HALIMA MDEE AFUNGUKA MAZITO- “ NAZI -MISS HARAKATI za UPINZANI, MIMI ni CHADEMA WATAKE WASITAKE”

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 тра 2023
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 65

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 5 місяців тому

    Uko sahihi Ndugu Alima. Tatizo ni mawaziri ambao wamepewa hiyo dhamana ya pesa hizi. Na hao wameweka self interests na hawa mawaziri wanawaweka watu hao. Hapa ndipo wasomi wanafeli. Badala ya kufanya kazi kusaidia watu anajisaidia mwenyewe.

  • @haroldshangali1486
    @haroldshangali1486 8 місяців тому

    Nimefurahi sana Mheshimiwa kwa uamuzi uliofikia wa kuomba msamaha. Hali hii itakufanya uwe huru na uendelea na kupiga siasa ambazo unazifahamu kindaki ndaki

  • @AbdallahMgwasi-zy1ei
    @AbdallahMgwasi-zy1ei 11 місяців тому +1

    Hongera Sana halima

  • @dankimambo1871
    @dankimambo1871 2 місяці тому

    Wewe halima nikichwa ungekua Rika yangu ningekuoa

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Рік тому +1

    OMBA MSAMAHA, TII CHAMA CHAKO KILICHO KUNOA NA KUKUPA HESHIMA, HESHIMI VIONGOZI WA CHAMA NA WANACHAMA WOTE. OMBA MSAMAHA UTUBU USAMEHEWE, RUDI NYUMBANI KUMENOGA

  • @makobamasawemangu4122
    @makobamasawemangu4122 Рік тому +1

    Leo ndo nimeamini huyu Dada hafai kabisa kuwa chadema kwa mda huu yani anakiburi sana na nichawa wa ccm iwe isiwe yani mama zetu wa chadema anawaita watoto wadogo imeniuma sana

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 11 місяців тому +1

    Najuwa Kila mwanadam anamapungufu yake nakwelewa sna dada

  • @ulimwengu5599
    @ulimwengu5599 Рік тому +2

    Part 2 iko wapi jamani!?

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 8 місяців тому

    Huyu ni opportunist, ameona Chadema kumenoga. Siyo mwanasiasa mzuri. Namfananisha na Zitto. Siyo wa kuwaamini. Anarudi Chadema. Nilikwishasema Chadema siyo Chama cha kukiamini.

  • @Rasuli-uo8or
    @Rasuli-uo8or 8 місяців тому

    daaa hongera sana alima mdee ila sio sawa kwa kioo cha jamii je kwa nn huna mume wala watoto kwa nn labda kuna sababu yyt ambayo imekufanya usiwe na falia yako?

  • @leothardngonya4842
    @leothardngonya4842 6 місяців тому

    Wanawake wa KiAfrika bhana, unavaa kamba za katani kichwani, halafu unatkisa kama za wazungu!!!!! Aibuuu.

  • @maulidkilozo2370
    @maulidkilozo2370 Рік тому

    Walikuwa sawa kujifidia walau kidogo machungu yale kwakua hapakuwa na uchaguzi halali ilikuwa zuluma tu nawapongeza sana wali jiongeza poa tu na sisi chadema kindaki ndaki acha watengeneze hela bana nauchaguzi ujao kama kawaida watakuepo ndani kugombea na chadema poa tu hawajauwa mtu bwana.

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g 5 місяців тому

    Achape lapa huko analazimisha umaalufu wakati kapoteza sifa geti liko wazi aende zake ccm kama ni mlango halima umebakia frem na frem yenyewe imeliwa na mchwa kwendaaa

  • @user-xi1fu8ot5t
    @user-xi1fu8ot5t 4 місяці тому

    Mdogo wangu magu na jobu ndugai wakupoza

  • @OlosekiLokoy-sy6qg
    @OlosekiLokoy-sy6qg 4 місяці тому

    Halima nilikua. Nakupenda bure lakin mhhhh

  • @murtan5027
    @murtan5027 Рік тому

    Yani Gerald hando hamna kitu kabisa hana ushawishi hongera kwako salama na zebwela ila huyo nooooo

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Рік тому

    COVID huyu ni miongoni mwa wasaliti ambao walikubali kununuliwa kwa kipande kidogo cha pesa na uongozi, halima wa Chadema sio halima wa COVID, angalia hata anavo jibu maswali, kiukweli mimi nilikuwa mfuasi wake lkn kwa alicho kifanya cna hamu nae kabisa, ila ipo cku atakuja kutambua anacho kifanya hakifai kwa jamii, aibu inakuja mda c mrefu.

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 Рік тому

    Halima nakukubali

  • @Rasuli-uo8or
    @Rasuli-uo8or 8 місяців тому

    zimbwela sijaona maswali yako ya msingi zaidi ya kusikia unawaambia wenzako tu waulize ww vipi huna maswali ya kumuuliza mueshimiwa alima mdee?

