GODBLESS LEMA ATOA MANENO MAZITO JUU YA MNEC ALLY HAPPY || KUMBE HUJABADILIKA EHH

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 114

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 5 місяців тому +4

    Hawa WAHUNI ndio wapewe nchi kweli UPINZANI bado SANA 😢😢😢😢

  • @martinabayyo9982
    @martinabayyo9982 5 місяців тому +2

    Na matusi yote hayo unalitaja jina la Mungu! Mungu akusamehe kwakuwa hujui utendalo

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc 5 місяців тому +7

    Matusi ndo mnayoweza Lakin Lema mganga wako makonda Kaja arusha

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 5 місяців тому +8

    Sidhani kama hii dio Sera za chamacha chadema ,ila ni kukosa maadili ! Kuishiwa na Sera ni kukiangamiza chama ! Msije mkatafuta mchawi ,

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 5 місяців тому +3

    Makonda hoyee mtu mwenye nyota yake mjini kwanza Makonda njoo uchukue maua yako🎉🎉

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 5 місяців тому +5

    Utabaki kusikia lakini ccm ya sasa iko juu we endelea kutukana

  • @umalqasimalhamhami6707
    @umalqasimalhamhami6707 5 місяців тому +5

    Pombavu zakoo ww msengee tuu

  • @MathayoMagoti
    @MathayoMagoti 5 місяців тому +2

    Shida uenu mnatukana sana watanzania waliwapenda sana ila mmezalaulika kwajili ya matusi weken sela mezani tuwachamvue

  • @donatusdaniel3722
    @donatusdaniel3722 5 місяців тому +3

    Lema na uamini sana kama kiongozi mzuri wa kitaifa.
    Lafiki hatuba zako zako zimejaa matusi plz nakushauri k8ongea na kusimamia hoja zinatuhusu. Nakuamini Sanaa

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 місяців тому +1

      Wapinzani wanaongea kwa jazba hata wanakosa points. Unahutubiaje "upumbavu" 'kuwa na adabu"

    • @festokivuyo7121
      @festokivuyo7121 5 місяців тому

      @@MsAggie5 yaani upande jukuani kitu unasema pamoja na somo yako nikutukanana nakupenda majina ya watu siasa safi utaji mtu jina ukitaka kukosoa huyu anafaa tu kwenda bungeni kwa kuteuliwa asiwakilishe maali

    • @lucaschisamalo2852
      @lucaschisamalo2852 5 місяців тому

      Mpumbavu siyo tusi kwanza kauli za kistarabu sasahivi hakuna ccm wamekuwa siyo watu wakuambiwa maneno matamu siyo watu kabisa

    • @zawadichalale4047
      @zawadichalale4047 5 місяців тому +1

      Kura haziwezi kuibiwa sera zenu ndio mbovu pigeni sera za maendeleo sio kishindana ninyi kwà ninyi hazitusaidii wananchi tunakiu na maendeleo tu sio sera mbovumbovu

  • @geey7893
    @geey7893 5 місяців тому +5

    Kumanina umeshapigwaaaa huna ishu. Huwez kushinda Ubunge Arusha Makonda akiwa mkuu wa Mkoa Mbwa kokooo wewe😂

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 5 місяців тому +5

    Mhh huyu kiongozi wa wapi jamani

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 5 місяців тому +1

    Safi kwa kuwashauli mana watu wanalewa madaraka wakati Mh Rais yuko safi mama wa watu

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 5 місяців тому +2

    Raia mwema utunza kinywa chwake kwa kutamka lugha za matusi🤔🤗 utausikia ubunge kwenye television tu

  • @adelinelyaruu3036
    @adelinelyaruu3036 5 місяців тому +3

    Hao walitakiwa wamsikilize Dr. Nchimbi kwa aliyosema kwenye kongamano la kumbukizi ya Mwl.Julius Nyerere

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 5 місяців тому +3

    Wewe ndiyo mjinga Lema .Wewe ni tatizo huna lolote .Unaomba huruma ya Mungu

    • @markoshem-ij6cf
      @markoshem-ij6cf 5 місяців тому +2

      Rema ndoo kiongozi mzr hapa Tanzania wewe

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 5 місяців тому +1

      Clemence huyo Lema ana laana ya kuwatukana viongozi wa dini ndiyo maana matusi mengi hata huo Ubunge hapati

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 місяців тому +1

      ​@@margarethpolepole7438weee si anajifanyaga ana hofu ya Mungu na nilisikia akijiita Nabii au pastor ........anatukanaje?

