofanya wazungu yeye Lissu anaona ni sawa.. kwa maana ya kwamba alitaka Magu awavumilie..? Hadi lini..? Mbona halalamiki kwa hao makandarasi 3000 wengi wao wakiwa ni Watanzania ambao Magu pia aliwafukuza kwa kutotekeleza makubaliano..? yeye na wapumbavu wengine wanafikiri hao wazungu wanaoishitaki Tanzania hawakujenga hiyo barabara kwa bahati mbaya .. au ilikuwa ni mbinu yao kuiibia Tanzania bila kutekeleza makubaliano kwa kukimbilia mahakamani..? Mtu ye yo te mwenye akili atajua hao wazungu hawakuwa na nia ya kujenga barabara na Magu alijua anafanya nini kwani ni yeye aliyekuwa akilala madarajani.. kuhakikisha yajengwa kwa wakati na viwango vilikubaliwa.. Kwa hilo niko pamoja na Magu.. Hiyo ni vita dhidi ya maadui wa ndani kama Lissu na minions wao.. pampja na wale wa nje ya TZ au wazungu wasiotutakia mema siku zote..Period..!
Upendo wake,jitihada zake kusaidia wanyonge kiafya,kielimu,na kiuchumi hazipo tena leo.Mungu alitoa na Mungu alitwaa jina lake liimidiwe milele.Lala Baba yetu .😭😭😭 Umeacha vidonda ktk mioyo ya Watanzania
Halafu hivi unadhan machozi yataisha ktk mbon zetu za macho thubutu nikiangalia clip zake muda woot machoz yana nimwagika Kama au sijui ninunue kiswaswadu maan nitakua sion kitu duuuh lala salama mpendwa wetu wa wanyonge
Sintokuja kupiga kula mwenzenu hata siku moja magu baba ohhh siamnini mwaya haitakuwepo kama magu baba mcheshi na wananchi habagui da inauma 😭😭😭inauma baba ohh kilio changu mungu ndie anyekiona 😢
Daaa huyu ndio rais sasa sio ukiwa kiongoz bas ndege ndege na ww mpaka unakufa hujui hata changa moto za watu wako hongera sana rais wetu kwa upendo wa pekee.
Rais wetu umekuw mfano wa kuigwa kote ulimwenguni hakika tumepta rais bora mchapakaz n mwajibikaj katika taifa le2,Allah azid kukupa Afya njema wewe n uhongz wako.ndg JPM Rais tanzania🙏🙏🙏
Kama unamukubali magufuli ni mtu wa watu gonga like apa.
Sku zote utakua nasi mioyoni mwetu
Ucle magu umenifanya nikukubali zaidi siku moja moja sio mbaya kufanya hivi, kama unamkubali unce MAGU gonga LIKE hapa. 👍👍👍😁
ibrahim humbo TV Safi sana rais wetu tuko nyuma yako
mmmh
😭😭😭😭yaani Huyu ni rais wa wanyonge Allah amkinge na kila shar wazanzibar igeni tabia ya huyu jembe acheni ukuda
@@hawaali8107 Anazingua ban Anajipendekeza tu saiv uchaguzi , me ananikera sana kwa sababu ya kuwafunga mashee wasio na hatia😔
Rais wa maana ndo huyuu maguli.
Wangapi tumekuja kuangalia baada ya kifo cha raisi wetu?
😭😭😭 mm aisee
Wengii tu bora nisiangalie hizi video maana najisikia kulia vile dah
Mim
😭😭😭😭😭
It's so painful 😭😭R. I. P. JPM
No one will ever replace him rest in peace magu
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
Thank you for sharing your thought, he was a man of the people, humble and honest!
Daàh NANI ANAANGALIA BAADA YA KIFO CHAKE 🙄😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭🇹🇿🇹🇿🙏
Dah yani inauma sana
Hao waliopiga naye picha ndio wataria kwa sauti kubwa zaidi
Mimi Huku nalia
Pole sana Dadaangu
Mimi hapa
huyu ndo rais tulielewana tukimngoja kwa miaka mingi, nampenda Sana rais wa Tanzania. MUNGU akulinde rais wangu
julius katemi Isa.25:9"Katika siku hiyo watasema,Tazama,huyu ndiye MUNGU wetu,Ndiye tuliyemngija;Huyu ndiye BWANA tuliyemngoja,Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake".MUNGU yuko ndani ya hili Taifa.
