Asante sana Ex Pastor Isaac. Nimefurahishwa sana na ujuzi wako. Una maana sana, lakini bila shaka, kwa akili yenye akili ambayo ni ya kimantiki na yenye kufikiri kwa kina. Mungu akubariki. Haijalishi mtu ni Mkristo au Muislamu, mjadala lazima uwe na mwelekeo wa kimantiki. Kuna watu wengi wanapindisha maneno kutoka katika nafasi zao na kuhalalisha upendeleo ambao tayari umejificha kwenye fikra zao.. Mungu akubariki. Ukweli unasimama peke yake. Uongo ni mwingi. Pia nataka kuwapongeza Wakristo. Uislamu unasema Wakristo wengi ni wanyenyekevu. Na kwa sababu ya unyenyekevu huu, wako wazi kwa uongofu. Mungu atuongoze. Tuombe mwongozo. Ray from Canada
Mashallah Shekhe Ibrahim uko vizuri umempa elimu Ndacha japo Ndacha anajuwa ukweli wote kuwa Allah Subhuana wa taala ndio Mwenyezi Mungu mmoja tu alie umba Dunia na vyote vilivyopo Duniani. Allah amuongoze Ndacha aslim kabla ya mauti asije kufa kafiri Ameen.
@@upendomaduhu1310 sio wabishi sisi tunafwata maandiko . Nyie ni kondoo msio jielewa. Kondoo mnao fwata na kuamini hata ujinga. Ndio mana wachungaji wenu wana wauwa. Mfano Kabwetere alivyo watia moto waumini wote wa kanisa na kenya mlivyo uwawa Kwa kushindishwa na njaa. Hamjioni Kwa hamna akili?
Thank you so much Ex Pastor Isaac. I am very impressed with your knowledge. You make so much sense, but of course, for an intelligent mind which is logical and has deep thinking. May God bless you. It does not matter whether one is a Christian or Muslim, the debate has to have logical direction. There are many people who twist words out of their place and justify the bias that is already there hidden in their psyche.. May God bless you. The Truth stands alone. Falsehoods are many. I also want to congratulate the Christians. Islam says many of the Christians are humble. And because of this humility, they are open to guidance. May God guide us. Let us pray for guidance.
Hahahaa', Sasa point gani, Leo analitafuta jina la MUNGU , wakati MUNGU wenu Yesu, si angesema tu' MUNGU wenu jina lake Yesu...hahaa wakristo matatizo sana
Mm niisha kemea kwa jina na Yesu na kuteteza katika moto wa jehenamu mtoto wa boss wangu alimaliza siku mbili bila kwenda shule. Alafu mama yake akaniambia hata nikiona kitu nisikikemee .
Mashaallah tabarakarahman mungu akueke sheikh issac,wajua paka uwe na elmi kweli kama alivyosema sheikh issac hapo ndacha mimi nafuata sn debate zake na zote nizaunafik hana hoja nzuri anageuza sn maneno waeza on nikweli kumbe ni urongo,anasema biblia inasema mungu ni moja namajina yote akatoa very good nampongeza amesema ukweli,sheikh issac akamtaja yesu mungu wao,ndacha alikasirika kwanini anamtaja yesu kwa mada hii? Inalillah waina ilairajiun,hawa watu wamepotea hawana elmu kabisa yani mungu wao mkubwa Jesus my load wamemsahau leo ndio tukawaita sumun bukmun umiun,alhamdulillah alaneematulislam
@@charlesmelekajunior9238 Pole sana kwanza Huna unalojua kusikia tu nakufwata ndio wakristo mulivyo,mimi nimesema ndacha amekasirika kusik8a jina la yesu kwa hio mada na yesu ndio mungu wenu kwa wakati huu sasa ni yesu tu in the name of load Jesus 😀 sasa vipi leo kwa mada amekasirika kutajwa yesu?kwa hakika mumepotea mumepotwezwa nawazungu mwafrika hatumi akili kabisa anpelekwa tu
Kadhihirisha jina YESU mwokozi - Yohana 17:11 Mimi naondoka ulimwenguni ninakuja kwako. Lakini wao wako ulimwenguni. Baba Mtakatifu, walinde kwa jina lako ambalo umenipa ili wawe na umoja kama sisi tulivyo mmoja.
huyu Ndacha haeleweki, hapo anasema baba ndie Mungu kwengine atakwambia mwana yaani Yesu ndie Mungu mwenyewe, halafu anakataa kuwa ukristo haufundishi Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu. halafu wakristo wanamshangiria kwa sababu wenyewe hawasomi masndiko.
@@LovelyComputerChip-cj4wz Kafir ni kafir tu😂😂😂😂😂😂shida hujui chochote kuhusu din yko,mwenzio nilikuwa Mkristo nikaisoma bible vzr na kuufuatilia Uisilam vzr nikaujua ukwel,sasa ww hujui kitu unapelekwa tu km mbulula😂😂😂😂😂
mungu wa Waislamu hajulikani hana jina. Allah ni neno la kiarabu, kiswahili chake neno hili Allah ni Mungu,, sasa huyo Mungu yaani huyo Allah jina lake anaitwa nani?. Waislamu wamekwama. Waislamu hawana mungu, Uislamu na Qur'an vimetengenezwa na akina WARAKA, BAHIRA na baadhi ya makuhani wa kiyahudi ili kumpinga Mungu wa kweli YEHOVA. Wametengeza kitabu na kudai kimetoka kwa Mungu kumbe ni uongo, hili Waislamu wengi hawalijui, wanaofahamu hili Uislamu huwa wanauacha.
