Ahsantee sana pastor..... Nakumbuka siku tumekutana muhimbili ,licha ya kuwa hujawi kuniona macho yetu yalipogongana ulisimama pamoja na mama tukasalimiana .....Moyo wako wa Upendo na unyenyekevu ni mfano.... Mungu aliyehai azidi kukutuza zaid
Wakristo wako ibadani wakiwa na nyuso zafuraha hadi wanatamanisha jmn. Watakuwa wanalishwa chakula chenye afya na Mchungaji Eliona Kimaro.Barikiweni Sana.
Our own house girl nilikutana nae anaendesha bonge la gari akaniambia siku hizi naishi USA ila kwa Sasa Niko Mbezi beach nilikojenga..Karibu kwangu jamani..Mimi nilikua naenda kupanda daladala 😂
Hakika mchungaji huwa nakuelewa sana tena zaid ya sana kwani ibada yako inanitia moyo kwani inagusa uhalisia wa maisha yangu. Mungu aendelee kukupa afya njema Na uzima tele.
Housegirl ni binaadamu kama watu wengine. Hii ni AFRICA TUU , UKIENDA NNCHI ZA ULAYA WATU HAWAJALI MAMBO YA ELIMU . WANAJALI UPENDO MTU ALIO NAO JUU YA MTU.
Sawasawa Mchungaji wetu. Lkn hii ni story ya Kutunga. Japo Una mafunzo ndan yake. It's not a real story badala yake ni dhanifu. Ni kweli inawezekan San kuwa hivyo. Self-discipline as a key point. One love our pastor. Get me from Thailand thought am a 🇹🇿
Mungu akitaka kupa hakuletei barua. I'm a Muslim ila nimeipenda hii. Ni mambo yanayo tokea katika maisha. Wa Asia wanawake hua hawasomi na waume zao ni wasomi.
Mi ni Muislam na and I don't watch Christianity things ila hii imenigusa. Abarikiwe Sana huyo mwajiri wake manake angekua wa roho chafu angeficha hiyo barua na aseme wazazi wamekataa. Kisha jamaa ajiendee zake. Ila technology bn imesaidia Sana. Bado wangekutana tu inbox
Wengi wanadharau sana aswa akikuona ata kwenu akuna umeme nawao wanao mmh wanadharau hawajui maisha ugeuka sasa mtu akikudharau nawe mdharau dunia sio yake
WAAMBIE HAO WANAWAKE WANAONIABUDU NA KUNIFUATA MIMI YESU, WAACHE KUVAA NYELE BANDIA,KUCHA BANDIA, KOPE BANDIA NA VITU VYOTE AMBAVYO VINAPINGANA NA ASILI YA KUUMBWA KWAO, NA WANAPOKUA KANISANI KATIKA IBADA WAFUNIKE VICHWA VYAO. 1 Wakorintho 11:13
Amen mtumishi.Nimemuona our one and only kwenye kutuletea HABARI mbalimbali zinazondelea ulimwenguni mwote @Millardayo👏👏👏.
Kama umemuona Millard Ayo gonga like twende sawa
Tumejifunza kitu cha maana sana sana...elimu bila nidhamu ni buree..
Amen
Ameeeeeeeen
Ameeen kubwa
nimeiona bei gani
Barikiwa sana Pastor. Kweli binadamu angeijua kesho yako angekuheshimu sana leo
hakika
My favourite pastor, UBARIKIWE sana Mtumishi wa Mungu!
Ahsantee sana pastor.....
Nakumbuka siku tumekutana muhimbili ,licha ya kuwa hujawi kuniona macho yetu yalipogongana ulisimama pamoja na mama tukasalimiana .....Moyo wako wa Upendo na unyenyekevu ni mfano....
Mungu aliyehai azidi kukutuza zaid
Amen
My favourite pastor thanxs for good testmony
Discipline goes with respect. I am humbled. Behavior and character goes together.
My favourite Pastor ur sermons in evening glory have changed my life, Be blessed Rev. Eliona kimaro👏🏻
Nmemuona
God's grace is sufficient 🙏🔥🔥🙏
Zaburi 71:8
Kinywa changu kitajazwa sifa zako, Na heshima yako mchana kutwa.
*TUJAZE SIFA ZA BWANA KWENYE VINYWA VYETU WAKATI WOTE, HALELUYA!!!*
Ooh Haleluyaaa!!!!Amen Pastor.Nimebarikiwa sana.Mungu Atukuzwe jamani.
