REV. DR. ELIONA KIMARO: USHUHUDA WA 'HOUSEGIRL' ALIYEKUJA KUWA PROFESA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 325

  • @pastorteddywaziri5754
    @pastorteddywaziri5754 2 роки тому +21

    Amen mtumishi.Nimemuona our one and only kwenye kutuletea HABARI mbalimbali zinazondelea ulimwenguni mwote @Millardayo👏👏👏.

  • @mussatete2618
    @mussatete2618 2 роки тому +342

    Kama umemuona Millard Ayo gonga like twende sawa

  • @regularvalence7540
    @regularvalence7540 2 роки тому +39

    Barikiwa sana Pastor. Kweli binadamu angeijua kesho yako angekuheshimu sana leo

  • @avitusdamian3232
    @avitusdamian3232 2 роки тому +19

    My favourite pastor, UBARIKIWE sana Mtumishi wa Mungu!

  • @alfaaldo7276
    @alfaaldo7276 2 роки тому +39

    Ahsantee sana pastor.....
    Nakumbuka siku tumekutana muhimbili ,licha ya kuwa hujawi kuniona macho yetu yalipogongana ulisimama pamoja na mama tukasalimiana .....Moyo wako wa Upendo na unyenyekevu ni mfano....
    Mungu aliyehai azidi kukutuza zaid

  • @rukiajackson579
    @rukiajackson579 Рік тому +3

    My favourite pastor thanxs for good testmony

  • @josephineariga438
    @josephineariga438 Рік тому +5

    Discipline goes with respect. I am humbled. Behavior and character goes together.

  • @neemahhunter
    @neemahhunter 2 роки тому +11

    My favourite Pastor ur sermons in evening glory have changed my life, Be blessed Rev. Eliona kimaro👏🏻

  • @belvinmakin3536
    @belvinmakin3536 2 роки тому +11

    God's grace is sufficient 🙏🔥🔥🙏

  • @soberkaleya5148
    @soberkaleya5148 2 роки тому +12

    Zaburi 71:8
    Kinywa changu kitajazwa sifa zako, Na heshima yako mchana kutwa.
    *TUJAZE SIFA ZA BWANA KWENYE VINYWA VYETU WAKATI WOTE, HALELUYA!!!*

  • @SarahMeela-og6li
    @SarahMeela-og6li 7 місяців тому

    Ooh Haleluyaaa!!!!Amen Pastor.Nimebarikiwa sana.Mungu Atukuzwe jamani.

  • @dianammari316
    @dianammari316 2 роки тому +11

    Wakristo wako ibadani wakiwa na nyuso zafuraha hadi wanatamanisha jmn. Watakuwa wanalishwa chakula chenye afya na Mchungaji Eliona Kimaro.Barikiweni Sana.

  • @alicekemunto5646
    @alicekemunto5646 2 роки тому +9

    Halleluya. God is always good 👍

  • @bhokerotente3822
    @bhokerotente3822 2 роки тому +23

    Our own house girl nilikutana nae anaendesha bonge la gari akaniambia siku hizi naishi USA ila kwa Sasa Niko Mbezi beach nilikojenga..Karibu kwangu jamani..Mimi nilikua naenda kupanda daladala 😂

  • @mildredwakapisi7423
    @mildredwakapisi7423 2 роки тому +16

    Such a beautiful testimony of rising from grass to grace🙏🙏

    • @masudimrisho3595
      @masudimrisho3595 Рік тому

      Natamani kupata namba ya kiongoz wa nabii mkuu jamani

  • @bettymakheti8858
    @bettymakheti8858 2 роки тому +7

    God remember us house girls 🇺🇬🇺🇬👏👏👏👏👏👏

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 6 місяців тому

    Mungu Akisema Ndiyo, Hakuna wa Kubisha kbs, Sifa na Utukufu Kwa Mungu Aliye Juu 🙏🙏

  • @frankkatima607
    @frankkatima607 2 роки тому +7

    Nimefurahi sana kumuona milladayo mtu wangu wa nguvu

  • @jacksonmollel7940
    @jacksonmollel7940 2 роки тому +4

    Hakika mchungaji huwa nakuelewa sana tena zaid ya sana kwani ibada yako inanitia moyo kwani inagusa uhalisia wa maisha yangu. Mungu aendelee kukupa afya njema Na uzima tele.

  • @StellaWafula-z1i
    @StellaWafula-z1i 5 місяців тому

    Very strong advice umenitia nguvu na pia kunifunza mchungaji barikiwa

  • @onesphoreniyongabo8857
    @onesphoreniyongabo8857 2 роки тому +1

    Asante sana pastor kwa mahubili. Mungu awabaliki.