Yesu si Mungu, Mungu nishetani ndio maana muislamu na mukristo hamuwezi elewana 2 wak 4:4 ww mkristo unaye mwabudu Mungu jua unamwabudu ibilisi, Yesu ni muumba hawezi share jina na ibilisi,jina ambalo lilidhihirishwa na Yesu ni "yesu " Na ndilo jina ambalo mitume walirihubiri wakakamatwa na kuwekwa gerezani matendo 4:3-4 mitume walitishiwa wasiwafundishe wengine kwa jina hili,ambalo liliwaponya viwete na kufukuza mapepo Biblia inasema,,,hakuna wokovu kwa jina lingine, jina Mwenyezi mungu haliwezi kukuokoa, jina alah haliwezi kukuokoa,jehova haliwezi kukuokoa matendo 4:12 jina tu la yesu ndilo litatuokoa
Mmh ukrito kazi yani hujui usimamie wapi...leo ana nadi mungu mmoja...cjui hua anasahau au makusudi...nakumbuka debate moja huyuyu ndacha alithibitisha kua yesu ndio mungu mwenyewe..ckia leo anacho kiongea...wallah kazi sana
.. Je, inawezekana Mwenyezi Mungu amuamrishe Mtume wake atembee uchi kati ya watu kwa miaka na kwa nini? Jibu: Haiwezekani kamwe kwa Mwenyezi Mungu kuamrisha hivyo, kwa sababu Mwenyezi Mungu anakataza kukaa uchi mbele ya watu! Hii ni mambo ya kiwendawazimu lakini Biblia katika kitabu cha Nabii Isaya, sura ya 20 aya ya pili hadi mwisho wa aya ya nne inasema hivi: Wakati huo Bwana alinena kwa kinywa cha Isaya, mwana wa Amozi, akisema, Haya, uvue nguo ya magunia viunoni mwako, na viatu vyako miguuni mwako. Naye akafanya hivyo akaenda uchi, miguu yake haina viatu. Bwana akasema, kama vile mtumishi wangu Isaya anavyokwenda uchi, hana viatu, awe ishara na ajabu kwa muda wa miaka mitatu juu ya Misri na juu ya Kushi, vivyo hivyo Mfalme wa Ashuru atawachukua uchi, wafungwa wa Misri, na watu wa kushi waliohamishwa, watoto kwa wazee,hawana viatu, matako yao wazi Misri iaibishwe. haa haa haa haa .. eti wazee kwa watoto wote MATAKO WAZI!!! na ndio mana tunasema kuwa biblia sio kitabu cha Mwenyez Mungu!!!
NITOE CHALLENGE KWA NDUGU WAKRISTO NAWAISLAM, KUIJUA DINI YA HAKI NA KWELI NILAHISI MMNO MM BINAFI NAONA TULIPOTELEZA KTK KUHITILAFIANA NIPADOGO SANA COZ VITABU VYETU YAAN QUR'AN NA BIBLE HAKUNA KINACHOAMLISHA WATU WAFANYE UOVU, BALI VYOTE VINA AMRISHA NAKUFUNDISHA MEMA. NIKWAMBA IFIKE KIPINDI TUWEKE TOFAUTI ZETU PEMBENI,, ILE MTU KUJENGA ITIKADI NA MSIMAMO KTK JAMBO LAKE LA KIIMANI PASINA KUTUMIA AKILI LISIWEPO IKIWA KWELI TUNANIA DHAHILI YA YAKUUONA UKWELI, NAWALIMU MTUMIE HEKIMA KTK KUFUNDISHA NENO LA MUNGU PASINA KUTANGULIZA SELF INTEREST KWANI KTK HALI KAMA HIYO MNAPOTEZA WENGI. TUIBAINISHE HAKI KTK VITABU VYA MUNGU QUR'AN NA BIBLE KWA UADILIFU NA UNYENYEKEVU MKUBWA PASINA KUFANYA KEJELI WALA DHALAU. MUNGU HAWEZI KUTUONYESHA NJIA YA KWELI KAMA TUTASOMA VITABU VYAKE KWA KEJELI NA DHALAU. YANI JILAZIMISHE KWA NIA NZURI ULIE MKIRISTO KUISOMA QUR'AN KWA ADABU NA MUISLAM PIA BIBLE KWA ADABU. TUKUSANYIKE KWA HEKIMA NA BUSARA YA HALI YA JUU, KISHA TUMUOMBE MWENYEZ MUNGU KWAUADILIFU NA UNYENYEKEVU WA HALI YA JUU ATUONESHE NIIPI DINI YA HAKI TUIFUATE. HALAFU MADA IWE NIIPI DINI YA HAKI MBELE YAMWENYEZIMUNGU, INAYOFUNGAMANA NA ASIRI YA MWANADAM NA ULIMWENGU ILIO KAMILIFU SAMBAMBA NA HALI NA MAZINGILA ILI TUIFUATE. IWE NI DEBATE HATA YA MWEZI MMOJA TUVISOME VITABU A-Z KWA MSINGI WA MADA HUSIKA SAMBAMBA TUKISALI KILA MMOJA KWAIMANI YAKE KUMUOMBA MUNGU ATUONYESHE DINI YA HAKI. TUKIFANYA HIVI LAZIMA MUNGU ATUNYESHE UKWELI, VINGINEVYO TUKIKALIA USHABIKI TUTAPOTEA.
@@shabandamas1759 Haiwezekani Mungu mmoja awe na Vitabu viwili. Hapo kuna Mungu wa kweli na wa Uongo. Kwa hoja za Ndasha na hoja za Waislamu. Ni wazi kuwa mungu wa Waislamu ni mungu wa uongo, siyo wa kweli. Uislamu na Qur'an vilianzishwa na watu ilikumpinga YEHOVA Mungu wa kweli. Bahira, Waraka na baadhi ya Makuhani wa kiyahudi ndiyo walionzisha Uislamu na Qur'an na kudai imetoka kwa Mungu kumbe ni uongo
@@frankmpembu2505 BADO ELIM YAKO NIFINYU SANA, NA HOJA NILIZOTOA NIZAIDI YA MAELEZO UNAYONIPA, MAY BE NIKUULIZE NN KINACHOFUATA KTK MASUALA YA UJUZI BAADA YA THE BEST ONE KNOWLEDGEABLE.? IKIWA HUNA NYONGEZA YENYE ZIADA KTK UJUZI WAKO USITHUBUTU KUTHIBITISHA NAKUHITIMISHA KWA KUHUKUMU MAMBO AMBAYO YANAZIADA NYINGINE YA UJUZI BAADA YA KIKOMO CHA UJUZI WAKO.
Angalia vizuri huo mdahalo,,angalia hoja za Ndasha,,zimewafanya walimu watetemeke mpaka wanasahau aya, na wanakopi kwenye karatasi😂😂. Ndasha akiwa hana karatasi 😂😂anavunja hoja anaweka hoja.