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 місяців тому +2

      ​@@markoshem-ij6cftutalijua hilo uchaguzi ukifika 😂

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 місяців тому +7

    Kweli kwa matusi haya Chadema mtapata kura kweli

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 5 місяців тому

      Yaani huyu jamaa huwa simuelewi kbsa maana sijawahi kuona akiongea kitu cha maana yeye kila siku ni kulaumu, ongea kitu cha maana ongea hoja ya maendeleo, watu wenye akili zao sidhani kama wanaweza kuwasikiliza, Kifupi Lema siasa hajui huo ndo ukweli

    • @mwllughanosanga960
      @mwllughanosanga960 5 місяців тому

      kwahiyo matusi ya CCM ndo halali?

    • @TanganyikaChakupewa
      @TanganyikaChakupewa 5 місяців тому

      Weeee jinga kweli ni uchawa tu unakusumbuwa ​@@mgosimkome9242

  • @rehemakimungu6494
    @rehemakimungu6494 5 місяців тому +4

    Unajitukana mwenyewe lemaa, huna jipya kwa wananchi, kaa kimya

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 місяців тому +5

    Lema nahisi una afya ya akili hauko sawa kabisa

  • @ManenoAnthonyMachaku-dt4jm
    @ManenoAnthonyMachaku-dt4jm 5 місяців тому +1

    Anavyotukana utazani mwamba kwer ,,lakin sasaiv UTASIKIA kakimbia Nchi kupitia Chocho na bodaboda 😂😂😂 mwoga uyooo .

  • @AnthonyKomba-o5f
    @AnthonyKomba-o5f 5 місяців тому +2

    Huyu jamaa anafanya siasa za kipuuzi!!

  • @zablonnyanda6095
    @zablonnyanda6095 5 місяців тому +1

    Acha woga bro! Unatuangusha banaa!!

  • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
    @kwayaviwawaparokiayabashne9281 5 місяців тому +1

    Mungu akubariki Sana Lema Nakuelewa kweli kabisa

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 5 місяців тому

      Wewe ni mjinga kama Lema jambazi huyo

    • @Ibrahim-ne3in
      @Ibrahim-ne3in 5 місяців тому

      Lazima umuelewe c n shoga mwenzio

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 5 місяців тому +4

    Lema anaongea kama kavuta bangi vile!! Unamtukana mtu bila sababu! Hoja hujibiwa kwa hoja! Acha ujinga! Hawatakuchagua nakwambia!😅😅😅

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 5 місяців тому +2

    Chumbani kwa mongela na chooni ulifata nini shehe unatutisha lema😎

  • @Yusufumoses-w5y
    @Yusufumoses-w5y 5 місяців тому +2

    Kumbe magufuli hakukosea kuwanyima Uhuru 😢😢😢.

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 5 місяців тому +2

    Lema we ni kiongozi MTU mweye uwezo mzuri sana wakuongea lkn mm na onauongeaji wako mara nyingi unakosea kidogo sana wapizani wa kuongea sana kuliko kufanya kazi wana maana ww muongeaji sana kuliko kazi

  • @ManirakizaHashim
    @ManirakizaHashim 5 місяців тому

    Asante Ally Hapy lime mata mtoto Lema

  • @JaziraMustafa-g9p
    @JaziraMustafa-g9p 5 місяців тому +2

    Kweli Lema ni bangi si alikimbia huyu wakati wa kidume Makufuli.Mikwala ya kishoga tu hiyo huaga kisaini hiyo.

