Shukran mwalimu ndacha kwa kuweka maandiko sawa. Mwalimu wa kiislamu alisema kuwa, mwili wa Yesu uliokuwa ushakufa ambapo ulikuwa msalabani haukufaa kutoa damu na maji baada ya kudungwa mkuki, inamaana kuwa alikubali Yesu kasulubishwa. La sivyo, alichwomwa mkuki akiwa wapi? Yusufu amechanganyikiwa nakukataa maandiko ili atetee ukafiri ama upingaji Kristo. Barikiwa sana mwalimu Ndacha
Bila kusoma huo uchafu wnu unaoitwa Quran hamuezi elewa ndio maana anatumia vitabu vyenu muelewe yesu alikufa,kila LA khel pastor ndacha, Mungu awabariki wewe na paulo
Masha Allah wakristo mna juwa ukweli ya kuwa uislamu ni dini ya haki n pia mnajuwa yesu hakufa ila Mwenyezi Mungu atawaongoza njia iliyo sawa inshaallah
Please mwalimu Ndacha niko na swali liko nje na maadha ya leo plz naomba unifunze kutoka kitabu 1wakorito14:34 je ni ukweli mke ana ruhusa kulinena neno la mungu hata mamlaka mbele ya waume kindly plz naomba unisaidie kwa hiyo aandiko
Hawa marafiki zutu waislamu wahaelewi maandiko,,,kuwakumbusha tu angalieni video za CHRISTIAN PRINCE UA-cam mpate kujua kuruani yenu inavyowadanganya na kuwapotosha....
👏👋👋 kazi nzuri walimu wetu Mungu awajaalie darja ya juu siku ya ahera
Pasteur ndacha nakupenda sana ni bisimwa Tristan toka RDC goma ville
God protect you and your family to continue minister the word of God
GOD BLESS YOU FRANCIS NDACHA.
KEEP DOING THE WORK OF GOD YOU'LL ARCHIVE KINGDOM OF GOD AMEN.
Thank you so much , Jesus is lord and our Savior
Thank you so much Kristen and mosilim s nimefamamu njambo hapo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ama kweli nacheka sana muislaam huu kanichekesha balaaa eti waramaturulahi kabarakatu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Shukran mwalimu ndacha kwa kuweka maandiko sawa.
Mwalimu wa kiislamu alisema kuwa, mwili wa Yesu uliokuwa ushakufa ambapo ulikuwa msalabani haukufaa kutoa damu na maji baada ya kudungwa mkuki, inamaana kuwa alikubali Yesu kasulubishwa. La sivyo, alichwomwa mkuki akiwa wapi?
Yusufu amechanganyikiwa nakukataa maandiko ili atetee ukafiri ama upingaji Kristo.
Barikiwa sana mwalimu Ndacha
Ningeijua namna ya kukupata ningekutumia sadaka yangu pastor Fransis Ndacha. Nakusifu kwa kuzihifadhi Aya za biblia na za quran .
Good work
Amen
Mungu atukuzwe kwakua yesu alifufuka!!
Nyinyi waisilamu hamna lolote kwa ndacha nyinyi wasomi ila kelele za chura
Ndacha unafundisha vizuri mno.. barikiwa
Pastor ndacha may God bless you wahubilie sababu wakati wa Kiama hawatasema hawakuambiwa
Thank to god
Hakuna mwenye hatakufa Ila waislamu mjue yesu kafa Na akafufuka lakini Mohammad hakufufuka mwelewe Hilo
Mmekubali kuwa yesu alikufa
Aky pst mungu akubarik
Please nataka mahubiri kati ya Pastor Ndichu Vs Pastor Ezekiel Odera wa New life church and prayer center
Jesus is the way and truth no one comes to the father but to Jesus.He died and he is in the right hand of God and he is the Messiah to come😅
Yeye Yesu ni bingwa
Naurudi. Tena
Wapasue hao pasta ndacha
Msomalii 😂😂😂😂hana elimu anahitqji aende asome kwa ndacha
Alhamdulillah ❤
Amen. Wambie.ukweli
WAslam wanamatatizo awafati mahadiko
Wanatumiya hakili yao TU...
Munasema nini ninyi waeslaam? Kwanza nashangaa sana munazungumzia nin??i
Nafikiri issues siyo kutamka lugha ila nyie waislam hamjui maandiko maana ili uyatambue maandiko lazima ufumbuliwe macho ....
Dah!!Mchungaji katoa ushahidi kuwa mtu akifa anavishwa sanda!!!Sasa madanduku ya Nini Tena jamani??
Dah!!Mchungaji ametoa Tena ushahidi kuwa auae Ni Allah na Yesu ameuliwa na Allah!!Hivyo wote tuelewe kuwa yesu ni kiumbe wa Allah na kwake atarejea
Bila kusoma huo uchafu wnu unaoitwa Quran hamuezi elewa ndio maana anatumia vitabu vyenu muelewe yesu alikufa,kila LA khel pastor ndacha, Mungu awabariki wewe na paulo
Bibilia ni mchuzi mix
Masha Allah wakristo mna juwa ukweli ya kuwa uislamu ni dini ya haki n pia mnajuwa yesu hakufa ila Mwenyezi Mungu atawaongoza njia iliyo sawa inshaallah
Leta maandiko
Inaskitisha ukiwaskia wakiristo wanavyo bobokwa maneno bila kujielewa hebu kuweni na akili nyie
Aki waislam hamuna hoja toeni hoja jameni😮
Please mwalimu Ndacha niko na swali liko nje na maadha ya leo plz naomba unifunze kutoka kitabu 1wakorito14:34 je ni ukweli mke ana ruhusa kulinena neno la mungu hata mamlaka mbele ya waume kindly plz naomba unisaidie kwa hiyo aandiko
Duh wakiristo hamuna elimu kweli 😂😂😂😂😂
Mungu alali
Mungu hachoki.
Mbona hujibu swali mzee
😂😂😂😂 Ndacha ako juu
Ni Ndacha wewe😂😂😂😂🤣😃
mbaka nime edit @@mwanashagladys4581
Waislamu sijui ata mnafundisha nini apo ....mtumishi wa mungu ndacha mungu akubariki kwa huduma yako nzuri
Pia mm nimeshidwa na wao matusi tu but mungu atamsaidia paster ndacha
Good
Anaetaka kujifunza na kujua njia ya kweli na uzima bas aangalie CHRISTIAN PRINCE ,, u will regret kwa kuwa muislamu miaka hiyo yote,,,
Thanks bro, christian Prince, as usual busts this Abduls,now ndacha prince,
Alikufa au hakufa hiyo ndio mada na sio blaa blaa nyingi
Sir Ndacha where are you?
Hi... Ata huku Hua unafika? 😂😂😂😂
@@lucykamangu5030 Absolutely 💯Mzimbiting I do found my village people here 😀
Yesu nimungu ama mtu kwani mungu ukufa?na kufufuka?nakama mungu anakufa nani anamiliki dunia?wakristo mlipotea
Unaongea kweli mwalimu muzuri ndacha
Yes ndacha anaongea ukweli
Yesu hakufa
Uliskia wapi?
UBARIKIWE MWALIMU WANGU MZURI
🤣🤣🤣
Mwalimu ndacha kabarakatu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwalimu ndacha waramaturulahi kabarakatu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa marafiki zutu waislamu wahaelewi maandiko,,,kuwakumbusha tu angalieni video za CHRISTIAN PRINCE UA-cam mpate kujua kuruani yenu inavyowadanganya na kuwapotosha....