Mwalimu Ndacha anaongozoa na roho . Nyinyi mlio mombasa na ni waislamu mmepotea sana maana niko na waarabu hapa na wameanza kuokoka na kumfuata YESU. msipokubali Yesu jehanamu mtatupwa mungu yupi mnaomba pamoja na majini? shidwe katika jina la YESU kristo
Kwani ukitukajia waarabu kuwa wakristo ndio tushtuke,.. Kuwa mwarabu wala haiwi lulu mbele ya mwenyezi mungu,. Mbora ni anayemcha mungu hatakama ni duni jinsi gani,.. Vp ww
.. Je, inawezekana Mwenyezi Mungu amuamrishe Mtume wake atembee uchi kati ya watu kwa miaka na kwa nini? Jibu: Haiwezekani kamwe kwa Mwenyezi Mungu kuamrisha hivyo, kwa sababu Mwenyezi Mungu anakataza kukaa uchi mbele ya watu! Hii ni mambo ya kiwendawazimu lakini Biblia katika kitabu cha Nabii Isaya, sura ya 20 aya ya pili hadi mwisho wa aya ya nne inasema hivi: Wakati huo Bwana alinena kwa kinywa cha Isaya, mwana wa Amozi, akisema, Haya, uvue nguo ya magunia viunoni mwako, na viatu vyako miguuni mwako. Naye akafanya hivyo akaenda uchi, miguu yake haina viatu. Bwana akasema, kama vile mtumishi wangu Isaya anavyokwenda uchi, hana viatu, awe ishara na ajabu kwa muda wa miaka mitatu juu ya Misri na juu ya Kushi, vivyo hivyo Mfalme wa Ashuru atawachukua uchi, wafungwa wa Misri, na watu wa kushi waliohamishwa, watoto kwa wazee,hawana viatu, matako yao wazi Misri iaibishwe. haa haa haa haa .. eti wazee kwa watoto wote MATAKO WAZI!!! na ndio mana tunasema kuwa biblia sio kitabu cha Mwenyez Mungu!!!
Huyu ndacha karibu ataslimu wakristo msije mkasema amepagawa na pepo "ndacha anasema yesu mungu 'yehova mungu ,yesu mtoto wamungu 'haeleweki 'baadae ataona aibu.
Mii naulizawaislam Kama Kama kipanasho cha wachristo na Mungu Ni yesu Basi patanisho menu Na Na Mungu Ni nani Na waislam wakumbuke kuwa mtume wao ako kwa kaburi
Ndasha kiboko yao, anawapa sindano,,ndiyo maana wameitana kutoka Zambia, Tanzania na sehemu zingine,,wamejikusanya zaidi ya 100, Ndasha akiwa peke yake MMOJA, na bado anawaburuza
Hahaha leo umekiri ndacha mungu ni mmoja takbir Allahu akbar. yani raha tupu mashekh wetu Allah awalinde kwa kz ngumu ya ndacha mwamfundisha bt haelewi na 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ataelewa tu
.. Je, inawezekana Mwenyezi Mungu amuamrishe Mtume wake atembee uchi kati ya watu kwa miaka na kwa nini? Jibu: Haiwezekani kamwe kwa Mwenyezi Mungu kuamrisha hivyo, kwa sababu Mwenyezi Mungu anakataza kukaa uchi mbele ya watu! Hii ni mambo ya kiwendawazimu lakini Biblia katika kitabu cha Nabii Isaya, sura ya 20 aya ya pili hadi mwisho wa aya ya nne inasema hivi: Wakati huo Bwana alinena kwa kinywa cha Isaya, mwana wa Amozi, akisema, Haya, uvue nguo ya magunia viunoni mwako, na viatu vyako miguuni mwako. Naye akafanya hivyo akaenda uchi, miguu yake haina viatu. Bwana akasema, kama vile mtumishi wangu Isaya anavyokwenda uchi, hana viatu, awe ishara na ajabu kwa muda wa miaka mitatu juu ya Misri na juu ya Kushi, vivyo hivyo Mfalme wa Ashuru atawachukua uchi, wafungwa wa Misri, na watu wa kushi waliohamishwa, watoto kwa wazee,hawana viatu, matako yao wazi Misri iaibishwe. haa haa haa haa .. eti wazee kwa watoto wote MATAKO WAZI!!! na ndio mana tunasema kuwa biblia sio kitabu cha Mwenyez Mungu!!!
Elohim. My creator. Jehovah. My lord God El Shaddai. My Supplier. Adonai My Master. Jehovah Jireh. My provider Jehovah Rophe. My Healer Jehovah Nissi. My Banner. Jehovah Makadesh. My sanctifier. Nina Swali waislamu nduguzangu wakenya mahali popote mlipo... MUNGU wenu anasikia ARABIC pekee????? mnapotoshwa tu mkiona naomba Mungu awafungue macho. hivi waarabu washaanza kuokoka nanyi mtafanya nini? Yesu ndiye njia ya kweli ba uzima. Bila kukiri Yesu ni Bwana jehanamu inakugonja
Moha alikuwa muuaji na hatari wa kupindukia.... Narrated Anas bin Malik: A group of eight men from the tribe of 'Ukil came to the Prophet (ﷺ) and then they found the climate of Medina unsuitable for them. So, they said, "O Allah's Messenger (ﷺ)! Provide us with some milk." Allah's Apostle said, "I recommend that you should join the herd of camels." So they went and drank the urine and the milk of the camels (as a medicine) till they became healthy and fat. Then they killed the shepherd and drove away the camels, and they became unbelievers after whey were Muslims. When the Prophet (ﷺ) was informed by a shouter for help, he sent some men in their pursuit, and before the sun rose high, they were brought, and he had their hands and feet cut off. Then he ordered for nails which were heated and passed over their eyes, and whey were left in the Harra (i.e. rocky land in Medina). They asked for water, and nobody provided them with water till they died (Abu Qilaba, a sub-narrator said, "They committed murder and theft and fought against Allah and His Apostle, and spread evil in the land.") حَدَّثَنَا مُعَلَّى بْنُ أَسَدٍ، حَدَّثَنَا وُهَيْبٌ، عَنْ أَيُّوبَ، عَنْ أَبِي قِلاَبَةَ، عَنْ أَنَسِ بْنِ مَالِكٍ ـ رضى الله عنه ـ أَنَّ رَهْطًا، مِنْ عُكْلٍ ثَمَانِيَةً قَدِمُوا عَلَى النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم فَاجْتَوَوُا الْمَدِينَةَ فَقَالُوا يَا رَسُولَ اللَّهِ، ابْغِنَا رِسْلاً. قَالَ " مَا أَجِدُ لَكُمْ إِلاَّ أَنْ تَلْحَقُوا بِالذَّوْدِ ". فَانْطَلَقُوا فَشَرِبُوا مِنْ أَبْوَالِهَا وَأَلْبَانِهَا حَتَّى صَحُّوا وَسَمِنُوا، وَقَتَلُوا الرَّاعِيَ، وَاسْتَاقُوا الذَّوْدَ، وَكَفَرُوا بَعْدَ إِسْلاَمِهِمْ، فَأَتَى الصَّرِيخُ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم، فَبَعَثَ الطَّلَبَ، فَمَا تَرَجَّلَ النَّهَارُ حَتَّى أُتِيَ بِهِمْ، فَقَطَّعَ أَيْدِيَهُمْ وَأَرْجُلَهُمْ، ثُمَّ أَمَرَ بِمَسَامِيرَ فَأُحْمِيَتْ فَكَحَلَهُمْ بِهَا، وَطَرَحَهُمْ بِالْحَرَّةِ، يَسْتَسْقُونَ فَمَا يُسْقَوْنَ حَتَّى مَاتُوا. قَالَ أَبُو قِلاَبَةَ قَتَلُوا وَسَرَقُوا وَحَارَبُوا اللَّهَ وَرَسُولَهُ صلى الله عليه وسلم وَسَعَوْا فِي الأَرْضِ فَسَادًا. Reference : Sahih al-Bukhari 3018In-book reference : Book 56, Hadith 227USC-MSA web (English) reference : Vol. 4, Book 52, Hadith 261 (deprecated numbering schem
Ndacha mbona unajichanganya unasema mungu Moja. Tena ana mtoto Sasa mtoto naye atakuwa ni mungu? Mtoto wa binadamu si ni binadamu ? Na mtoto wa mungu si ni mungu? Hiyo ni miungu miwili tayari inaabudiwa .usituchanganye ndacha
Nmemwona kaka mazinge yule wa eliminati season4 😅 akisema paulo kafiri alimwita yesu mwanawangu nlimwamini kumbesikuwa nmesoma kitu sasa anakaa paka kanyeshewa
Pastor Ndacha Mungu akupe neema uendelee kuelimisha watu wa Mungu
Ni ngumu waislamu kuelewa bibilia kwa sababu hawana Roho Mtakatifu awafundishe
Ndacha ni mwalimu kabisa hana maigizo ni point mwanzo mwisho
Ndacha kweli ukweli unanena injili ya kweli kabisa
Umeona eeh
Thank you pastor ndancha you are my teacher.
