Mkuu wa Mkoa safi saaana, Mtumishi Cassian uwaache Mungu awashughulikie wenyewe, kwani aliyowaumba anajua, Chalamila kwa upeo wake kashuhudiwa kuwa Kwa Mwamposa yupo Mungu, siyo kwa upeo wako, nimeona tatizo ulilonalo ni Huna Elimu na wengine woote wanaosema wenzao ni ukosefu wa ELIMU
Mwamposa ni mtumishi wa Mungu. Anamuhubiri Yesu hadharani kwa hekima kubwa Sanaa. Usiwe kama Baalamu na Baalack. Mungu alitumia punda kuubariki mji. Mkuu Mungu kamtumia kama punda kudhihirisha hakika huyu ni mtumishi wa Mungu. Usihukumu mbingu huna. Unapenda watumishi wa Mungu tuwe wanyongeee. Hubiri neno tukusikilize hii haijakaa sawa. Unampinga kristo.
Huyu Cassian Huwa anasoma Neno ila hatafakari Neno hiyo ndio shida yake na Wala sio Mtumishi mbaya ila anahitaji Elimu tu ya Neno la MUNGU, roho wa BWANA ampatie HEKIMA yake, Ili kuyafikia mataifa ila sio katika njia hii Maana hataweza kuleta faida katika ufalme wa MUNGU, zaidi ni kupotosha...(Wanajuhudi katika MUNGU lakini si katika maarifa.
Hakuna Mungu hapo kwa Mwamposa hakika, Tumaini la wanaadamu nimeangukia kwenye kutegemea mafuta ya Mwamposa , na kuacha kumtumaini Mungu, !!! Imefikia maali watu wanatembea na mafuta kwenye mikoba yao , Sikia wewe Mtu wa Mungu hakika huo Ni Ushirikina,!!!! Aina tofauti na mtu anayetembea na irizi,, !! Maana Tumaini lake huyo mtu lipo kwenye irizi aliyobeba,!!! Asikiaye Ujumbe huu na kuacha hizo aImani mbaya potofu, Ataokoka, Asema Bwana wa Majeshi,
Amin cassian ni mtumish wa mungu Tena akiwa na ujumbe wa bwana Kama unawaamin akina mwaposa jua umetekwa ma umepotea akinawamposa ndio manabii wa uongo waliotabiliwa
Hata waumini wenu sasa wanachoka na mahubiri yenu ya watu badala ya kuwasaidia matatizo yao. Wanakuja makanisa kumtafuta Mungu aliyewaahidi ahadi nyingi katika neno lake. Mungu ameahidi kuwaponya magonjwa yao,kuwainua na kuwatanirisha,kuwafungua kufungwa kwao,na wanataka waone hizo ahadi za Mungu zikifanyika kweli kwenye maisha yao. Sasa ikatokea hawajazipata chini yako,na wakaenda kwa huyo mnaemuita ana nguvu za shetani,na wakapokea hizo ahadi za Mungu,sahau kuwaona tena kwako. Mnamuinua sana shetani mpaka inashangaza! Mtu kapona uvimbe wewe unasema ni shetani! Mtu kapona kifafa wewe unasema ni shetani,mtu alikua fukara sasa kainuka wewe unasema ni shetani,watu wanafunguliwa mapemo na vifungo mbalimbali wewe unasema ni nguvu za shetani!
@@FrankBororo-dk1fv umeandika mambo mengi sana lkn itoshe kukuambia hivi kuwa hata shetani ana miuujiza yake, na palipo na Mungu wa kweli panajulikana tu, Mungu wetu anatafuta utakatifu sana na mengine yote tutazidishiwa je kwa nini mtu ahubiri injili ya mafanikio tu bila injili ya utakatifu? au kukemea dhambi pia nikuambie kuwa Mungu anajitegemea hatumii vitu mfano mafuta, maji mara udongo kumponya mtu, tumeambiwa kwa jina la Yesu tutatoa pepo na kuponya wagonjwa.
Ukiponywa magonjwa ukabaki kua mzinzi inakusaidia niji? Ukinunua mafuta na kwenda kunyunyiza baa na ukajaza wateja ukapata pesa inakusaidia nini? Ukipata pesa lakini ukawa hujui kumuheshimu Mungu kwa pesa zako inakusaidia nini? Miujiza yooote ikiwa jina lako halijaandikwa katika kitabu cha uzima ni bure. Na Mungu hutenda kwa wakati wake na hata asipotenda bado anabaki kua Mungu.
Paza sauti mtumishi wa Mungu hata wakati wa nuhu wapo waliomdharau lakini gharika ilivyokuja waliita sana Nuhu tufungulie lakini hawakupata msaada.Wenye kuokolewa kwa hudumu yako wataokolewa wengi usikate tamaa fanya hudumu uliyoitiwa na Mungu.
Kweli watu wengine ni mifano ya watu duniani..nafsi ziko kuzimu.. Mungu mtie nguvu na ULINZI mtumishi wako Cassiani . Siku za mwisho tunagundua mengi..maboxi yanaongoza watu duniani mpaka wapagani wanashangaa..Wana WA MUNGU tusonge mbele .tuzalishe Wana WA MUNGU Kona zote ..Agizo kuu linatusubiri Mathayo 28:19-21
Kukusanya watu wengi hata MICHAEL JACKSON alikusanya watu wengi sana lakini usingeweza kusema MICHAEL JACKSON ni MTUMISHI WA MUNGU.PASCHAL CASSIAN AMETUMWA NA MUNGU,WENYE JICHO LA ROHO MTAKATIFU TUNAONA.WENGI WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.
Usihukumu usije ukahukumiwa na toa kibanzi kilichomo jichoni kwako na ndipo utoe boriti kwenye hicho la mwenzio. Pascal anajinadi kuwa alikuwepo huko kwenye ujenzi huru na akajitoa, je, amepewa uhalali na nani kuwasema watumishi wa Mungu ambao hakubaliani nao? Tuendelee kumhuburi Mungu wetu wa kweli bila kunyoosheana vidole hakuna ubaguzibwote tunaitaka Pepo njema ya YESU KRISTO WA NAZARETH
sio kweli nyamaza kabisa,,sauli alikuwa wapi na mtu wa namna Gani kabla hajawa Paulo,,je maisha ya manabii na wafalme yalikuwaje na hatmae za manabii zilikuwaje?,,km unapenda maneno Laini muujiza na upako,,basi huo sio utume wa paschal,na Mungu anao watu wake sehemu mbali mbali wengine bado ni makahaba kwa sasa,ila watakapo itwa ndipo mtakapo pishana milango wataingia nanyi ntatoka,,km neno limekukera basi Kuna shida ndani Yako,,omba sana hio roho iondoke ili uridhike na maonyo yakubadilishe na yasikukasirishe
Mimi husoma tu comment za watu lakini acheni niwaambie watu ambao mnatusi huyu mtumishi wa BWANA na ametumwa jueni ya kwamba mnajichimbia kaburi lenyu wenyewe na ndo huwa mnasikia watu wakisema tumerogwa na kumbe ni nyinyi wenyewe mnajiroga kwa kutukama mtumishi wa MUNGU huyu MWINJILISTI Cassian ametumwa na BWANA Aliye hai so endeleeni kukaidi mtakipata cha kwenu Amen God cannot be mocked ukweli utajulikana as soon as possible
Hizi ni zilebnyakati mbaya wanakuja kama kondoo lakini ndani ni mbwa mwitu asikiae na afahamu kuwa hu ni ule wakati wa manabii wa uongo ndio huyoooooo watu watasombwa sana kuzimu hata wateule biblia imesema
CASSIAN PASCHAL anampinga Mungu hakuna aliyempinga Mungu akafanikiwa . NAJUA HILO TOKEA KITAMBO NA Nimemshauri sana kwa njia hii AMESHUPAZA SHINGO.NAMWACHIA MUNGU ATAMJIBU KWA WAKATI NA MAJIRA YAKE
shetani hana chamkuuwa mkoawala wafalme wala wenye akili baali ana vivutio vyakukupeleka kwenye aanguko akiwemo namwenyewe swalanikujua kweli yaneno huge nimkuuwa moka wakuzimu siwaraiawa wa jamuhuri ya Tanzania hatagamoliayake hata viongoziwakeanawadhalilisha hatofautishi mvinyowa wayahudi wa wakatiule navyakula vyao vyamikate hiyo walishushia kunywa juice zabibuiliziwasaidie kupatahajakubwa kwa urahisi saanyingine niushamba uliopitiliza kutamukamaneno sawanamatapishi yakomwrnyewe mbele yaumawadunia nzima halafu unadhalilisha walikuteua kujaza watusisikitu chakipimo chawenye hekima wewe. Charamila mpingakiristo uliwahikuona analoga? au anajifanya yeyekamakiristo ...hujifanya yeyenizaidi ya Mungu hivyo chungasana ulimiwako we ye jamii. Wananchi wanaujuzuzi kulikowewe chukuahilo.