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 роки тому +14

    Housegirl ni binaadamu kama watu wengine. Hii ni AFRICA TUU , UKIENDA NNCHI ZA ULAYA WATU HAWAJALI MAMBO YA ELIMU . WANAJALI UPENDO MTU ALIO NAO JUU YA MTU.

    • @invocavitmbise5296
      @invocavitmbise5296 2 роки тому

      House girl hapa wanadharauliwa sanaa mtu aliyepitia hapo tunajua maumivu yake

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 роки тому

      Sana wabongo wengi malimbukeni

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 Рік тому +1

    Yesterday never be today and today never be tomorrow thank you God for everything 🙏

  • @suzanalyatuu6074
    @suzanalyatuu6074 2 роки тому +5

    Mungu akitaka kukubariki hakuna wakuzuia kwani yy ndo Mungu mwenye malmlaka zotee

  • @mwajumaemmanuel9359
    @mwajumaemmanuel9359 2 роки тому +3

    God is good Anashangaza sana watu Ubarikiwe Baba kwa Neno🙏🙏

  • @nelsongabriel9130
    @nelsongabriel9130 2 роки тому +6

    Amen , Mungu ni mwema kila wakati

  • @elinurumbise3830
    @elinurumbise3830 2 роки тому +3

    Mungu akiamua kukufuata ata porini akuna wa kumuzuhia akubariki

  • @elizabethmuia9839
    @elizabethmuia9839 2 роки тому +30

    Kwakweli, God akisema Yes nobody can say No

  • @natashakasabagu8867
    @natashakasabagu8867 2 роки тому

    Yaaan Mtumishi wa Mungu unanibalikigi sanaJehovah akuinue zaid

  • @peninahmatutu5969
    @peninahmatutu5969 11 місяців тому

    Very educative

  • @Veni584
    @Veni584 2 роки тому +15

    Millard Ayo mmemuona?

  • @jaquelinesumary7167
    @jaquelinesumary7167 2 роки тому +1

    Self discipline ndo nimejifunza kwenye hii video 🙌 Tubadilike jamn

  • @dericksaimon1082
    @dericksaimon1082 2 роки тому

    Asanteee mchungaj ni fundisho mzuriii 🙏🙏

  • @iwishtv7907
    @iwishtv7907 5 місяців тому

    A very good story teller

  • @suzanakisanga3027
    @suzanakisanga3027 2 роки тому +1

    Nabarikiwa sana na mafundisho y'ako ubarikiwe sana

  • @janemwangangi7366
    @janemwangangi7366 Рік тому

    Mungu akubariki mtumishi from canon Jane Mwangangi- Nairobi kenya

  • @Muganyizi
    @Muganyizi Рік тому

    Sawasawa Mchungaji wetu. Lkn hii ni story ya Kutunga. Japo Una mafunzo ndan yake. It's not a real story badala yake ni dhanifu. Ni kweli inawezekan San kuwa hivyo. Self-discipline as a key point. One love our pastor. Get me from Thailand thought am a 🇹🇿

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Рік тому +1

    Wanawake mabinti tuludi KWA MUNGU njia Ni nyembba iendayo uzimani na njia ya upotevuni ni Pana mno tuache ya DUNIA tumutafute MUNGU

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 2 роки тому +4

    Mungu akitaka kupa hakuletei barua. I'm a Muslim ila nimeipenda hii. Ni mambo yanayo tokea katika maisha. Wa Asia wanawake hua hawasomi na waume zao ni wasomi.

  • @elizaeliza4369
    @elizaeliza4369 2 роки тому +11

    kwa wanadam haiwezelani lakini kwa Mungu yote yanawezekana

  • @jacquelinelweikiza6349
    @jacquelinelweikiza6349 2 роки тому +9

    Heshima na Utii ndivyo vinavyopelekea mtu kufikia destination/ Mafanikio yake katika maisha

  • @Tadymichaely
    @Tadymichaely 8 днів тому

    barikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 Місяць тому

    Huu ushuda kunajambo lakujifuza hapa barikiwa baba mchugaji 🙏

  • @elizabethemeram4285
    @elizabethemeram4285 2 роки тому +5

    Congratulations to all 🙏🥰

  • @magrathmichael7475
    @magrathmichael7475 2 роки тому +3

    Pastor kimaro unaushuhuda mungu akubariki

  • @furahajastin8649
    @furahajastin8649 Рік тому

    Amen asiye kuelewa hatakuwa matatizo Mungu akuzidishie mafuta mabichi

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 2 роки тому +5

    Mwenyezi Mungu ni mkubwa nidhamu ni kitu cha kujivunia

  • @adammkane6706
    @adammkane6706 2 роки тому +1

    Asante kwa hili somo mchungaji wangu

  • @aizzyashery5564
    @aizzyashery5564 2 роки тому

    Like u bro uko safi sana Mungu akutumie people are laughing but what u're talking about its so sensitive