hapo hujapata mwalimu. nakushauri uendelee kujifunza zaidi na ufanye utafiti sio ushabiki
Pst ndacha mungu akupee Nehema Ya kufundisha wensetu waisilamu wa mujue mungu, God bless you brother
Hahaha pole dada angu njoo nikufundishe uislamu
Ndacha mungu akupe maisha marefu ,umechambua neno bila vikaratasi
Ndacha huyu ni mwalim wa kweli mnapaswa kumsikia vzr ili mjifunze kt
Hkuna ualimu wowote haitoshi mboga ndacha am proud to be Muslim allahu akbar
Asante sana Ex Pastor Isaac. Nimefurahishwa sana na ujuzi wako. Una maana sana, lakini bila shaka, kwa akili yenye akili ambayo ni ya kimantiki na yenye kufikiri kwa kina. Mungu akubariki. Haijalishi mtu ni Mkristo au Muislamu, mjadala lazima uwe na mwelekeo wa kimantiki. Kuna watu wengi wanapindisha maneno kutoka katika nafasi zao na kuhalalisha upendeleo ambao tayari umejificha kwenye fikra zao.. Mungu akubariki. Ukweli unasimama peke yake. Uongo ni mwingi. Pia nataka kuwapongeza Wakristo. Uislamu unasema Wakristo wengi ni wanyenyekevu. Na kwa sababu ya unyenyekevu huu, wako wazi kwa uongofu. Mungu atuongoze. Tuombe mwongozo. Ray from Canada
Mashallah Shekhe Ibrahim uko vizuri umempa elimu Ndacha japo Ndacha anajuwa ukweli wote kuwa Allah Subhuana wa taala ndio Mwenyezi Mungu mmoja tu alie umba Dunia na vyote vilivyopo Duniani. Allah amuongoze Ndacha aslim kabla ya mauti asije kufa kafiri Ameen.
Yani nyie nimabishi
@@upendomaduhu1310 sio wabishi sisi tunafwata maandiko . Nyie ni kondoo msio jielewa. Kondoo mnao fwata na kuamini hata ujinga. Ndio mana wachungaji wenu wana wauwa. Mfano Kabwetere alivyo watia moto waumini wote wa kanisa na kenya mlivyo uwawa Kwa kushindishwa na njaa. Hamjioni Kwa hamna akili?
Mungu akubariki sana mwalimu Ndacha. Mungu ni mmoja na wa kweli ni Jehovah ...
Thank you so much Ex Pastor Isaac. I am very impressed with your knowledge. You make so much sense, but of course, for an intelligent mind which is logical and has deep thinking. May God bless you. It does not matter whether one is a Christian or Muslim, the debate has to have logical direction. There are many people who twist words out of their place and justify the bias that is already there hidden in their psyche.. May God bless you. The Truth stands alone. Falsehoods are many. I also want to congratulate the Christians. Islam says many of the Christians are humble. And because of this humility, they are open to guidance. May God guide us. Let us pray for guidance.
God bless you Mwalimu Ndacha.waooh great,simple and straight to the point teacher..
Hahahaa', Sasa point gani, Leo analitafuta jina la MUNGU , wakati MUNGU wenu Yesu, si angesema tu' MUNGU wenu jina lake Yesu...hahaa wakristo matatizo sana
Sana wataona siku ya Qiama
Happy to see Issac MashaAllah long time since 2015 eastleigh.
Mungu akubariki.
Ubarikiwe sana Ndacha, niko Maputo-Moz
Mwalimu kweli kabisa ndacha
Xpasta Ibrahim mungu akubariki ndacha ana kukimbia sana
bwana Yesu asifiwe. ndacha naona huyu ex pastor akiokoka hivi karibuni. bwana akubariki mwalimu ndacha. kisii mna kuja lini.
Ww mwenyewe umekubali Mungu ni mmoja basi mada imeisha
Ndacha he is a deep and profound thinker and academician as well!
Pasta Ibrahim nakukubali sana mung akubariki
Mm nashukuru mungu tangu nimkrie yesu kwa maisha yangu niko na amani
Mm niisha kemea kwa jina na Yesu na kuteteza katika moto wa jehenamu mtoto wa boss wangu alimaliza siku mbili bila kwenda shule. Alafu mama yake akaniambia hata nikiona kitu nisikikemee .
Jina la Yesu ni jina lenye nguvu .