Yahn watu wako tayari kujaa kwenye maovu na cyo kutubu uovu wao😢😢😢ole wa inchi na wote wakaao juu yakee..mwamposaa siend mybe niwe maiti at Roho mt amenishuhudia saana alishaasi.njia ya msalaba tulianza naye maimoriaa. Akiwa na hema na mikesha ya maombi alikua vizuri.after kufika dar basii iman ya kwel aliichia mosh😢😢😢😢jamn watu mkikanywa msikiee
Wewe casian muhuni tu sem unajua wa tz wanapenda umbeya ndo maana unawapiga kanisa ulilokuwa ukiomba sadaka umalizie kulijenga liko wapi kama n ww sio muhuni tena unachuki sana ww jamaa na wivu mkubwa
Hawa unaowazungumzia mtumishi hawana mbingu, achana na habari zao, wewe hubiri neno la Mungu bila kuwataja watu majina yao, kweni huwezi kutoa neno bila wao,labda hawamuabudu Mungu wako, wewe hubiri neno la Mungu, Chalamila ni Mroma, wanaruhusiwa kunywa, hubiri neno achana na Mambo ya watu
Binafsi namwamini huongea vinginr kweli,lkn kwann wnahubiri kwamajina yawatu jamani,ama WOTE waongo YEYE ndiye mkweli PEKEE.,mmmh ALISEMA MTU mmoja SK zinakuja wakristo mtapigana wenyewe kwawenyewe.
Umenena vema sana, yaani kama yeye ametumwa kuwaokoa watu basi awahubirie watu hata siku moja. Anasema tusiwaamini hawa sawa enhe tusipowaamini tukamwamini yeye then anatuhubiria nini sasa?
Acha hzo ww Cassian unawivu sana huna lolote hujui bible Sasa ww mkuu wa mkoa amekukosea nn mwambosa amekuzidi Kila kitu ww unawivu kwa sababu huna waumini alafu ujue kumkashifu mtu nikosa kisheria ww ni mpuuz sana
SoMa maandiko mtumishi , Mwamposa anafuata maandiko , acha kashifa unatenda dhambi na usipo badilika utakinyea kikombe. Na tutajuaje umetumwa na Mungu make inaonesha hufahamu neno .
Kujaza watu na kutenda miujiza sio hoja, hoja ni kuhubiri neno la Mungu kikamilifu kwa moyo wako wote. Naam, baki mwenyewe kuihubiri haki ya Mungu kwa wahitaji wanaona kweli yako, nao waokoke na kufanyika wana wa Mungu. Mungu akutunze na akuepushe na adui.
10:18 Fika ukajionee mwenyewe usihadithiwe mitaani na vijiweni. Kila siku watu wanafungiliwa na kumpokea Yesu bila shida. Baada ya kujua kumbe Mungu ni halisia na sio maneno matupu
@@martinahlighare6495 Ndugu achana na story za vijiweni chukua hatua msikilize Mtumishi Mwamposa hata kwa utube ndio uncomment. Huwa anahubiri neno kwa ufasaha, anafungua watu vifungo vyao kwa njia rahisi kabisa, mwisho anaongoza watu sara ya toba kwa yeyote atakaye kumpokea Yesu. Mm nimwokoka na natokea mojawapo ya madhehebu makubwa ya kilokole, nimemsikiliza mara nyingi sana na sijaona wapi pa kumpigia mawe. Acha ushabiki chukua hatua binafsi kufatilia
Wanaokwenda huko wanalijua neno , ina maana Mungu anaongea na wewe tu duniani, watumishi woote hawaendi anavyopenda Mungu, jichunguzeee vizuri mtumishi, ina maana dunia hii ni wewe tu unaejua neno la Mungu
@goldermeirhoo1228 wewe ni ibilisi isiye jitambuwa kuwa makini ujuwe kwamba hapa ni mazabauni pia MUNGU atakupiga vibaya kama utoacha kizarau neno la kweli
Nawe unapenda kukosoa sana Sasa we ndio umetumwa na Mungu kila kitu unakosoa umewaita wewe? Na ukifika Mungu hayuko hivyo we inuka hubiria injili watu waokoke unadhani ukisema ivyo ndio utazuia? Na Bado unataka michango ya watu ukianza kuhubiri injili tutachanga lkn kukandia watu hapana
@@clarisbanza6066 Mungu Ahache kukupiga wewe unae simama na madhabahu za wenzako, ACHA KUSIMAMA NA MADHABAHU ZA WATUMISHI WENGINE, HUBIRI NENO, ACHA KUHUBIRI MADHABAHU ZINGINE HATA KAMA HAWAENDI MBINGUNI SI UWAACHE
Sasa kaka pascal hivi unashindwa kuongea bila kukioromesha hiyo sauti yako watu tunasikia vizuri tuu ukiongea kwa ukawaida wako maana sauti mpaka tunasahau ulianzia wapi na umeishia wapi....Jambo lingine kama ni kweli Roho wa Mungu amekuambia mwamposa sio mtumishi wake basi mimi ninakupa support 100000% lakini mtumishi kama una hubiri kwa hisia zako nataka nikupe tuu onyo kuna siku unachokiumba kitakurudia na wewe kuna watu watainuka juu yako kwa maana auae kwa upanga atapigwa sawa sawa
Luka.5:31-32.Yesu akawajibu akawaambia,Wenye afya hawana haja na tabibu,isipokuwa walio hawawezi.Sikuja kuwaita wenye haki,Bali wenye dhambi,Wapate kutubu.Mheshimiwa alisimama kwenye madhabahu ya Mungu aliyeumba mbingu na nchi na kuombea Amani kwenye taifa lake.je,ulitaka asimame wapi?Kwa Waganga wa kienyeji au kwenye Madhabu ya Mungu aliyeumba mbingu na nchi.Je angesimama kwenye huduma yako na akatamka hao ya Kumsifu Yesu Kristo ungesemaje?Mitume na Manabii Mlioitwa na Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi endeleeni kuwasaidia watu.Walio wagonjwa,wasiozaa wazae.Waganga wote wajisalimishe kwenye madhabahu ya Mungu aliyeumba Mbingu na nchi.Katika Jina la Yesu kristo Amen.
Wanaalika watu kwenye maadhimisho ya ugonjwa wa figo na tunaambiwa pombe ni chanzo kikuu wanadai matibabu ni gharama kubwa na watu wanakufa leo kiongozi anahamasisha kweupeee..si uislamu wala ukristo unakubaliana na kauli hiyo.. Mungu akutane nae uso kwa uso
kaka tuonyeshe mungu alie ndani yako na kazi zake zizihirike akuna aja ya kupambana na mwamposa wala manabiii wengine sioni kiutumishi kama inaleta afya
Jamani tunaishi nyakati za hatari,msiambiwe YESU Yuko huku,mara kule mkasadiki,wateule muwe macho ,YESU yuko hapo ulipo ni wewe kumwamini tu na muombe MUNGU lolote kwa jina la YESU utapewa
EE MUNGU TUREHEMU,TUFUNZE KUHUBIRI NENO LA MUNGU KAMA MWINJILISTI CHRISTOPHER MWAKASEGE,Sijui kama kuwasema wengine ndo KUHUBIRI?? TUOMBE TOBA NI MAKOSA KUWASEMA WENGINE,MUNGU MWENYEWE AMEKATAA,LET LOVE OF JESUS CHRIST LEAD US.