Natamani kenya siku moja nasi tupate km magu
Anajichanganya na wanyonge sio mjivuni ukijishusha utapandishwa aminaa rais wa wanyongee
Jamani kumbe magu alikua anajishusha hakuwai kujikweza lala salama uko uliko baba
Leo ayupo Duniani inaniuma 😭😭😭😭😭
Umekuwa Rais wa tofauti sana nenda baba kapumzike upendo wako hautaondoka moyoni mwangu na kwa watanzania wengi 😭😭😭😭
dah... uyu siyo raisi ni mkombozi... huwezi pendwa na wote, ila utapendwa na unapendwa na wengi..
asante Mungu kwa kutuletea kiongozi uyu..
Inaniuma Sanaa 😭😭😭😭
Dhaa magufuli ni president wakipeke mashallah
Masha Allah
I love this president with all my heart thank you new born African son all the way from Rwanda
Mara moja moja sio mbaya kulipa kodi kazi nzuri mkuu
Jamani watanzania mumepata rais mzuri kweli hanaga dharau anawapenda sana wananchi yake na hapendi kujionesha kama yy ni rais kila anapotembea awepo ndani ya gari kama vle marais wengine hata hatupati kumuona live wala kuenjoy nae kwa kupiga pic kama hapo wadada walvyokubaliwa kupiga pic nae, mungu awalindie rais wenu huyo anatabia yake pekee na hata pia kapitia sana maisha ya hivyo chochote kwake bora hata kukaa kwa mkeka akitandikiwa ana kaa hata ugali bila nyama anakula ni mtu aliejitambua katka hayo maisha na kujiamini zaidi, na hivyo ndio binadamu wengile waliojaliwa uwezo wakimaisha inatakiwa waige mfano kama huo, wakumbuke roho ndio utu mali si kitu.
Daaah 😥 mbona naona Kama ndoto hviii jmn 😭😭
Mbona katuondoka mapema sanaa Kiongoz wetu 🇹🇿
Mbele Yako nyuma yetu MW/ MUNGU akulaze mahara pema peponi 🙏
Mm nahisi kaenda kutembea atarudi
Kinachoniuma daraja la kijazi ubungi pale kafungua yeye ,aliumwa lini ,nawala hatujasikia homa yake ,Mara kafa khaaa inauma Sana.
@@m.mmarckus6298 so sad
Yan machoz ye2 anayaona
Sina la kusema nakuombea dua roho yako ilale mahala pema peponi😭😭😭😭😭😭😭
hongera Rais ww kweli kipenzi chawatu wengene wasingeweza kufanya unayo yafanya hongera sana na MUNGU akubariki Amen!!
Raisi wangu we ni mfano bora wa kuigwa katika nchi hii nakupendaa Mh. raisi wetu
Ivi jaman mbona mm nashidwa kujizuia najikuta mda wote nalia😭😭😭
Sio peke yako tu my 😭😭😭😭
Inauma Mungu atusaidie
Jizuwie ndugu kisha muombe mungu sana atakupa amani
Sio wewe bas tuko wengi mie wakati mwingine naingia ndani nalia mapaka bas na sijajuwa ni kwanini kifo cha huyu Baba mpaka Leo kimeninyima raha we acha mwaya we 😭😭😭
Si wewe peke yako, tuko wengi! RIP JPM.