Ndacha bhana unasema mungu ni mmoja alafu unataka yesu pia wamuabudu iyo kweli kazi ndacha unatapatapa2
Mashaallah tabarakarahman mungu akueke sheikh issac,wajua paka uwe na elmi kweli kama alivyosema sheikh issac hapo ndacha mimi nafuata sn debate zake na zote nizaunafik hana hoja nzuri anageuza sn maneno waeza on nikweli kumbe ni urongo,anasema biblia inasema mungu ni moja namajina yote akatoa very good nampongeza amesema ukweli,sheikh issac akamtaja yesu mungu wao,ndacha alikasirika kwanini anamtaja yesu kwa mada hii? Inalillah waina ilairajiun,hawa watu wamepotea hawana elmu kabisa yani mungu wao mkubwa Jesus my load wamemsahau leo ndio tukawaita sumun bukmun umiun,alhamdulillah alaneematulislam
Wew ndo hujui yesu ni njia kwa wakiristo kama ilivyo kwa waislaam Muhammad ndo njia yenu maana ndo alie wafundisha
@@charlesmelekajunior9238 Pole sana kwanza Huna unalojua kusikia tu nakufwata ndio wakristo mulivyo,mimi nimesema ndacha amekasirika kusik8a jina la yesu kwa hio mada na yesu ndio mungu wenu kwa wakati huu sasa ni yesu tu in the name of load Jesus 😀 sasa vipi leo kwa mada amekasirika kutajwa yesu?kwa hakika mumepotea mumepotwezwa nawazungu mwafrika hatumi akili kabisa anpelekwa tu
Mashaallah mungu akuzidishie hikma ya kuwafundisha wakristo
Kadhihirisha jina YESU mwokozi - Yohana 17:11 Mimi naondoka ulimwenguni ninakuja kwako. Lakini wao wako ulimwenguni. Baba Mtakatifu, walinde kwa jina lako ambalo umenipa ili wawe na umoja kama sisi tulivyo mmoja.
Ndacha was among the top 3 students in my class🤝🫡
Ndacha wewe umetisha,Hakika umejaa Roho Mtakatifu,ktk kufundisha na linens,
@@bonifasemmanuel4700 hana eliumu..hana hakima...ana soma na kutoa hoja ovyo...hakuna mungu ataa mjalia
Naam. Mungu wa Bibilia ni Mmoja tu
😏😏😏😏😏 naipenda sana neno la "MUNGU" et.
huyu Ndacha haeleweki, hapo anasema baba ndie Mungu kwengine atakwambia mwana yaani Yesu ndie Mungu mwenyewe, halafu anakataa kuwa ukristo haufundishi Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu. halafu wakristo wanamshangiria kwa sababu wenyewe hawasomi masndiko.
Duuuuuuuuh hapa ndio huwa cjutii kuwa muislam, Ahsant Mungu kwa kunitoa ktk ukristo
Pole basi utakufa katika dhambi zako kama muhamadi
@@LovelyComputerChip-cj4wz Kafir ni kafir tu😂😂😂😂😂😂shida hujui chochote kuhusu din yko,mwenzio nilikuwa Mkristo nikaisoma bible vzr na kuufuatilia Uisilam vzr nikaujua ukwel,sasa ww hujui kitu unapelekwa tu km mbulula😂😂😂😂😂
@@LovelyComputerChip-cj4wz ww utakufa ktk dhambi za nan...?yaan nyie makafir akil hamna kbs😂😂😂😂😂
MUNGU ya aburhamu jina LAKE YEHOVHA asanti ndacha MUNGU akubariki
Ndacha Mungu akubari na akulinde
Allah si Mungu kweli. Mwlimu ndacha ubarikiwe kabisa kwa kazi unayofanya.
mungu wa Waislamu hajulikani hana jina. Allah ni neno la kiarabu, kiswahili chake neno hili Allah ni Mungu,, sasa huyo Mungu yaani huyo Allah jina lake anaitwa nani?. Waislamu wamekwama. Waislamu hawana mungu, Uislamu na Qur'an vimetengenezwa na akina WARAKA, BAHIRA na baadhi ya makuhani wa kiyahudi ili kumpinga Mungu wa kweli YEHOVA.
Wametengeza kitabu na kudai kimetoka kwa Mungu kumbe ni uongo, hili Waislamu wengi hawalijui, wanaofahamu hili Uislamu huwa wanauacha.
Katia mguu katika Moto wa jahanamu
@@frankmpembu2505wewe n mjing kwely soma Quran wacha kuongea upuuzi hujui
Pastor ndacha, may the Lord see you thr'
Ndacha is very powerful lecturer no objection!
❤❤
Congratulations the follow of Jesus
Ndacha you're a great teacher
Kumbe mungu nimmoja tu sasa mbona wakristo mnasema yesu nimungu mnajichanganya
Ndacha kwanini unawambia ukweli,waendelee kukusubuwa Sana ? kwanza Mungu ukubaliki Sana !!
Ma sha Allah ,umetulia ,umemakinika,unaeleweka,haufoki
Maashallah! Ex- pastor Issac Allah akuzidishie elimu na akujaalie ufe ukiwa Muislam. Aamin
Yesu si Mungu, Mungu nishetani ndio maana muislamu na mukristo hamuwezi elewana 2 wak 4:4 ww mkristo unaye mwabudu Mungu jua unamwabudu ibilisi, Yesu ni muumba hawezi share jina na ibilisi,jina ambalo lilidhihirishwa na Yesu ni "yesu " Na ndilo jina ambalo mitume walirihubiri wakakamatwa na kuwekwa gerezani matendo 4:3-4 mitume walitishiwa wasiwafundishe wengine kwa jina hili,ambalo liliwaponya viwete na kufukuza mapepo Biblia inasema,,,hakuna wokovu kwa jina lingine, jina Mwenyezi mungu haliwezi kukuokoa, jina alah haliwezi kukuokoa,jehova haliwezi kukuokoa matendo 4:12 jina tu la yesu ndilo litatuokoa
I love this energy. Christian all the way
Masha Allah masheem ote wa Dunia mzima, kwa kunfanya Ndacha ajuwe kwamba mwenyezi mungu ni mmoja. Ilo tu Alhamndulillah.
Toa jina lake
Nimemuonea huruma uyo Mwalimu wa kiislamu, elimu yake ndogo sana kulinganisha na elimu ya Mwalimu Ndacha
Haswaaaa!
Amen, mungu ni mmja tu
Ndacha hajui kufundisha jina la Mungu ni baba hivi mnajua maana ya Yehova waulize hawajui Mwenyezi Mungu ana majina mengi
Mmh ukrito kazi yani hujui usimamie wapi...leo ana nadi mungu mmoja...cjui hua anasahau au makusudi...nakumbuka debate moja huyuyu ndacha alithibitisha kua yesu ndio mungu mwenyewe..ckia leo anacho kiongea...wallah kazi sana
Kabisa leo anakataaa
Hiyo ndio sababu ilio nitoa ktk ukristo,ukifuatilia vzr huwez kubaki huko
.. Je, inawezekana Mwenyezi Mungu amuamrishe Mtume wake atembee uchi kati ya watu kwa
miaka na kwa nini?