Jamani MSiyatupe Maneno jamani Mnyamaze ikiwa Mtyu ajui chochote nakushuhudiwa Na MUNGU cassian Muinjiristi Muachen Aongee yeye MUNGU .die Atasema Nae Na Ya Mwamposa MuyaacheMuzidi kumuomba MUNGU nakumuuliza Tuwe karibu na MUNGU Ii atufahamishe Zaidi Tukwepe zambi Na Machukizo na Kusoma Neno KUPOKEA ROHOMTAKATIFU Atatushuhudia na kutufundisha .
Shida watumishi wengi kilicho wajaa ni wivu kutwa kucha kusemana tena kama unawafuasi wengi. Kama Paschal ni mtumishi wa kweli si asitishe huduma ya Mwamposa? Ina maana Mungu wake ni wa maneno tu? Kusemana ya nn wakati watanzania kibao hawamjui Mungu kwa nn asihangaike na hao. Waislam wangapi wanao kesha bar wangapi kwa nn unakuwa na uchungu na asilimia ndogo hii ya watanzania? Wivu tu
BROTHER Pasco kasiani acha kuchafua MTUMISHI WA MUNGU BONIFACE MWAMPOSA mimi namjua BONIFACE MWAMPOSA akiwa anatumiwa na MUNGU zaidi ya miaka 20 iliyo pita MBEYA miaka iliyopita nimemuona MUNGU Akimtumia BONIFACE MWAMPOSA brother wewe ndiye unsye halibu kazi ya MUNGU uengeenderea kiimba tuu
Sasa wewe shida iko wapi km Chalamila na mwamposa wanamamakosa wewe sio Jaji muachie Mungu mwenyewe unaweza wewe ukakuta una makosa wivu anao Mungu wewe nyamaza unampenda mama Samia wengine hawampendi acha wivu mchungaji
Hapo hata mm nashangaa, wapo wengi wanaupinga ukristo tena hadharani hamjasema kitu. Ila huyu anamuhubuli Yesu kama wewe ila kwa namna yake aliyopewa unampiga mawe, kuna nn hapo?
Huyu mwamposa sii mtumishi wa bwana sii kila anaye litaja jina la yesu ni mtumishi wa bwana kuna na mna yakulitaja jina la yesu wewe tazama tuu na anavyo litaja jina la yesu unaona analitaja kishkaji hii ya kikawaida kawaida lakini tafuta mtumishi wa bwana uangalie jinsi anavyo litaja jina la yesu anapolitaja unasikia kabisa sauti ya imebeba authority ndani yake sasa tazama yeye au tafuta kusoma biblia juu ya habari za wale wana wa skewa walipo enda kumkemea mtu mwenye pepo kwa jina la yesu na lile pepo lilivyo sema lili sema paul tuna mfahamu na yesu tunamjua na sasa nyinyi niakina nani sii kila anaye litaja jina la yesu niwa yesu kuna neno linasema sikuile wapo watakao sema bwana bwana nilitoa pepo kwa jina lako niliponya kwa jina lako lakini yesu aliwajibu siwajui mimi nyinyi mtendao maovu na sii kila muujiza anaufanya mungu Mathayo 24:24 kwa maana watatokea makristo wa uongo na manabii wa uongo naowatatoa ishara kubwa na maajabu wapate kuwapoteza kama yamkini hata walio wateule" kwahiyo sii kila muuji anafanya mungu hizi nisiku za mwisho yesu anarudi nasawa sawa nayaliyo andikwa kwenye Mathayo 24:24 ndiyo yanayo yendeka sasa hivi tulio wateule wa mungu tukaeni macho siku zimekwisha na ambao macho yamefungwa na roho za udanganyifu zimepita kwao na kujenga katika fikra zao ngome na elimu iliyo kinyume na elimu ya mungu kwa jina la yesu kristo wa Nazareth hizo ngome na elimu zika vunjike na hizo roho za udanga nyifu zikawa ache kwa jina la yesu na huoupofu walioingiwa nao kwenye macho yao unaosababisha wasione sawa sawa tunakiangusha hicho kiambaza kwa damu ya yesu.
Kwakweli Mungu ndo anasitahili cheo hicho Ila ukiona Mungu kanyamaza basi siku ikifika msiseme hamkuwambiwa kiongozi waserikali unaongea hivyo kweli shetani amewalewesha Mungu atusaidie 🙏
Nijuavyo mm taarifa za kiongozi ni za nyakati mbili tofauti. Moja kabla hajafikiwa na neema ya Mungu na nyingine baada na yeye kufikiwa na neema hiyo. Mtu haukumiwi kwa matendo ya kale. Anahukumiwa kwa matendo ya sasa
watumishi wa Mungu mnatuchanganya sana badala la ya kuhubiri neno mnatumia muda mwingi kusemana nyie watumishi we hubiri neno watakakufuata watakufuata lakn sio kutupiana madongo kwa kuwataja watu majina hapo unakosea mtumishi
Mkuu wa Mkoa sio Mtumishi Wa MUNGU Yeye ni Mtumishi wa Selikali Na jua Yeye Ha muamini Mungu kwa imani yako Wewe kwake kila kitu sawatu Makahaba ni Mali ya MUNGU Walevi pia Yeye ndie Aliye Waumba
Usipokuwa wa rohoni Kuna mengi yatapongezwa na mawakala wa dunia hii maana wako kazini.. Hata Afrika kusini Kuna kanisa la wanywa bia.. Fimbo ya Bwana itembee
acha kutembelea content za watu bro hiyo haisaidiii maneno yako kamwe hayawezi kubadilisha imani ya mtu. wewe unaejifanya ndo mlokole wa kweli endelea na hiyo imani yako ya kweli kumbuka mkuu wa mko unae mnanga hapo ni kiongozi wa serikari pia kumbuka serikari haina dini. anaweza kuongea kitu chochote kutokana na sehem aliyopo Acha ufinyu wa akili Acha kujaza watu ujinga mkuu wa mkoa ni kiongozi wa watu wote walio na dini na wasio na dini Acha kuunganisha matukio ili upate maudhui. nakuona mshamba tu tu we jamaa.......
@@costofamily4861 Mwamposa anachukiwa zaidi na watu wa aina tatu au nne. 1. Wenye wivu nakuona hawawezi kufikia viwango vyake vya imani na mamlaka ktk jina la Yesu. 2. Watumishi wanaodhani washiriki wao ni mali yao na sio wa Mungu. 3. Wachawi na washirikina anaowaharibia kazi zao na kuwaabisha hadharani kwa kufungua watu na kuchoma tunguri na uchawi wao adharani. 3. Watumishi wanaoona watu wakienda kwa Mwamposa sadaka zinapungua kwao
Nakupend xàn kak but tuhubilie nen la mungu usituhubilie abar za mwamposa tumechok ndug tuhubilie abàri za mungu na namn gan tutaingia mbinguni kil xik mwampox mpak tumechok mpak tut kuj tukuon unamuhubur mwampox
UNAMAANISHA SHETANI NDO ANA NGUVU KULIKO MUNGU??TUMIA NENO LA MUNGU KWA HEKIMA YA KIMUNGU YA KUWAHURUMIA WANYONGE,MASKINI NA WALIOONEWA,OGOPA KUWAGUSA WATUMISHI WA MUNGU UTAUMIA..SHAURI YAKO.