  • @hamzakhamis1575
    @hamzakhamis1575 5 місяців тому +6

    Uongozi ni hekma na sio matusi kaka, jifunze siasa za kistarabu. kama nchi hii viongozi wote wangelikuwa na jazba kama wewe jee inchi ingelikalika.

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 5 місяців тому

      Huyu jamaa hajui siasa bana zaidi ya kuropoka ropoka tu, hivi lini Lema alisimama akaongea kitu cha maana jmn tuseme tu ukweli,

  • @augustinomhanje9225
    @augustinomhanje9225 5 місяців тому

    Mimi nashanga sana hivi wananchi wanategemea viongozi waweze kuwasaidia chaajabu kazi kupiga soga zisizo na manufaa yoyote kwa wananchi.

  • @phaustineJoseph
    @phaustineJoseph 5 місяців тому +3

    Hamna kura hapo lema

  • @wamburajohanes952
    @wamburajohanes952 5 місяців тому +2

    Lugha hii. Pole sana

  • @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl
    @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl 5 місяців тому +2

    jamaa amejaaa Shari tu hanajipya matusi tu ndio Kaz Yako ndio maana nashangaa mbona kabila Moja TU hakunagauchaguzi hata wa Mwenyekiti Mkuu ni yuleyule inamaana wengine hawafai hata huyu njaa TU anataka ubunge maisha magumu

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 5 місяців тому

      Hata Siku moja hakutatokea mchaga kuwa Rais ndani ya Tanzania hii

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 5 місяців тому +2

    Huwwzi kumuita mwanamme mwenzio mpumbavu! Jazba ndizo zinazokuponza! Unataka haki wakati umefivha mapanga nyuma ya migongo yenu! Kwani bila kutukana hueleweki?? Wewe pia ni mpumbavu mmoja! Na hutaongoza nakwambia! Nimekaa paleee!😢😢

    • @StanfordPopitol
      @StanfordPopitol 5 місяців тому +1

      Wewe sio mpiga kura, umesema asitukane wewe unatukana tena

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 5 місяців тому

      @@StanfordPopitol Sijatukana! Nimemrudishia neno lake asikie kama linapendeza!

  • @rehemakimungu6494
    @rehemakimungu6494 5 місяців тому +3

    Sasa kwa matusi hayo nani akupe kura? Unatia kichef chef

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 5 місяців тому

      Ndugu yangu wajinga wajinga ndo wanaweza kumpa kura hivi kweli Lema anaweza ongea Huo mkutano niwe nimekaa kbsa nasikiliza, shule nzuri jmn tuache utani, watu somesheni watoto hata mtoto akisema anaingia siasa awe na utulivu, Japo sio wote ambao hawajasoma hawana busara, angalia Mashine Kishimba mbunge wa kahama yule mzee akiongea unatamani urudie rudie kusikiliza anaongea point tu, ukija akina Zito Kabwe, John Mnyika, Akina Kafulila enzi wakiwa wabunge wakisimama kujenga hoja hadi unasema kweli mbunge kaongea lakini Lema na Sugu jmn hebu jiangalieni angalieni hata clip zenu muda mwingine muone wapi mliwahi kusimama mkajenga hoja za maendeleo mkasema namna gani serikali ifanye kwa wananchi mkashauri nn kifanyike kwenye majimbo yenu zaidi ya mtu akisimama utasikia serikali ya CCM dk 15 zote speaker anatoa mtu ni kusema CCM CCM, kuna muda weka pembeni CCM ongelea hoja za Jimbo lako tetea wananchi hujatumwa kwenda kutoa lawama jmn. Mnajifanya mnajua siasa lkni Kiukweli Lema na Sugu kwa mtu mwenye akili timamu aisee hawezi wasikiliza ndugu zangu.

