Collossians 2:16 inasema msuhukumiwe kwa sababu sikukuu mwandamo wa mwezi au Sabato hiyo yote ni kivuli cha mambo yachayo bali mwili ni wa christo(Sabato sikukuu mwandamo wa mwezi hiyo yote iko jini ya wakati na majira kwa hivyo usihukumiwe kwa sababu ya wakati na majira ikiwa yesu kristo ako ndani yako
Lakini ata Mimi sioni shida Bora sisi wote tunamwamine kristo Yesu ,,,siku ya jumamosi ama jumapili aitatupeleka mbinguni ni Imani yako ,,Sasa sioni shida ya kubishana sisi ni ndugu
Hapana Imani nikuamin.maandiko pamoja nakufata Yale yaliyo amlishwa na Mungu kitu chakufanya inabidi wote tuungane pamoja tufundishane biblia na tuchunguze maandiko ili tupate jibu sahih Kama sku ya kuabudu n juma pili au juma mos kwamaana tukifanya hvyo tuta ijua kweli nayo kweli ita tuweka huru ss wote tunae muamini yesu kirsto kwhy tusiwe watu wakushindana bali tuwe wakuungana pamoja kakka neno ili tupate kujua ukweli bwana Yesu asfiwe.
Mimi husema huyu ndacha anafundisha dini nyingine sio ukristo hata yeye ana dini yake mpya uliojificha chini ya ukristo Biblia ya protestante ni moja chenye vitabu 66 lakini ukimskia wakati anakashifu wakristo wenziwe doh!! Balaa!!! Naipenda uislamu yarabi!!!
@@Walkietalk765 *weiw shetani pia hutumia maandiko kwa nia ya kupotosha ukweli* hivyo hivyo ndacha Ako hivyo akiwa na nia mbaya kwa hali kawaida uwezi mtambua ni wachache sana ambao wanaweza Mtambua roho anayo fanya kazi ndani ni shetani maana Yeye anajua hali yote ya mbinguni zaidi yetu sisi wanadamu kwaivyo kule kutoa maandiko mengi sio dhibitisho la mtu kuwa ni wa Mungu bali utamjua kwa matunda yake..
Thnks Mwalimu ndacha we need to first study the word then go to preach 🙏🙏🙏🙏
Pendecoste apo ni mnyongee hii part ya debate haiweziii 😂
Ndacha is a systematic thinker . It is difficult to win an argument against him . To debate him you need to master your texts well .
Yesu ndiye bwana wa sabato hapa nyinyi mnaoiabudu hiyo siku ya sbato mna kaz sna kina ndacha
Tii agizo la Mungu
Mwalimu ndacha ako sawa kabisa, Mungu wa mbinguni amubariki.
Naomba mnitafute nakotoka Kuna njaa ya injili
Baada ya Yesu hakuna Sabato tena pia Mtu asiwahukumu kwaajili ya Sabato au skukuu.
Sabato yenyewe ilikua ya Musa na watu wake... Sasa kama Yesu walipewa watu wake na mambo yake.... NDACHA YUWAFUATA MAFUNDISHO YA NANI, ❓
Kusoma maandiko nikitu kingine kuyaelewa nikitu kingine, naludia Tena Yesu alivunja sabato pia hakutuagiza kushika Sabato. Wala mitume hawakutuagiza kushika sabato. Ukibisha nakupa maandiko yanayo tutaka tusishike sabato.
@@michaelmagwaza-bc6mk aliivunja sabato lini ilhali yeye mwenyewe aliitunza.. luka 4:16-24
@@michaelmagwaza-bc6mk leta hayo maandiko yanayosema tuivunje sabato nami niletq maandiko yanayosema tuitunze sabato
Collossians 2:16 inasema msuhukumiwe kwa sababu sikukuu mwandamo wa mwezi au Sabato hiyo yote ni kivuli cha mambo yachayo bali mwili ni wa christo(Sabato sikukuu mwandamo wa mwezi hiyo yote iko jini ya wakati na majira kwa hivyo usihukumiwe kwa sababu ya wakati na majira ikiwa yesu kristo ako ndani yako
Mch.Ndacha is the best 2 me
Huyu ndacha mahubiri yake ikosahihi kabisa watu hawamwelewi
Mwalimu Ndacha nampenda sana🙏🙏🙏
Shida yao hawaelewi maandiko.
Wanatumia akili zao Kuelewa Bibilia
Mwalimu hapo umeweza
Ndacha hatali neno unalijua sana
Kazi nzuri sana
Ndacha uko sahihi asilimia miamoja, huyo mwingine akayechini ajifunze tu.