BLABLA NYINGI SASA TUONESHE NGUVU ZA MUNGU ZA KWELI ULIZO NAZO WEWE SIO KELELE TU HATA NGUVU ZA MUNGU NAZO HUNA KIJANA 1 Kor 4:20 Maana ufalme wa Mungu hauwi katika neno, bali katika nguvu. UNAPIGA MIKELELE WEEE ILA UKIAMBIWA UMEFANYA NINI KATIKA MAISHA YAWATU UTASEMA NIMEWAPA NENO KWAKUWASEMA WATU BIBLIA INAKUKATAA INATAKA UTUONESHE NGUVU ZA MUNGU ULIZO NAZO WEWE BAADA YAKUTUONESHA ZAWATUMISHI FEKI SASA TUONESHE ORIGINAL ZA KWAKO TUNATAKA KUKUONA MUNGU ANAVYOKUTUMIA KAMA HUWEZI FUMBA KINYWA CHAKO MALA MOJA. HATUTAKI BLABLA HAPA ONYESHA NGUVU ZA MUNGU.
Ww baba uko sahihi toka nipo mdogo sijawahi kukanyaga madhabau za watumishi feki coz najua everything kuhusu shetani ni nani na watumishi wengi wanajificha ushetani wao usionekane ila sisi wenyewe macho ya rohon tunaona vingi
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu. Mungu akupe ulinzi. Malaika zake wakuzingile na panga za moto, mbele , nyuma, kulia na kushoto. Amen.
Asante sana bwana Cassian K kwa kuwa ujasiri; umetuwakilisha kusema kweli tena kweli tupu, barikiwa!
Mkuu wa Mkoa safi saaana, Mtumishi Cassian uwaache Mungu awashughulikie wenyewe, kwani aliyowaumba anajua, Chalamila kwa upeo wake kashuhudiwa kuwa Kwa Mwamposa yupo Mungu, siyo kwa upeo wako, nimeona tatizo ulilonalo ni Huna Elimu na wengine woote wanaosema wenzao ni ukosefu wa ELIMU
kweli kabisa,halafu nilichogungua huyu kadian anawivu anataman yeye ndo angekuwa BBM,,duh kwel watumishi wa mungu wanavita
Urudi bss kijana!
Acha kupotosha
Nawe kusanya umati wako...
Atuonyeshe Mungu wake na sio maneno tu. Hata Yesu alikuja na Neno lake na kulidhobitisha pia kwa matendo
Nyinyi wote mnaopinga ukweli huu na kuteteya uyo agent wa shetani mwamposa nyinyi wote ni wajinga na vipofu wa kiroho
ww ndio kipofu mbona yy kaz yake haionekani kaz mdomomdomo hata mgonjwa wamafua hajawahi kumuombea akapona
Mwamposa ni mtumishi wa Mungu. Anamuhubiri Yesu hadharani kwa hekima kubwa Sanaa. Usiwe kama Baalamu na Baalack. Mungu alitumia punda kuubariki mji. Mkuu Mungu kamtumia kama punda kudhihirisha hakika huyu ni mtumishi wa Mungu. Usihukumu mbingu huna. Unapenda watumishi wa Mungu tuwe wanyongeee. Hubiri neno tukusikilize hii haijakaa sawa. Unampinga kristo.
Huyu Cassian Huwa anasoma Neno ila hatafakari Neno hiyo ndio shida yake na Wala sio Mtumishi mbaya ila anahitaji Elimu tu ya Neno la MUNGU, roho wa BWANA ampatie HEKIMA yake, Ili kuyafikia mataifa ila sio katika njia hii Maana hataweza kuleta faida katika ufalme wa MUNGU, zaidi ni kupotosha...(Wanajuhudi katika MUNGU lakini si katika maarifa.
Hakuna Mungu hapo kwa Mwamposa hakika, Tumaini la wanaadamu nimeangukia kwenye kutegemea mafuta ya Mwamposa , na kuacha kumtumaini Mungu, !!! Imefikia maali watu wanatembea na mafuta kwenye mikoba yao , Sikia wewe Mtu wa Mungu hakika huo Ni Ushirikina,!!!! Aina tofauti na mtu anayetembea na irizi,, !! Maana Tumaini lake huyo mtu lipo kwenye irizi aliyobeba,!!! Asikiaye Ujumbe huu na kuacha hizo aImani mbaya potofu, Ataokoka, Asema Bwana wa Majeshi,
Hakika
Amin cassian ni mtumish wa mungu Tena akiwa na ujumbe wa bwana Kama unawaamin akina mwaposa jua umetekwa ma umepotea akinawamposa ndio manabii wa uongo waliotabiliwa
Mungu akusaidie ndio Maan anakuuzia mafuta
Hata waumini wenu sasa wanachoka na mahubiri yenu ya watu badala ya kuwasaidia matatizo yao. Wanakuja makanisa kumtafuta Mungu aliyewaahidi ahadi nyingi katika neno lake. Mungu ameahidi kuwaponya magonjwa yao,kuwainua na kuwatanirisha,kuwafungua kufungwa kwao,na wanataka waone hizo ahadi za Mungu zikifanyika kweli kwenye maisha yao. Sasa ikatokea hawajazipata chini yako,na wakaenda kwa huyo mnaemuita ana nguvu za shetani,na wakapokea hizo ahadi za Mungu,sahau kuwaona tena kwako. Mnamuinua sana shetani mpaka inashangaza! Mtu kapona uvimbe wewe unasema ni shetani! Mtu kapona kifafa wewe unasema ni shetani,mtu alikua fukara sasa kainuka wewe unasema ni shetani,watu wanafunguliwa mapemo na vifungo mbalimbali wewe unasema ni nguvu za shetani!
@@FrankBororo-dk1fv umeandika mambo mengi sana lkn itoshe kukuambia hivi kuwa hata shetani ana miuujiza yake, na palipo na Mungu wa kweli panajulikana tu, Mungu wetu anatafuta utakatifu sana na mengine yote tutazidishiwa je kwa nini mtu ahubiri injili ya mafanikio tu bila injili ya utakatifu? au kukemea dhambi pia nikuambie kuwa Mungu anajitegemea hatumii vitu mfano mafuta, maji mara udongo kumponya mtu, tumeambiwa kwa jina la Yesu tutatoa pepo na kuponya wagonjwa.
Ukiponywa magonjwa ukabaki kua mzinzi inakusaidia niji? Ukinunua mafuta na kwenda kunyunyiza baa na ukajaza wateja ukapata pesa inakusaidia nini? Ukipata pesa lakini ukawa hujui kumuheshimu Mungu kwa pesa zako inakusaidia nini? Miujiza yooote ikiwa jina lako halijaandikwa katika kitabu cha uzima ni bure. Na Mungu hutenda kwa wakati wake na hata asipotenda bado anabaki kua Mungu.
Tatizo hajielewi na sio vizur kumsema mtumishi mwenzako vibaya.
kama mnafikiri kasian yupo sawa mtajikuta mnaenda moron msihukumu maine mkahukumiwa mungu mwenyewe ndio anajua wakwake
Dikika 53:32
Paza sauti mtumishi wa Mungu hata wakati wa nuhu wapo waliomdharau lakini gharika ilivyokuja waliita sana Nuhu tufungulie lakini hawakupata msaada.Wenye kuokolewa kwa hudumu yako wataokolewa wengi usikate tamaa fanya hudumu uliyoitiwa na Mungu.
Kweli watu wengine ni mifano ya watu duniani..nafsi ziko kuzimu..
Mungu mtie nguvu na ULINZI mtumishi wako Cassiani .
Siku za mwisho tunagundua mengi..maboxi yanaongoza watu duniani mpaka wapagani wanashangaa..Wana WA MUNGU tusonge mbele .tuzalishe Wana WA MUNGU Kona zote ..Agizo kuu linatusubiri Mathayo 28:19-21
Mungu wambingu akulinde sana manaa maaduwi wataluwa wengi kwa sababu injili yako niya ukweli lakini watu sikuhizi hawapendi ukweli Mungu akuyinuwe❤❤❤❤
Kukusanya watu wengi hata MICHAEL JACKSON alikusanya watu wengi sana lakini usingeweza kusema MICHAEL JACKSON ni MTUMISHI WA MUNGU.PASCHAL CASSIAN AMETUMWA NA MUNGU,WENYE JICHO LA ROHO MTAKATIFU TUNAONA.WENGI WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.