Magufuli hizi video ni azina ya Tanzania 🇹🇿🇹🇿 tutajifunza sana, wasio kujuwa miaka ijayo tutaeaonyesha ivyo zitaishi, hii ni zama ambayo wengi tumeshuudia huongozi wako wanyerere sikushuudia na hata waliokuwepo wamekusifu wewe ni baba lao, TULIKUPENDA MUMGU KAKUPENDA ZAIDI BY BABA
😭😭😭Acha my nahata kama watakuwepo hata wawe wanaongoza nchi vizur ila hawatamfikia huyu baba kwa ucheshi wake 😭😭inauma
Still watching it
2022 may his soul rest in peace 🕊️✌️
Tulio Rudi kuitazama hii like twende sawa Rip
My king my president my role model RIP JPM you lived for people you're my hero thank for your life.
Baba tunakulilia mnooo tumeumia Sanaa😭😭
Jamani😢😢😢😢😢😢😢
Daaah wallah haito tokea habadani kumsahau magu wetu yarabi mungu atuwekee mahali pema magu wetu😢
Aiseee pole kwetu Watanzania roho zinaumia Sana huu ulikuwa zaidi ya upendo Magufuli alituonyesha Watanzania
Oh this man was down to earth. Farewell pombe😭😭😭
Waliobahatika kupija picha nae watamkumbuka zaidi kwa siku kama ya leo baada ya kutangazwa amefariki 17-03-2021
It pains me a lot to see my friend.JPM. my best president ever.
Penda sana Rais wangu Maisha marefu Aiseee
A great president ! May the Almighty God bless you
Ameen yaraab alamiin
Safi sana kiukweli mimi nimeipenda hii dah raha sana
Nakukumbuka sana babaangu mungu akuhifadhi kamambinguni tunaonana basi tutaonana
Ni lazima apongezwe jmn rais.Magu kwa kazi nzuri
Daa yaan kila nikimuangalia choz linanitoka kweli chema akidumu
Wanamuita dikteta yes sio shida
But tulikupenda dikteta wetuuu...😭
Such a great, wonderful leader, mungu aiweke roho yake marehemu jpm mahali pema peponi
wakuu waliopita hawakufanya hivi huyu Raisi namkubali sana.
Fahad10 Una uhakika?
Alistair Elias ninauhakika sababu mimi ni mfatiliaji mzuri sana wa mitandao na habari tena kwamiaka mingi tu,ila nataka na wewe uniambie kiongozi gani unamkubali?
sisi wanadamu sijui kiongozi afanyeje ili aambiwe pongezi zake, kuna watu vyama vimewaingia ktk damu hata dini haina nafasi, kiongozi akifanya jema apongezwe hata kama hukumchagua, muogopeni mungu sote ni udongo tu tunapita
Zamaradi Hussein kabisa zama kuliko dini...Hatujui siku wala saa umeandika point
Zamaradi Hussein well said zama
Kweli hakuna mtu wa mfano kama raisi huyu. Kwan kuwa kiongozi aangali privilege kwan kama kuvuka asingelipa akapanda bure lakin kujua kuwa ni wajibu wa kila mtanzania kulipia kivuko na yeye kama mtanzania akalipia kivuko. Big up to Mr president
Patrick Christopher akachukua na chenchi 😺😺😺😺
Pamela Simon hahaha
Nilijua wengi wataangalia kwenye kipengere cha chenji.....hata mimi ni mmoja wao
Nakuelewaga saana mh. Magufuli
Gerald Mligo cheji lazm achukuwe make amefanya kamm raiya wa kawaida tuu hajatka kuonyesha ufahali wa kuacha hela
Walinzi wana kazi ngum. Kwa MH. Rais. Nimkupenda saana my President
Vizuri sana Mzee magu hauna ubaguzi
Man of the people keep on resting in peace HEROO
much respect Mr president ,,,,hapa kazi tuuu
Inaniuma nafisi kumukosa nipenda mawazo yake kitafa
I respect and love u sir may you Rest in peace
Utakumbukwa milele kweli mungu alikuleta kwa kusudiyo duniyani na amekuchukuwa bado tulikuhitaji sana
Ma shaa Allah tanzania's b proud of ur prezo
This is fantastic.