Ndacha maelezo mengi lakini hamna kitu.....Bure kabisa
Naona Ndacha hako right
Ndacha akoxaw ww
Mwalimu ndacha uko sawa barikiwa sana
Makafiri wakikutana kweli
Aisee
5:10
Huyu Mzee angemalizia hapo Sasa
Abatizwe Tena 😅😅😅 Hawa watu hufanya makafiri kufikiria mungu so Kitu 😢😢😢
Ndacha Hana kazi,
kwani Ndacha kasilimu😂😂😂
bado
Na mm nataka waniambie kwann wanaswal sku 2tofaut
bado
hapo awawezi kusema
Sasa wanapingana wenyewe kwa wenyewe halafu haya mazehebu yao hata kuonana hawezi kuowana
Lakini ata Mimi sioni shida Bora sisi wote tunamwamine kristo Yesu ,,,siku ya jumamosi ama jumapili aitatupeleka mbinguni ni Imani yako ,,Sasa sioni shida ya kubishana sisi ni ndugu
Shida sio siku swala zima hapo ni Sheria taakatifu ya Mungu wa mbinguni
Kama ni ndugu kikweli ama ki Imani,basi ubatizo uwe mmoja na siku iwe Moja ya kumwabudu huyo Mungu mmoja🙏
Waefeso 4
5 Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja.
Hapana Imani nikuamin.maandiko pamoja nakufata Yale yaliyo amlishwa na Mungu kitu chakufanya inabidi wote tuungane pamoja tufundishane biblia na tuchunguze maandiko ili tupate jibu sahih Kama sku ya kuabudu n juma pili au juma mos kwamaana tukifanya hvyo tuta ijua kweli nayo kweli ita tuweka huru ss wote tunae muamini yesu kirsto kwhy tusiwe watu wakushindana bali tuwe wakuungana pamoja kakka neno ili tupate kujua ukweli bwana Yesu asfiwe.
@@YohanaMtambala-gq1sz ukweli upo wazi ila umepindishwa ndo mana hakutakuwa na muungano kama huo kwa watu wanaomuamini Mungu wa kweli
Ndacha anadanganya mwadai anaelewa maandiko 🤣🤣😭
Amedanganya wapi Soma Bible
Mimi husema huyu ndacha anafundisha dini nyingine sio ukristo hata yeye ana dini yake mpya uliojificha chini ya ukristo Biblia ya protestante ni moja chenye vitabu 66 lakini ukimskia wakati anakashifu wakristo wenziwe doh!! Balaa!!! Naipenda uislamu yarabi!!!
Unafel
kumbe na wewe ni shabiki ndugu yangu ameponda wapi wakristo
Ndacha anahubiri Sawa Sawa na Imani katika Yesu Kristo
NDACHA ANATOA FACTS ZA MAANDIKO YA BIBIBILIA HAYO YA DINI NI YAKO
Uko sawa
nyoteee waongo mung bab mung baba ndo nn tupishen hp vtabu vya kwl hamusom unatunga vyenu
Wew umefuata nn Kwa wakristo, hakuna mkristo hata mmoja anayefuga majini
dini ni uislam tu
Mtu yuwadanganya LIVE😂😂😂, kweli wa kupotea ni wa kupotea.
BADO MWENDE SHAKAHOLA SASA
uyu ndacha,ajiangalie sana maana ata ayao maandiko ya bibilia anayapotosha mengine anayasoma nusu
True
Kweli kabis ndrrracha ni muongo
Barikiwa sana pr Ndacha Kwa kazi nzuri kufunuwa ukweli popote
Ni muislamu upande wa pili
@@fumoshee2524 uongo wake uko wapi wakati anatumia maandiko hayo hayo
Ndacha shida yake ni kutoa maandiko meeengi wakati MMOJA Ili kutatiza
Umeona sasa
Ndacha yuko na ukweli
@@Walkietalk765 hakuna ukweli wowote
Ukweli ni upi sasa wote tumesikiliza Ndacha ametoa majibu kulingana na vifungu vya bibilia
@@Walkietalk765 *weiw shetani pia hutumia maandiko kwa nia ya kupotosha ukweli* hivyo hivyo ndacha Ako hivyo akiwa na nia mbaya kwa hali kawaida uwezi mtambua ni wachache sana ambao wanaweza Mtambua roho anayo fanya kazi ndani ni shetani maana Yeye anajua hali yote ya mbinguni zaidi yetu sisi wanadamu kwaivyo kule kutoa maandiko mengi sio dhibitisho la mtu kuwa ni wa Mungu bali utamjua kwa matunda yake..