You're right
Wewe una roho ya mpinga kristo ndani yako, nahisi roho wa MUNGU alisha kuacha umebakiza maneno yasiyo na nguvu.
Sio kweli nafikir ww biblia husomi
Achaseme ukwel watu waende mbingun wew
Acha kumsema mtumishi wa Mungu vibaya je unataka na wewe uhalalishe kuwa pombe ni soda😊?
@@user-xd7gb9ub4t ndugu yangu Mimi nilishaona Muda mrefu sana kuwa huyu mtu ni mpinga Kristo anaejificha kwenye uinjilist
No .paschal yuko sahihi..na ukiona kitu kinaongelewa jua kipo au kipo njiani..au know that kuna something wrong
Nakukubali sana mahubili Safi yasio goshiwa mtu imala tukopamoja
Hutabaki pekee yako tupo nyuma yako tunao jua Neno la Mungu Ubarikiwe sana Muny akulinde
❤❤Amina mtumishi wa Mungu Mungu awe nawe daima ponya nafusi za watu zinazopotea
Naitwa Amani z naishi kwa inchi ya Africa ya kusini nakufatiliya kiumakini Sana Kazi zako naipenda sana Mungu anaendeya kutulinda nakukutiya nguvu
Iko Sawa hapa naona machawa wanawaka wazee wa mikate na bia piga nyundo Kaka usiangalie mashabiki Hata akiwa mmoja mtu nmuhimu kuliko Hao vipofu
Z 10:18 humo humo kwenye mikate na bia watu wamepata neema ya kumjua Kristo
Wenye maskio na wasikie neno ilo mwenye macho watazame bwana yu karibu Mungu azidi kukupa maisha marefu mpaka kusudi lake litimie kwako
Usihukumu usije ukahukumiwa na toa kibanzi kilichomo jichoni kwako na ndipo utoe boriti kwenye hicho la mwenzio. Pascal anajinadi kuwa alikuwepo huko kwenye ujenzi huru na akajitoa, je, amepewa uhalali na nani kuwasema watumishi wa Mungu ambao hakubaliani nao? Tuendelee kumhuburi Mungu wetu wa kweli bila kunyoosheana vidole hakuna ubaguzibwote tunaitaka Pepo njema ya YESU KRISTO WA NAZARETH
sio kweli nyamaza kabisa,,sauli alikuwa wapi na mtu wa namna Gani kabla hajawa Paulo,,je maisha ya manabii na wafalme yalikuwaje na hatmae za manabii zilikuwaje?,,km unapenda maneno Laini muujiza na upako,,basi huo sio utume wa paschal,na Mungu anao watu wake sehemu mbali mbali wengine bado ni makahaba kwa sasa,ila watakapo itwa ndipo mtakapo pishana milango wataingia nanyi ntatoka,,km neno limekukera basi Kuna shida ndani Yako,,omba sana hio roho iondoke ili uridhike na maonyo yakubadilishe na yasikukasirishe
Mimi husoma tu comment za watu lakini acheni niwaambie watu ambao mnatusi huyu mtumishi wa BWANA na ametumwa jueni ya kwamba mnajichimbia kaburi lenyu wenyewe na ndo huwa mnasikia watu wakisema tumerogwa na kumbe ni nyinyi wenyewe mnajiroga kwa kutukama mtumishi wa MUNGU huyu MWINJILISTI Cassian ametumwa na BWANA Aliye hai so endeleeni kukaidi mtakipata cha kwenu Amen God cannot be mocked ukweli utajulikana as soon as possible
@@SafiAkinyi8361 Acha kusema mtumishi WA Mungu wakati muadu rusifa
Hizi ni zilebnyakati mbaya wanakuja kama kondoo lakini ndani ni mbwa mwitu asikiae na afahamu kuwa hu ni ule wakati wa manabii wa uongo ndio huyoooooo watu watasombwa sana kuzimu hata wateule biblia imesema
CASSIAN PASCHAL anampinga Mungu hakuna aliyempinga Mungu akafanikiwa . NAJUA HILO TOKEA KITAMBO NA Nimemshauri sana kwa njia hii AMESHUPAZA SHINGO.NAMWACHIA MUNGU ATAMJIBU KWA WAKATI NA MAJIRA YAKE
shetani hana chamkuuwa mkoawala wafalme wala wenye akili baali ana vivutio vyakukupeleka kwenye aanguko akiwemo namwenyewe swalanikujua kweli yaneno huge nimkuuwa moka wakuzimu siwaraiawa wa jamuhuri ya Tanzania hatagamoliayake hata viongoziwakeanawadhalilisha hatofautishi mvinyowa wayahudi wa wakatiule navyakula vyao vyamikate hiyo walishushia kunywa juice zabibuiliziwasaidie kupatahajakubwa kwa urahisi saanyingine niushamba uliopitiliza kutamukamaneno sawanamatapishi yakomwrnyewe mbele yaumawadunia nzima halafu unadhalilisha walikuteua kujaza watusisikitu chakipimo chawenye hekima wewe. Charamila mpingakiristo uliwahikuona analoga? au anajifanya yeyekamakiristo ...hujifanya yeyenizaidi ya Mungu hivyo chungasana ulimiwako we ye jamii. Wananchi wanaujuzuzi kulikowewe chukuahilo.
Yahn watu wako tayari kujaa kwenye maovu na cyo kutubu uovu wao😢😢😢ole wa inchi na wote wakaao juu yakee..mwamposaa siend mybe niwe maiti at Roho mt amenishuhudia saana alishaasi.njia ya msalaba tulianza naye maimoriaa. Akiwa na hema na mikesha ya maombi alikua vizuri.after kufika dar basii iman ya kwel aliichia mosh😢😢😢😢jamn watu mkikanywa msikiee
Wewe umebarikiwa na mungu ntumisi
Mungu akutunze maana taji Yako ni kubwa wachungaji wetu wamekaaa kimya Wala hawasemi kwa kwa jina la Bwana
Mungu akulinde mtumishi Cassian najua vita ipo juu yako lakini Mungu kasema vita ni vya BWANA piga nyundo
Mungu azidi kukuinua mtumishi wa Mungu, endelea kuwafua maajenti ya mashetani yote.
Wewe casian muhuni tu sem unajua wa tz wanapenda umbeya ndo maana unawapiga kanisa ulilokuwa ukiomba sadaka umalizie kulijenga liko wapi kama n ww sio muhuni tena unachuki sana ww jamaa na wivu mkubwa
Hata waumini wko walienda Kwa mtumishi WA mungu mwamposa mpakwa mafuta
anawivu huyuuuuuuuuu kaaah pole sana na kanisan kwako hatuji hutuacheee😂😂,mbona huwasemi dini zngine unasema wakristo wenzio acha wivu baba😂
Hakuna Mkristo aliyesemaa hapo ila kawasema waganga wakienyeji na waovu wale wa mfuatao
kwa kuna waganga wanaotaja jina la yesu????,au wakristo ndo huwa wanajata jina la yesu mkuu tafakar na uelewe bac
Nyie msio elewa ndo mnapotea sasa na vile hamtaki kulielewa neno la MUNGU linasema nini mnajiona mko sawa kabisa
Hawa unaowazungumzia mtumishi hawana mbingu, achana na habari zao, wewe hubiri neno la Mungu bila kuwataja watu majina yao, kweni huwezi kutoa neno bila wao,labda hawamuabudu Mungu wako, wewe hubiri neno la Mungu, Chalamila ni Mroma, wanaruhusiwa kunywa, hubiri neno achana na Mambo ya watu
Binafsi namwamini huongea vinginr kweli,lkn kwann wnahubiri kwamajina yawatu jamani,ama WOTE waongo YEYE ndiye mkweli PEKEE.,mmmh ALISEMA MTU mmoja SK zinakuja wakristo mtapigana wenyewe kwawenyewe.
basi dunia n nzima yeye ndo wa kweli umeongea point sana kila madhabahu anaisema 😊@@jeniphermyingajeniphermyin8029🎉🎉🎉🎉
Umenena vema sana, yaani kama yeye ametumwa kuwaokoa watu basi awahubirie watu hata siku moja. Anasema tusiwaamini hawa sawa enhe tusipowaamini tukamwamini yeye then anatuhubiria nini sasa?