Jibu: Haiwezekani kamwe kwa Mwenyezi Mungu kuamrisha hivyo, kwa sababu Mwenyezi Mungu
anakataza kukaa uchi mbele ya watu! Hii ni mambo ya kiwendawazimu lakini Biblia katika kitabu cha
Nabii Isaya, sura ya 20 aya ya pili hadi mwisho wa aya ya nne inasema hivi:
Wakati huo Bwana alinena kwa kinywa cha Isaya, mwana wa Amozi, akisema, Haya, uvue nguo ya
magunia viunoni mwako, na viatu vyako miguuni mwako. Naye akafanya hivyo akaenda uchi, miguu
yake haina viatu. Bwana akasema, kama vile mtumishi wangu Isaya anavyokwenda uchi, hana viatu,
awe ishara na ajabu kwa muda wa miaka mitatu juu ya Misri na juu ya Kushi, vivyo hivyo Mfalme wa Ashuru atawachukua uchi, wafungwa wa Misri, na watu wa kushi waliohamishwa, watoto kwa wazee,hawana viatu, matako yao wazi Misri iaibishwe.
haa haa haa haa .. eti wazee kwa watoto wote MATAKO WAZI!!!
na ndio mana tunasema kuwa biblia sio kitabu cha Mwenyez Mungu!!!
Ndacha Mungu akupe umri mrefu uzidi kuwafunua waislam
Sheikh Ibrahim uko vzr, napenda sana kusikiliza ujumbe wako
Wakati wa mwisho watatokea majasiri watakaosimama na kutetea neno la Mungu waziwazi bila uoga Ndacha ni mmoja wao
Good teacher keep it up
Injili iendelee Ndacha na Paul Hassan mbarikiwe
NITOE CHALLENGE KWA NDUGU WAKRISTO NAWAISLAM,
KUIJUA DINI YA HAKI NA KWELI NILAHISI MMNO
MM BINAFI NAONA TULIPOTELEZA KTK KUHITILAFIANA NIPADOGO SANA COZ VITABU VYETU YAAN QUR'AN NA BIBLE HAKUNA KINACHOAMLISHA WATU WAFANYE UOVU, BALI VYOTE VINA AMRISHA NAKUFUNDISHA MEMA.
NIKWAMBA IFIKE KIPINDI TUWEKE TOFAUTI ZETU PEMBENI,, ILE MTU KUJENGA ITIKADI NA MSIMAMO KTK JAMBO LAKE LA KIIMANI PASINA KUTUMIA AKILI LISIWEPO IKIWA KWELI TUNANIA DHAHILI YA YAKUUONA UKWELI,
NAWALIMU MTUMIE HEKIMA KTK KUFUNDISHA NENO LA MUNGU PASINA KUTANGULIZA SELF INTEREST KWANI KTK HALI KAMA HIYO MNAPOTEZA WENGI.
TUIBAINISHE HAKI KTK VITABU VYA MUNGU QUR'AN NA BIBLE KWA UADILIFU NA UNYENYEKEVU MKUBWA PASINA KUFANYA KEJELI WALA DHALAU.
MUNGU HAWEZI KUTUONYESHA NJIA YA KWELI KAMA TUTASOMA VITABU VYAKE KWA KEJELI NA DHALAU.
YANI JILAZIMISHE KWA NIA NZURI ULIE MKIRISTO KUISOMA QUR'AN KWA ADABU NA MUISLAM PIA BIBLE KWA ADABU.
TUKUSANYIKE KWA HEKIMA NA BUSARA YA HALI YA JUU, KISHA TUMUOMBE MWENYEZ MUNGU KWAUADILIFU NA UNYENYEKEVU WA HALI YA JUU ATUONESHE NIIPI DINI YA HAKI TUIFUATE.
HALAFU MADA IWE NIIPI DINI YA HAKI MBELE YAMWENYEZIMUNGU, INAYOFUNGAMANA NA ASIRI YA MWANADAM NA ULIMWENGU ILIO KAMILIFU SAMBAMBA NA HALI NA MAZINGILA ILI TUIFUATE.
IWE NI DEBATE HATA YA MWEZI MMOJA
TUVISOME VITABU A-Z KWA MSINGI WA MADA HUSIKA SAMBAMBA TUKISALI KILA MMOJA KWAIMANI YAKE KUMUOMBA MUNGU ATUONYESHE DINI YA HAKI.
TUKIFANYA HIVI LAZIMA MUNGU ATUNYESHE UKWELI, VINGINEVYO TUKIKALIA USHABIKI TUTAPOTEA.
@@shabandamas1759 Haiwezekani Mungu mmoja awe na Vitabu viwili. Hapo kuna Mungu wa kweli na wa Uongo. Kwa hoja za Ndasha na hoja za Waislamu. Ni wazi kuwa mungu wa Waislamu ni mungu wa uongo, siyo wa kweli. Uislamu na Qur'an vilianzishwa na watu ilikumpinga YEHOVA Mungu wa kweli. Bahira, Waraka na baadhi ya Makuhani wa kiyahudi ndiyo walionzisha Uislamu na Qur'an na kudai imetoka kwa Mungu kumbe ni uongo
@@frankmpembu2505 BADO ELIM YAKO NIFINYU SANA, NA HOJA NILIZOTOA NIZAIDI YA MAELEZO UNAYONIPA,
MAY BE NIKUULIZE NN KINACHOFUATA KTK MASUALA YA UJUZI BAADA YA THE BEST ONE KNOWLEDGEABLE.?
IKIWA HUNA NYONGEZA YENYE ZIADA KTK UJUZI WAKO USITHUBUTU KUTHIBITISHA NAKUHITIMISHA KWA KUHUKUMU MAMBO AMBAYO YANAZIADA NYINGINE YA UJUZI BAADA YA KIKOMO CHA UJUZI WAKO.
@@frankmpembu2505 wewe bibilia imeandikwa na nani dini y kwely n mungu wa kwely n Allah n dini uislam
mwalimu niko bali lakini naweza pata mafunzo nikiwa bali bila kuja kwa darasha
Ndaca barikiwa kwa kuwaelimisha wa Islam
Waislamu ni machini tupu mpende msipende
Mashallah kumbe mungu wa wakrsto anaitwa baba na ndacha akienda nyumbni aitwi mama na watato wake anaitwa baba hahaha usatadh mabruok
Ahsante sana ×Paster Issack Mungu akuzidishia fahamu na elimu ya kuwafahamisha maneno ya kweli katika uislam uendelee mbele
Moha alikuwa muuaji hatari wa kupindukia, hata aliamrisha kuwa mtu akitoka uislamu lazima auawe!!!
Humekiri kumbe hwana hekima hawa mashehe
Duh, siamini kumbe Kuna warithi wa mazinge bwana mashaallah
Unajua kwanini mazinge kachelewa kuja🤣🤣🤣😂, anamkimbia Ndasha,,sindano alizopata apa Tanzania kutoka kwa Ndasha😂😂 zilikuwa safi kabisa 🤣🤣😂,
Angalia vizuri huo mdahalo,,angalia hoja za Ndasha,,zimewafanya walimu watetemeke mpaka wanasahau aya, na wanakopi kwenye karatasi😂😂. Ndasha akiwa hana karatasi 😂😂anavunja hoja anaweka hoja.