  • @alisaid9024
    @alisaid9024 Рік тому

    Muongo Halima Mdee unajipendekeza ili mrudi Chadema ,,,,Mbowe ana taratibu zake na wengine wana zao ,,,,,Mtei ndio muanzilishi na Mbowe alikuja na aina yake na kila mmoja ana aina yake ,,,

  • @jamesswai1683
    @jamesswai1683 8 місяців тому

    Chaguzi zinakaribia unaanza jipendekeza.nenda act

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 7 місяців тому

    Nina maua yako mwanangu: mungu yu pamoja nawe nimependa msimamo wako

  • @mussaelisha3733
    @mussaelisha3733 8 місяців тому

    Mda wako imeshapita hayo Ni poronjo tu Nani Atakuamini

  • @aliykamaga4174
    @aliykamaga4174 Рік тому

    Ukweli ulishapotezamvuto kutusaliti na kuungana na hapa KAZI tu unaudhi we mtoto

  • @user-wg3yu5uy4w
    @user-wg3yu5uy4w 8 місяців тому

    ☑️☑️☑️☑️💯

  • @user-gw5kc3rd3u
    @user-gw5kc3rd3u 6 місяців тому

    Dada bado tunakupenda.. simama na chadema

  • @user-bq4tk6yq2q
    @user-bq4tk6yq2q 6 місяців тому

    Halima bado tunakuhitaji chadema

  • @benjaminyakobo7792
    @benjaminyakobo7792 Рік тому

    Muachini huyo dada jamani nimtu mzuli sana hanatuhuma yawizi wamarizauma muacheni kabisa

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Рік тому

    Hao 19 ni vibarua

  • @mahbsaid273
    @mahbsaid273 Рік тому

    Halima ni Ngumi Ngumi.

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u 8 місяців тому

    Uyo nawenziwe ni wamotoni wamesaliti alakati aondio kinanasali

  • @ChristopherVegula
    @ChristopherVegula 6 місяців тому

    Halima ccm B

  • @husenihamza7591
    @husenihamza7591 Рік тому

    Kituo chenu cha TV kinahitaji weredi mtapotezaa watamaji kwa mambo yamkumbo chadema ni familia kubwaa mukikwazana naoo itaonekana na nyiee mpo upande wa kovidii. Watu wamechukuzwaa na ukwelii mnaujua kunamambo mengi ya nnchii mnaweza kuyaongelea sio upuuzi huooo

  • @agustinomgonde1573
    @agustinomgonde1573 Рік тому

    Halima mdee ndiye titi Mohamed wa chadema.huu ndio ukweli.binafsi hua naumia kuona uko nje bila ya chama.

  • @divaimafuru6844
    @divaimafuru6844 Рік тому

    Sauti ipo chini sana

  • @harunnangussa9702
    @harunnangussa9702 Рік тому +1

    Jaman dada mm nakuelewa san

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 Рік тому

    Afadhali hando amekuwa smart sasa

  • @ephrahimkivuyo4275
    @ephrahimkivuyo4275 Рік тому

    Gerald hando sijui anauliza maswali gani ata 🤣🤣🤣

  • @ChristopherVegula
    @ChristopherVegula 6 місяців тому

    Hawa wasaliti tu

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Рік тому

    😂😂😂😂😂😂kamanda kweli hakuna mtu anajua private life yake

  • @harunnangussa9702
    @harunnangussa9702 Рік тому

    Salim mohadi mkao manyara kiteto nakushauli kua mjinga ilifanikiwe tunakupenda Sana kuomba msamaha nijambo la hekima napenda kusia Sana sauti yako ukiwa bungeni

  • @justinenyamuru890
    @justinenyamuru890 Рік тому

    Yani unaudhi sana na kabisa unawazarau wanawake wachadema na kuwaita watoto?
    Unastahili kunyongwa

  • @nickolatharwelamila776
    @nickolatharwelamila776 Рік тому

    Mume wa mtuuuu😅😅😅 namuangalia kwa makini

  • @MosesNanzinyangw-ry4dy
    @MosesNanzinyangw-ry4dy Рік тому

    Hio sifa alishapoteza

  • @hamisdickson8755
    @hamisdickson8755 Рік тому

    Sasa wewe halima Kama kweli unkipenda chama singejiuzulu ubunge harafu kamakuteuliwa mteuliwe upya Kama kweli uteuzi wenu so was mchongo?

  • @JosamJoseph
    @JosamJoseph Рік тому

  • @ivodaman6236
    @ivodaman6236 Рік тому

    hamsikiki saut ipo chin sana

  • @user-pz7zi2bf1w
    @user-pz7zi2bf1w Рік тому

    Mnapoteza muda tu hapo

  • @MosesBombo-mx2mi
    @MosesBombo-mx2mi Рік тому

    Kwanza mnanimalizia bando bure covid nyie tamaa zimewajaa hamna uvumilivu coz mpo kimaslah tu

  • @hashimuuhehwa1320
    @hashimuuhehwa1320 Рік тому

    Harafu usimuite kamanda huyo takataka wewe, Halima tutakushitaki usiendelee kutumia Chadema yetu pumbavu kabisa wewe ni ccm tipiko kuwa na adabu mpuuzi mkubwa

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 Рік тому +2

    Mdee jembe

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g 5 місяців тому

    Kweendaa ccm

  • @modernmwamtobe-lq8rg
    @modernmwamtobe-lq8rg 8 місяців тому

    Halina nakupa mauwa yako wewe kweli ni jike dume.

  • @jovinmafuru
    @jovinmafuru Рік тому

    Altima omba msamaa

  • @bugumbasalehe4650
    @bugumbasalehe4650 Рік тому

    Hatuna mda nawe wewe ulishafukuzwa

  • @ZakayoKupasya-zf2gb
    @ZakayoKupasya-zf2gb Рік тому

    Ccm wewe acha kutuchanganya

  • @hashimuuhehwa1320
    @hashimuuhehwa1320 Рік тому

    Hata kuangalia hii kitu inatia kinyaa stupid

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Рік тому

      😂😂😂 huku ukiwa unafurahia kimoyomoyo daa kweli kuna binaadamu na watu

  • @wilfredmmbando689
    @wilfredmmbando689 Рік тому

    Huyu dada shida tabia

  • @Pedeshee01
    @Pedeshee01 Рік тому

    Mume wa Ester Bulaya anaitwa Halima mdee