Cassia Yuko sahihi
Jaman Cassian ametumwa tusipuuze ipo siku huyu mtumishi atakumbukwa na mungu ana makusudi naye
We nae unatuvuruga!! Yaan mtu anatani akufatilie lkn kutwa hutii moyo watu unaongelea mabaya watu tu !! Sasa siuwatafute uwaambie mbona unazunguka
@@dyanamotz Hizi siyo nyakati za kutiana moyo mpendwa mara utanunua gari utajenga nyumba wewe amka
Acha uongo bwana toka lini pepo akamtoa pepo mwenzie,
Acha hzo ww Cassian unawivu sana huna lolote hujui bible Sasa ww mkuu wa mkoa amekukosea nn mwambosa amekuzidi Kila kitu ww unawivu kwa sababu huna waumini alafu ujue kumkashifu mtu nikosa kisheria ww ni mpuuz sana
DAMU ya YESU ikufunike daima 🙏🙏🙏
Kwani lazima ukihubiri utaje watumishi wengin sasa mwamposa anaingiaje hapo badala uwahubirie watu neno la Mungu
huyu jamaa anajiona yeye yuko sahihi mpuuz sana anaongelea watumishi tu
@@justinmayback5552 yeye ahubirie watu wapone na si kutaja watumishi wengine bana
SoMa maandiko mtumishi , Mwamposa anafuata maandiko , acha kashifa unatenda dhambi na usipo badilika utakinyea kikombe. Na tutajuaje umetumwa na Mungu make inaonesha hufahamu neno .
No
una akili sana kuna manabiii wanaomsema kana kwamba anatumia biblia ya kuzimu kila mtu na wito wake naona angezingatia kuhubiri zaidi wati wafunguliwe
Kujaza watu na kutenda miujiza sio hoja, hoja ni kuhubiri neno la Mungu kikamilifu kwa moyo wako wote.
Naam, baki mwenyewe kuihubiri haki ya Mungu kwa wahitaji wanaona kweli yako, nao waokoke na kufanyika wana wa Mungu.
Mungu akutunze na akuepushe na adui.
10:18 Fika ukajionee mwenyewe usihadithiwe mitaani na vijiweni. Kila siku watu wanafungiliwa na kumpokea Yesu bila shida. Baada ya kujua kumbe Mungu ni halisia na sio maneno matupu
@@martinahlighare6495 Ndugu achana na story za vijiweni chukua hatua msikilize Mtumishi Mwamposa hata kwa utube ndio uncomment.
Huwa anahubiri neno kwa ufasaha, anafungua watu vifungo vyao kwa njia rahisi kabisa, mwisho anaongoza watu sara ya toba kwa yeyote atakaye kumpokea Yesu.
Mm nimwokoka na natokea mojawapo ya madhehebu makubwa ya kilokole, nimemsikiliza mara nyingi sana na sijaona wapi pa kumpigia mawe.
Acha ushabiki chukua hatua binafsi kufatilia
Wanaokwenda huko wanalijua neno , ina maana Mungu anaongea na wewe tu duniani, watumishi woote hawaendi anavyopenda Mungu, jichunguzeee vizuri mtumishi, ina maana dunia hii ni wewe tu unaejua neno la Mungu
soma BIBLIA utaona kwaba anasema ukweli
@goldermeirhoo1228 wewe ni ibilisi isiye jitambuwa kuwa makini ujuwe kwamba hapa ni mazabauni pia MUNGU atakupiga vibaya kama utoacha kizarau neno la kweli
Nawe unapenda kukosoa sana Sasa we ndio umetumwa na Mungu kila kitu unakosoa umewaita wewe? Na ukifika Mungu hayuko hivyo we inuka hubiria injili watu waokoke unadhani ukisema ivyo ndio utazuia? Na Bado unataka michango ya watu ukianza kuhubiri injili tutachanga lkn kukandia watu hapana
Ukweli ndo huo na haupingiki Muñgu alishakazaza vileo casssia mtumishi ubarikiwe
@@clarisbanza6066 Mungu Ahache kukupiga wewe unae simama na madhabahu za wenzako, ACHA KUSIMAMA NA MADHABAHU ZA WATUMISHI WENGINE, HUBIRI NENO, ACHA KUHUBIRI MADHABAHU ZINGINE HATA KAMA HAWAENDI MBINGUNI SI UWAACHE
Mtumishi wa mungu paza sauti kukemea uovu Ili watoto wa mungu wasipotee Asante sana mtumishi wa mungu ubalikiwa na bwana.
Sasa kaka pascal hivi unashindwa kuongea bila kukioromesha hiyo sauti yako watu tunasikia vizuri tuu ukiongea kwa ukawaida wako maana sauti mpaka tunasahau ulianzia wapi na umeishia wapi....Jambo lingine kama ni kweli Roho wa Mungu amekuambia mwamposa sio mtumishi wake basi mimi ninakupa support 100000% lakini mtumishi kama una hubiri kwa hisia zako nataka nikupe tuu onyo kuna siku unachokiumba kitakurudia na wewe kuna watu watainuka juu yako kwa maana auae kwa upanga atapigwa sawa sawa
Luka.5:31-32.Yesu akawajibu akawaambia,Wenye afya hawana haja na tabibu,isipokuwa walio hawawezi.Sikuja kuwaita wenye haki,Bali wenye dhambi,Wapate kutubu.Mheshimiwa alisimama kwenye madhabahu ya Mungu aliyeumba mbingu na nchi na kuombea Amani kwenye taifa lake.je,ulitaka asimame wapi?Kwa Waganga wa kienyeji au kwenye Madhabu ya Mungu aliyeumba mbingu na nchi.Je angesimama kwenye huduma yako na akatamka hao ya Kumsifu Yesu Kristo ungesemaje?Mitume na Manabii Mlioitwa na Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi endeleeni kuwasaidia watu.Walio wagonjwa,wasiozaa wazae.Waganga wote wajisalimishe kwenye madhabahu ya Mungu aliyeumba Mbingu na nchi.Katika Jina la Yesu kristo Amen.
Wanaalika watu kwenye maadhimisho ya ugonjwa wa figo na tunaambiwa pombe ni chanzo kikuu wanadai matibabu ni gharama kubwa na watu wanakufa leo kiongozi anahamasisha kweupeee..si uislamu wala ukristo unakubaliana na kauli hiyo.. Mungu akutane nae uso kwa uso
Mungu anasema.ombeni lolote.mtapata.Basi mwuombeeni Mwaposa.kuliko kukashifu.hapo hamna jibu.
Sauti ya mtu aliaye nyikani......
Yani wewe unafuta bangi sana mimi nakwambia kila siku mbona unapenda sana kwingilia kanisa la Mwanzako inakuuma nini moyo wako kwa mwamposa?
Mathew 14:13b-16..[.I LOVE JESUS SO MUCH ] ❤
Acha ukosaji wewe mtumishi go and win souls sio kuja kuponda watumishi wa Mungu, think before you talk
kaka tuonyeshe mungu alie ndani yako na kazi zake zizihirike akuna aja ya kupambana na mwamposa wala manabiii wengine sioni kiutumishi kama inaleta afya
Huyu Jamaa ni mnafiki na wivu
Afya gan unaitaka wacha waseme ukwel
@@GeofreyKalo-ot3wewanadamu hampendi ukweli ndio maana neno la mungu hamjisomei wenyewe
@@misscesty5817Amin umeongea ukwel dada
@@DamianUlaya aendelee kuongea mdomo mali yake lkn kiutumishi kila mtu anatakiwa kuwa na hekima 😂😂😂😂😂
Jamani tunaishi nyakati za hatari,msiambiwe YESU Yuko huku,mara kule mkasadiki,wateule muwe macho ,YESU yuko hapo ulipo ni wewe kumwamini tu na muombe MUNGU lolote kwa jina la YESU utapewa
Pambaneni Mimi sipo nacomment tuu hapo wanangangania sadaka 😅😅😅
Cassian hubiri neno
Hawa manabii wa uongo waabudu mashetani watakokota wengi kuzimu. Wateule tuwe macho, Yesu yu karibu malangoni.