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 5 місяців тому +1

    Hapi nilijuwa kukaa benchi atakuwa kajilekebisha kumbe hamna kitu Ila Tanzania viongozi hakuna kweli kila siku wanaludi haohao mbona wasomi wapo wengi tu wanajeshi hebu tusidieni jamani angalau hata mwaka mmoja mtunyoshe kidogo

  • @shabanikitula645
    @shabanikitula645 5 місяців тому

    Lema kamanda achana na hii takataka ya pilipili haina issue anaacha kudil na mambo ya chama chake anazungumzia vitu tofauti makonda alipokuwa mwenezi hakumtaja lema wala mbowe ndiyo maana watu walimpenda hata alivyotolewa uenezi watu walilalamika sana

  • @danielshauri6390
    @danielshauri6390 5 місяців тому +3

    Viongozi wa chadema wengi ni wavuta bange .
    Wanaongea ujinga sana

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 місяців тому +1

      Wanaongea kwa jazba, wanaishia kutukana na inafanya wakose points

  • @zablonnyanda6095
    @zablonnyanda6095 5 місяців тому +1

    Huyu jamaa anaonekana ni muoga sana! Sasa maneno gani hayo?? Piga kazi bro! Kwa mtu muelewa atakudharau tuu! Angalia uhalisia, shindanisha hoja

  • @husnashehe1721
    @husnashehe1721 5 місяців тому

    Chadema kuitawala Tanzania bdo sana kabisa yani

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 місяців тому +3

    Matusi yamezidi Lema ongea siasa yako tu

    • @Robust78
      @Robust78 5 місяців тому +1

      Wanatia hasira

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 місяців тому

      ​@@Robust78kwenye upinzani au mashindano huoni mpinzani anakutia hasira halafu ukikasirika unakosa mwelekeo ndo unampa ushindi yeye? Kama kiongozi anatakiwa alijue hilo, kauli njema na hekima ni ushindi sio matusi.

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 5 місяців тому

    Lema usompenca kaja utampenda kwa lazima 😂

  • @ashrona9884
    @ashrona9884 5 місяців тому +1

    Ila umewatukana wanaum yaani Bung zima hamna mwanaume

    • @Robust78
      @Robust78 5 місяців тому +1

      Kwa mantiki yake neno wanaume siyo kuwa na jinsia ya kiume la hasha, katika tafasiri ya fasihi neno mwanaume au wanaume amemaanisha watu walio shupavu, jasiri na wenye kujiamini kuweza kuiwajibisha serikali wakiwa katika jinsia yoyote ile. Kwahiyo hajatukana wanaume kwa maana ya jinsia. Angalia pia mfano katika lugha ya kiingereza kuna maneno kama " This is a man made problem" hapa haimaanishi kama tatizo limesababishwa na mtu mume bali limesababishwa na mtu au watu(Binaadam)
      Kwahiyo kwakusema pale bungeni hakuna mwanaume tafsiri ni kwamba hakuna mtu katika hao wote waliopo mwenye ujasiri na ushupavu unaopaswa au kustahili. Nadhani naeleweka vizuri.

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 5 місяців тому +1

    Acha matusi kiongozi gani mlevi

  • @AliKibwana-mg3uu
    @AliKibwana-mg3uu 5 місяців тому +1

    Hiyo ni press imepanda

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 5 місяців тому

    HUYU BOYA LEMA ANAJIFANYA ANAJUA SANA MPUMBAVU SANA HHICHO CHA ARUSHA KITAKUPONZA ULIKIMBIA MBIO ULAYA KAMA JASIRI SIUNGEKAA????
    CHAUWOGA MKUBWA ACHA KUCHANGANYA DINI NA SIASA UMESHAOMBA RADHI ULIYOYANYA ARUSHA WATU HAWATAKUSAHAU

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 5 місяців тому +1

    Matusi ya kutajiana wazazi
    Zinatokea wapi
    Unatafuta njia ya kukimbia nchi tena