Ni murundi mimi lakini huyu ni mtuu hatoludia kupatikan duniani
Ni ngumu kuamini kuwa rais wetu hatunaye tena 😭😭
Duuh furaha yetu ime eenda ghafula lamda tulikua tuna Ota bwana 😭😭😭😭😭😭😭😭
Mungu akupe maisha marefu rais wetu penda sanaaaa ahaaa misimamo yako God bless u.
A man of the people,rest in eternal peace JPM you will always stay in my heart 😭😭😭😭😭😭😭😭
Dah bas tu Mungu nMwema lkn Ina nPaiñ 🙏🙏🏼🙏🏼😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🏼🙏🏼🙏🏼!!!
Sadaka zake alizotoa zitamuokoa kwa muumba wake lazima tujifunze huyu jamaa sio rahisi alikua Yuko na Imani ya aina yake duh!
😂 0:15 kata wanee... ila big up mzee wetu wa kazi
Safi Sana President
huyu mzèe yuko peace sana
ila ukimzingua
Niceta Masawe
😂😂😂😂
Uhuru na magufuli wanaweza kuwa sawa kweli?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Rest In Peace Legendary...
Raisi wa wanyonge
*Magufuli mmoja alizaliwa mmoja na ameondoka mmoja mwamba wa africa umeanguka kilio kwa africa mzima*
Malazingine natamani ata kukufulu ila Kila nitazamapo matukio yako ayati uwa nalengwa na machozutu mwenyezi mungu akupe kauli thabiti mbele za haki😭😭😭
daa anatia hadi raha jamani iwemfano kwa wengine
M/Mungu akupe nguvu mh. RAIS uweze kutimiza azma yako hasa ya kuleta maendeleo ktk taifa letu! Kwakwel hii nmeipenda!
Dah sinachakusemaa juu ya magufulii ilaa mungu ampe maishaa marefu
Ningekua mm ninakauli rais wetu atawale milele mungu akulinde wa tanzania tunakupenda sana
Magufuli is among the greatest African President
Jamani nimesikia rahaa sana mimi nampenda sana
May God give you long life to live...
Huyo ndo rais wetu safi sana
Me President namshauri kitu kimoja tu akae na wapinzani waache kuchukiana wafanye kazi pamoja na kamatakamata haijengi wala haimrekebishi mtu ni hekima pekeyake ndio itanyoosha Mambo..
Seif Massoud tambua rais ana kazi nyingi muda Wa kukaa kujadili umbea haupo mwone rais trump ukimzingua anakupoteza kwelikweli na wamarekani wala hawalalamiki iweje sisi na vidagaa kama kinalisu
Akina Lissu ni watafuta kiki.. hana analojenga yeye kazoi yake ni kutaka kuwachanganya Watanzania ili aonekane analo la kuongea.. kama Lissu angekuwa na akili na kama nagekuwa ni mwenye kuitetea TZ angepinga kupewa ugombea urais Lowassa amabaye hakuitetea Tanzania kwenye issue ya Richmond..! Sasa leo ndio amekuwa shujaa wa kumfanya Magu aliyekuwa anasisitiza makampuni ya nje yawajengee Watanzania.. barabara kama ilivyokuwa makubaliano.. aonekane mbaya..! Uhuni wanaofanya wazungu yeye Lissu anaona ni sawa.. kwa maana ya kwamba alitaka Magu awavumilie..? Hadi lini..? Mbona halalamiki kwa hao makandarasi 3000 wengi wao wakiwa ni Watanzania ambao Magu pia aliwafukuza kwa kutotekeleza makubaliano..? yeye na wapumbavu wengine wanafikiri hao wazungu wanaoishitaki Tanzania hawakujenga hiyo barabara kwa bahati mbaya .. au ilikuwa ni mbinu yao kuiibia Tanzania bila kutekeleza makubaliano kwa kukimbilia mahakamani..? Mtu ye yo te mwenye akili atajua hao wazungu hawakuwa na nia ya kujenga barabara na Magu alijua anafanya nini kwani ni yeye aliyekuwa akilala madarajani.. kuhakikisha yajengwa kwa wakati na viwango vilikubaliwa.. Kwa hilo niko pamoja na Magu.. Hiyo ni vita dhidi ya maadui wa ndani kama Lissu na minions wao.. pampja na wale wa nje ya TZ au wazungu wasiotutakia mema siku zote..Period..!