Usihukumu usije ukahukumiwa. Tukifika mbinguni utashangaa taji zao zinang'aaa.
Mungu akusaidie mtu wa Mungu.
Sema kweli watu waponeDamu yayesu ikulindi mtmsh wa Mungu aliehai
Ira usiwe unagusa viogoz kaka hao ndo wenye madaraka
Acha wivu imekuuma sanaaaaa! Na bado
Acha mpigwe na shetani wenu
EE MUNGU TUREHEMU,TUFUNZE KUHUBIRI NENO LA MUNGU KAMA MWINJILISTI CHRISTOPHER MWAKASEGE,Sijui kama kuwasema wengine ndo KUHUBIRI?? TUOMBE TOBA NI MAKOSA KUWASEMA WENGINE,MUNGU MWENYEWE AMEKATAA,LET LOVE OF JESUS CHRIST LEAD US.
Endelea Ku pasa sauti Zaidi na Zaidi. Tunakuombea Mungu Aendelee kukusimamia
Mwamposa amesaidia wengi na mpk sasa anasaidia wengi kama naww unaweza jaza tuone
Kwahyo kujaza watu wengi ndio sifa ya kuwa na Mungu WA kweli, mbona diamond muabudu Shetani Kama mwamposa wote wanajaza watu.??
@@GeorgeChitemo-kt8swwewe usiende ukiona ni freeamanso sisi tupo na mwamposa sako to bako mpaka kiama 😅😅😅😅
@@GeorgeChitemo-kt8swdiamond kaabudu shetan lini acha wivu na umasikini wa akili
Jamani MSiyatupe Maneno jamani Mnyamaze ikiwa Mtyu ajui chochote nakushuhudiwa Na MUNGU cassian Muinjiristi Muachen Aongee yeye MUNGU .die Atasema Nae Na Ya Mwamposa MuyaacheMuzidi kumuomba MUNGU nakumuuliza Tuwe karibu na MUNGU Ii atufahamishe Zaidi Tukwepe zambi Na Machukizo na Kusoma Neno KUPOKEA ROHOMTAKATIFU Atatushuhudia na kutufundisha .
Shida watumishi wengi kilicho wajaa ni wivu kutwa kucha kusemana tena kama unawafuasi wengi. Kama Paschal ni mtumishi wa kweli si asitishe huduma ya Mwamposa? Ina maana Mungu wake ni wa maneno tu?
Kusemana ya nn wakati watanzania kibao hawamjui Mungu kwa nn asihangaike na hao. Waislam wangapi wanao kesha bar wangapi kwa nn unakuwa na uchungu na asilimia ndogo hii ya watanzania? Wivu tu
Inatosha kuponda watumishi sasa hubiri neno tukuelewe sio unakesha kuhubiri kuhusu manabii na watumishi wengine tu. Tupe agenda yako sasa
Siku Mungu ashuke na gadhabu yake ndipo watakapojua nisawa kama hawajarudi kuwambia watu watubu kwa gadhabu aliyoshusha
Kazi imeanza wao kwa wao
Kwanini hatutaki kusoma neno la Mungu . Binadamu tusimame kwa neno la Mungu mbona linatufundisha vizuri.
BROTHER Pasco kasiani acha kuchafua MTUMISHI WA MUNGU BONIFACE MWAMPOSA mimi namjua BONIFACE MWAMPOSA akiwa anatumiwa na MUNGU zaidi ya miaka 20 iliyo pita MBEYA miaka iliyopita nimemuona MUNGU Akimtumia BONIFACE MWAMPOSA brother wewe ndiye unsye halibu kazi ya MUNGU uengeenderea kiimba tuu
@@PROPHETLWITIKO-rr4gc KUMJUA MTU SIYO TATIZO MPENDWA MOYO WA MWANADAMU NI KICHAKA
Amen mungu akubariki
Nyesu ni Mtoto wa Mungu alijaribiwa na shetani lakini Yesu alimushinda shetani kwa Neno la Mungu .
@@user-fw6tj8kt4n Hee! 😳😳Nyesu tena
Sasa wewe shida iko wapi km Chalamila na mwamposa wanamamakosa
wewe sio Jaji muachie Mungu mwenyewe
unaweza wewe ukakuta una makosa
wivu anao Mungu wewe nyamaza
unampenda mama Samia wengine hawampendi acha wivu mchungaji
Na wewe ombea watu wapone, wafunguliwe, usilete wivu, kwani mungu wako hana nguvu?
Hiyo hata mm ntamuelewa 😊
Palipo na tai ndipo tai hukusanyika , wivu haukuanza leo
Cassian ana sema ukweli juu ya mwamposa huyu mwamposa ni mwongo na ni agent wa shetani
Mweeee!! Jamani😢😢😢😢 pamoja na cheo alicho nacho lakini shetani anasema sikuachii lazima unitukuze
Wewe inaonekana mtu mwenye wivu mkubwa sana na huduma za watumishi wenzio, Fanya kile MUNGU amekuitia. Lakini wivu utakupoteza katika huduma Yako.
Muache aseme ukwel mungu hamemuita kusema ukwel
Kwanini mnawapinga watumishi wenzenu wa kikisto mbona hamuwapingi watumishi wa upande wa pili kama kweli wewe ni mtumishi wa MUNGU
Hapo hata mm nashangaa, wapo wengi wanaupinga ukristo tena hadharani hamjasema kitu. Ila huyu anamuhubuli Yesu kama wewe ila kwa namna yake aliyopewa unampiga mawe, kuna nn hapo?
Huyu mwamposa sii mtumishi wa bwana sii kila anaye litaja jina la yesu ni mtumishi wa bwana kuna na mna yakulitaja jina la yesu wewe tazama tuu na anavyo litaja jina la yesu unaona analitaja kishkaji hii ya kikawaida kawaida lakini tafuta mtumishi wa bwana uangalie jinsi anavyo litaja jina la yesu anapolitaja unasikia kabisa sauti ya imebeba authority ndani yake sasa tazama yeye au tafuta kusoma biblia juu ya habari za wale wana wa skewa walipo enda kumkemea mtu mwenye pepo kwa jina la yesu na lile pepo lilivyo sema lili sema paul tuna mfahamu na yesu tunamjua na sasa nyinyi niakina nani sii kila anaye litaja jina la yesu niwa yesu kuna neno linasema sikuile wapo watakao sema bwana bwana nilitoa pepo kwa jina lako niliponya kwa jina lako lakini yesu aliwajibu siwajui mimi nyinyi mtendao maovu na sii kila muujiza anaufanya mungu Mathayo 24:24 kwa maana watatokea makristo wa uongo na manabii wa uongo naowatatoa ishara kubwa na maajabu wapate kuwapoteza kama yamkini hata walio wateule" kwahiyo sii kila muuji anafanya mungu hizi nisiku za mwisho yesu anarudi nasawa sawa nayaliyo andikwa kwenye Mathayo 24:24 ndiyo yanayo yendeka sasa hivi tulio wateule wa mungu tukaeni macho siku zimekwisha na ambao macho yamefungwa na roho za udanganyifu zimepita kwao na kujenga katika fikra zao ngome na elimu iliyo kinyume na elimu ya mungu kwa jina la yesu kristo wa Nazareth hizo ngome na elimu zika vunjike na hizo roho za udanga nyifu zikawa ache kwa jina la yesu na huoupofu walioingiwa nao kwenye macho yao unaosababisha wasione sawa sawa tunakiangusha hicho kiambaza kwa damu ya yesu.