  • @abdulwadi8667
    @abdulwadi8667 5 місяців тому +3

    Lema unatukana ndio siasa safi hiyo?lete hoja sio matusi sasa ww mwite mpumbavu makonda uone maana ya upumbavu ni nini

  • @martinabayyo9982
    @martinabayyo9982 5 місяців тому

    Uongozi haupatwi kwa matusi uongozi utaupata ukiwa na hekima hiyo tabia yako itakuponza mbaba mzima unachafua kinywa chako kwa kutamka matusi jaman hata watoto watakudharau unatakiwa kuongea maneno ya busara

  • @GracePaul-x3q
    @GracePaul-x3q 5 місяців тому

    Ndo maana hamuwezi kuongoza nchi ,hivi ulitaka kuongea sera za kujibu hoja mpaka utu km umtukane kweli endeleen kukaa pemben mpaka mkuwe ki akiri

  • @GracePaul-x3q
    @GracePaul-x3q 5 місяців тому

    Kapimwe akiri kakaangu nchi hii c kijiwe Cha wahuni

  • @mangobase
    @mangobase 5 місяців тому

    Hivi huyu lema huwa anavutaga bangi? ... Anavyo toa povu...... 😮

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya8717 5 місяців тому

    Nimehisabu wanasikiliza (nyuma) 18 na mbele 150 😂😂 hapa mpaka 2040 mjipange

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 5 місяців тому

    Mmebakiaga kudandia dandia maneno tu ktk kila kinacjotokea nchini,hamjengi hoja peke yenu ili wananchi tusikie,nyie mnasubiri wenzenu waseme yao ndo mnarukia maneno

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 5 місяців тому +1

    Ukiongea ujinga utajibiwa ujinga, chungeni kauli hii ni awamu ya 6, mama yetu hataki vitisho, ndio maana nchi imepoa, hata huyo mwenezi katolewa kwa kauli tata zisizo za kisheria,😮

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 місяців тому +1

      Hakutolewa Kwa kauli Makonda hajatoa kauli yoyote Tata na amemsifia Kwa kukiamsha Chama, ni ubabe alioufanya Dar uliomuondoa Kwa sababu aliyemfanyia ubabe nae ana watu wazito CCM

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc 5 місяців тому +1

    Na wandishi mwatakiwa kuangalia vitu vya kupost ujinga kama huu

  • @Educatedmind-k9r
    @Educatedmind-k9r 5 місяців тому +1

    Bangi ni bora ikutume kulima sio kuwa kichaa kama huyu

  • @istambulahmed6664
    @istambulahmed6664 5 місяців тому

    Masikini chadema hawana viongozi wazuri hata kidogo badala ya kuongea sera badala yake ni kutukana na ............ hii ni aibu sana

  • @PrinceemanuelBusungu
    @PrinceemanuelBusungu 5 місяців тому +2

    Yaani Huna maneno ya stara hadi unatukana . nani atakupa uongozi wewe

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 5 місяців тому

    Huyu🌈 mkanada anajiandaa kukimbia ni muoga kinyama😂

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 5 місяців тому

    Nchi ipo na amani na demokrasia inaendelea safi

  • @SubiranTimo
    @SubiranTimo 5 місяців тому +1

    Nae hapi kakosea msitegemee huruma ya nn leteni katiba mpya uchaguzi wa haki wa wizi tu ccm

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 місяців тому +1

      Hata kwenye biashara huwa wanavutia vyao na kuviponda vya wenzao lakini hakuwa na haja ya kutukana angeongea sifa za Chama chake na points nzuri alizonazo. Asijetafuta mchawi uchaguzi ujao

  • @SalumSaid-j8g
    @SalumSaid-j8g 5 місяців тому

    Wee mwenyewe muhalifu tu

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 5 місяців тому

    Aseme Mbowe we ukitishwa kidogo unakimbia Nchi.