  • @JorgeJohnmbango
    @JorgeJohnmbango 6 місяців тому

    Ubalikiwe sana mtumishi

  • @EmmyMbore-yv8cb
    @EmmyMbore-yv8cb Рік тому

    Hallelujah

  • @RegnaldEliuzima-ld7il
    @RegnaldEliuzima-ld7il Рік тому

    Ubarikiwe sana Dr.

  • @isaacponsian9184
    @isaacponsian9184 2 роки тому +27

    Aliemuona Milard tujuane jamani,..

    • @neemarobson1180
      @neemarobson1180 2 роки тому +1

      Tuko hapa

    • @lucygodfrey4871
      @lucygodfrey4871 2 роки тому +1

      Kumbe nae anaendaga church hongera Sana kwakwe

    • @isaacponsian9184
      @isaacponsian9184 2 роки тому

      @@lucygodfrey4871 Kwel fanya ufanyavyo Mungu ndo kila kitu...

    • @enockmaige8936
      @enockmaige8936 5 місяців тому

      Ni vyema nimefurahi ndio maana anafanikiwa coz anaishi katika mpango wa Mungu

  • @SaramarkoMollel
    @SaramarkoMollel 23 години тому

    Uko sawa mchungaji

  • @khaijakadija2082
    @khaijakadija2082 Рік тому

    Maa shaa Allah

  • @constanciamosha5144
    @constanciamosha5144 2 роки тому +3

    Well said thank you Papa for the power message to us pray for our family and children's

    • @hurumamvungi212
      @hurumamvungi212 2 роки тому

      Kweli nidhamu inakupa fursa nyingi kama mwanamke mshunemi alitii alichoambiwa na hata aliyewapa maji mifugo alipata kibali cha kuolewa

  • @glorymshana5147
    @glorymshana5147 2 роки тому +6

    Amen God is great haleluyah!

  • @naeema8155
    @naeema8155 2 роки тому +1

    Ubarikiwe sana Mchungaji

  • @siliviajohanes7559
    @siliviajohanes7559 Рік тому

    barikiwa mtumishi

  • @abdulmanengelo
    @abdulmanengelo Місяць тому

    Good

  • @emmamatemu8225
    @emmamatemu8225 2 роки тому +2

    AYO yuko Church

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel1078 2 роки тому +1

    Nimebarikiwa na ujumbe ubarikiwe sana mchungaji unanibariki sana

  • @johnmhanga1165
    @johnmhanga1165 2 роки тому

    , yes suree

  • @BrightonBernego
    @BrightonBernego 11 місяців тому

    Ubalkiwe sana mtumish niangaliapo clip zako uwazinitia moyo sana

  • @utukufumkwantu3819
    @utukufumkwantu3819 Рік тому +1

    Glory to god

  • @ayubulukumay7300
    @ayubulukumay7300 2 роки тому

    Correct 👏👏👏👏

  • @spillovereducationtutorial3228
    @spillovereducationtutorial3228 2 роки тому

    Amina

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 2 роки тому

    Millard Ayo I can see you. Safi sana kijana

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman6478 Рік тому

    Amen Amen

  • @reggiemuzikira6269
    @reggiemuzikira6269 2 роки тому

    That's great

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 роки тому +2

    Kweli wakati sahihi ni wa Mungu🙏🙏

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 2 роки тому +2

    Mi ni Muislam na and I don't watch Christianity things ila hii imenigusa. Abarikiwe Sana huyo mwajiri wake manake angekua wa roho chafu angeficha hiyo barua na aseme wazazi wamekataa. Kisha jamaa ajiendee zake. Ila technology bn imesaidia Sana. Bado wangekutana tu inbox

  • @shaneshane4175
    @shaneshane4175 2 роки тому +2

    Wengi wanadharau sana aswa akikuona ata kwenu akuna umeme nawao wanao mmh wanadharau hawajui maisha ugeuka sasa mtu akikudharau nawe mdharau dunia sio yake

  • @aminabayanga6614
    @aminabayanga6614 Рік тому

    Baba Mungu akutunze zaidi

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 2 роки тому +2

    Kuna kitu kinaitwa bahati inampata mtu yeyote lakin siyo ustaarabu wa maisha kwamba itamtokea mwingine kwa njia hiyo ni bahati

  • @aminimushi6945
    @aminimushi6945 Рік тому

    Huwa najiuluza,watu kama hawa walikuwa wapi?dunia ingekuwa na watu kama hawa tungekuwa mbali,Mungu tusimamie.

