HALIMA MDEE AFUNGUKA MAZITO- “ NAZI -MISS HARAKATI za UPINZANI, MIMI ni CHADEMA WATAKE WASITAKE”
Вставка
- Опубліковано 15 тра 2023
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Uko sahihi Ndugu Alima. Tatizo ni mawaziri ambao wamepewa hiyo dhamana ya pesa hizi. Na hao wameweka self interests na hawa mawaziri wanawaweka watu hao. Hapa ndipo wasomi wanafeli. Badala ya kufanya kazi kusaidia watu anajisaidia mwenyewe.
Nimefurahi sana Mheshimiwa kwa uamuzi uliofikia wa kuomba msamaha. Hali hii itakufanya uwe huru na uendelea na kupiga siasa ambazo unazifahamu kindaki ndaki
Hongera Sana halima
Wewe halima nikichwa ungekua Rika yangu ningekuoa
OMBA MSAMAHA, TII CHAMA CHAKO KILICHO KUNOA NA KUKUPA HESHIMA, HESHIMI VIONGOZI WA CHAMA NA WANACHAMA WOTE. OMBA MSAMAHA UTUBU USAMEHEWE, RUDI NYUMBANI KUMENOGA
Leo ndo nimeamini huyu Dada hafai kabisa kuwa chadema kwa mda huu yani anakiburi sana na nichawa wa ccm iwe isiwe yani mama zetu wa chadema anawaita watoto wadogo imeniuma sana
Najuwa Kila mwanadam anamapungufu yake nakwelewa sna dada
Part 2 iko wapi jamani!?
Huyu ni opportunist, ameona Chadema kumenoga. Siyo mwanasiasa mzuri. Namfananisha na Zitto. Siyo wa kuwaamini. Anarudi Chadema. Nilikwishasema Chadema siyo Chama cha kukiamini.
daaa hongera sana alima mdee ila sio sawa kwa kioo cha jamii je kwa nn huna mume wala watoto kwa nn labda kuna sababu yyt ambayo imekufanya usiwe na falia yako?
Wanawake wa KiAfrika bhana, unavaa kamba za katani kichwani, halafu unatkisa kama za wazungu!!!!! Aibuuu.
Walikuwa sawa kujifidia walau kidogo machungu yale kwakua hapakuwa na uchaguzi halali ilikuwa zuluma tu nawapongeza sana wali jiongeza poa tu na sisi chadema kindaki ndaki acha watengeneze hela bana nauchaguzi ujao kama kawaida watakuepo ndani kugombea na chadema poa tu hawajauwa mtu bwana.
Achape lapa huko analazimisha umaalufu wakati kapoteza sifa geti liko wazi aende zake ccm kama ni mlango halima umebakia frem na frem yenyewe imeliwa na mchwa kwendaaa
Mdogo wangu magu na jobu ndugai wakupoza
Halima nilikua. Nakupenda bure lakin mhhhh
Yani Gerald hando hamna kitu kabisa hana ushawishi hongera kwako salama na zebwela ila huyo nooooo
COVID huyu ni miongoni mwa wasaliti ambao walikubali kununuliwa kwa kipande kidogo cha pesa na uongozi, halima wa Chadema sio halima wa COVID, angalia hata anavo jibu maswali, kiukweli mimi nilikuwa mfuasi wake lkn kwa alicho kifanya cna hamu nae kabisa, ila ipo cku atakuja kutambua anacho kifanya hakifai kwa jamii, aibu inakuja mda c mrefu.
Halima nakukubali
zimbwela sijaona maswali yako ya msingi zaidi ya kusikia unawaambia wenzako tu waulize ww vipi huna maswali ya kumuuliza mueshimiwa alima mdee?
Muongo Halima Mdee unajipendekeza ili mrudi Chadema ,,,,Mbowe ana taratibu zake na wengine wana zao ,,,,,Mtei ndio muanzilishi na Mbowe alikuja na aina yake na kila mmoja ana aina yake ,,,
Chaguzi zinakaribia unaanza jipendekeza.nenda act
Nina maua yako mwanangu: mungu yu pamoja nawe nimependa msimamo wako
Mda wako imeshapita hayo Ni poronjo tu Nani Atakuamini
Ukweli ulishapotezamvuto kutusaliti na kuungana na hapa KAZI tu unaudhi we mtoto
☑️☑️☑️☑️💯
Dada bado tunakupenda.. simama na chadema
Halima bado tunakuhitaji chadema
Muachini huyo dada jamani nimtu mzuli sana hanatuhuma yawizi wamarizauma muacheni kabisa
Hao 19 ni vibarua
Halima ni Ngumi Ngumi.
Uyo nawenziwe ni wamotoni wamesaliti alakati aondio kinanasali
Halima ccm B
Kituo chenu cha TV kinahitaji weredi mtapotezaa watamaji kwa mambo yamkumbo chadema ni familia kubwaa mukikwazana naoo itaonekana na nyiee mpo upande wa kovidii. Watu wamechukuzwaa na ukwelii mnaujua kunamambo mengi ya nnchii mnaweza kuyaongelea sio upuuzi huooo
Halima mdee ndiye titi Mohamed wa chadema.huu ndio ukweli.binafsi hua naumia kuona uko nje bila ya chama.
Sauti ipo chini sana
Jaman dada mm nakuelewa san
Afadhali hando amekuwa smart sasa
Gerald hando sijui anauliza maswali gani ata 🤣🤣🤣
Hawa wasaliti tu
😂😂😂😂😂😂kamanda kweli hakuna mtu anajua private life yake
Salim mohadi mkao manyara kiteto nakushauli kua mjinga ilifanikiwe tunakupenda Sana kuomba msamaha nijambo la hekima napenda kusia Sana sauti yako ukiwa bungeni
Yani unaudhi sana na kabisa unawazarau wanawake wachadema na kuwaita watoto?
Unastahili kunyongwa
Mume wa mtuuuu😅😅😅 namuangalia kwa makini
Hio sifa alishapoteza
Sasa wewe halima Kama kweli unkipenda chama singejiuzulu ubunge harafu kamakuteuliwa mteuliwe upya Kama kweli uteuzi wenu so was mchongo?
Aà
hamsikiki saut ipo chin sana
Mnapoteza muda tu hapo
Kwanza mnanimalizia bando bure covid nyie tamaa zimewajaa hamna uvumilivu coz mpo kimaslah tu
Harafu usimuite kamanda huyo takataka wewe, Halima tutakushitaki usiendelee kutumia Chadema yetu pumbavu kabisa wewe ni ccm tipiko kuwa na adabu mpuuzi mkubwa
Na mbowe ni nani
Mdee jembe
Kweendaa ccm
Halina nakupa mauwa yako wewe kweli ni jike dume.
Altima omba msamaa
Hatuna mda nawe wewe ulishafukuzwa
Ccm wewe acha kutuchanganya
Hata kuangalia hii kitu inatia kinyaa stupid
😂😂😂 huku ukiwa unafurahia kimoyomoyo daa kweli kuna binaadamu na watu
Huyu dada shida tabia
Mume wa Ester Bulaya anaitwa Halima mdee
Daaaa hataliiiii😢
@@nickolatharwelamila776 anasema yupo single
Da! Halima uliniboa Sana saa hizi nakuchukia mno