  • @AnthonyThadei
    @AnthonyThadei 5 місяців тому

    Wew ni pembeni,hakuna kupewa nafasi arusha hii tena,kelele tu na huo mdomo wako usiokuwa na staa,

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 5 місяців тому

    Nchi hii hatuendelei kwa sababu ya upumbavu wa watu. CCM imewafikisha wapi???
    Pumbavu kabisa!

  • @doiabel3793
    @doiabel3793 5 місяців тому

    Lema unasifa gani ya kuwa kiongozi?? Sifa ya kiongozi huwa ni hoja za msingi, busara khekima na maono si matusi haya unayo toa sifa ya kiongozi ni kutoa hoja zako za msingi si kutukana watu.

  • @davidkilajaga8842
    @davidkilajaga8842 5 місяців тому

    Cku zote hasira ni hasara, unajua siasa ni mchezo wa kutekenyana hv, kwa hio lazima akili itumike zaidi

  • @MariamOmary-s1t
    @MariamOmary-s1t 5 місяців тому

    Makonda ndo kabaliyako

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we 5 місяців тому

    Lema huna hekima fala ww

  • @elihurumamushi2521
    @elihurumamushi2521 5 місяців тому

    neno mpumbavu maana yake ni nini jamani kwa anayejuwa mimi kwa huelewa wangu mdogo ni mtu anayejuwa jambo fula lakini anafanya tofauti mfano unajuwa 5+5=10 lakini lakini wewe unafanya 5+5=13 wakati unajuwa ni10 mjiga nalo siyo tusi kwa sababu yeye hajui 5+5= ni10

  • @AdamEvarst
    @AdamEvarst 5 місяців тому

    Ww lema mpuzii kwli huna lolote

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola 5 місяців тому

    Kwa wataalam wa biblia neno alilotumia si matusi,maana limea dikwa kwenye kitabu kitakatifu zaidi ya mara 200

  • @balozikaniki3808
    @balozikaniki3808 5 місяців тому

    Chizi katoroka milembe

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 5 місяців тому

    Vibaka kama hawa tunawapaje nchii hii...bangi bangi bangi vichwa maji panzi

  • @stafordchamgeni8430
    @stafordchamgeni8430 5 місяців тому

    Lema unaonekana umezeeka huna la kuongea? Pole sana karne hii kuna kauli za hivyo katika siasa za kistaarabu wajinga ,wehu,wapumbavu ,washenzi na Mabwege ni wepi? mbona unaongea kilevi hivyo na nyie wananchi mnaohudhuria mikutano ya watu waliokunywa pombe mnajisikiaje? Kwahiyo Rais akifanya vizuri asifiwe na nani?mbona wewe unasifu Chadema mmefanya nini?

  • @samochristopherroche9953
    @samochristopherroche9953 5 місяців тому

    Tulia wewe huna lako tulishachoka mambo yako na ndio maana tulikukataaa

  • @SalumSaid-j8g
    @SalumSaid-j8g 5 місяців тому

    Utaharibiwa wewe boya wee

  • @AllyMaya-yj3xd
    @AllyMaya-yj3xd 5 місяців тому

    HAKUNA SIASA ZA HIVYO HUTAPATA KURA UNAINGIZA MAMBO YA WAKE ZA WATU NA WATOTO NN ? 😂😂😂😂 MBONA KAMA UNA STRESS BAADA YA MAKONDA KUJA MTAANI ?

  • @steveouko7537
    @steveouko7537 5 місяців тому +1

    Kweli kabisa

  • @GodfreyibrMyagila
    @GodfreyibrMyagila 5 місяців тому

    Mjinga sana wewe mbona wewe huongei na mkeo mjinga wewe

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 5 місяців тому +1

    Ccm wote wajinga tuu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 місяців тому +1

      Hahahaha na chadema wote wajanja tu 😂😂😂 bado wanaibiwa kura pamoja na ujanja wao 😂😂😂😂😂 so funny 😂

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 5 місяців тому

      Wewe mwenyewe mjinga tu Huna sera! Tulieni dawa iwaingie...uongozi mtausikia redioni....!