Ndacha bado kidogo atashahadia.sheh ibrahimu uko vizuri sana
Nami nauliza je ndacha na wakristo wote anasujudu? kama jinsi alivyosoma
Shetani ametoka huko ama bado kasilimu?
Mwalimu dancha unasema ukweli
Mwalimu Ibrahim Mungu Akupe Umri Mashallah Mashallah Mashallah napenda mafunzo Yako
Mohammed Kwa Hakika alikuwa nabii lakini wa uongo na wala si wa ukweli...
Kindly m check video quality pia jamani....
ni upuzi mingi, dini ya mwaarabu na hawa waafrika wana isifia mbaka Jina wana geuza mbaka wana vaa nguo ya wanawake
bado haujafika kiwango cha mwalimu pst ndacha Mungu akubariki
Mungu akubaliki ndacha
Ndacha bravo ndugu wa damu anasoma bibilia kama gazeti
Subuhana nllah huyu mchungaji anatafasilimambo kinyume yupo katika watu walio pata khasala inalilahi
Ndacha so talented
Mwalimu Ndacha anaongozoa na roho . Nyinyi mlio mombasa na ni waislamu mmepotea sana maana niko na waarabu hapa na wameanza kuokoka na kumfuata YESU. msipokubali Yesu jehanamu mtatupwa mungu yupi mnaomba pamoja na majini? shidwe katika jina la YESU kristo
Kwani ukitukajia waarabu kuwa wakristo ndio tushtuke,.. Kuwa mwarabu wala haiwi lulu mbele ya mwenyezi mungu,. Mbora ni anayemcha mungu hatakama ni duni jinsi gani,.. Vp ww
@@hamissuche6576 Yesu anakupenda kaka
.. Je, inawezekana Mwenyezi Mungu amuamrishe Mtume wake atembee uchi kati ya watu kwa
miaka na kwa nini?
Jibu: Haiwezekani kamwe kwa Mwenyezi Mungu kuamrisha hivyo, kwa sababu Mwenyezi Mungu
anakataza kukaa uchi mbele ya watu! Hii ni mambo ya kiwendawazimu lakini Biblia katika kitabu cha
Nabii Isaya, sura ya 20 aya ya pili hadi mwisho wa aya ya nne inasema hivi:
Wakati huo Bwana alinena kwa kinywa cha Isaya, mwana wa Amozi, akisema, Haya, uvue nguo ya
magunia viunoni mwako, na viatu vyako miguuni mwako. Naye akafanya hivyo akaenda uchi, miguu
yake haina viatu. Bwana akasema, kama vile mtumishi wangu Isaya anavyokwenda uchi, hana viatu,
awe ishara na ajabu kwa muda wa miaka mitatu juu ya Misri na juu ya Kushi, vivyo hivyo Mfalme wa Ashuru atawachukua uchi, wafungwa wa Misri, na watu wa kushi waliohamishwa, watoto kwa wazee,hawana viatu, matako yao wazi Misri iaibishwe.
haa haa haa haa .. eti wazee kwa watoto wote MATAKO WAZI!!!
na ndio mana tunasema kuwa biblia sio kitabu cha Mwenyez Mungu!!!
@@sheillahwairai4691 yesu hakupendi usijidanganye!!
Ndacha jiongo kweli 😂😂janjaaaa…
Huyu ndacha karibu ataslimu wakristo msije mkasema amepagawa na pepo "ndacha anasema yesu mungu 'yehova mungu ,yesu mtoto wamungu 'haeleweki 'baadae ataona aibu.
Nacheeeka kama mazuri vile 😂😂🤣kuwaona Waislamu wanavyopokea sindano kutoka kwa Mwalimu Ndasha,,
Inavoonekana uwislamu ndio dini sahihi hebu wenyewe tujiulize
Ukiona ww uko hivyo juwa tayali umepotea jehanam ipo inawaeubili waabudu mungu mingine
We!!!! don't debate based on religion , but on facts ,wachristo/waislamu tujipange tupate elimu
Mwenyeenzi mungu ni mmoja t ambae hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hafanani na chochote
Great teacher indeed
Jeremiah 4: 10 yanena kwamba wasipobandilika , watakapipigwa watasema Kwa midomo Yao MUNGU muongo manake hawataki kubandilika pia
Mungu amuongoze huyo ndasha
Ameen 🤲
Kanyanga ya mto Mungu kushaa mbuavua
Mii naulizawaislam Kama Kama kipanasho cha wachristo na Mungu Ni yesu Basi patanisho menu Na Na Mungu Ni nani Na waislam wakumbuke kuwa mtume wao ako kwa kaburi
Kuwa mkristo ni raha
Ww we kaislam hamna kaziiii
Uyuu Ndachi Akiwa anaongea kuaeni makini ana twist Maneno ya vitabu....
Ndacha kweli wew nimwalimu... laaa unawacharaza kwelikweli
Mungu wa wakristo ni yawe au yesu. Muogopeni ndacha kama korona kwanza anakata maandiko
Mungu mwenyezi ni mmoja naye ni Yehova Bwana
Huyo ndiye Mungu wa kweli,, hilo halipingiki.. Roho wa Bwana yupo ndani ya Ndasha na team yake. Wabarikiwe sana walimu wetu
Sasa ni Mungu yesu ama Mungu mgani? Mna waingu wangapi ?
Maashallah kazi nzur shekh
Mwalimu Ndacha 👋👋👋👋👋👍 wape wape ukweli
Ndasha kiboko yao, anawapa sindano,,ndiyo maana wameitana kutoka Zambia, Tanzania na sehemu zingine,,wamejikusanya zaidi ya 100, Ndasha akiwa peke yake MMOJA, na bado anawaburuza
Anawapoteza huyo
😂 Ndacha analipwa kukupea uongo na wewe nani ndohiyo sasa kakupoteza
Ameen Pastor Ndacha
Mashaallah
Wakristo sometimes mumjue
MUNGU wakweli
Ni mmoja tu
Ukweli ndacha anaroho wa MUNGU ni vlle tu kila mwamba ngoma anavutia kwake lkn ndacha ni mjumbe wa MUNGU wa kweli
Ndacha anaunga unga vipande tu.Kiufupi yupo kimaslahi zaidi na anatilisha aibu
Hahaha leo umekiri ndacha mungu ni mmoja takbir Allahu akbar. yani raha tupu mashekh wetu Allah awalinde kwa kz ngumu ya ndacha mwamfundisha bt haelewi na 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ataelewa tu
Ndiyo Mungu wa kweli ni MMOJA aliye BABA WA MBINGUNI naye ni YEHOVA
@@frankmpembu2505 nyinyi mbona hamueleweki mara utatu mara mmoja na dini yenu ya mchongo mchongo iyo
Wakristo Mungu ni Mmoja
Soma Deuteronomy 6:4
.. Je, inawezekana Mwenyezi Mungu amuamrishe Mtume wake atembee uchi kati ya watu kwa
miaka na kwa nini?