Wakristo wako ibadani wakiwa na nyuso zafuraha hadi wanatamanisha jmn. Watakuwa wanalishwa chakula chenye afya na Mchungaji Eliona Kimaro.Barikiweni Sana.
Halleluya. God is always good 👍
Our own house girl nilikutana nae anaendesha bonge la gari akaniambia siku hizi naishi USA ila kwa Sasa Niko Mbezi beach nilikojenga..Karibu kwangu jamani..Mimi nilikua naenda kupanda daladala 😂
Maisha hayana formula
Jaman
Duuuu pole
Such a beautiful testimony of rising from grass to grace🙏🙏
Natamani kupata namba ya kiongoz wa nabii mkuu jamani
God remember us house girls 🇺🇬🇺🇬👏👏👏👏👏👏
God will!
Amen 🙏🙏🙏
From your mouth to God's ear.
@@damariszuckschwert9489 Amen 🙏🙏🙏
Mungu Akisema Ndiyo, Hakuna wa Kubisha kbs, Sifa na Utukufu Kwa Mungu Aliye Juu 🙏🙏
Nimefurahi sana kumuona milladayo mtu wangu wa nguvu
Hakika mchungaji huwa nakuelewa sana tena zaid ya sana kwani ibada yako inanitia moyo kwani inagusa uhalisia wa maisha yangu. Mungu aendelee kukupa afya njema Na uzima tele.
Very strong advice umenitia nguvu na pia kunifunza mchungaji barikiwa
Asante sana pastor kwa mahubili. Mungu awabaliki.
Housegirl ni binaadamu kama watu wengine. Hii ni AFRICA TUU , UKIENDA NNCHI ZA ULAYA WATU HAWAJALI MAMBO YA ELIMU . WANAJALI UPENDO MTU ALIO NAO JUU YA MTU.
House girl hapa wanadharauliwa sanaa mtu aliyepitia hapo tunajua maumivu yake
Sana wabongo wengi malimbukeni
Yesterday never be today and today never be tomorrow thank you God for everything 🙏
Mungu akitaka kukubariki hakuna wakuzuia kwani yy ndo Mungu mwenye malmlaka zotee
God is good Anashangaza sana watu Ubarikiwe Baba kwa Neno🙏🙏
Amen , Mungu ni mwema kila wakati
Mungu akiamua kukufuata ata porini akuna wa kumuzuhia akubariki
Kwakweli, God akisema Yes nobody can say No
000
Elimu bira busara ni ugonjwa,,,,
@@alphoncestumbi908 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mungu hujibu maombi na matamanio ya binadamu
@@alphoncestumbi908
Yygg
Yaaan Mtumishi wa Mungu unanibalikigi sanaJehovah akuinue zaid
Very educative
Millard Ayo mmemuona?
Tumemuonaaa😀
Ndy
Ndyo
Nilikuwa natafuta Comment hii 😂
Tumeemuona
Self discipline ndo nimejifunza kwenye hii video 🙌 Tubadilike jamn
Asanteee mchungaj ni fundisho mzuriii 🙏🙏
A very good story teller
Nabarikiwa sana na mafundisho y'ako ubarikiwe sana
Mungu akubariki mtumishi from canon Jane Mwangangi- Nairobi kenya
Sawasawa Mchungaji wetu. Lkn hii ni story ya Kutunga. Japo Una mafunzo ndan yake. It's not a real story badala yake ni dhanifu. Ni kweli inawezekan San kuwa hivyo. Self-discipline as a key point. One love our pastor. Get me from Thailand thought am a 🇹🇿
Wanawake mabinti tuludi KWA MUNGU njia Ni nyembba iendayo uzimani na njia ya upotevuni ni Pana mno tuache ya DUNIA tumutafute MUNGU
Mungu akitaka kupa hakuletei barua. I'm a Muslim ila nimeipenda hii. Ni mambo yanayo tokea katika maisha. Wa Asia wanawake hua hawasomi na waume zao ni wasomi.
kwa wanadam haiwezelani lakini kwa Mungu yote yanawezekana
Binadamu mbwembwe
Heshima na Utii ndivyo vinavyopelekea mtu kufikia destination/ Mafanikio yake katika maisha
barikiwa sana mtumishi wa mungu
Huu ushuda kunajambo lakujifuza hapa barikiwa baba mchugaji 🙏
Congratulations to all 🙏🥰
Pastor kimaro unaushuhuda mungu akubariki
Amen asiye kuelewa hatakuwa matatizo Mungu akuzidishie mafuta mabichi
Mwenyezi Mungu ni mkubwa nidhamu ni kitu cha kujivunia
Sana
Asante kwa hili somo mchungaji wangu
Like u bro uko safi sana Mungu akutumie people are laughing but what u're talking about its so sensitive
Ubalikiwe sana mtumishi
Hallelujah
Ubarikiwe sana Dr.