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Рік тому +1

    Ametokea Makuro😂😂

  • @aminaj.mkwizu2497
    @aminaj.mkwizu2497 2 роки тому

    Halleluyah hakikaaaaaa🙌

  • @florahjaphet1170
    @florahjaphet1170 2 роки тому +1

    Barikiwa Sana mchungaji kwa neno lenye kweli ndani yake na Ni la kuigwa

  • @tumainmasuki7110
    @tumainmasuki7110 2 роки тому +5

    Ameeeen 🙏

  • @happybenjamin7520
    @happybenjamin7520 Рік тому

    Nakukubali sanq baba ubarikiwe

  • @ngoiramathayo2317
    @ngoiramathayo2317 2 роки тому

    God bless u

  • @stivinringo5976
    @stivinringo5976 2 роки тому

    Sawa kabisa mchungaji nidham na dispilin ktk kila eneo huleta matokeo mazur

  • @bettykageza1964
    @bettykageza1964 2 роки тому +1

    Mungu akubariki pastor

  • @fadhilileonardmariki5962
    @fadhilileonardmariki5962 2 роки тому

    Good message God bless you Rev.

  • @IrineMeena-uy8iz
    @IrineMeena-uy8iz 23 дні тому

    Mungu mwema

  • @trestawagatu1896
    @trestawagatu1896 2 роки тому

    Good preaching

  • @radhiakayage8541
    @radhiakayage8541 2 роки тому

    Mungu ni mwema🙏👏👏👏👏👏

  • @millieholmst6628
    @millieholmst6628 Рік тому

    I receive in Jesus mighty name

    • @therealbosco
      @therealbosco Рік тому

      What are you receiving??? 😂 😂 😂

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Рік тому

    Duuu kwelii kisaa kizuri sana

  • @samsondaudi108
    @samsondaudi108 2 роки тому

    Napenda hii ibada Wacha mungu awabariki

  • @lucyian576
    @lucyian576 2 роки тому +3

    Discipline matters AMEEN 🙏

    • @tivoniakiwango6858
      @tivoniakiwango6858 2 роки тому

      Mungu akubariki pasto

    • @georgebongi4844
      @georgebongi4844 2 роки тому

      Kanisa la KKKT haliishiwi na migogoro na kumbe kuna vichwa kama hivi miongoni mwao kwa nini hawsvitumii
      Hongera mvhungaji Kimaro.

    • @rhodaallen6116
      @rhodaallen6116 Рік тому

      Glory to God

  • @julynchaila8818
    @julynchaila8818 2 роки тому

    Waaaaao safi sana

  • @felichesmkweka1330
    @felichesmkweka1330 2 роки тому

    Nimekuwa mbarikiwa 🙏🙏

  • @LucyHuseni
    @LucyHuseni Рік тому

    ❤❤❤❤

  • @ibnually1512
    @ibnually1512 2 роки тому +3

    Ushuhuda wa kweli ni ule unaokuonesha kuwepo mfanyaji anayejipambanua na wengine wa uongo

  • @stockwelmlyuka9242
    @stockwelmlyuka9242 2 роки тому

    Hakika mchungaji huyu Dr.kimaro namkubali saaaaaaana kwani huwa nabarikiwa Sana na mahubiri yake,Mungu azidi kumbariki ktk huduma zake.

  • @endtimes9850
    @endtimes9850 2 роки тому +1

    WAAMBIE HAO WANAWAKE WANAONIABUDU NA KUNIFUATA MIMI YESU, WAACHE KUVAA NYELE BANDIA,KUCHA BANDIA, KOPE BANDIA NA VITU VYOTE AMBAVYO VINAPINGANA NA ASILI YA KUUMBWA KWAO, NA WANAPOKUA KANISANI KATIKA IBADA WAFUNIKE VICHWA VYAO.
    1 Wakorintho 11:13

  • @invocavitmbise5296
    @invocavitmbise5296 2 роки тому

    I passed through I do understand about 😔😥😭😭😭

  • @sauud2some471
    @sauud2some471 2 роки тому

    Amen 🙏🙏🙏🙏