Jibu: Haiwezekani kamwe kwa Mwenyezi Mungu kuamrisha hivyo, kwa sababu Mwenyezi Mungu
anakataza kukaa uchi mbele ya watu! Hii ni mambo ya kiwendawazimu lakini Biblia katika kitabu cha
Nabii Isaya, sura ya 20 aya ya pili hadi mwisho wa aya ya nne inasema hivi:
Wakati huo Bwana alinena kwa kinywa cha Isaya, mwana wa Amozi, akisema, Haya, uvue nguo ya
magunia viunoni mwako, na viatu vyako miguuni mwako. Naye akafanya hivyo akaenda uchi, miguu
yake haina viatu. Bwana akasema, kama vile mtumishi wangu Isaya anavyokwenda uchi, hana viatu,
awe ishara na ajabu kwa muda wa miaka mitatu juu ya Misri na juu ya Kushi, vivyo hivyo Mfalme wa Ashuru atawachukua uchi, wafungwa wa Misri, na watu wa kushi waliohamishwa, watoto kwa wazee,hawana viatu, matako yao wazi Misri iaibishwe.
haa haa haa haa .. eti wazee kwa watoto wote MATAKO WAZI!!!
na ndio mana tunasema kuwa biblia sio kitabu cha Mwenyez Mungu!!!
Wafundishe shee wangu hao wakristo awafikili
Elohim. My creator.
Jehovah. My lord God
El Shaddai. My Supplier.
Adonai My Master.
Jehovah Jireh. My provider
Jehovah Rophe. My Healer
Jehovah Nissi. My Banner.
Jehovah Makadesh. My sanctifier.
Nina Swali waislamu nduguzangu wakenya mahali popote mlipo... MUNGU wenu anasikia ARABIC pekee????? mnapotoshwa tu mkiona naomba Mungu awafungue macho. hivi waarabu washaanza kuokoka nanyi mtafanya nini? Yesu ndiye njia ya kweli ba uzima. Bila kukiri Yesu ni Bwana jehanamu inakugonja
Ongera we baki hapo waslam wanaakili
Yesu akiwa bwana wewe nani yake
Yesu ndiye bwana wa bwana ok
Mashaallah Mashaallah
Moha alikuwa muuaji na hatari wa kupindukia....
Narrated Anas bin Malik:
A group of eight men from the tribe of 'Ukil came to the Prophet (ﷺ) and then they found the climate of Medina unsuitable for them. So, they said, "O Allah's Messenger (ﷺ)! Provide us with some milk." Allah's Apostle said, "I recommend that you should join the herd of camels." So they went and drank the urine and the milk of the camels (as a medicine) till they became healthy and fat. Then they killed the shepherd and drove away the camels, and they became unbelievers after whey were Muslims. When the Prophet (ﷺ) was informed by a shouter for help, he sent some men in their pursuit, and before the sun rose high, they were brought, and he had their hands and feet cut off. Then he ordered for nails which were heated and passed over their eyes, and whey were left in the Harra (i.e. rocky land in Medina). They asked for water, and nobody provided them with water till they died (Abu Qilaba, a sub-narrator said, "They committed murder and theft and fought against Allah and His Apostle, and spread evil in the land.")
حَدَّثَنَا مُعَلَّى بْنُ أَسَدٍ، حَدَّثَنَا وُهَيْبٌ، عَنْ أَيُّوبَ، عَنْ أَبِي قِلاَبَةَ، عَنْ أَنَسِ بْنِ مَالِكٍ ـ رضى الله عنه ـ أَنَّ رَهْطًا، مِنْ عُكْلٍ ثَمَانِيَةً قَدِمُوا عَلَى النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم فَاجْتَوَوُا الْمَدِينَةَ فَقَالُوا يَا رَسُولَ اللَّهِ، ابْغِنَا رِسْلاً. قَالَ " مَا أَجِدُ لَكُمْ إِلاَّ أَنْ تَلْحَقُوا بِالذَّوْدِ ". فَانْطَلَقُوا فَشَرِبُوا مِنْ أَبْوَالِهَا وَأَلْبَانِهَا حَتَّى صَحُّوا وَسَمِنُوا، وَقَتَلُوا الرَّاعِيَ، وَاسْتَاقُوا الذَّوْدَ، وَكَفَرُوا بَعْدَ إِسْلاَمِهِمْ، فَأَتَى الصَّرِيخُ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم، فَبَعَثَ الطَّلَبَ، فَمَا تَرَجَّلَ النَّهَارُ حَتَّى أُتِيَ بِهِمْ، فَقَطَّعَ أَيْدِيَهُمْ وَأَرْجُلَهُمْ، ثُمَّ أَمَرَ بِمَسَامِيرَ فَأُحْمِيَتْ فَكَحَلَهُمْ بِهَا، وَطَرَحَهُمْ بِالْحَرَّةِ، يَسْتَسْقُونَ فَمَا يُسْقَوْنَ حَتَّى مَاتُوا. قَالَ أَبُو قِلاَبَةَ قَتَلُوا وَسَرَقُوا وَحَارَبُوا اللَّهَ وَرَسُولَهُ صلى الله عليه وسلم وَسَعَوْا فِي الأَرْضِ فَسَادًا.
Reference : Sahih al-Bukhari 3018In-book reference : Book 56, Hadith 227USC-MSA web (English) reference : Vol. 4, Book 52, Hadith 261 (deprecated numbering schem
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Pastor Ndachaaaaaaaa
Ndacha mbona unajichanganya unasema mungu Moja. Tena ana mtoto Sasa mtoto naye atakuwa ni mungu? Mtoto wa binadamu si ni binadamu ? Na mtoto wa mungu si ni mungu?
Hiyo ni miungu miwili tayari inaabudiwa .usituchanganye ndacha
Nmemwona kaka mazinge yule wa eliminati season4 😅 akisema paulo kafiri alimwita yesu mwanawangu nlimwamini kumbesikuwa nmesoma kitu sasa anakaa paka kanyeshewa
Naskia raha sana ndacha
Ex pastor El8mu yake ni ndogo sana hafai kua kwa mhadhara mmoja na ndacha hawatoshani.