Aliemuona Milard tujuane jamani,..
Tuko hapa
Kumbe nae anaendaga church hongera Sana kwakwe
@@lucygodfrey4871 Kwel fanya ufanyavyo Mungu ndo kila kitu...
Ni vyema nimefurahi ndio maana anafanikiwa coz anaishi katika mpango wa Mungu
Uko sawa mchungaji
Maa shaa Allah
Well said thank you Papa for the power message to us pray for our family and children's
Kweli nidhamu inakupa fursa nyingi kama mwanamke mshunemi alitii alichoambiwa na hata aliyewapa maji mifugo alipata kibali cha kuolewa
Amen God is great haleluyah!
Hallelujah and Glory to God
Ubarikiwe sana Mchungaji
barikiwa mtumishi
Good
AYO yuko Church
Nimebarikiwa na ujumbe ubarikiwe sana mchungaji unanibariki sana
, yes suree
Ubalkiwe sana mtumish niangaliapo clip zako uwazinitia moyo sana
Glory to god
Correct 👏👏👏👏
Amina
Millard Ayo I can see you. Safi sana kijana
Amen Amen
That's great
Kweli wakati sahihi ni wa Mungu🙏🙏
Mi ni Muislam na and I don't watch Christianity things ila hii imenigusa. Abarikiwe Sana huyo mwajiri wake manake angekua wa roho chafu angeficha hiyo barua na aseme wazazi wamekataa. Kisha jamaa ajiendee zake. Ila technology bn imesaidia Sana. Bado wangekutana tu inbox
Wengi wanadharau sana aswa akikuona ata kwenu akuna umeme nawao wanao mmh wanadharau hawajui maisha ugeuka sasa mtu akikudharau nawe mdharau dunia sio yake
Baba Mungu akutunze zaidi
Kuna kitu kinaitwa bahati inampata mtu yeyote lakin siyo ustaarabu wa maisha kwamba itamtokea mwingine kwa njia hiyo ni bahati
kabisa
Huwa najiuluza,watu kama hawa walikuwa wapi?dunia ingekuwa na watu kama hawa tungekuwa mbali,Mungu tusimamie.
Ametokea Makuro😂😂
Halleluyah hakikaaaaaa🙌
Barikiwa Sana mchungaji kwa neno lenye kweli ndani yake na Ni la kuigwa
Ameeeen 🙏
Amen
Nakukubali sanq baba ubarikiwe
God bless u
Sawa kabisa mchungaji nidham na dispilin ktk kila eneo huleta matokeo mazur
Mungu akubariki pastor
Good message God bless you Rev.
Mungu mwema
Good preaching
Mungu ni mwema🙏👏👏👏👏👏
I receive in Jesus mighty name
What are you receiving??? 😂 😂 😂
Duuu kwelii kisaa kizuri sana
Napenda hii ibada Wacha mungu awabariki
Discipline matters AMEEN 🙏
Mungu akubariki pasto
Kanisa la KKKT haliishiwi na migogoro na kumbe kuna vichwa kama hivi miongoni mwao kwa nini hawsvitumii
Hongera mvhungaji Kimaro.
Glory to God
Waaaaao safi sana
Nimekuwa mbarikiwa 🙏🙏
❤❤❤❤
Ushuhuda wa kweli ni ule unaokuonesha kuwepo mfanyaji anayejipambanua na wengine wa uongo
Hakika mchungaji huyu Dr.kimaro namkubali saaaaaaana kwani huwa nabarikiwa Sana na mahubiri yake,Mungu azidi kumbariki ktk huduma zake.
WAAMBIE HAO WANAWAKE WANAONIABUDU NA KUNIFUATA MIMI YESU, WAACHE KUVAA NYELE BANDIA,KUCHA BANDIA, KOPE BANDIA NA VITU VYOTE AMBAVYO VINAPINGANA NA ASILI YA KUUMBWA KWAO, NA WANAPOKUA KANISANI KATIKA IBADA WAFUNIKE VICHWA VYAO.
1 Wakorintho 11:13
I passed through I do understand about 😔😥😭😭😭
Amen 🙏🙏🙏🙏