HAMIS MABULA umeogea Kiongoz mtu kujifanya anajua kuongea kila cku ni kukashifu Rais...mambo ya kumuweka ndan wiki naona haitosh akae miez 4 mbona atanyooka lisu uoni mwenzake arusha lema tunamrudisha kweny mstaari taratibu
Inapendeza
Seif Massoud Exactly my
amani sana.. hata mm ningepata hii fursa ningeitumia vilivyo. kuna watu hawajawah kukutana na rais tena mchapa kaz km mjomba john
Upendo wake,jitihada zake kusaidia wanyonge kiafya,kielimu,na kiuchumi hazipo tena leo.Mungu alitoa na Mungu alitwaa jina lake liimidiwe milele.Lala Baba yetu .😭😭😭
Umeacha vidonda ktk mioyo ya Watanzania
Hakika ameacha vidonda
Baba unatulizajmn baba yn rais amejaaa upendo uyu. Acheni tufe natulie 😭😭😭
Waa God bless Mr Maguu i wish he cld cheif adviser to our president to Kenya tulikosea kwa ballot
huyo ni rais wa mioyo ya watu nampenda sana
upande wangu nampnda sana magu gongalike twende sawa
Yani kweli kazi ya mungu haina makosa najikuta nikilia kila saa
Ndio basi Tena tuli ishi na mtumishi wa mungu pasina kujua
safi Mh.rais watanzania hatukukosea na tunaimani na wewe kiongozi
Duuhh natamani congo ipate raisi kama uyo
Tusubiri sana kaka 😪
Respect! Mr president
Asante kipenzi wa watanzania tunaimani nawe utawale miaka mingi zaidi
You yes leader the best of Tanzania
This is the blessing.
Halafu hivi unadhan machozi yataisha ktk mbon zetu za macho thubutu nikiangalia clip zake muda woot machoz yana nimwagika Kama au sijui ninunue kiswaswadu maan nitakua sion kitu duuuh lala salama mpendwa wetu wa wanyonge
Nime amini wanawake tunapenda pc 🤣🤣 nenda salama baba💔🇹🇿🕯️😭
Huyu ni zaidi ya rais
Safiii saaana mzee mwenyezi mungu akujaaalie saaana muheshimiwaaaaa
Sintokuja kupiga kula mwenzenu hata siku moja magu baba ohhh siamnini mwaya haitakuwepo kama magu baba mcheshi na wananchi habagui da inauma 😭😭😭inauma baba ohh kilio changu mungu ndie anyekiona 😢
Nakupenda sana kiongozi wang daima mbele haturudi nyuma love you more💓💓💓💕💖💕👍👍👍💞💝💞💝💘💘👌👌
Hamna zawadi kubwa rais anaweza kuwapa wananchi wake kama kuwathamini ktk hali yao ya maisha ya kawaida kabisa💪💪💪
Man of the people
Mungu ampe maisha marefu raisi wetu
Top president I have not everseen be for
U are great man Africa we be proud of u RIP we love you but Allah loves you best
Tutakukumbuka daima😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏
Uhuru angalia makufuli anavyoishi n wananchi wake
Daaa huyu ndio rais sasa sio ukiwa kiongoz bas ndege ndege na ww mpaka unakufa hujui hata changa moto za watu wako hongera sana rais wetu kwa upendo wa pekee.
Rais wetu umekuw mfano wa kuigwa kote ulimwenguni hakika tumepta rais bora mchapakaz n mwajibikaj katika taifa le2,Allah azid kukupa Afya njema wewe n uhongz wako.ndg JPM Rais tanzania🙏🙏🙏
Maguful baba lao nani kama maguful 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Raisi wa wanyonge lala salama.
😭😭😭😭Bab kwa nini umetuacha ?? Rudi basi siku moja nikwambie neno moja😭😭😭😭😭eeeeeh MNGU
Miss u my big Dad