Nchi hii vichaa hawataisha, wewe pascal na Mbarikiwa ni wivu tu
Kwakweli Mungu ndo anasitahili cheo hicho Ila ukiona Mungu kanyamaza basi siku ikifika msiseme hamkuwambiwa kiongozi waserikali unaongea hivyo kweli shetani amewalewesha Mungu atusaidie 🙏
Nijuavyo mm taarifa za kiongozi ni za nyakati mbili tofauti.
Moja kabla hajafikiwa na neema ya Mungu na nyingine baada na yeye kufikiwa na neema hiyo. Mtu haukumiwi kwa matendo ya kale. Anahukumiwa kwa matendo ya sasa
watumishi wa Mungu mnatuchanganya sana badala la ya kuhubiri neno mnatumia muda mwingi kusemana nyie watumishi we hubiri neno watakakufuata watakufuata lakn sio kutupiana madongo kwa kuwataja watu majina hapo unakosea mtumishi
kweli
Kasome biblia yohana mbatizaji alikuwa akifanya Nini juu yaungoz
Soma Neno la Mungu, usijiegemeze kwenye wanadamu, wala hutachanganyikiwa.
Damu ya Yesu ikufunike
Njia ni mobility za kwenda mbinguni tukumbuke njia nyembamba watakao ingia ni wachache . Na njia pana watakao ingia ni wengi.
Mkuu wa Mkoa sio Mtumishi Wa MUNGU Yeye ni Mtumishi wa Selikali Na jua Yeye Ha muamini Mungu kwa imani yako Wewe kwake kila kitu sawatu Makahaba ni Mali ya MUNGU Walevi pia Yeye ndie Aliye Waumba
Hatukuelewi una hubiri enjili au kazi yako kuwasema watu. Tena untumia hasira nyingi sana ya nini ndugu.
Tunakupenda tuko pamoja na wewe kupigwa sio kosa acha wakupinge lkn kweli imefika
Usipokuwa wa rohoni Kuna mengi yatapongezwa na mawakala wa dunia hii maana wako kazini..
Hata Afrika kusini Kuna kanisa la wanywa bia..
Fimbo ya Bwana itembee
Kaka Acha Mungu awaumbue
Achaa unafiki we ubili neno la MUNGU Achana na mwamposa mtumishi wa MUNGU
Du mnyukano huu,yangu macho
acha kutembelea content za watu bro hiyo haisaidiii
maneno yako kamwe hayawezi kubadilisha imani ya mtu. wewe unaejifanya ndo mlokole wa kweli endelea na hiyo imani yako ya kweli
kumbuka mkuu wa mko unae mnanga hapo ni kiongozi wa serikari pia kumbuka serikari haina dini.
anaweza kuongea kitu chochote kutokana na sehem aliyopo Acha ufinyu wa akili Acha kujaza watu ujinga
mkuu wa mkoa ni kiongozi wa watu wote walio na dini na wasio na dini
Acha kuunganisha matukio ili upate maudhui.
nakuona mshamba tu tu we jamaa.......
Mungu tusaidie kabisa mana duniani kunatisha
UPONYAJI WA YESU KRISTO HUJA KWA MSAMAHA WA DHAMBI, NA WALA SI KWA KUKANYAGA MAFUTA.
Amina niko na wew mtumishi niko zanzibar nakufatilia
Ushindwe kwa damu ya yesu na ushindwe na mazabao yako
Kuna siku Cassian watakukumbuka ni kweli unaonekana kama umechanganyikiwa lakin hawajui kuwa hiyo ni hasira ya Mungu inawaka Ndani yako!!! piga Injili
@@costofamily4861 Mwamposa anachukiwa zaidi na watu wa aina tatu au nne.
1. Wenye wivu nakuona hawawezi kufikia viwango vyake vya imani na mamlaka ktk jina la Yesu.
2. Watumishi wanaodhani washiriki wao ni mali yao na sio wa Mungu.
3. Wachawi na washirikina anaowaharibia kazi zao na kuwaabisha hadharani kwa kufungua watu na kuchoma tunguri na uchawi wao adharani.
3. Watumishi wanaoona watu wakienda kwa Mwamposa sadaka zinapungua kwao
Mimi siwezi kukusikirizi chizi Kama wewe paschal wewe sio mtumishi WA mungu yani wewe ndo mtumishi WA watu WA bifu
Umeshamsikiliza Alaf mm naweza kukuamin lakin kama una rafik Ako mwamposa ww ni mwiz au mchaw tatzo mwamposa ni shetan
@@user-vn7zu3jr8n paschal sio shetani mafundisho yake ni la bifu na lakutafuta makiki kwa watu au anaogopa watu wake kukimbia kanisa kwake
Yesu akusimamie mtumishi sema ukweli
Mungu akubariki
Nakupend xàn kak but tuhubilie nen la mungu usituhubilie abar za mwamposa tumechok ndug tuhubilie abàri za mungu na namn gan tutaingia mbinguni kil xik mwampox mpak tumechok mpak tut kuj tukuon unamuhubur mwampox
UNAMAANISHA SHETANI NDO ANA NGUVU KULIKO MUNGU??TUMIA NENO LA MUNGU KWA HEKIMA YA KIMUNGU YA KUWAHURUMIA WANYONGE,MASKINI NA WALIOONEWA,OGOPA KUWAGUSA WATUMISHI WA MUNGU UTAUMIA..SHAURI YAKO.
Sasa watu wanaanza kujufuru kwa kumpaisha shetani.
Mtu akifanya vitu vikubwa hata kama ni vizuri sifa wanampelekea asiyestahili
Mungu gani kamtuma mtumishi kushambulia wengine kila siku? TUJITAFAKARI
Mungu akulinde Kaaian
EV CASSIAN-- UMENENA VYEMA MUNGU AKUBARIKI SANA ZIDI KUFICHUA YALE YANAYOFANYA ILI KOMBOA NDUGU ZETU WANAO ANGAMIA HUKO
Njia ya kwenda mbinguni ni ngumu mno kuliko vile wanadamu wanavyoichukulia! wokovu sio kitu rahisi! sio kujaza watu mamilion! sio kusifiwa na watu!
JAMANI Vijana na WATOTO wetu ,eee MUNGU wa huruma tuhurumieee 😭😭😭😭😭
BLABLA NYINGI SASA TUONESHE NGUVU ZA MUNGU ZA KWELI ULIZO NAZO WEWE SIO KELELE TU HATA NGUVU ZA MUNGU NAZO HUNA KIJANA
1 Kor 4:20
Maana ufalme wa Mungu hauwi katika neno, bali katika nguvu.
UNAPIGA MIKELELE WEEE ILA UKIAMBIWA UMEFANYA NINI KATIKA MAISHA YAWATU UTASEMA NIMEWAPA NENO KWAKUWASEMA WATU BIBLIA INAKUKATAA INATAKA UTUONESHE NGUVU ZA MUNGU ULIZO NAZO WEWE BAADA YAKUTUONESHA ZAWATUMISHI FEKI SASA TUONESHE ORIGINAL ZA KWAKO TUNATAKA KUKUONA MUNGU ANAVYOKUTUMIA KAMA HUWEZI FUMBA KINYWA CHAKO MALA MOJA. HATUTAKI BLABLA HAPA ONYESHA NGUVU ZA MUNGU.
Soma vema bíblia utajuwa anacho kiongea Kassian
@@justinocarlitosduas7357Inabidi kamkutanishe na Mwamposa nina uhakika akitoka huko ataamuwa kuwa mwanafunzi wake
Ww baba uko sahihi toka nipo mdogo sijawahi kukanyaga madhabau za watumishi feki coz najua everything kuhusu shetani ni nani na watumishi wengi wanajificha ushetani wao usionekane ila sisi wenyewe macho ya rohon tunaona vingi